DIAMOND AIBUKA KUMUAGA RUGE MUTAHABA

  Рет қаралды 386,868

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 352
@blacksonismael2501
@blacksonismael2501 6 жыл бұрын
Kama umemuona Dada anamuangalia sana simba gonga like
@philipkomba5525
@philipkomba5525 6 жыл бұрын
😁😁
@janejohn7211
@janejohn7211 6 жыл бұрын
Yani loh wanaume ndo tena yuko na bby tanash ningekuwa mm hamisa ningehama hapo
@philipkomba5525
@philipkomba5525 6 жыл бұрын
@@janejohn7211 waacha wivuu weeeee Jane
@esteradonay4701
@esteradonay4701 6 жыл бұрын
yaaan ad dhambi jaman
@myownfootball6364
@myownfootball6364 6 жыл бұрын
Black Son Ismael yaani macho yake kwa diamond tu😂😂
@juniorvictor3658
@juniorvictor3658 6 жыл бұрын
Kama umemona hamisa akimpiga chabo mondi gonga like hapa
@yohanamapunda2654
@yohanamapunda2654 6 жыл бұрын
Nilichofurahi mimi nikuona ayo tv kumposti diamond.... kweli tunafungua dunia kwa mambo mapyaaa... gonga like kama umeipenda hii😁😁
@jscksonwilison239
@jscksonwilison239 6 жыл бұрын
Hata mm yaan
@hassanabuu6
@hassanabuu6 6 жыл бұрын
Milardayo leo Diamond plutnumz uwendele tu tena Boss ndo hayupo tena! Congratulation
@charlskpc1103
@charlskpc1103 6 жыл бұрын
Diamond platinumz is back on millardayo ayo channel. Congratulations
@sindyvibe7149
@sindyvibe7149 6 жыл бұрын
😘😘😘😘😘Kweliii msamaha umepita...Lets live peacefully tumoveeee on ...Pale alipopaachilia boss bhas tukapate kupaendeleza....😍😍😍
@viootanzania9080
@viootanzania9080 6 жыл бұрын
hongera millard ayo maana imepita kitandambo ujampost DIAMOND atimae leo umempost uwo ndo ukubwa
@benjamininyambaso5041
@benjamininyambaso5041 6 жыл бұрын
Hadii nimeshangaaa ayoo kumpost diamond
@andrewleonard9557
@andrewleonard9557 6 жыл бұрын
Vzr
@maxmilianmariceli6708
@maxmilianmariceli6708 6 жыл бұрын
Imenifurahisha pia
@hamisisha
@hamisisha 6 жыл бұрын
kila kitu huwakinaisha nae mtu ametambua nini anapaswa kufanya big up ayo boy ayo tv
@banosmaximillian7538
@banosmaximillian7538 6 жыл бұрын
hamisi sheby nA Leo ayo kwa kumpost mondi kafkisha viewer million moja ndan ya masaa machache
@allyfarajikimbilimbi6773
@allyfarajikimbilimbi6773 6 жыл бұрын
Naseeb Abdul Diamondplatnumz wewe ni zaidi ya Mwanamuziki bora hakika wewe ni#Good Leader.
@janesuma2193
@janesuma2193 6 жыл бұрын
Ally Faraji Kimbilimbi for u
@averinamarco5808
@averinamarco5808 6 жыл бұрын
Hamisa na Mond, msiba wa Ruge umeunganisha😂😂😂😂😂😂
@liliankhamasi6381
@liliankhamasi6381 6 жыл бұрын
Averina Marco 😂😂😂😂😂
@iungwadeogratius7893
@iungwadeogratius7893 6 жыл бұрын
God blesss u 4rever kama ulivyo we ni mpole waache waongeee maana huwa hulipiz baya kwa baya ungekuwa mkristo ningekuita mlokole maana unayatenda ya kimungu
@hkikajama6680
@hkikajama6680 6 жыл бұрын
nimefulahi sana kuona simba amemsikiliza mjomba uwo ndo utanzania unavyo takiwa sikwa Rugetu na kwababayako msameetu mungu atazidi kukupa nulu na balakatele
@jscksonwilison239
@jscksonwilison239 6 жыл бұрын
Kweli kabisa
@bettymuseno8868
@bettymuseno8868 6 жыл бұрын
uko poa sana
@samwelreuben3187
@samwelreuben3187 5 жыл бұрын
Hkika Jama 4
@fatumamukete6839
@fatumamukete6839 6 жыл бұрын
Mama Diamond. Hongera sana. Mungu amekupa Diamond iangalie. Binaadam wengi wamejaa Husda. Watu wanakimbia watoto zao, wewe umempa Mwanao. Leo tunakula matunda. Mdomo ya watu inatereza kama vibogoyo.
