DIAMOND ARUDISHA PESA ZA HARMONIZE,,,SITAKI LAWAMA DOGO...

  Рет қаралды 90,285

PTVTANZANIA online

PTVTANZANIA online

Күн бұрын

#watajuaje? #wasafifm #live

Пікірлер: 161
@mariammariam6501
@mariammariam6501 3 жыл бұрын
mm nikisikia interview ya kumsuta harmo siangalii pole sana mama mwezangu
@rsautoservice984
@rsautoservice984 3 жыл бұрын
Kweli kabisa yaani sai harmonize vita vikubwa SNA..media zina lipwa kumchafua..
@alesnema9596
@alesnema9596 3 жыл бұрын
Unahisi utatimbwa na hamo wewe ?pole Sana
@farashuusuleiman4792
@farashuusuleiman4792 3 жыл бұрын
Anasema Nini uyo Malaya hajielewi
@gabrielisaka2061
@gabrielisaka2061 3 жыл бұрын
Mashabiki wa hormonize bwana ko ukisikiya amepewa tuzo yapiri na hbaba ndo utasikiriza
@mariammariam6501
@mariammariam6501 3 жыл бұрын
@@gabrielisaka2061 ya Mungu n mengi leo dai kesho yeye
@mamymamy4623
@mamymamy4623 3 жыл бұрын
Ila tuache unafiki mziki nimaneno naukitizama monde mziki wake uwa nIwafujo tu aunaga maneno mazima ila sikiliza mziki wa harmonize nimziki wakusikilizika tena ukaelewa nini ananimba 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@hadijayassin925
@hadijayassin925 3 жыл бұрын
Ukitaka uwelewa ukielewa Toka shule cyo kwenye mzik ucwe boya
@eliaskassim5684
@eliaskassim5684 3 жыл бұрын
Boya wew huujui mzik wew
@gracerosi6179
@gracerosi6179 3 жыл бұрын
Mziki wa harmonizi ninoma namond kamwinua wakati huo analenga faida harmonizi amemwingizia mondi hela yakutosha natangu aondoke mond ajatoa wimbo mzr lbd kamban yake ndo wanatoa nyimbo nzuri
@mtetewamburawamburairanga9600
@mtetewamburawamburairanga9600 3 жыл бұрын
Pamoja nahayo rakina diamondi anatisha
@ivanminja7954
@ivanminja7954 3 жыл бұрын
Mbagala, nenda kamwambie na nyingine zote alikuwepo huyo Hamonise na hazina ujumbe, kuweni na akili, mwenzenu analenga soko la nje, Tanzania ameshamaliza kujitangaza.
@ceciliambui5972
@ceciliambui5972 3 жыл бұрын
Yes madam
@americabenis9278
@americabenis9278 3 жыл бұрын
Absolutely 💯 correctly Dada yangu keep it up tell them the truth
@kevinosore7919
@kevinosore7919 3 жыл бұрын
Mnaeza nisaidia number yake simba
@nassorabdalla8891
@nassorabdalla8891 3 жыл бұрын
Upo vzr snaaaàaa
@suzanemwangingo6932
@suzanemwangingo6932 3 жыл бұрын
Dada upo vizuri
@niyorugirafabrice2911
@niyorugirafabrice2911 3 жыл бұрын
Mulisema nonenzuli kabxa, tunaitajyi collabo yakisasa ya Diamond na harmoniz binawez kuwa vizuli kuzidi, baikae pamojya batupe ngoma,tunawapenda xan tuko washabiki bamziki
@hellenaluoch8234
@hellenaluoch8234 3 жыл бұрын
Wewe mama wacha kutupigia kelele na Diamond amemshika mkono" ata yesu alisulubishwa msalabani na bado wanadamu wanamkana so who is Diamond
@mabawawisetv566
@mabawawisetv566 3 жыл бұрын
Mwisho Leo Mimi kufuatilia habali zenu
@ceciliambui5972
@ceciliambui5972 3 жыл бұрын
Naona diamond anawasumbua sana
@kimbilikiti2
@kimbilikiti2 3 жыл бұрын
Mama kasema kweli, Maishani hauwezi kuinuka mwenyewe bila mtu kukushika mkono. Diamonds ndiye aliye mshikika mkono Bwana mdogo, yeye Hermonize ajishushe na atakua mkubwa Saidi
@michaelmdede3806
@michaelmdede3806 3 жыл бұрын
Jesh tu daimond pita iv
@hamadiali1310
@hamadiali1310 3 жыл бұрын
PTV mnazingua kweli yani kila nikichek habar zenu ni kuhusu diamond na harmo2 tuleteen mamb mngne bhnaa
@nassorabdalla8891
@nassorabdalla8891 3 жыл бұрын
Hongera sna dada
@chipulupulutiv5298
