DK. MUCHUNGUZI ATOA SABABU THABITI ZA MGOGORO WA KENYA "MUSEVENI AMESOMA ALAMA ZA NYAKATI KURUDISHA

  Рет қаралды 6,073

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

5 күн бұрын

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 85
@asaarashid3424
@asaarashid3424 3 күн бұрын
Tatizo la Kenya ni hali ya maisha kwa watu wasio na kipato au walio na kipato cha chini. Sawa na Tanzania. Ajira ziko kisiasa zaidi.
@jumannerizimbura6750
@jumannerizimbura6750 4 күн бұрын
Labda n Dr wa Mwarobaini na sarago
@deohaule
@deohaule Күн бұрын
Mzee Dr.Muchunguzi Hongera kwa uchambuzi wako mzuri. Deogratias John Haule.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 күн бұрын
Kenya Ukabila umezidi ndiyo maana fujo nyingi sanaaaa
@justinesorwa-soudo4177
@justinesorwa-soudo4177 3 күн бұрын
Dr. Uko vizuri sana hongera sana .
@hemedmwipopo780
@hemedmwipopo780 3 күн бұрын
Mhe. Umeeleweka sana, bigup
@EDWINKISIERO
@EDWINKISIERO 2 күн бұрын
sasa ikiwa raia wanawasaidia polisi waliozidiwa,raia wana utu au laa na mulisikia ikiwa kuna polisi aliyepoteza maisha..kuna yule aliyekuwa yuajaribu kutendea raia maovu lakini mungu aliye hai kampa majibu kwa kupoteza mikono yake..mungu anatupenda sote ila polisi wanakuja kwa unyama
@RugakiMsingo
@RugakiMsingo Күн бұрын
Dr elim yako aina msahada kwa watanzania maisha yale ayako ivo.
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 2 күн бұрын
Kwa kuwa umeshiba hujui kama kuna watu wana lala njaa.
@sidneybaraza351
@sidneybaraza351 6 сағат бұрын
🤣🤣🤣Kama huyu ndio political analyst then Tz has a long way to go
@paulndosa2649
@paulndosa2649 3 күн бұрын
Umetumwa na serikali ututie woga? Nyie ndo mtasababisha hayo yatokee kwa kutunyima katiba kwa makusudi. Kuna nini hapo kwenye katiba wakati mlitumia mabilioni ya shilingi kupata mapendekezo halafu mnayaweka kapuni bila sababu mnategemea watanzania tuendelee kukaa kimya?
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 3 күн бұрын
Wewe ni CCM tu huna cha maana hapa CCM wametutenge wanainchi wa Tanganyika vibaya sana. Kwa sababu siku hizi Inchi yetu imekuwa ya wanaccm kabisa. Wewe unashiba lakini wako wasio shiba kabisa. Kwa mfano Arusha Makonda anashinda kila siku anashinda kusikiliza shida za watu ambayo hawashibi na walionashida kubwa.
@EDWINKISIERO
@EDWINKISIERO 2 күн бұрын
sasa ikiwa mseveni ndiye anayempa ruto ushauri eti awatume jeshi waje wapambane na raia wasiobeba silaha ili wasitetee haki zao kiongozi kama huyo ni wakumpenda kweli alivyo na rekodi mbaya kwa nchi yake,mama samia heri amejawa na hekima kwa hawa viongozi wote ambao umewataja katika region hii yetu
@user-ii3xo5jw9y
@user-ii3xo5jw9y 2 күн бұрын
Mchunhizi ni wale Takataka mla matapishi kuhadi wa CCM. Hana la maana zaidi ya kuwa mbweha.
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 3 күн бұрын
Kwa nkni KATIBA ingoje kumaliza uchaguzi ili mkaibe kura kuingia serikali ili samia aweze kuibiwa kura aweze kuingia ikulu tena aweze kupata nafasi ya kumaliza miaka mingi.
@user-xc8en4yi9g
@user-xc8en4yi9g 4 күн бұрын
We chawa tu
@JacksonMtese-gn4so
@JacksonMtese-gn4so 2 күн бұрын
Nawe toa maoni yako tuyasikie
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 3 күн бұрын
Huyu Mchunguzi nadhani anajipendekeza ili raisi ampe cho chote katika hiki kubadirisha na panguwa panguwa aweze kupewa cho chote. Wewe hujaona watanganyika wanao lala njaa?
@user-zq1bl3wi1z
@user-zq1bl3wi1z Күн бұрын
Sasa, kama unataka mambo ya Kenya tuwaachie wao, wewe unayachambua ili iweje??! Mzee una jambo nje ya haya unayoyazungumza!
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Күн бұрын
Watanzania hatuelewi vitu vingi we mzee acha uchawa,hizo ni njaa. Lazima na sisi tuitafute haki barabarani.