@chicharitoronaldo5950
@chicharitoronaldo5950 6 жыл бұрын
Umefanya vizuri kuhudhuria SIMBA🙏🏻UTABAKI JUU MPAKA ILE SIKU Utatangulia mbele za haki🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@abdulmasoud6161
@abdulmasoud6161 6 жыл бұрын
Kama umegundua mirad ayo kapost kwamapenz yake gonga like twende sawa!!!!
@missfa4650
@missfa4650 6 жыл бұрын
Chibuu,safii.kama umemuona mobeto gonga like hapa...
@wizshine1904
@wizshine1904 6 жыл бұрын
Respect platnumz... we ni mkubwa Kwenye nchi hii.... tulichotarajia ndo umekifanya
@janesuma2193
@janesuma2193 6 жыл бұрын
Salum Said ovyo ana ukubwa gani kwenye nchi hii acha mihemko kubwa Mungu tu ndani ya taifa wapili Rais watatu makamu wa Rais wanne Waziri mkuu watano jeshi wasita polisi wasaba wananchi who is diamond by the way ukubwa my foot
@dastanbufe2436
@dastanbufe2436 6 жыл бұрын
@@janesuma2193 acha majungu wew mond ananafas yake et mihemuko tatzo wivu ndo umewajaa watz mwenzio akiwa juu na wew muombe mungu akujalie baraka na wew uwe juu
@wizshine1904
@wizshine1904 6 жыл бұрын
No beef...... platnumz anajulikana ni nani? Kwenye nchi... ata rais wa nchi hii anamjua...
@byaombealoys5967
@byaombealoys5967 6 жыл бұрын
Pumbavu kabisa kashindwa kumsamee baba yakemzazi kifula uyo mzoga kaenda kutowa miali tu.
@MemsapSaum
@MemsapSaum 6 жыл бұрын
Jamani siageniajiri niwe na mbebea mamake kipochi nipate riziki 👌👌👌
@taraagire6176
@taraagire6176 6 жыл бұрын
U did very good Mashallah 2 come Diamond!
@mohammedsuleiman1135
@mohammedsuleiman1135 6 жыл бұрын
Baada ya longtime leo umempost good Ayo tv
@jamessilwamba2862
@jamessilwamba2862 6 жыл бұрын
wamejifunza kitu
@masstv4582
@masstv4582 6 жыл бұрын
That's good !!maana wabongo mngechonga sana But also kawafanya had Ayo tv kupost Nimefurahi sana
@abnizplatnumz5520
@abnizplatnumz5520 6 жыл бұрын
Daaaah diamond anapitia mengi sanaa japo bado ni mdogo
@alexanderson1805
@alexanderson1805 6 жыл бұрын
Umefnya Jambo jema diamond kwan sisi tunakubali kile chenye kuamini upendo na mshikamoo ni kitu kizuri,🤨
@blessedmoses4243
@blessedmoses4243 6 жыл бұрын
Safi hadi millard leo kampost diamond nzuri hii
@jumamshana6473
@jumamshana6473 6 жыл бұрын
waandishi wabongo ni wasenge sana diamond ni nan katika msiba fanyeni kazi Moja na si ujinga
@princepiuskamugisha5626
@princepiuskamugisha5626 6 жыл бұрын
juma mshana huma malimda wewe
@princepiuskamugisha5626
@princepiuskamugisha5626 6 жыл бұрын
juma mshana huna malimda wewe
@RichFeelingsForex
@RichFeelingsForex 6 жыл бұрын
Hongera huo ndio uungwana
@amosdaudi9793
@amosdaudi9793 6 жыл бұрын
KIUKWELI tunaomiliki pesa kama mimi tunakuaga na kiburi but dimond umenifunza kuishi kibinadamu zaidi kuliko kipesa rasmi nakutoa team dudu -napenda unavyompenda mama ..maisha yako yangekuwa njia tungelipishwa wapitaji R.I.P Mr Ruge and 4give Mr dudu oil chafu hata akija ulipo mpe mkono msamehe kwani uhai siyo bando
@amisabalongelwa9143
@amisabalongelwa9143 6 жыл бұрын
Kama unamuona mobeto anapiga jicho kwa mbali gonga like
@rodsemziry4142
@rodsemziry4142 6 жыл бұрын
Hamisa anaangaika anataka kujinyea,hahaa hatuliiii!aibu zimemjaaa!
