Mpagaze you are so inspirational. Tafadhali tungefurahia ifanye historia ya Putin wa Urusi
@MumberekasikaFabrice2 ай бұрын
Un héros de l'Afrique vraiment que son âme reposé a paix. Suis congolais
@mwakawangu97804 жыл бұрын
Fanya historia ya Rais Uhuru kenyatta wa Kenya na jinsi anavyo tuzamisha sisi wakenya kwenye lindi la madeni...🤐🤐
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Yahni
@godienziega9572 ай бұрын
Historia yake ni fupi
@ZethMatara2 ай бұрын
@@mwakawangu9780 wewe ni fala
@omurwasolomon51314 жыл бұрын
Please tuandalie ya Kim wa North Korea ..mimi fan wako kutoka Kenya
@mwinamilapaul3524 жыл бұрын
Ananias waambie watu vizuri someni historia, Nyerere ilimshinda na hata mwinyi hakuwa na namna zaidi ya kukubaliana tu wale, hali ya watanzania ilikuwa mbaya mno maisha kipindi cha miaka ya 1975s ilikuwa mbaya mno
@amidumselle56594 ай бұрын
Loh kweli Hayati Hon. John P. Magufuli angeifufua shilingi ya baba wa Taifa na tungefika Nchi ya ahadi
@VictorEden-mk9mk Жыл бұрын
Outstanding,mpagaze
@zuberilusweka76964 жыл бұрын
Thank GOD You Are Back Ananias...........Dont Ever Left us Hanging Again With all due respect The Guy you left us with he was Cool but not as Good us You.......You Are The King in your Own Channel. You have a Million Dollar African Voice That am Proud to Listen to .Lots Of Love From Your Kenyan Fan in Braamfontein, Johannesburg, South Africa. Keep it Up Dude!
@azzaalnaamani762 жыл бұрын
I totally agree, he has a oerfecr narration voice,,, ma Allah guides him, he is given a rare talent, love from Muscat🇴🇲♥️👍
@BarasaJuma-o2kАй бұрын
Naomba nikupe historia yangu uisomee dunia
@kawiche49113 жыл бұрын
Asante sana
@funnymoments121311 ай бұрын
You and your team are the best brother Ananias
@aguerowakujidai52754 жыл бұрын
From Congo Kinshasa watching now
@hanningtonedagwa86363 жыл бұрын
Thomas sankara was a real hearo
@jonbaggy59264 жыл бұрын
Out of point brother
@equalrights52784 жыл бұрын
JAMBO NDUGU FROM GUYANA S, AMERICA.SANKARA, SANKARA. SANKARA YOUR BLOOD CRIES OUT FOR JUSTICE .
@abuusufian65064 жыл бұрын
My president forever Captain Sankara
@paulshibhiti95843 жыл бұрын
I too
@destindjumbe80232 жыл бұрын
Africa is our continent , but we don't have a good leaders . We still in colonies. But when we are united Africa will be a good place to live.
@chriskarani71793 жыл бұрын
Waaah!!! wazungu Kweli ndio maana Mungu akaweka bahari ndio tusikutane nao lkñ kiburu chetu kinatukula Legends sankra and magu
@Dismance10 ай бұрын
Alikuwa noma kbs
@albertojoel5337 Жыл бұрын
Iko good sanaa
@hubertanthony78464 жыл бұрын
Napenda sana kufatilia simulizi zako ila tatizo mimi sifahamu Kiswahili kwaio sielewi unachosimulia
@princenyakurungwi69254 жыл бұрын
Pole sana broo
@gitaumugo91114 жыл бұрын
How do you write in Swahili?just asking
@princenyakurungwi69254 жыл бұрын
@@gitaumugo9111 different speaking and writing
@stephenkisambo63563 жыл бұрын
Tuletee history ya mapinduzi ya kisoviet na kichina
@ukweli2553 жыл бұрын
Baada ya JPM kuodoka nikaja hapa kumsoma huyu mwamba
@francisomondi58053 жыл бұрын
Kazi poa bro
@rafaelikimati42764 жыл бұрын
Rais wa ukweli kama tulonae sasa tumtunze na Kumuombea sana Amina
@ramadhanchenga46064 жыл бұрын
Sankala alitoa ajila alifundisha watu wafanye nn yeye mwenyewe akawa front line husimulinganishe
@jinneylizerkemtotowasimba36102 күн бұрын
Tupe story Acha mambo mingi
@reaganpatrick33234 жыл бұрын
Bro nmekubali saana
@sindabahabwoyaanacret6604 жыл бұрын
nitanunua kitabu broo,but story ya laurent nkunda tunaihitaji
@johnmungai8304 жыл бұрын
Ata kenya 2na watch iki2 tupunguze advert plizz..
