mm nikisikia interview ya kumsuta harmo siangalii pole sana mama mwezangu
@rsautoservice9843 жыл бұрын
Kweli kabisa yaani sai harmonize vita vikubwa SNA..media zina lipwa kumchafua..
@alesnema95963 жыл бұрын
Unahisi utatimbwa na hamo wewe ?pole Sana
@farashuusuleiman47923 жыл бұрын
Anasema Nini uyo Malaya hajielewi
@gabrielisaka20613 жыл бұрын
Mashabiki wa hormonize bwana ko ukisikiya amepewa tuzo yapiri na hbaba ndo utasikiriza
@mariammariam65013 жыл бұрын
@@gabrielisaka2061 ya Mungu n mengi leo dai kesho yeye
@mamymamy46233 жыл бұрын
Ila tuache unafiki mziki nimaneno naukitizama monde mziki wake uwa nIwafujo tu aunaga maneno mazima ila sikiliza mziki wa harmonize nimziki wakusikilizika tena ukaelewa nini ananimba 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@hadijayassin9253 жыл бұрын
Ukitaka uwelewa ukielewa Toka shule cyo kwenye mzik ucwe boya
@eliaskassim56843 жыл бұрын
Boya wew huujui mzik wew
@gracerosi61793 жыл бұрын
Mziki wa harmonizi ninoma namond kamwinua wakati huo analenga faida harmonizi amemwingizia mondi hela yakutosha natangu aondoke mond ajatoa wimbo mzr lbd kamban yake ndo wanatoa nyimbo nzuri
@mtetewamburawamburairanga96003 жыл бұрын
Pamoja nahayo rakina diamondi anatisha
@ivanminja79543 жыл бұрын
Mbagala, nenda kamwambie na nyingine zote alikuwepo huyo Hamonise na hazina ujumbe, kuweni na akili, mwenzenu analenga soko la nje, Tanzania ameshamaliza kujitangaza.
@ceciliambui59723 жыл бұрын
Yes madam
@americabenis92783 жыл бұрын
Absolutely 💯 correctly Dada yangu keep it up tell them the truth
@kevinosore79193 жыл бұрын
Mnaeza nisaidia number yake simba
@nassorabdalla88913 жыл бұрын
Upo vzr snaaaàaa
@suzanemwangingo69323 жыл бұрын
Dada upo vizuri
@niyorugirafabrice29113 жыл бұрын
Mulisema nonenzuli kabxa, tunaitajyi collabo yakisasa ya Diamond na harmoniz binawez kuwa vizuli kuzidi, baikae pamojya batupe ngoma,tunawapenda xan tuko washabiki bamziki
@hellenaluoch82343 жыл бұрын
Wewe mama wacha kutupigia kelele na Diamond amemshika mkono" ata yesu alisulubishwa msalabani na bado wanadamu wanamkana so who is Diamond
@mabawawisetv5663 жыл бұрын
Mwisho Leo Mimi kufuatilia habali zenu
@ceciliambui59723 жыл бұрын
Naona diamond anawasumbua sana
@kimbilikiti23 жыл бұрын
Mama kasema kweli, Maishani hauwezi kuinuka mwenyewe bila mtu kukushika mkono. Diamonds ndiye aliye mshikika mkono Bwana mdogo, yeye Hermonize ajishushe na atakua mkubwa Saidi
@michaelmdede38063 жыл бұрын
Jesh tu daimond pita iv
@hamadiali13103 жыл бұрын
PTV mnazingua kweli yani kila nikichek habar zenu ni kuhusu diamond na harmo2 tuleteen mamb mngne bhnaa
@nassorabdalla88913 жыл бұрын
Hongera sna dada
@chipulupulutiv52983 жыл бұрын
Wee demu unafatilia vizuri hizi habari au konde ndio msanii namba1 Tz kwasasa huyo mondi namba 2 kwamujibu wa KZbin usiongee kishabiki ongea kitu kinachoonekana
@obamahtz18403 жыл бұрын
Yeah kweli kabisa harmonize ndo kila kitu ndo anae muumiza kichwa sadala
@yusufmbegakamaliza46373 жыл бұрын
Pongezi Sana watanzania mnafanya vizuri
@kidogoli51553 жыл бұрын
KAMA WEMA ASINGEMLIPISHA MIL 600 AKUNAKUMSHIKA MKONO HAKUNA MAMA
@BwayTunchi6 ай бұрын
Uyo dada amepangwa ajuwi maisha atoke
@halimasalim54773 жыл бұрын
Umlipe mtu milioni mia sita halafu tena umnunulie mtu gari milioni mia saba .mamangu wacha mchezoo
@franktegemea84333 жыл бұрын
Hpo uko sahihi ndugu huwez mlipa mil mia6 halafu naumnunulie gari mil 700
@anthonymbusiro77683 жыл бұрын
Ptv mnakwama sana vichwa vya habar haviendan na mnachokionesha
@d.a.t33833 жыл бұрын
Huyu dada hana point kabisa achana na hayo
@khayratchigalika30293 жыл бұрын
nilichokugundua huyu mama analiwa kwa mparange,kwani utimu ameanzisha harmonize au mashabiki?