@chipulupulutiv5298 3 жыл бұрын
Wee demu unafatilia vizuri hizi habari au konde ndio msanii namba1 Tz kwasasa huyo mondi namba 2 kwamujibu wa KZbin usiongee kishabiki ongea kitu kinachoonekana
@obamahtz1840
@obamahtz1840 3 жыл бұрын
Yeah kweli kabisa harmonize ndo kila kitu ndo anae muumiza kichwa sadala
@yusufmbegakamaliza4637
@yusufmbegakamaliza4637 3 жыл бұрын
Pongezi Sana watanzania mnafanya vizuri
@kidogoli5155
@kidogoli5155 3 жыл бұрын
KAMA WEMA ASINGEMLIPISHA MIL 600 AKUNAKUMSHIKA MKONO HAKUNA MAMA
@BwayTunchi
@BwayTunchi 6 ай бұрын
Uyo dada amepangwa ajuwi maisha atoke
@halimasalim5477
@halimasalim5477 3 жыл бұрын
Umlipe mtu milioni mia sita halafu tena umnunulie mtu gari milioni mia saba .mamangu wacha mchezoo
@franktegemea8433
@franktegemea8433 3 жыл бұрын
Hpo uko sahihi ndugu huwez mlipa mil mia6 halafu naumnunulie gari mil 700
@anthonymbusiro7768
@anthonymbusiro7768 3 жыл бұрын
Ptv mnakwama sana vichwa vya habar haviendan na mnachokionesha
@d.a.t3383
@d.a.t3383 3 жыл бұрын
Huyu dada hana point kabisa achana na hayo
@khayratchigalika3029
@khayratchigalika3029 3 жыл бұрын
nilichokugundua huyu mama analiwa kwa mparange,kwani utimu ameanzisha harmonize au mashabiki?
@suleimansaid2633
@suleimansaid2633 3 жыл бұрын
C kalipa au zile milioni mia tano. Huyo Harmo amenunua ufundi bass
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 3 жыл бұрын
Diamond ni kiboko hivi ninyi Mna mlinganisha na homoniez
@hassanrashid8182
@hassanrashid8182 3 жыл бұрын
Huyu Mama kaongea point sana
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 3 жыл бұрын
Ampe zawadi gani tena,wakati Amemlipa stahiki zake,kuna nini tena,diamondi angetaka shukurani asingedai malipo kwa harmonize
@mrtitus5536
@mrtitus5536 3 жыл бұрын
Watangazi hebo tafuteni habari zingine Basi kila siku Simba Simba unatuharibia Sana baba hatabaki kua baba asheni ujinga
@majaliwamaige4927
@majaliwamaige4927 3 жыл бұрын
Team 🐘🐘🐘
@AliAhmed-vr2zh
@AliAhmed-vr2zh 3 жыл бұрын
Huyo dada anaongea ziro haongei lolote yeye ana support diamond hana ukweli anapo ulizwa tembo aweza mfinika diamond kwanini hawezi mnafik huyo dada
@saakabdalla2066
@saakabdalla2066 3 жыл бұрын
Hujui ukiongeacho na kilichopo kati yao we Dada hujielewi.
@scholasticalawrence3882
@scholasticalawrence3882 3 жыл бұрын
Hata diamond alishindanishwa na Ali kiba sioni mbaya hamo kushindanishwa diamond
@annenduku5243
@annenduku5243 3 жыл бұрын
Mama shukrani si ya lazima mama.
@gracerosi6179
@gracerosi6179 3 жыл бұрын
Niwimbo gan mondi amepiga wakuzid nyimbo za harmonizi kwss mnaposema anafata nyayo utunzi wanyimbo harmonizi nimkali sema mond anamzidi maendeleo harmonizi
@omilove3673
@omilove3673 3 жыл бұрын
Conde boy yupo juu
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 3 жыл бұрын
DIAMOND ALISAIDIWA NA WEMA MBONA WEMA HASEMI KWA MITANDAO KAMA YEYE ANAVYO SEMA HARMONIZE AENDE KUSAIDIA BABAKE AWE NI MLEZI AU NI MZAZI AWACHE SIFA ZA UJINGA DIAMOND KUJISIFU MARA NDEGE MARA HOTELI WANAWAKE KILAKONA
@G_M22
@G_M22 3 жыл бұрын
Huyu mama ana matatzo kama asingemlpisha yote yangewezekana
@kondegangtv7286
@kondegangtv7286 3 жыл бұрын
Si axhamlipa m600
@johnsaimon2352
@johnsaimon2352 3 жыл бұрын
Acha uogo chezeya cod mama kaoshe mtt akarare
@judgesonga3707
@judgesonga3707 3 жыл бұрын
Siku zote unaambiwa usimtukane aliye kuzaa Kwan yey ndyo aliyeshikilia baraka zako.