@AFRiCANKiDOnline4 жыл бұрын
channel inauzwa ina 50k subscribers na ipo monetized kwa bei ya milion 2 maelewano yapo just replay comment hii
@omariochumu9354 жыл бұрын
Nakupata vyema kaka
@BabaBabalili5 ай бұрын
Nakubal
@sofialinus82414 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Thomas Sinkala 😭😭😭
@madetetv65764 жыл бұрын
Thomas Sankara kubali sana
@selinalukwembe73634 жыл бұрын
Napenda sn mungu amlinde
@vallerianjohn24114 жыл бұрын
Nakubali sana
@hassanshunda31594 жыл бұрын
Dah ! Watu wachache ndio wanatuaibisha sisi Wa Afrika R.I.P. Sankara
@chapaadon61174 жыл бұрын
kiongoz shujaa sana daima tutamkumbuka
@frankbutati83433 жыл бұрын
Hakika alikuwa mtu muhimu sana Africa
@kiprotichkelvin66263 жыл бұрын
Historia🖤🌍
@noordinabdi33743 жыл бұрын
Gretest of all time rip
@jamesautomajorjimmy7895 Жыл бұрын
Wengi hawatasikiza hii juu hawatakangi kuongea ukweli
@agapemushi30854 жыл бұрын
Nasubiri historia ya black panther
@evanstum50324 жыл бұрын
Ukweli rest in peace.
@adolphmwangoje28874 жыл бұрын
Daaaaa jmn watu kma Sankara tupo wachache SIASA NI KILIMO lkn saiz ona wanachofnya wajinga huko
@phanuelemmanuel4743 Жыл бұрын
Thomas Sankara 🙏🙏🙏🙏 RIP
@fredrickkundy24552 жыл бұрын
Good work kaka mkubwaa
@abdulzackawami77804 жыл бұрын
R.I.P Thomas Sankara 😭😭😭ulikuja Tanzania na kumuita Mwalimu Nyerere Baba dah!maana ulikuwa unamkubali sana..
@mpagazedenis83954 жыл бұрын
Very sad
@sindabahabwoyaanacret6604 жыл бұрын
@@mpagazedenis8395 Story ya Laurent Nkunda broo story yake
@mohamedmwegero65294 жыл бұрын
@@sindabahabwoyaanacret660 umeongea bro
@onesmomushy8 ай бұрын
Ibrahim traore ndio Sankara wa Sasa,tumpe ushirikiano na kumuunga mkono
@britishboytz35764 жыл бұрын
Broo unajua kupangialia simuliz zko
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
You are the best My Brother 👏👏👏👏👏
@anthonykavishe88684 жыл бұрын
Mungu awape nguvu
@bish_daddiyao4 жыл бұрын
Siku ipo Africa itasimama ila sio Enzi Hii ya Karne ya ishirini Simulizi Konki Sana
@farajiissa560 Жыл бұрын
Huku jeshi kwa ajili ya chama na si wananchi
@amosmahona4334 жыл бұрын
Jamaa nimemsoma Kwny kitabu Cha major events of African leaders
@nkurunzizaalexis61442 жыл бұрын
Andika kuusu Agaton Rwasa mwanasiasa kutoka Burundi
@barwaniamani61484 жыл бұрын
Nahitaji hicho kitabu lakini siko tz Naweza kukipata je
@mpagazedenis83954 жыл бұрын
Unaweza kukipata ktk PDF
@barwaniamani61484 жыл бұрын
Mpagaze Denis nikutumie hela na zakupost kitanifikia? Kama utakua ready just Nitumie namba yako ya mpesa na uniambie garama yakukitowa hapo mpaka hap
@jaffersandi80484 жыл бұрын
Thomas Sankara the Legend RIP
@anisetiswai47113 жыл бұрын
Na wamepindua tena dha jaman
@architectelandemauriac62924 жыл бұрын
piga sasa story ya hugo chavez rais wa venezuela
@jimmygiliad62224 жыл бұрын
Yani sijui lini Africa tutaamka na kujitegemea tuache kuomba kwa wazungu
@damianmalley8675 Жыл бұрын
Okay
@simaiabeidussi81384 жыл бұрын
Jeshi kuota kitambi duuh! Nalo neno
@faisalhassam37212 жыл бұрын
Hakika huyu bingwa sankara alikuwa mzalendo. wangekuwepo kumi hapa Africa tungeuna na tungekuwa Africa moja
@ebokoamisi92464 жыл бұрын
Tuna penda story ya black panther tafazari
@mamskiumbe40574 жыл бұрын
Nais sn
@loomoniolesasi61232 жыл бұрын
R I P pumzika salaam
@kawiche49113 жыл бұрын
JOHN JOSEPH MAGUFULI THOMAS SANKARA TRUE LEADERS MASHUJAA WA AFRIKA MUNGU ALAZE ROHO ZENU MAHALI PEMA PEPONI. ALUTA CONTINUA MAPAMBANO BADO YANAENDELEA
@kimarostephano22313 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@bedatv5634 Жыл бұрын
Safi ananiasi ediga
@lizzor20534 жыл бұрын
Blaza tunaisubiri historia ya karume
@hamzanasry80114 жыл бұрын
Laaah kuna watu na viatu nikweli ao wasaliti walianza toka enzi za mababu
@danielmkama244 жыл бұрын
2lioskiliza kwa umakn tumegundua unapinga binti kuludi shule baada ya kujifungua😀😀
@yahyaally364ally24 жыл бұрын
😀😀😀
@thomasnachenga7954 жыл бұрын
Wajina.