@alexnato3086
@alexnato3086 3 күн бұрын
Naona wewe naona unatafuta uteuzi huna jipya
@EDWINKISIERO
@EDWINKISIERO 2 күн бұрын
mumshauri ruto dhidi ya kutumia vyombo vya usalama kufanya kamata kamata watu wanapopinga uongozi mbaya,raia ni walipa ushuru tukufu wala sio wa kuwanyanyasa na kuwatishia maana tunamachungu na twaomboleza..kenya ni yetu sote sio ya wachache wadhalimu
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 2 күн бұрын
Maneno hayo Kawa ambie wamasai wa loliondo kuwa Kuna amani wasaidie wahaya wenzio kahawa imeshuka bei mtwara huko inatoka haitoki gesi
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 күн бұрын
Hakuna kabisa anaelala njaa Tanzania tina raha ya ajabu Mungu atuendelee kutulea
@DeusPaschal-g5q
@DeusPaschal-g5q 3 күн бұрын
Una uwezo mkubwa Kaka!
@emmanuelopiyo6408
@emmanuelopiyo6408 8 сағат бұрын
The biggest problem of kenya is corruptions
@ellymartin9343
@ellymartin9343 3 күн бұрын
mimi nashauri ukae kimya, unaziweza siasa la kusifia sifia tu, acha kuingilia watu wenye akili kubwa, huwa Huna hoja huru wewe.
@helencyprian8745
@helencyprian8745 4 күн бұрын
Hujawahi kuongea point, viongozi wale wasikivu waache kiburi ,don't round the bush
@GodyMussa-sc9fj
@GodyMussa-sc9fj 3 күн бұрын
Wasomì wetu shida ni wanafiki kenya inatuhusu nìni mi nazan ongelea ya kwetu bandari kutitili wa kodi na mgomo wa wafanya biashara
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 3 күн бұрын
Hao wanaomba omba ni wakenya? Wewe umetwmembelea masikini wote wana shmba? Wote wabaombaomba kweli watanganyika wanakula wote? Wewe figure za hapa watanganyika wote wanazipata mfukoni?
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 4 күн бұрын
Nanyi Mwanahalisi mmeishiwa. Mnatuletea huyu bweege ili iweje au ndiyo uwezo wenu wa kufikiri. Kenya ina ukubwa gani ikilinganishwa na Tanzania? Anaongea upuuzi ambao hata kuku wanaujua. Usomi mwingine ni aibu. Hiyo Sirari na Kirimanjalo ziko nchi gani? Eti wakenya ni taifa tulivu! Hili bweege halikumbuki PEV 2007/08.
@ramdanmbara8500
@ramdanmbara8500 3 күн бұрын
Dr Muchunguzi nakuomba upunguze Uchawa, haipendezi mtu wa taaluma yako kuwa Chawa....
@DevothaLighton-dl6zi
@DevothaLighton-dl6zi 4 күн бұрын
Hicho kitabu Hamna wa kusoma kwakuwa hakina mvuto,hata mwenyewe huna kauli za kuirekebisha fisiem.angalia waziri unamtaja wa fedha.unamaliza mbs zetu
@EDWINKISIERO
@EDWINKISIERO 2 күн бұрын
ule nimwigizaji na yuapenda mzaha nafikiri mwamwelewa
@cosmasmilanzi7117
@cosmasmilanzi7117 4 күн бұрын
"Ufalme ukifitinika hauwezi kusimama"-Kenya inahitaji kujenga misingi ya Umoja wa kitaifa; nyufa za ubinafsi zinatesa sana taifa la Kenya
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 2 күн бұрын
Nauwona ukuu wa mkoa kwako zidisha juhudi dk
@Wiittole
@Wiittole 3 күн бұрын
Ushauri wa huyu mzee umeegemea uccm na uchawa zaidi .anaorodhesha changamoto zilizopelekea mgogoro uliopo kenya na kusema haitatokea tz huku akisema pia changamoto hizo ziko tz na kuomba viongozi wakae sasa tunakwepaje hali ya kenya huku changamoto zinafanana?
@ZaidAKissinza
@ZaidAKissinza 3 күн бұрын
Hakuna Mtanzania anaelala njaa? Kwa hilo sikuelewi kabisa we Mzee Chawa
@hubertmroso1664
@hubertmroso1664 3 күн бұрын
Vijana wamepoteza matumaini Kwa tawala hizi zisizo na utu, bila haki hakuna ustawi WA Taifa!
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 3 күн бұрын
WW MZEE HUONI PIA TANZANIA WASOMI VIJANA KAZI'''
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 3 күн бұрын
Sijawahi kuona msomi aliyeshindwa kujikomboa kifikra kama huyu! Ni aibu na sumu katika jamii kuwa na wanaojiita wanataaluma wa kariba hii!
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 4 күн бұрын
Wakenya wapelekewe nini sela za machinga kuvamiya barabara na kupika barabarani hao watakua zaidi ya kenya
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 3 күн бұрын
Amani ya Tanzania wananufaika nayo mawaziri tu
@mohamedmwatuwano5526
@mohamedmwatuwano5526 4 күн бұрын
Kenya hakuna matata, tunajua kujipanga, hatuhitaji watu kutoka nje. Vijana wamesikika wazee waendelea kujenga taifa.