@d.a.t3383
@d.a.t3383 3 жыл бұрын
Ina maana kila mwalimu aliyekusomesha primary secondary uni tukawashike mkonooo
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 3 жыл бұрын
🎤🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 UMEYA MALIZA
@silvestermwampaja1103
@silvestermwampaja1103 3 жыл бұрын
Diamond kumlipisha alifeli
@kishokasalim8316
@kishokasalim8316 3 жыл бұрын
bado utiwe mimba na huyo domo tena akuwache
@udaku..travel8506
@udaku..travel8506 3 жыл бұрын
Nyinyi waandishi wa bongo hamujui ha ta watu wakuwahoji kina baba levo elimu zero
@mamymamy4623
@mamymamy4623 3 жыл бұрын
Apo mimi sioni kama alimsadia kwasababu alimlipa sasa kunamsaada gani muwe mnatizama pande zote
@mlamtv4839
@mlamtv4839 3 жыл бұрын
Dada fadhira huwa hadhirudishwi.ndio maana anawafhili wengine
@aminahussein5418
@aminahussein5418 3 жыл бұрын
Ovyoooo
@seangrace9899
@seangrace9899 3 жыл бұрын
Mama unashindwa kumuelewa harmonize ayupokama unavio wazaa konde nimtu mwenye nizamu nakingine wewe unashabikiya diamond ndomana unaongea ivoo ilakonde anakujana kasii namungu atambarikiiii
@anusiataagrikola9594
@anusiataagrikola9594 3 жыл бұрын
Hivinyie hamna habar nyingine
@mtetewamburawamburairanga9600
@mtetewamburawamburairanga9600 3 жыл бұрын
Diamond anatisha hata musemeje huyonisimba
@leahnelsonjohn8919
@leahnelsonjohn8919 3 жыл бұрын
Dada umepoteza tena koma tuachieni konde wetu mkome kumjadili
@ramadhanisaidi3603
@ramadhanisaidi3603 3 жыл бұрын
Hivi kwer kma alitakakumshika mkono aliwezaje kumlipisha ml 600,uyo mama hujui llote,
@nasoronkalange9848
@nasoronkalange9848 3 жыл бұрын
Usiongee upumbavu
@sneedlekisengo9592
@sneedlekisengo9592 3 жыл бұрын
hilo limama rinafiki bwege xana
@abedkarume9088
@abedkarume9088 3 жыл бұрын
Angelimlipisha million 200
@mlamtv4839
@mlamtv4839 3 жыл бұрын
Harafu haikua fadhira maana alivynja mkataba na akalipa
@MusaF821
@MusaF821 3 жыл бұрын
Alafu walio mtowa Diamond ? Diamond alishawapa nini?
@aminachaka4586
@aminachaka4586 3 жыл бұрын
Huo ni ushamba awiii
@upendwawamamasaudiyanonobu9211
@upendwawamamasaudiyanonobu9211 3 жыл бұрын
Jeshiiiiii
@tinkudey5928
@tinkudey5928 3 жыл бұрын
harmonise anashinda za ela ndo kwa sababu alimpa ataki shobo nae
@fatimahahmadlamar1241
@fatimahahmadlamar1241 3 жыл бұрын
Haswaaaa
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 3 жыл бұрын
Kabla sijasoma comments wacha nikusifu dada yangu una akili za kutosha umemvunja nguvu huyo mtangazaji nia yake ilikua kumsifia tu huyo harmo tu
@imamuhussein9307
@imamuhussein9307 3 жыл бұрын
uy dd n kichaa
@peninahnthenya3901
@peninahnthenya3901 3 жыл бұрын
Uko naujinga mwingi dada diamond ana kudinyanga nini? shaitani wewe
@eppiemodest
@eppiemodest 3 жыл бұрын
Dada anachosema ni kweli Respect inatakiwa kabisa.
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 3 жыл бұрын
KWANI NI MUNGU???