@atuganileswedy4830
@atuganileswedy4830 6 жыл бұрын
Yaani binadamu hamna jema ameenda kushiriki msiba mnamnanga asingeenda mngemnanga pia, kuzika mtu ni majaaliwa nyie ndg zenu,marafiki,majirani wanaowazunguka walipofariki mlishiriki misiba yoote inayotokea? Acheni uchawi wa maneno
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 6 жыл бұрын
True kabsaaaa
@jscksonwilison239
@jscksonwilison239 6 жыл бұрын
Wambie
@frexalphonce9387
@frexalphonce9387 6 жыл бұрын
Sasa mbona unaesema hivo ww
@ebbyramadhani
@ebbyramadhani 6 жыл бұрын
Atuganile Swedy pumbav watu Alivokua ajaja maneno kibao Kaja bado wanasema
@atuganileswedy4830
@atuganileswedy4830 6 жыл бұрын
@@ebbyramadhani binadamu hatubebeki
@frankmgendi8751
@frankmgendi8751 6 жыл бұрын
kamaa umemuona hamissa anamkodo simba tupia like akoo apa
@rushobokaerick4475
@rushobokaerick4475 6 жыл бұрын
Yani kweli wabongo sisi mungu atusamahe sana kwenye msiba tunatafutia kiki shikamoo sana walinzi
@majotv3405
@majotv3405 6 жыл бұрын
#AYO SAFI SANA UJUE ULIKUWA UMEPOTEZA MASHABIKI WENGI SANA KWA KUTOPOST INSU ZA #MOND ambao wanaamini kuwa sasa #miladayo atarudi moto kama zamani gonga like
@kapishoyasini2220
@kapishoyasini2220 6 жыл бұрын
Safi sana milad leo umenifurahisha
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 6 жыл бұрын
Diamond ni miongoni mwa watanzania wachache kwenye sanaa ambao wamekataa kuumizwa kimaslahi. Hana ugomvi wa tofauti na maslahi na marehemu ruge. Alihojiwa Mara kadhaa na media tofauti tofauti hapa nchini alirudia maneno yaleyale kuwa aliumizwa na media ya clouds na hata wafanyakazi wake wote kwa kushinikizwa na Ruge,lakini kufika kumzika ni jambo jema kwani kila nafsii itaonja mauti. Hongera diamond kwa utu huo na nakuoongeza kwakutokuwa mnafiki juu ya kuumizwa kwako. Mafanikio yako yametokana na wewe kuongeza juhudi kupinga kunyanyaswa. Ipo siku wengi watatambua kuwa hukuwa na ugomvi tofauti na kutafuta maisha. Mungu azidi kukupa moyo na utafanikiwa zaidi. Naamini kuna mema alikufanyia ruge lakini kuna mabaya pia yalikuumiza na ndiyo maana uliamini kuwa ruge ni binadam mwenzio na alikuwa mshindani wako ktk maisha na ukamsindikiza ktk Makazi yake.