@user-wz2gn1jx2h
@user-wz2gn1jx2h 3 күн бұрын
Chama kimoja na wewe ukiwemo kwaiyo razima usifie sifie tu
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 4 күн бұрын
Ccm wako sahihi kuishiya shule za kata umesema kweli covid wako sahihi elimu siyo kitu spika ni doctor covid wa namaliza mika 5 wajadili na takataka bunge gani na kuheshimu achia hapo tuna uchungu sana
@bonifacekalima5273
@bonifacekalima5273 4 күн бұрын
Mzee waangu huyu nahisi ni eale wachumia mtumbo yaao,anasela lakini zina kaale kakujipendekaza
@TabataKinyelezi
@TabataKinyelezi 4 сағат бұрын
Uchawa unakusumbua, mbwa we mafisadi kibao hapo
@jochachallengetv7061
@jochachallengetv7061 3 күн бұрын
Chawa promax, huwez kuchambua KWA hoja mgongano
@emmanuelmziray1073
@emmanuelmziray1073 3 күн бұрын
Wewe ni CHAWA
@alisaadmohammed
@alisaadmohammed 3 күн бұрын
Wewe hata Rais wa kenya humjui wasema uhuru kenyata
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 3 күн бұрын
Ruto ata kwenda American kuomba tena msaada ruto sio mtu mzuri
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 4 күн бұрын
Kama udokta ni watu kama huyu basi hatuhitaji kiwango cha aina ya taaluma hii
@emanuelnisetas7510
@emanuelnisetas7510 3 күн бұрын
Weni ngombe tu
@user-wz2gn1jx2h
@user-wz2gn1jx2h 3 күн бұрын
Ongea yote wakenya wanauthubutu awaburuzwi
@omaryyusuph7877
@omaryyusuph7877 3 күн бұрын
Mduanziiiiiiii
@SylivesterKasikila
@SylivesterKasikila 4 күн бұрын
Huyu huwa mpumbavu siku zote. Huwa Hana Cha maana chochote.
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 4 күн бұрын
Umechangiaje tz kuondokana na ukosefu wa ajira
@husseinkonde7348
@husseinkonde7348 3 күн бұрын
😂😂alisomea wapi uyu
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 4 күн бұрын
Nikuulize covid19 bungeni sawa wasila kuwa kazini nisawa
@zuhuramohammed3772
@zuhuramohammed3772 5 сағат бұрын
Wewe😂
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 4 күн бұрын
Wewe si mkweli! Tatizo ni finance bill..sawasawa na Tz. Kwanini yametokea hayo sasa ??? Uchawa tu
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 4 күн бұрын
Ua shida !! Lazima kila mara ujisifie umesoma nini....thats nothing!!
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 4 күн бұрын
Acha uonga unashiba utakuja kutueleza wewe musomi au kada wa ccm mwambie nape na janwary na kinana
@lordymawoiya5818
@lordymawoiya5818 4 күн бұрын
My brother am sorry your so confused
@aloycempiri4161
@aloycempiri4161 4 күн бұрын
Huyu mzee haaminiki kwa uchambuzi wake.
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 4 күн бұрын
Wakenya wapelekewe nini sela za machinga
@frankurio9906
@frankurio9906 4 күн бұрын
Huyu ni chawa siku zote
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 3 күн бұрын
Yaani wewe unajuwa kuwadanganya watanzania
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 4 күн бұрын
Tumieni wasila kinana na nape nchimbi makala chalamila
@mossessimon2493
@mossessimon2493 3 күн бұрын
Huyu huwa kuazi tu
@user-kl8xf1yk2b
@user-kl8xf1yk2b 3 күн бұрын
Mtakoko yako tuu
@nurdinkisaria9476
@nurdinkisaria9476 3 күн бұрын
Holili haipo Tanga😂
@SeverinepauloPeter
@SeverinepauloPeter Күн бұрын
Acha kutupanga chawa wewe
@JacksonNyaikoba
@JacksonNyaikoba 4 күн бұрын
We unataka cheo
@laulianmeneja5923
@laulianmeneja5923 4 күн бұрын
Wewe ni chawa wa ccm
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 4 күн бұрын
Nilikua na kuheshimu sana kumbe wewe kijani
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 күн бұрын
Kwa Tanzania hakuna hayo tuko vizuri sisi Wazalendo hatukupata Uhuru kwa kumwaga damu
@asaarashid3424
@asaarashid3424 3 күн бұрын
Zanzibar tulimwaga damu nayo ni Tanzania
@bahatimalundi3593
@bahatimalundi3593 4 күн бұрын
Guys vp
@abdulhakimjuma9112
@abdulhakimjuma9112 4 күн бұрын
Muongo mkubwa chawa wewee
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 4 күн бұрын
Serukaki ya kipumbavu
@helencyprian8745
@helencyprian8745 4 күн бұрын
Kichefuchefu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 күн бұрын
Hatutaki fujo hao wanaosema hivyo ni wahuni tu
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
02:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 8 МЛН
Luck Decides My Future Again 🍀🍀🍀 #katebrush #shorts
00:19
Kate Brush
Рет қаралды 8 МЛН
LIVE:  Rajya Sabha proceedings
1:01:21
ThePrint
Рет қаралды 6 М.
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01