@vitalresspeter7295
@vitalresspeter7295 3 жыл бұрын
Pia nayeye haende kwa babu Junia
@mohammedkitcarson697
@mohammedkitcarson697 3 жыл бұрын
Mmmmmmmh
@zakayoupete3533
@zakayoupete3533 3 жыл бұрын
Mama acha umbea huu kwa diamond wenu kainuliwa na nani au hufatilii mziki Dada angu wakina Bob junior wako wapi na huyo domo wenu yuko
@kishokasalim8316
@kishokasalim8316 3 жыл бұрын
Hujui kuongea mama wewe ni timu domo tumekujua
@salwasuleiman3525
@salwasuleiman3525 3 жыл бұрын
👍👍👍
@disantojevnco2718
@disantojevnco2718 3 жыл бұрын
😂😂🤣😅😄😃😁😀😁
@BwayTunchi
@BwayTunchi 6 ай бұрын
Oya asichukulie powa jeshi amepta shida😅
@machudenurdine1614
@machudenurdine1614 3 жыл бұрын
😃😃😃😃😃 vc és maluca tá Harmonaiza é bom mais nada tá?
@kachagirl1768
@kachagirl1768 3 жыл бұрын
Pumbavu zen ptv habari iliyo andikwa nyingine na kinacho zungunzwa kingine kenge nyie
@suzanemwangingo6932
@suzanemwangingo6932 3 жыл бұрын
Dada Asante umeongea point
@suzanemwangingo6932
@suzanemwangingo6932 3 жыл бұрын
Hamonize muheshimu daimondi bil daimondi usingefika ulipofija
@d.a.t3383
@d.a.t3383 3 жыл бұрын
Atamlipa mara ngapiii acha kelele wewe dada
@ramak.9587
@ramak.9587 3 жыл бұрын
Uyu mama anajua anachoongea kweli? Mtu amkumbushe ama amjuze kuna milioni 600 Harmonise alilipa Diamond kabla aendelea
@suzanemwangingo6932
@suzanemwangingo6932 3 жыл бұрын
Bidada nimekupenda bule unaongea point hamonize mkubali tu kakaako daimondi
@hamadidisimas4479
@hamadidisimas4479 3 жыл бұрын
Namuunga mkono mond
@silvestermwampaja1103
@silvestermwampaja1103 3 жыл бұрын
Diamond Na yeye alibebwa hawakumlipisha
@sadayusuf887
@sadayusuf887 3 жыл бұрын
Najuta kupoteza mbs zangu😏
@godelivamuswahili2988
@godelivamuswahili2988 3 жыл бұрын
Uyu mama jamani 🤣🤣😂😂😅😅😅😂🤣🤣😂😂😂😅😅😅😂😂🤣😂
@tatuahmadirashidi2212
@tatuahmadirashidi2212 3 жыл бұрын
Mimi wote nawashabikiy siangalii uyuyoko vo
@denismsana6952
@denismsana6952 3 жыл бұрын
yan midia nyingine zifungiwe tuu
@jacksonkamasho5545
@jacksonkamasho5545 3 жыл бұрын
Ampe kiela chake kwasababu Amalia sana
@lemmyscoconutkbcom4877
@lemmyscoconutkbcom4877 3 жыл бұрын
Weweeeeee shukulani mpaka utoe kitu 🤣🤣🤣
@agathamathias7195
@agathamathias7195 3 жыл бұрын
We Msengerema Kitu?
@jonathanokiria464
@jonathanokiria464 3 жыл бұрын
Alizichukua kwa kwanza
@robertkalolo1296
@robertkalolo1296 3 жыл бұрын
Unaongea ugoro
@carentemu9141
@carentemu9141 3 жыл бұрын
Awo watampoteza a on as I daimondi yupo juu arafu wandishi ndio wanaaribu wasanii
@why-ir8zl
@why-ir8zl 3 жыл бұрын
Alishanunua uhuru wake hiyo habari ya kushikwa mkono haipo tena!