@ephraimkachewa6569
@ephraimkachewa6569 6 жыл бұрын
hongera chibu kwa kuja
@jacksonalex7870
@jacksonalex7870 6 жыл бұрын
Wangap tunamuona Hamisa mobetto aka Mama daylaan kwa mbali
@rutashobyanovath1116
@rutashobyanovath1116 6 жыл бұрын
Jackson Alex acha ujinga
@mariamabdallah806
@mariamabdallah806 6 жыл бұрын
@@rutashobyanovath1116 Sasa Jackson kafanya ujinga upi jmn
@mwashkenya8589
@mwashkenya8589 6 жыл бұрын
Namuona ameshikwa na msisimko wa damu, restless, camera sizimchukue akimwangalia Simba waanze udaku Kwa mitandao
@scoviarobert235
@scoviarobert235 6 жыл бұрын
😁😁😁 watu wnapepea atareee
@worldrapamako3960
@worldrapamako3960 6 жыл бұрын
kama umemuona madee tupia like
@dronemiguel2230
@dronemiguel2230 6 жыл бұрын
Mmmhh nyie xi mlkuwa hampoxt k2 chcht cha mond nini tena we Mallard Ayo
@salmamasuod1472
@salmamasuod1472 6 жыл бұрын
hakuna kitu kama mama hongera diamond kwa kumpenda mama yako
@angelababson4822
@angelababson4822 6 жыл бұрын
Nakwambia MTU ni mamake Salma
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 6 жыл бұрын
Salma Masuod : baba Hana maana???????
@pendomarco7161
@pendomarco7161 6 жыл бұрын
RIP Ruge
@astaqueen3979
@astaqueen3979 6 жыл бұрын
poleni sana .watu muhimu siku zote hawadumu
@najimahrupiahgomo2109
@najimahrupiahgomo2109 6 жыл бұрын
D bwana jishusha.usipende kua abudiwa kk
@gggjjahhhh9419
@gggjjahhhh9419 6 жыл бұрын
Safi sana simba umefanya vzr
@KURYABOYTV
@KURYABOYTV 6 жыл бұрын
Hakuna kitu kizuri kama Mama kumpenda wanae Mama Dee Hongera kwa upendo huo huo kwa mwanao.......!! Tunaomba Tumuone Baba Dee na Mondi Pamoja
@madamcolethaa641
@madamcolethaa641 6 жыл бұрын
Jamani mumemuona mond namiheleni kama anaenda kupiga show Amisa anamuangalia kwakuibia ibia mmeona
@sarahhamisi2070
@sarahhamisi2070 6 жыл бұрын
ayo nakupenda unajielewa mungu akuzidishie
@shafiidumba9353
@shafiidumba9353 6 жыл бұрын
Si uliacha kupost Sasa leo unamanixha nn kupost kwenye hichi kpindi bnadamu bhna hkuna mngu kwenye hii dunia wote tunapita umeonyesha uzaifu mkubwa usio. Na faida na tulixhakusamehe mda mlefu ila jua kila bnadamu ana liziki zake na hkna anaeweza ziba mkubwa Ni mungu 2 tuendelee na maisha ndgu
@mariamhaidari7170
@mariamhaidari7170 6 жыл бұрын
Hamisa stil needs Diamond huhuhu mwanamke akomi uyu aya wangapi wanaamini Diamond atarudiana n Hamisa
@nadhirijay9902
@nadhirijay9902 6 жыл бұрын
Daaa bifu la boss hata mfanyakaz n lako hata kam hupendi ,,,,iishee tuu achen uchawi sanaa moja af utoto kam wote
@stevenhinjo9664
@stevenhinjo9664 6 жыл бұрын
watu bwana yaani hatuna jema wakati hajaenda mnamsema amekwenda bado yaani sijui afanyeje na wakati mnasema yeye yuko kimya wala hakusema haendi.
@chuination
@chuination 6 жыл бұрын
Very good
@raysalove9178
@raysalove9178 6 жыл бұрын
Dunia bwana inavituko kwenye misiba ya watu watu wanatupia. Masudi jameni upendo wetu si wa ndani Bali wa inje ndani tumeja majivuno tu mwenyezi Mungu atusaidie kwa kweli.
@chiefkaitaba.m.9466
@chiefkaitaba.m.9466 6 жыл бұрын
naona AyoTV unaanza kujileta taratibu uvumilivu umekushinda 😁😁😁
@davidmpungu8502
@davidmpungu8502 6 жыл бұрын
Millard leo umetisha.