@nyakichamzury76064 жыл бұрын
Wazungu ni watu wabaya Sana wameuwa miamba yetu ya Afrika wakaacha vibaraka wao tu ila ipo siku wa Afrika tutakomboka kifikira
@marklekasango93004 жыл бұрын
Kweli nawachukia sana wazungu sana
@nurukiingu90124 жыл бұрын
Navyenye wametawala uku afrika, wameuziwa viwanja,wamejenga makampuni nakibaya zaidi wanaendelea Kuoa mabinti wakiafrika kila siku🤔 wachina, wahindi, waarabu kila mahali wapo🙆♀️
@severinembembati53474 жыл бұрын
U back bro
@leonardleonard61643 жыл бұрын
Rip shujaa
@washingtonleckiemilongo55014 жыл бұрын
Mfano Bora kwa viongozi wetu wasfisadi tena wabaguzi wa sasa .....R.I.P Thomas Sankara
@rafaelikimati42764 жыл бұрын
R I P Thomas Sankara
@samsonsimba68123 жыл бұрын
Wish you really
@mwijagenelsoni3575 ай бұрын
Ivi viongoz wa afrika uwa hawasomi hizi makala!!!
@rogasianshayo19254 жыл бұрын
Thomas sankara kiongoz bora kuwahi kutokea Africa
@akshaydavid1594 жыл бұрын
Hakika
@hanningtonedagwa86363 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣hayo maombi surely 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 hata malaika wanacheka
@DavidMboje-b6y23 күн бұрын
Hata aliyemsaliti JPM hajajiua bado yupo anatamba tu
@innocentmatara14454 жыл бұрын
Ananias huyu ni magufuli wa tanzanini magufuli kama sankala r i p sankara
@ramadhanchenga46064 жыл бұрын
Hivi akili ipo wapi sankala amekaa jela kwa 7babu ya kukataa ufisadi,sankala aliruhusu mabinti wanao pata Mimba kuendelea na shule, sankala aliingia shambani kulima kwa vitendo mwenyewe alishinda shambani nakuwapa watu pembejeo bure na alitumia baiskeli na hakua na walinzi sasa unamulinganisha na nani tumia akili
@hancepopessau25274 жыл бұрын
R i p simba
@kingfocustzog4 жыл бұрын
🌹👉Inaumiza Sana Pale Unapo Gundua Kuwa Uliwakataa Wengi Kwa Sababu Ya Mtu Mmoja Ambaye Amekupotezea Muda Wako,,Mbaya Zaidi Ulikuwa Mwaminifu Kwa Mtu Ambaye Hana Hata Fadhila,Hii Kitu Inauma Sana👈🌹
@mpagazedenis83954 жыл бұрын
Sana
@DeusdedethShijalungenji5 ай бұрын
R I p thomas sankara the world wide
@mdee41963 жыл бұрын
Alikuwa kiongozi huyu Wala haikuwa mwanasiasa,
@jacquesabungwe55222 жыл бұрын
Uyo chuma ananiingia sana hadi ubongoni. ni l'anima nifanya kitu angalau cha kufanana udo Mwamba. kutoka USA
@listerelieza563 жыл бұрын
Waafrica ni nani Alie tuloga?wanapo tokea viongozi wazuri hawadumu kwenye madaraka tunauwana sisi kwa sisi hii ni laana kubwa sana
@hilaryfabian14844 жыл бұрын
Ili upate mkopo baba ako ni lazima awe peasant
@mathew.m.m91373 жыл бұрын
No African leader can match Tomas Sankara, Who?
@kawiche49113 жыл бұрын
John JOSEPH MAGUFULI
@moodyramadhan3363 жыл бұрын
Mbn km magufuli alimuiga hyu asee
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
Ndiyo maana huwa napata shida na hao wataka madaraka, maana hawasomi historia za viongozi kama hawa wakajua mbinu walizotumia kuletea wananchi wao na nchi maendeleo, bali wao nikutuletea historia za Belgium na maendeleo yao. Wajinga nyinyi
@DaudRashid-h9j4 ай бұрын
R.I.P Sankara😭😭😭🫶
@gamc7734 жыл бұрын
Hiyo sala ya kisela nimecheka tu
@jumaedward46384 жыл бұрын
💪
@kendrickyando63204 жыл бұрын
Broo eti Mandela wa kweli alikufa 1985
@shabantseria4 жыл бұрын
Yeah I heard that story but am I sure if it is true
@WambundoАй бұрын
Mobutu sseseseko kuku nguendu wa nzabanga
@worldchanneltv18094 жыл бұрын
Kwa movie zilizo tafsiliwa KISWAHILI na dj mack pamoja na dj afro gusa link usisahaukulike kusubscribe na kwa muendelezo kzbin.info/www/bejne/ap_NoKBmlt5oaqc