@disantojevnco2718
@disantojevnco2718 3 жыл бұрын
𝕂𝕨𝕒𝕟𝕫𝕒 𝕞𝕓𝕒𝕜𝕒 𝕙𝕒𝕡𝕠 𝕚𝕟𝕒𝕠𝕟𝕪𝕖𝕤𝕙𝕒 𝕨𝕒𝕫𝕚 𝕜𝕦𝕒 𝕨𝕖𝕨𝕖 𝕦𝕛𝕦𝕚 𝕔𝕙𝕠𝕔𝕙𝕠𝕥𝕖 ,𝕜𝕦𝕤𝕖𝕞𝕒 𝕙𝕒𝕣𝕞𝕠𝕟𝕚𝕫𝕖 𝕓𝕠𝕤𝕚 𝕨𝕒𝕜𝕖 ,𝕕𝕚𝕒𝕞𝕠𝕒𝕕 𝕚𝕪𝕠 𝕚𝕝𝕚𝕜𝕦𝕒 𝕤𝕚𝕠 𝕤𝕒𝕤𝕒
@athumanhipolit198
@athumanhipolit198 3 жыл бұрын
wp nyie diamond Ana vita na mwenzake why
@Dorcelbyamungu9544
@Dorcelbyamungu9544 3 жыл бұрын
mwambiye uyo jama nyuma ya uyo syster na mimi naitaji kiato kama kile
@yunusimchala9306
@yunusimchala9306 3 жыл бұрын
Hata huyo diomond alishikwa mkono na Bob junior
@alhajbakary7337
@alhajbakary7337 3 жыл бұрын
Uyu mtangazaji uwa ni mbeya na mnafiki sana
@bossadam2252
@bossadam2252 3 жыл бұрын
Pimbi amna Stori washamba
@eppiemodest
@eppiemodest 3 жыл бұрын
Harmonize alitozwa pesa na Wasafi kwa kuvunja mkataba wake kabla ya mda husika. La sivyo asingetozwa pesa. Ni swala la mikataba tu.
@braithonpaschal3754
@braithonpaschal3754 3 жыл бұрын
Namuped hamonize
@yogwesaid7435
@yogwesaid7435 3 жыл бұрын
Subutu si awe nazo ndipo alipe
@shabanikimpinga6769
@shabanikimpinga6769 3 жыл бұрын
muache ushamba
@jokhamohammed976
@jokhamohammed976 3 жыл бұрын
Wewe dada unaongea usichokijua yeye amemshika mkono Nani alie msaidia uko nyuma kina papaa misifa kawasaidia nini? Walipambana kumtoa Kwa Ali na Mali akaja kuachana nao vibaya
@mamymamy4623
@mamymamy4623 3 жыл бұрын
Sasa kwani uyo mond anakitu gani mbona sijaona chenye anacho kama ana hela mbona bando ana panga
@suzanemwangingo6932
@suzanemwangingo6932 3 жыл бұрын
Daimondi amekutoa ukungu machoni Kuma wewe hamonize
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 3 жыл бұрын
Mmmmn we shogaangu acha kuongea ujinga hamo havimbi hamo hana nyimbo za taarabu hamo hana wakushindana Nae alafu akamshike mond mkono mshauri kwanza mond akamshike mkono mzee abduli usiongee tu
@yohanakosia6777
@yohanakosia6777 3 жыл бұрын
Mtangazaji huyu ukimwangalia ndio chanzo cha kukuza vita kati ya hamo na mond ukitazama mahojiano yake
@barakamlimba9348
@barakamlimba9348 3 жыл бұрын
Safii sana dada umezngumza vzr
@nelsonpatricioestanislaus7144
@nelsonpatricioestanislaus7144 3 жыл бұрын
PTV ni Harmoz 😀😀😀😀.
@ayubukhamis8673
@ayubukhamis8673 3 жыл бұрын
Anhahahah jmn watazamaj wenzang inabid tujue kuw Kun vyombo vya habar makin San na vinafaa kuangalia na mb zako zinaend kwahak.ila vyombo kamahiv ptv ndo magufuli alivifungia.Ila nashangaa huyu chaumbea kavirudisha sijui wanamahusino gan.
@nkzenest4748
@nkzenest4748 3 жыл бұрын
Mutaganzaji hana maswali
@johnmunyoro4428
@johnmunyoro4428 3 жыл бұрын
Kwan tazania wasanii n wawili tu?harmo na modi. Mtaua bongo flava kama taarabu
@amonntanguye3942
@amonntanguye3942 3 жыл бұрын
Aiseee nyie kweli wapuuzi Sana, kichwa cha habari hakifanani hata kidogo na interview nzima.. wajinga kabisa nyie
@hondompil680
@hondompil680 3 жыл бұрын
.
So Cute 🥰
00:17
dednahype
Рет қаралды 45 МЛН
مسبح السرير #قصير
00:19
سكتشات وحركات
Рет қаралды 11 МЛН
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 25 МЛН
Glow Stick Secret Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 18 МЛН
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
JAMBO TV
Рет қаралды 6 М.
Baba Levo "Mwijaku Acha Kumshindanisha Diamond Na Vunja Bei"
1:31
DUKANI KWA MEKU
11:05
Joti TV
Рет қаралды 333 М.
Rais Samia Ashindwa Kujizuia Kwenye Uzinduzi wa Albam ya Harmonize
8:37
So Cute 🥰
00:17
dednahype
Рет қаралды 45 МЛН