@astaqueen3979
@astaqueen3979 6 жыл бұрын
kila umoja ataki kumtizama mwenzake😅😅😅😅😅
@Gigizlife
@Gigizlife 6 жыл бұрын
Diamond and hamisa still love each other look at the body language 😎
@jamessilwamba2862
@jamessilwamba2862 6 жыл бұрын
Sidhani kama kaenda kwa sababu kaitwa au kaambiwa na mtu fulani nafikiri nafsi yake mwenyewe imeamua na alijua atakwenda lkn muda gani alipanga mwenyewe jamani kila jambo na wakati wake.
@kambachaku8390
@kambachaku8390 6 жыл бұрын
duuhh leo millard umempost diamond aiseee
@shahilmmasai2989
@shahilmmasai2989 6 жыл бұрын
Leo nimeview kwa millard baada muda mrefu simbaaaa
@jscksonwilison239
@jscksonwilison239 6 жыл бұрын
Kama mm yaan
@aisharamazani1681
@aisharamazani1681 6 жыл бұрын
hahaha Dada ana jipepea Atari ana tamani ata aitwe na simba
@okelotv8316
@okelotv8316 6 жыл бұрын
Naombeni maana ya miwani mieusi msibani tafadhali maana ata wasioumwa macho huvaa sana siku ya msiba
@patricklugarata2381
@patricklugarata2381 6 жыл бұрын
Na anavyopenda masifa itamjua tu
@bagamundaamina1350
@bagamundaamina1350 6 жыл бұрын
Safi sana Diamond 👏🏾
@mariamjumaswalehe635
@mariamjumaswalehe635 6 жыл бұрын
Sanaaaa
@mropeclassic166
@mropeclassic166 6 жыл бұрын
Hatimae nyege za clouds zimeisha, na Leo hii wanampost simba platinum, pumbavu nyinyi hamjui mondi ni kama maji 😎😎😎
@mpozymkoma7827
@mpozymkoma7827 6 жыл бұрын
Millard ayo like leo nimekuwa miongoni mwâ subscribes wako baaada ya kuanza kumpost diamond platnumz
@mr_yassinofficial
@mr_yassinofficial 6 жыл бұрын
😀😀😀madame hiro kashindwa kuji zuwia
@KingKong-yf2oj
@KingKong-yf2oj 6 жыл бұрын
Huu ndo utu uzima Diamond anaonyesha. Sio Dudu Baya ambaye hajielewi kutukana marehemu.
@mfaumeshaban8421
@mfaumeshaban8421 6 жыл бұрын
Ticha sana simbaaaa
@nickymeel986
@nickymeel986 6 жыл бұрын
Wabongo mna ujinga . si mmeona simba kahudhuria... nilijua atahudhuria last mnts
@bryanzeconfesor5476
@bryanzeconfesor5476 6 жыл бұрын
kweli diamond ni maji aisee media ambayo haimpost lazima ife na ikitaka kukua lazima impost
@naiyamjay464
@naiyamjay464 6 жыл бұрын
Simba umewanyamazisha kimya wanafiki. ......
@ashaabdallah1718
@ashaabdallah1718 6 жыл бұрын
Aya Leo ndo umekua mwanaume... sio mambo ya kununiana... nashukuru umetoka habr ya simba
@chandrnyoeliakim1006
@chandrnyoeliakim1006 6 жыл бұрын
hiii miwani myeusi bana mnaonana kama hamuonani
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 6 жыл бұрын
Vizuri sana Nasib kwa Kuhudhuria .
@khamissalum4232
@khamissalum4232 6 жыл бұрын
Safiii huo ndio ubinaadam Ila hamisa anaibia ibia kumuangalia Mond
@mariamjumaswalehe635
@mariamjumaswalehe635 6 жыл бұрын
nimefurah Sana kukuona
@vickysteven5898
@vickysteven5898 4 жыл бұрын
Mashallah
@gabinusaristidius2717
@gabinusaristidius2717 6 жыл бұрын
mond vip mze bb mbon wenge jingi
@herifredrickson2040
@herifredrickson2040 6 жыл бұрын
Nimefurahi Sana my boss daimond plutnum 🙏 🙏🙏 🙏.