@suleimansaid26333 жыл бұрын
C kalipa au zile milioni mia tano. Huyo Harmo amenunua ufundi bass
@josephnchunga12473 жыл бұрын
Diamond ni kiboko hivi ninyi Mna mlinganisha na homoniez
Watangazi hebo tafuteni habari zingine Basi kila siku Simba Simba unatuharibia Sana baba hatabaki kua baba asheni ujinga
@majaliwamaige49273 жыл бұрын
Team 🐘🐘🐘
@AliAhmed-vr2zh3 жыл бұрын
Huyo dada anaongea ziro haongei lolote yeye ana support diamond hana ukweli anapo ulizwa tembo aweza mfinika diamond kwanini hawezi mnafik huyo dada
@saakabdalla20663 жыл бұрын
Hujui ukiongeacho na kilichopo kati yao we Dada hujielewi.
@scholasticalawrence38823 жыл бұрын
Hata diamond alishindanishwa na Ali kiba sioni mbaya hamo kushindanishwa diamond
@annenduku52433 жыл бұрын
Mama shukrani si ya lazima mama.
@gracerosi61793 жыл бұрын
Niwimbo gan mondi amepiga wakuzid nyimbo za harmonizi kwss mnaposema anafata nyayo utunzi wanyimbo harmonizi nimkali sema mond anamzidi maendeleo harmonizi
@omilove36733 жыл бұрын
Conde boy yupo juu
@ifgodsayyes.nobodycansayno17963 жыл бұрын
DIAMOND ALISAIDIWA NA WEMA MBONA WEMA HASEMI KWA MITANDAO KAMA YEYE ANAVYO SEMA HARMONIZE AENDE KUSAIDIA BABAKE AWE NI MLEZI AU NI MZAZI AWACHE SIFA ZA UJINGA DIAMOND KUJISIFU MARA NDEGE MARA HOTELI WANAWAKE KILAKONA
@G_M223 жыл бұрын
Huyu mama ana matatzo kama asingemlpisha yote yangewezekana
@kondegangtv72863 жыл бұрын
Si axhamlipa m600
@johnsaimon23523 жыл бұрын
Acha uogo chezeya cod mama kaoshe mtt akarare
@judgesonga37073 жыл бұрын
Siku zote unaambiwa usimtukane aliye kuzaa Kwan yey ndyo aliyeshikilia baraka zako.
@d.a.t33833 жыл бұрын
Ina maana kila mwalimu aliyekusomesha primary secondary uni tukawashike mkonooo
@ifgodsayyes.nobodycansayno17963 жыл бұрын
🎤🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 UMEYA MALIZA
@silvestermwampaja11033 жыл бұрын
Diamond kumlipisha alifeli
@kishokasalim83163 жыл бұрын
bado utiwe mimba na huyo domo tena akuwache
@udaku..travel85063 жыл бұрын
Nyinyi waandishi wa bongo hamujui ha ta watu wakuwahoji kina baba levo elimu zero
@mamymamy46233 жыл бұрын
Apo mimi sioni kama alimsadia kwasababu alimlipa sasa kunamsaada gani muwe mnatizama pande zote
@mlamtv48393 жыл бұрын
Dada fadhira huwa hadhirudishwi.ndio maana anawafhili wengine
mwambiye uyo jama nyuma ya uyo syster na mimi naitaji kiato kama kile
@yunusimchala93063 жыл бұрын
Hata huyo diomond alishikwa mkono na Bob junior
@alhajbakary73373 жыл бұрын
Uyu mtangazaji uwa ni mbeya na mnafiki sana
@bossadam22523 жыл бұрын
Pimbi amna Stori washamba
@eppiemodest3 жыл бұрын
Harmonize alitozwa pesa na Wasafi kwa kuvunja mkataba wake kabla ya mda husika. La sivyo asingetozwa pesa. Ni swala la mikataba tu.
@braithonpaschal37543 жыл бұрын
Namuped hamonize
@yogwesaid74353 жыл бұрын
Subutu si awe nazo ndipo alipe
@shabanikimpinga67693 жыл бұрын
muache ushamba
@jokhamohammed9763 жыл бұрын
Wewe dada unaongea usichokijua yeye amemshika mkono Nani alie msaidia uko nyuma kina papaa misifa kawasaidia nini? Walipambana kumtoa Kwa Ali na Mali akaja kuachana nao vibaya
@mamymamy46233 жыл бұрын
Sasa kwani uyo mond anakitu gani mbona sijaona chenye anacho kama ana hela mbona bando ana panga
Mmmmn we shogaangu acha kuongea ujinga hamo havimbi hamo hana nyimbo za taarabu hamo hana wakushindana Nae alafu akamshike mond mkono mshauri kwanza mond akamshike mkono mzee abduli usiongee tu
@yohanakosia67773 жыл бұрын
Mtangazaji huyu ukimwangalia ndio chanzo cha kukuza vita kati ya hamo na mond ukitazama mahojiano yake
@barakamlimba93483 жыл бұрын
Safii sana dada umezngumza vzr
@nelsonpatricioestanislaus71443 жыл бұрын
PTV ni Harmoz 😀😀😀😀.
@ayubukhamis86733 жыл бұрын
Anhahahah jmn watazamaj wenzang inabid tujue kuw Kun vyombo vya habar makin San na vinafaa kuangalia na mb zako zinaend kwahak.ila vyombo kamahiv ptv ndo magufuli alivifungia.Ila nashangaa huyu chaumbea kavirudisha sijui wanamahusino gan.
@nkzenest47483 жыл бұрын
Mutaganzaji hana maswali
@johnmunyoro44283 жыл бұрын
Kwan tazania wasanii n wawili tu?harmo na modi. Mtaua bongo flava kama taarabu
@amonntanguye39423 жыл бұрын
Aiseee nyie kweli wapuuzi Sana, kichwa cha habari hakifanani hata kidogo na interview nzima.. wajinga kabisa nyie