@goodluckmoforo5107
@goodluckmoforo5107 6 жыл бұрын
Hamna kubembelezana saiv shenzi
@alfabugat2196
@alfabugat2196 6 жыл бұрын
daaaah wabongo nanyi,tupungeze mdomo jaman mtu kaja bado mnaongea ya nn ss
@sembojwamaterial8409
@sembojwamaterial8409 6 жыл бұрын
duh"na mmi nmekua limbea sipitwiii 😎
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 6 жыл бұрын
Yani misiba ya siku hizi mmmm mhhh kujipepea tu nakujifuta viatu utafikili kaburini Kuna leso ama kiwi mnakera bora mngekaa majumbani hovyo kabisa mwenzenu hawezi hata kujikuna badili mtafakali ukuu wa Mungu mnaleta usafi msibani
@mwanatz5980
@mwanatz5980 6 жыл бұрын
Njia yetu sote mda tu kilamtu na wake , vizuri kuweka tofauti kando.Nitafurahi zaidi kuona anamsaidia baba ake ipasavyo.
@khatimmahsen3753
@khatimmahsen3753 6 жыл бұрын
Namuona tu hamisa akitiza kwa mondi hata hajaelekea kwenye jeneza
@leahjoram7693
@leahjoram7693 6 жыл бұрын
Mm na angalia vile wana angalia a na Hamisa eti. Huyu anajifanya anaongea na yule na jicho lipo huku. Hamisa usiogope kumwangalia
@khadijaomar3299
@khadijaomar3299 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@khadijaomar3299
@khadijaomar3299 6 жыл бұрын
Ni kweli
@zulphaiddy1191
@zulphaiddy1191 6 жыл бұрын
Kumbe hata we umeona hahahaaa
@princesalumu981
@princesalumu981 6 жыл бұрын
Wakwanza kukoment. R.I.P RUGE
@raphaelukani2637
@raphaelukani2637 6 жыл бұрын
Daaah!! Hiz post za diamond kwenye ayo tv nilisha sahau
@rehemawasafi8050
@rehemawasafi8050 6 жыл бұрын
Nimefulai sana
@freedomtoursandsafaris
@freedomtoursandsafaris 6 жыл бұрын
Iwe ni sababu ya kumsameh baba yke pia...
@mwanahamisinguwa5890
@mwanahamisinguwa5890 6 жыл бұрын
Hongera diamond
@senetamtangazaji2901
@senetamtangazaji2901 6 жыл бұрын
Diamond Mnafik tu angeenda kumuangalia akiwa hai sasa amekufa isiadie nini na Hata Dudu Baya wao ndio walimtuma ajua kuwa watanzania Wamemulika sasa amekuja kudanganya toto Ruge ameenda Ngoja Downfall yako
@deborahkhan4868
@deborahkhan4868 6 жыл бұрын
Kwani asingeenda yeye Ruge asingeagwa hovyooo
@manenojongo692
@manenojongo692 6 жыл бұрын
wapenda misifa
@mangalilikilawe6788
@mangalilikilawe6788 6 жыл бұрын
Naimani sasa mtakuwa sawa kwani msiba ndio unaopatanisha walio gombana
@lucyminja613
@lucyminja613 6 жыл бұрын
namuona hamisa anavyoteseka na jotrooo la gafla
@joywagofya7886
@joywagofya7886 6 жыл бұрын
Song name ??????
@rabisonmbena5483
@rabisonmbena5483 6 жыл бұрын
Uyu anaga kinyongo na mtu ila baazi ya watu wanataka aonekane anakinyongo na watu
@abdulazizmsonde985
@abdulazizmsonde985 6 жыл бұрын
Baada ya muda mrefu..Leo mmeweka habari ya SIMBAAA..
@jjjfernadoz6289
@jjjfernadoz6289 6 жыл бұрын
Leo ndio umempost
“Nina hasira, Mimi nina uchungu na nchi yangu” -Ruge Mutahaba
8:32
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
DIAMOND PLATNUMZ amtoa MACHOZI HARMONIZE
5:22
Wasafi Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
SO GOOD they got Bruno's Golden Buzzer MID-PERFORMANCE | Auditions | BGT 2023
8:37
DIAMOND AMCHANA MWIJAKU "HUNA LOLOTE WEWE,,,,LAZIMA NISEME UKWELI.....
9:33
Wimbo-THT & Mrisho Mpoto: Nenda salama Ruge
5:17
Daily News Digital
Рет қаралды 202 М.
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН