RAIS SAMIA ASHIKA KICHWA, MZEE MAKAMBA AKIWACHANA CCM "TUACHE UNAFIKI, TUAMUE LEO"

  Рет қаралды 526,360

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 1 100
@jesuspowerfuldevotional
@jesuspowerfuldevotional Жыл бұрын
Kama unayapenda mazuri yote aliyofanya hayati Magufuli weka like zote hapa👍
@IssaIdrisa-d9s
@IssaIdrisa-d9s 2 ай бұрын
jl
@enocksilungwe1211
@enocksilungwe1211 Ай бұрын
❤😂
@alinanuswe1704
@alinanuswe1704 Жыл бұрын
JPM was surrounded by wolves in shèeps clothing. RIP Magu.
@angelsylvester4795
@angelsylvester4795 Жыл бұрын
Magufuri tutakukumbuka milele baba pumzika kwa amani kipenzi cha moyo wangu💔💔💔😭😭🙏🙏
@mamita336
@mamita336 Жыл бұрын
Rest in peace dady
@bochchriss1412
@bochchriss1412 Жыл бұрын
R.l.p rais wa wanyonge 😭😭 tulikupenda na tutazid kukupenda daima😭😭 baba yetu
@titus_maridhia
@titus_maridhia Жыл бұрын
Wema hufa mapema, Rest in Peace Magufuli
@florameza3491
@florameza3491 Жыл бұрын
Mabaya hubaki ili yatubu badala ya kutubu yanabwabwaja tunajiuliza kwa mini Raid wakristo tu huaga dunia??
@gideonmhami9589
@gideonmhami9589 Жыл бұрын
Ndiyo ukweli ndugu pumzikeni salama viongozi wetu NYERERE MKAPA JPM
@djnnyandboy564
@djnnyandboy564 Жыл бұрын
Achen kujipendekeza kwan mama anatakiwa kuambiwa ukweli, nchi imemshinda kwan hakuna anacho kifanya zaidi ya madudu
@jeniphanzeran8231
@jeniphanzeran8231 Жыл бұрын
Huyu mzee ni hatari sana anaweza kuwagawa hata waccm wenyewe
@bujashidaniel5537
@bujashidaniel5537 6 ай бұрын
Kabsaaa
@bujashidaniel5537
@bujashidaniel5537 6 ай бұрын
Huyu mzee bhna bas lem keep quiet
@janechacky3810
@janechacky3810 Жыл бұрын
Rest in peace Magufuli we are always in our hearts 💕
@lameckbutanga2325
@lameckbutanga2325 Жыл бұрын
We are always in our hearts ndo nini sasa 🤔🤷🏼‍♂️
@kamanapomo7029
@kamanapomo7029 Жыл бұрын
Tafadhali, ungetumia lugha unayo ifaham vizur ili tuelew vizur dhamira yako
@chaxpeter5789
@chaxpeter5789 Жыл бұрын
😂😂😥🙏
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 Жыл бұрын
Yah we missed him because no zanzibar killed yet, no more bullets like for Lissu, no founds peoples died in the sea, no others like Azori and bensanane and Ali Juma...........................
@jeremiapeter683
@jeremiapeter683 Жыл бұрын
Hilo Ni kosa la simu ya TECNO..🤣🤣
@lilyjones3584
@lilyjones3584 Жыл бұрын
CCM imeshakufa, tunasubiri mazishi yake.
@obedkiswaga2790
@obedkiswaga2790 Жыл бұрын
Mazishi ni mwaka 2025
@linnamlay3643
@linnamlay3643 Жыл бұрын
😂😂😂Wakati wenzangu mnahuzunika na hii kauli mi ni yatima lakini nimejikuta nacheka tuu. Nimejaribu kumtafakari Mungu nikawaza angekuwa ni mwanadamu halafu anasikia kauli jeuri kama hii. Ooh Mungu si wa hasira ni mwingi wa rehema,ametupa utashi tuchague wenyewe. Mungu nakuomba rehema kwa huyu mzee hajui asemalo, mpe uzee mwema, utakaokuwa na tija kiroho utakaokuwa na uwezo wa kujua jema na baya kwako. Kamkumbushe nafasi yako kwetu wanadamu uliotuumba.
@Werema3760
@Werema3760 Жыл бұрын
Amina
@alextina9020
@alextina9020 Жыл бұрын
Amen
@janesimonmbironikweli6826
@janesimonmbironikweli6826 Жыл бұрын
Ni kweli Mungu amrehemu
@bulunjamalimikulwa4876
@bulunjamalimikulwa4876 Жыл бұрын
Anajua tu!!! Na uzee wake wote ule asijue 🙄
@salumjoka6286
@salumjoka6286 Жыл бұрын
Mama nafikiri ujumbe umeupata ukitoboa 2025 mungu mkubwa
@mussathomasdossa4687
@mussathomasdossa4687 Жыл бұрын
Wazuri hawafi nazani mama yerere mama mkapa mama magufuli wamelia Sana kauli hiyo daah mzee huyu mjinga Sana mungu atalifanyia kazi kaulihii
@Ndawoo
@Ndawoo Жыл бұрын
kwaiyo walikufa ni wabaya
@karaoglan9444
@karaoglan9444 Жыл бұрын
Jamani!!
@digitalaffiliatemarketing210
@digitalaffiliatemarketing210 Жыл бұрын
Yaani, Siku zote Mungu hutusikia na hutizama Yale yote tunayomtendea....Huyu Mzee makamba Kwa akili yake hiyoo amemkufuru mungu Kwa kiasi Kikubwa sanaaaaaaa.....Hapo inaonesha kuwa alikuwa hampendi Magufuli
@malimanyanja562
@malimanyanja562 Жыл бұрын
Alie gundua uyu Mzee Amezeeka vibaya amna kitu kichwani..
@mammasud991
@mammasud991 Жыл бұрын
Tena unaambiwa ni mkorofi vibaya 😁😁
@irmgardsamia1827
@irmgardsamia1827 Жыл бұрын
This man should rest "niujinga tu ipo kwa kichwa yake"
@happypius4192
@happypius4192 Жыл бұрын
Huyu mzee anahati miiliki ya dunia ataishi alinde dunia kwahiyo sisi yatima wazazi wetu waliokufa walikuwa watu wabaya 😭😭😭
@sistymbombo1616
@sistymbombo1616 Жыл бұрын
Mmmmmm
@sistymbombo1616
@sistymbombo1616 Жыл бұрын
Mungu anamuona lakini
@brightergermanus2163
@brightergermanus2163 Жыл бұрын
Rabisi
@josephinemeela9098
@josephinemeela9098 Жыл бұрын
Rest in HEAVENS uncle Magu 😢
@yusufunguruko8080
@yusufunguruko8080 Жыл бұрын
Kumbe uhovyo wa January Makamba karithi kwa baba yake, najua anapalilia ugali wa mwanae ila mama Samia hao wanakudanganya tu piga ua galagaza 2025 CCM lazima ikufie mikononi, kama huamini tuma watu waje huku mitaani wakufanyie utafiti wakawaida ktk vikundi vya watu mbalimbali utapata majibu, kiukweli kila mtu hakukubali kabisa kwani hata hiyo 2025 watu wanaona mbali sana, ila watu wako wa karibu uliowateua watakudanganya tu kwamba usihofu utashinda kwa ajili ya kulinda position zao kiunafiki - Ulichoharibu mama ni kuonyesha waziwazi Ile tu ulivyoingia kumchukia mtangulizi wako Magufuli na kugeuza njia, misimamo na imani (attitudes) zote alizozipandikiza kwa watu ambavyo kiukweli ndivyo vilivyosaidia Tanzania kuanza kung'ara duniani, Kwa misimamo yake, tuliingia uchumi wa kati tukiwa katikati ya janga la korona, watanzania heshima ilipanda duniani, miundo mbinu bwelele kila mahali, hivi Sasa mama tumerudi kulekule mwaka 47 watu wanafanya wanavyotaka, mama watu wa magharibi wakikusifia sana ujue umeshanasa kwenye njia zao Ili waendelee kukunyonya, hakuna mzungu anaetaka eti akusaidie uwe powerfully kiuchumi kama yeye Sasa atamnyonya nani ? Kwa nini Marekani hamtaki mchina au mjapani ? kama kweli wana Nia ya kusambaza upendo wa kwamba kila mtu ainuke kiuchumi ? somo Hilo mama, ndio maana Magu walimchukia kwasababu alishawastukia... RIP JPM.
@chacha-255
@chacha-255 Жыл бұрын
2025 mama ashapita bila kupingwa, Ccm mbele kwa mbele aietaka aende kutengeneza chama chake
@fransiskamwinuka4750
@fransiskamwinuka4750 Жыл бұрын
Sio wote unaowaona wanatembea barabarani ukajua wanaakili timamu, wengine akili zilishakufa amebakiwa na box tupu kichwani.
@willykyando5647
@willykyando5647 Жыл бұрын
Miizi mikubwa hiyo bila kubadilisha katiba yataiba nikelo Kubwa hicho chama kipo ajili ya matumbo yao
@willykyando5647
@willykyando5647 Жыл бұрын
Mzee umezeeka vibaya hata huyo mamaako Hera nizake ccm muage naakili ndio aliokua anasema bashiru hela Kodi za wananchi
@salumsaid1545
@salumsaid1545 Жыл бұрын
Unajidanganya sana na upuuzi wako, huyo magufuli mnaemsifia aliiba kura na kubaka matokeo Sasa akili kichwani mwako
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 Жыл бұрын
Body language ya kikwete ina onekana kuna sehemu ambayo Mzee ametereza kiasi kikubwa 🙆🙌😄
@raulianraphael6853
@raulianraphael6853 Жыл бұрын
Asante coz umeliona hlo
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Wote ni hao hao tu!
@bahiyalumelezy3016
@bahiyalumelezy3016 Жыл бұрын
Nimemuona hajui la kufanya tu
@bahiyalumelezy3016
@bahiyalumelezy3016 Жыл бұрын
Jk hakupenda kabisaa anamuona km kachanganyikiwa huyu lopolopo amekuwa.jua limeshazama inaonyesha na gari imeshawaka hiyo.
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
@@bahiyalumelezy3016 asingependa kaur hizo asingecheka bana hivi watanzania huon hata pc kuwa kaur hizo zime mfurahisha kikwete? tazama tena kwa mara ingine uelewe vizur yaani kikwete kafurahiya kweli alivoambiwa yeye ni mzur hafi kacheka sana so wanamtuma nandio maana wanampa hata umwenyekit jana tu wamemchagua tena kuwa mwenyekit wa makatubu sasa sijui mnalionaje hilo anaongea mavi na wanampa cheo
@ericron6115
@ericron6115 Жыл бұрын
Shida miaka.mingi huyu mzee akiongea watu wacheka, mzee wetu anahisi yuko Sawa lakini it's high time akosolewe, amenisikitisha Kwa waandishi
@saidikasheshe6349
@saidikasheshe6349 Жыл бұрын
Docƙita.wakala
@saidikasheshe6349
@saidikasheshe6349 Жыл бұрын
Kwanin.uteseke.wakat.dockita.wakala.yupo
@ibinyoma8067
@ibinyoma8067 Жыл бұрын
Magufuli ni rais wa aina yake tofauti na watanzania wengi. Ndiyo maana baada ya kifo cha Magufuli sifuatilii tena habari za Tanzania. I am from Bujumbura
@theophilojohn7331
@theophilojohn7331 Жыл бұрын
Ety wazuri hawafi. Jaman kwelii, kauli hiii inaonyesha kuwa huyu mzee alikuwa hampendi uncle magu kabisa afu anakelaaa kinoma, sie tumemkumbuka rais wetu tuliempgia kura jpm hao wengne mmmh sinajibu walitoka wapi rest in peace jpm nyerere mdgo
@jeniphanzeran8231
@jeniphanzeran8231 Жыл бұрын
Ccm wanajisaha sababu vyombo vya habari vyote ccm watangazaji wote ccm hawawatu wakimbilia ccm kwa sababu gani vyeo au watanzania tunateketea haya mambo si sawa vijana
@ahamadially8351
@ahamadially8351 Жыл бұрын
Bado tunakazi kubwa sana nchi hii
@zanzibamafinga1735
@zanzibamafinga1735 Жыл бұрын
nashindwa wewe mzee nikuweke katika kundi gan
@josephatnyamageu1046
@josephatnyamageu1046 Жыл бұрын
Mungu atawaonyesha watanzania ukweli, Mzee huyu anakiburi cha uzima " Kweli watu wazuri awafi kwa mujibu wa Mlamba Asali baada ya kifo cha Rais Magufuli" tunapaswa kutafakali vizuri maneno haya yanaukweli Mkubwa ulionyuma ya pazia. Naliona giza zito katika nchi yetu ukweli unaongea daima RIP Magufuli ukweli unaongea daima.
@kabojamaluku7894
@kabojamaluku7894 Жыл бұрын
Ina umaa
@Desireyakubu
@Desireyakubu Жыл бұрын
Wazuri hawafi maana yake mazuri yao yanaendelea kuwafaa watu hata kama wao wamekwisha kuondoka duniani heroes get remembered &Legends never die🇨🇩
@barakajoseph2234
@barakajoseph2234 Жыл бұрын
Kuongea sana jukwaani Kuna kuharibu umeongea kauli tata Hadi watu wameshtuka na kutulia ukumbini uyo mzee cku nyngne asiruhusiwe nafasi Kama iyo Rais tunamuitaji Majaliwa 2o25 Hadi 2o35
@elensaid1508
@elensaid1508 Жыл бұрын
@@Desireyakubu ndomaana Kikwete hajafa
@Desireyakubu
@Desireyakubu Жыл бұрын
@@elensaid1508 hakuna ambae hatakufa
@leahsamson9354
@leahsamson9354 Жыл бұрын
PELEKA HUYO MZEE MIREMBE, HAMNA KITU KABISAAAAA...!
@hamisathadeo4870
@hamisathadeo4870 Жыл бұрын
Unasema hili mwanao aendelee kutumyanyasa hovyo
@mnyamakambi8468
@mnyamakambi8468 Жыл бұрын
Kafie huko mbele mzee unajipendekeza .mungu yupo rest in peace magufuli
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 Жыл бұрын
Wewe mwenyewe utakufa mbwa ww kwa hiyo wazazi wetu walikua wabaya kipenzi chetu magufuli alikua mbaya kwa sababu kakuinua wewe mwanamke na kumfukuza huyu jambazi makamba kinana na maendeleo tumeyaona mnaiba pesa tu maisha magumu nyie na watoto wenu mnaishi vizuri Bashir u anajielewa sasa 2025 mtaisoma namba tutalinda chama kwa kuweka kichwa tu mikono vidole vyote wapinzani.
@dullahkhalifa5312
@dullahkhalifa5312 Жыл бұрын
Kweli chawa hata wazee wapo
@jamessimba749
@jamessimba749 Жыл бұрын
KWAHIYO NYERERE, MKAPA , MAGUFULI, KIJAZI Ndo wabaya waliokufa . KUNA UDINI UKO HAPA
@professorwangwande1752
@professorwangwande1752 Жыл бұрын
Wewe ndiwe mchochezi kaambali tukikuambia Italia yote huja yaona umeona Hilo wakitawala wabaya nchi inalia dhuluma umangi mezaa ngoja nikubakishe hapo
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
@@professorwangwande1752 lini dhuluma imetoweka Tanzania?
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 Жыл бұрын
Makamba Makamba Makamba Iam very sorry 🙏
@tanzania2559
@tanzania2559 Жыл бұрын
R.I.P Magufuli , tulikupenda na tutaendelea kukupenda daima 🙏🏾
@gideonmhami9589
@gideonmhami9589 Жыл бұрын
Umenena kweli kiongozi binafsi hata machozi yananitoka nikikumbuka JPM na watu wanavyomdhihaki kwa jeuri ya uhai waliopewa na MUNGU pumzika salama baba JPM
@hamisathadeo4870
@hamisathadeo4870 Жыл бұрын
Wewe Mzee hovyo kabisa eti watu wazuri hawafi
@joezeno8
@joezeno8 Жыл бұрын
Huyu Mzee hovyo kweli
@eliudfelix7180
@eliudfelix7180 Жыл бұрын
Nakupenda sana Mama Samia. Nadhani unaona panapovuja... A Lot of pretenders.... Hawatakuweka salama hawa. You better mind what you think and feel, Hii ndio Miruzi ya kumpoteza mbwa. MY CONDOLENCES KWA FAMILIA YA MTOTO WA AFRIKA, OUR FOR EVER BELOVED JPM.
@hamadsaburi3569
@hamadsaburi3569 Жыл бұрын
Hakika mnafiki ata kua katika daraja la chini kabisa katika Moto WA jahannam
@dottondege8869
@dottondege8869 Жыл бұрын
Kumbe kuna wazee hawamjui mungu kabisa eti wazuri hawafi jakaya yupo kwa sisi watanzania tunasema asante kwa kauli yako mungu anakuona mzee makamba
@alfredmhana235
@alfredmhana235 Жыл бұрын
Hope umechemka mzee watu wazuri hawafi?
@salmaqueen4382
@salmaqueen4382 Жыл бұрын
InshAllah MUNGU Mwenyezi yupo na ss waTz...2025 nataman tuwaoneshe nguvu ya wanyonge
@alexanderkisinini9376
@alexanderkisinini9376 Жыл бұрын
We mzee mpuuzi wewe mtakuja jutia na hilo genge lenu la mafisadi. MUNGU YUPO ATATOA HUKUMU.
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Жыл бұрын
Mmmm serekali yetu wacha tuishi tu na tusubili mungu atakapo tuchukua turidhike naviliopo 🙏🙏🙏🙏🙏mungu nipe mwisho mwema
@mzalendowaasili1727
@mzalendowaasili1727 Жыл бұрын
Makubwa nahama CCM, aibu tupu RIP MAGUFULI
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 Жыл бұрын
Fanya hivyo na pole kwa kuchelewa kuwajua hawa sio hiki sio chama sasa mzee wa hovyo kama huyu anasema unaogopa katiba??? Seriously 😐 ndio maana samia haifati katiba
@allyvuai9762
@allyvuai9762 Жыл бұрын
You are not a CCM potea tu
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 Жыл бұрын
Mzalendo, ilikuwa ccm unafanya Nini? Mbona asilimia 90 ya watanzania walihama siku nyingi tu? Wanaogopa risasi za mapolisi wa CCM tu na ndo maana wamekaa kimya.
@mwanumwanu1513
@mwanumwanu1513 Жыл бұрын
Pole mama magufuli mama yetu jipe moyo maneno hayo tunajua yamelalua moyo wako na sisi pia
@digitalaffiliatemarketing210
@digitalaffiliatemarketing210 Жыл бұрын
Yaani Kwa kauli hiyo ya kwamba watu wazuri hawafi na kutoa mfano Kwa Kikwete pamoja na Kinana....hiyo Ina maanisha kuwa John. Magufuli alizungukwa na watu wabaya wengi sana humo humo ndani ya Chama..na waliokuwa wanatamani waone siku amekufa Ili wao wafurahie
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Жыл бұрын
Team magufuri paka kufa mimi namagufuri siangaiki kupiga kula atakae pita ndio huyo mungu nijalie mwisho mwema
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
kaka muda ukifika akiwepo mgombea mzuri kampigie kura ndio dawa ya kuyaondoa haya mabuku
@jeniphanzeran8231
@jeniphanzeran8231 Жыл бұрын
acha ujinga hupigi kura!!! Kwahiyo magufuli atakuja kukuletea dawa hispitali au barabara huyu amemaliza mwendo wewe piga kura
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
@@jeniphanzeran8231 ukitilia maanani wenye uchungu na imani ya taifa wapo . na watajitokeza hapo mbele . Tanzania inahitaji kukombolewa kwenye mikono ya wezi na walafi walio jimilikisha hii nchi kwa muda mrefu na kuidumaza kimaendeleo
@PlatnamzChoma-gl4jw
@PlatnamzChoma-gl4jw 5 ай бұрын
Umezeka. Vibaya
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 5 ай бұрын
@@jeniphanzeran8231 nioneshe mzarendo nikampigie kura 🤣
@azizamvungi926
@azizamvungi926 Жыл бұрын
Muogope mwenyezi mungu..huo ni ugali unatetea Kwa mwanae..ila mungu atawaona hata nyinyi mtakufa tu.umauti hautamiacha mtu
@mashakanassoro3119
@mashakanassoro3119 Жыл бұрын
Hana lolote huyu Mzee anajipendekeza kwa Rais ili Mwanae aendelee kula bata
@sistymbombo1616
@sistymbombo1616 Жыл бұрын
Maana yake ni kwamba magu alikuwa mbaya ndo maana alikufa loooo mzeee hata we ni mzuri saaaaana ndo sababu unaishi bado
@justineerenest6172
@justineerenest6172 Жыл бұрын
Rest in peace jpm
@muyamoja5023
@muyamoja5023 Жыл бұрын
Mnafiki wa kwanza ni wewe umesema wazuli hawafi maanayako nini? Umejipa uungu umekosea sana na umepoteza sifa
@LumolaSteven
@LumolaSteven Жыл бұрын
Hii dhana ya Rais kuwa ndiye mwenye Fedha ni dhana potofu sana. Inaua morale ya wananchi kulipa Kodi. Ni lazima wananchi waambiwe Maendeleo hayawezi kuja mpaka walipe Kodi. Fedha ni za wananchi na wenye Nchi ni wananchi.
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Hayo yalikuwa mawazo ya Magu sio sasa
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 Жыл бұрын
Samia anahela kazitoa wapi anauza nini makamba kafe mbele hizo ni kodi za watanzania azokopa mnakula tulipe cc yatima na wajane makamba mtumzima ovyo dashi mkubwa wewe unategemea vya yatima na wajane mpaka kifo chako hutauona ufalme wa mungu na utaadhibiwa hapahapa duniani .
@christopherbomola4151
@christopherbomola4151 Жыл бұрын
Sahihi kabisa nasisitiza kila mara nguvu kubwa iwekwe kwenye kufundisha elimu ya Uraia ,watoto na watu wote waijue historia ya nchi yao,katiba yao,wajibu wao,na nini wajibu wa serikali kwao badala ya kuweka nguvu kubwa watoto wajue kiingereza tu,tunatengeneza msiba mkubwa huko mbele..
@stevenkuhanwa7819
@stevenkuhanwa7819 Жыл бұрын
KUUPIGA MWINGI Kwa mara ya kwanza ndani ya chama na serikali lilitumiwa na nani, wapi, na alikuwa akitoa ujumbe gani ndio tatizo kwa walio wengi linapoanzia! Ilikuwa ni kulinganisha viongozi wawili, mtumiaji wa msemo huo alihusisha kadi nyekundu na ya njano pia kwa viongozi husika! HOTUBA ni muhimu mno maana humdhibiti mzungumzaji na hupunguza makosa ya kihisia, uropokaji, jazba, nk!
@muhidiniabdur2382
@muhidiniabdur2382 Жыл бұрын
Bashiru kweli mwanasiasa mkubwa mzee Ana zeeka vibaya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 Жыл бұрын
Kabisaaqqa
@geofreylucas1877
@geofreylucas1877 Жыл бұрын
Sas hapo Magufuli anafata nn kwenye Chama Mze??? au ndo kujikombakomba Tena kisa mpo huru sawa bhana tukutane 2025 nyambua mkubwa
@eustardrwegoshora1683
@eustardrwegoshora1683 Жыл бұрын
Ni ukweli mzeee makamba kakiweka mahapi pabaya chama Cha mapinguzi, hawa wazee wawe wanapewa vya kuongea sio kuongea TU Kisha kapewa mike akakanushe maneno aliyo Sema kuwa watu mazuri hawafi mungu atamwona
@rabomunde3550
@rabomunde3550 Жыл бұрын
Ee Mungu nijalie hekima nakuzuia ulimi wangu wakati wa furaha! Maana furaha ikizidi unaweza ukakufuru” Huyu Mzee asali imezidi mpaka anakufuru. Imebidi Leo niwakumbuke nilio waona wakiniacha nakuelekea akhera😭😭😭😭😭🥲🥲
@enockfanueli3008
@enockfanueli3008 Жыл бұрын
Kweli kabisa yaani Mimi ccm naipenda lakini mzee makamba kaniweka jiapanda mama akajipime watu wanalinda matumbo yao kwa kauli ya mzee makamba sio mara ya kwanza kusema hivo
@rabomunde3550
@rabomunde3550 Жыл бұрын
@@enockfanueli3008 ndugu tuwe pole sana wenzetu asali imezidi mpaka wanakufuru.
@richmwaij3368
@richmwaij3368 Жыл бұрын
mchague wewe mzee sisi atutaki
@farajishabani9896
@farajishabani9896 Жыл бұрын
Huyu mzee Hana akili
@hamismabula9934
@hamismabula9934 Жыл бұрын
Kumbe Samia anaharibiwa na vizee hivi! Ndo maana hafurukuti!!!
@machoguhamery3731
@machoguhamery3731 Жыл бұрын
Mzee Makamba anasema watu "wasibanwe na Katiba, wala wasibanwe na kanuni" wavunje tu mradi watimize lengo lao.Anasahau Baba wa Taifa Mwl Nyerere katika hotuba yake mwaka 1995 Kilimanjaro Hotel aliwahi kusema "Mtu asiyeheshimu katiba hatufai" Tena Mzee Makamba nasema wazuri hawafi" maana yake Hayati Nyerere Hayati Mkapa, Hayati Magufuri walikufa kwa sababu walikuwa watu wabaya sana.!!!! Wazuri wakabaki Marais wastaafu walio hai leo na uongozi wa awamu ya sita na yeye mwenyewe mzee Makamba,watu wema sana ndio maana wako hai hadi leo. Hii inaonyesha udhaifu mkubwa wa huyu mzee kupima maneno ya kusema sifa zinamzidia hadi anakufuru. Ndiyo maana Ukatibu Mkuu ulimshinda ccm ikataka kufia mkononi mwake. Mwaka 2025 ni siri ya Mungu Mzee Makamba hajui Hilo??!!!
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 Жыл бұрын
Kizee kinafiki
@mwanumwanu1513
@mwanumwanu1513 Жыл бұрын
Kweri watu wote tumebaki mdomo wazi kwa kaulizake waliokufa hawana haki? Kunanini hapo??
@nicolauslukona2694
@nicolauslukona2694 Жыл бұрын
Dah umenimalizia maneno
@felistamwashibanda7764
@felistamwashibanda7764 Жыл бұрын
Mungu amsamehe ila tubaki tikijua "vizuri havidumu"
@vibetz9991
@vibetz9991 Жыл бұрын
Bahasha ndo inaongea apo
@alexlazoro3530
@alexlazoro3530 Жыл бұрын
Makamba ccm bila polis hamtoboi kwenye uchaguzi
@tinomzungu8070
@tinomzungu8070 Жыл бұрын
jamani njaambaya sana kila nikivuta picha je angekuwa rais wetu ingekuwaje nakuwa majibu sina
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 Жыл бұрын
Mm nauhakika asilimia 95 ccm hawataweza kuingia peponi,Tena Hawa ndo watakuwa kuni kule mbngun
@graceessau2034
@graceessau2034 Жыл бұрын
Rest in peace shujaa wetu Magu
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Жыл бұрын
Ubaya WA magufuli wetu niikuipenda ichi yake pamoja na kupenda wanaichi wake NDIO ubaya WA magufuli hata nyie mtakufa,
@yuventmpiru7738
@yuventmpiru7738 Жыл бұрын
Nyie watu Mungu na awarehemu ili nchi ipate rehema,
@florameza3491
@florameza3491 Жыл бұрын
Acha wabwabwaje in upumbavu kushindana na marehemu
@mohameddikaluka3162
@mohameddikaluka3162 Жыл бұрын
Allah!! Hakulipe hapa hapa Duniani kwa kauli yako,,sisi tulipoteza wazazi wetu walikuwa wabaya na wewe mzuri Endelea kuwepo Alhabdulillah!🙏
@janesimonmbironikweli6826
@janesimonmbironikweli6826 Жыл бұрын
Hii kauli kumbe imetuumiza wengi,wazuri hawafi,sie tulio fiwa na wazazi,kaka na wengineo, Mhuuuuuuu
@selestinfrancis5904
@selestinfrancis5904 Жыл бұрын
Hapo mzee umetereza,unaposema watu wazuri hawafi ndio maana kikwete na kinana wapo,kwahiyo unataka kuwaambia umma wa watanzania kuwa MH.Magufuri alikufa kwakuwa alikuwa na roho mbaya? Kauli hiyo itakutafuna wewe na kizazi chako
@kombedavis4056
@kombedavis4056 Жыл бұрын
R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....mzalendo wa kwel na msema kweli daima!😭😭
@safiamohamed635
@safiamohamed635 Жыл бұрын
Kabisa magufuli ni mfanoo
@kabojamaluku7894
@kabojamaluku7894 Жыл бұрын
Aisee hata Kama huna hakili lazima uwajuwe wabaya wa magufuli
@naomipieter4627
@naomipieter4627 Жыл бұрын
Wazuri ndio wanakufa Ili wasiendelee kupata visuawishi vya kutenda mema...Mzee tafuta sifa sio usimpangie Mungu usituvunje mioyo sisi tulifiwa na wenxetu.....
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Hapo ndipo inadhairisha walamba asali msoga timu majipu ndio mliomuangusha magufuli damu nzito mnapayuka payuka na kuwafungua watu ninyi ndio wauaji mungu amlaze mahala pema peponi jpm tulimuelewa amina
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Hata Mimi nawaza hivyo hivyo, wamemuua sasa wanasheherekea kweupe peee bila aibu na kashfa Tele as if wao ni Mungu
@shaameshaame9721
@shaameshaame9721 Жыл бұрын
Kwendraaaaaa
@peterdeus6093
@peterdeus6093 Жыл бұрын
Ama kweli Magufuli alikuwa amezungukwa na fisi wenye njaa na wanafiki
@edson2450
@edson2450 Жыл бұрын
"WATU WAZURI HAWAFI, NDIO MANA KINANA YUPO, NDIO MANA KIKWETE YUPO" WE Mzee Hutakufa mana unajiona Mungu mjomba wako
@allyhassan7522
@allyhassan7522 Жыл бұрын
Kwa hiyo Nabii Musa,Yesu, Ibrahim n.k ni wabaya? Kwa hiyo King Farao( Firauni) aliishi muda mrefu sana ni Mtu mzuri? Na ndo maana wanatuburuza wanavyotaka coz hatufikilii kwa kutumia kiungo kipasacho
@dullahkhalifa5312
@dullahkhalifa5312 Жыл бұрын
@@allyhassan7522 nikwel hawa viongozi wapambe sana hasa watoto wao wakipewa madaraka
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 Жыл бұрын
Hiki chama kimeozaaa wazee wao ndio hawa wanaongea utumbo idea hakuna sisi wananchi hatuwataki hatuwapend mpo muda mrefu madalakani lakin still mpaka leo ...umeme shida maji shida sepen😏
@wisperfect5320
@wisperfect5320 Жыл бұрын
Njaa inamsumbua sana
@marcokwiyola9107
@marcokwiyola9107 Жыл бұрын
@@allyhassan7522 to.q...
@Dantaata
@Dantaata Жыл бұрын
yule mzee alikuwa na maadui wengi hadi kwenye chama chake kwa kauli hizi,,
@peterkuwelo7603
@peterkuwelo7603 Жыл бұрын
😂😂😂wna ccm punguzeni unafiki na kiki
@geofreydamas1697
@geofreydamas1697 Жыл бұрын
Huyu mzee cjui Mungu amsamehe kwa kweli.ujinga si ujinga kweli wametukomoa
@peterkuwelo7603
@peterkuwelo7603 Жыл бұрын
@@geofreydamas1697 anatafta ulaji na kiki jaman hamuon au hii nchi ili ije ikae sawa tuombe mungu atokee tena mkristo rais hapo ndo itakaa sawa tena ila hawa kina swara tano hawa aaapana royal tour royal tour royal family 😂🏃🏃🏃🏃🏃
@imanimbaga3549
@imanimbaga3549 Жыл бұрын
Ila CCM bna, aina hii ya mawazo kwenye karne tuliyonayo tunategemea tufike wapi?
@malimanyanja562
@malimanyanja562 Жыл бұрын
Alie gundua uyu Mzee Amezeeka vibaya amna kitu kichwani..
@bahatindalahwa3533
@bahatindalahwa3533 Жыл бұрын
Kwahiyo unashaulije
@chimdamianvi752
@chimdamianvi752 Жыл бұрын
Mbn Kama Dr.Philip kadharau vile?
@mafundakhamis3337
@mafundakhamis3337 Жыл бұрын
Makamba pengine ana kinyume chake ss hatujamuelewa,WAZURI HAWAFI😳😳 pumzika kwa Amani mama,R,I,P RAIS WANGU MAGU🙏🙏
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be Ай бұрын
.
@azizsaleh9402
@azizsaleh9402 Жыл бұрын
Mzee umeongea pumba nying 😂
@godwinkubimba6575
@godwinkubimba6575 Жыл бұрын
Wazuri hamfi, walo kufa wote wabaya sio?, mzee tafakari sana ujinga huo ulo ongea,
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Жыл бұрын
Najua mnamtusi marehemu Magu ila ngoja mtaona
@geraldtarimo3210
@geraldtarimo3210 Жыл бұрын
Kwakaulihii,kifo cha Jpm, kinautata,kumbe wanaokufa wabaya
@violethbosha1666
@violethbosha1666 Жыл бұрын
Magu pumzika kwa amani tulikumpenda mno ndo mana mungu alikuvuna Mapema. Amina
@ilungasalle
@ilungasalle Жыл бұрын
Vizee vinafiki sana hivi
@mosessamwel1179
@mosessamwel1179 Жыл бұрын
Watu aina hii ndio wanaotuaribia Nchi!
@marianan.bundala9557
@marianan.bundala9557 Жыл бұрын
Nasiku zote wazuri hawadum😭😭😭😭😭😭😭😭
@gildasnyaki3812
@gildasnyaki3812 Жыл бұрын
Magufuli alikuwa na Hali ngumu kwel
@mariethajohn1433
@mariethajohn1433 Жыл бұрын
mmmmm wazuri hawafi wewe mzee akili hazikutoshi nyooo umetukwaza sana mzee mzima hovyooo pole mama Magufuli nadhani umeumia sana hapo ukumbini R.I.P Magufuli 😭😭😭
@mwanumwanu1513
@mwanumwanu1513 Жыл бұрын
Jamani tumekwazika sasa mama magufuli amelia tena pole mama yetu
@digitalaffiliatemarketing210
@digitalaffiliatemarketing210 Жыл бұрын
Yaani kweli aisee, Mama Magufuli ameumia sanaaaaaaaaaa, nahisi hata atakuwa ametokwa na machozi mengi na atakuwa amekumbuka mbali sana
@kivatirokitojo657
@kivatirokitojo657 Жыл бұрын
Mzee kaikalia hii nchi aisee!! Anatamba sasa mana chuma kimepumzishwa. Miaka miwili iliopita wote Hawa walikia wameufyata chuma kilikua kazini,
@pamphilherman3136
@pamphilherman3136 Жыл бұрын
Kweli nchi hii imepindaa sanaa
@uwesumatitu494
@uwesumatitu494 Жыл бұрын
KWA UFAHAM WANGU WEMA WOTE HUONDOKA MAPEMA NA WABAYA HUDUMU MUDA MWINGI TU KAMA WACHAWI NK SASA HII KAULI YA WABAYA NDIO HUFA HARAKA WAPI KAIPATA DUH HII NCHI SIJUI INAELEKEA WAPI
@josephatnyamageu1046
@josephatnyamageu1046 Жыл бұрын
Hakuna fikra mbaya kama kujiwekea umilele, kwa jeuli ya mafanikio ya matumbo yenu. Kama kweli Mungu yupo tusubiri tuone matokeo ya wazuri awafi. Asante Mungu jiziilishe mwenyewe na liokoe Taifa letu. Ukweli unaongea daima RIP Magufuli.
@kabojamaluku7894
@kabojamaluku7894 Жыл бұрын
Wazuli hawafii? ??? Haya bwana
@saluwatimalyeta5587
@saluwatimalyeta5587 Жыл бұрын
Mzee kakosea hakuna ambaye hataonja mauti
@sautiyamunguduniani4620
@sautiyamunguduniani4620 Жыл бұрын
Niwewe Mungu mwenye kuziumba mbingu na ardhi niwewe pekeeako ndiye mtetezi wawaTz tunakuomba sikia haja ya watu wako kilio Cha watu wako Mungu simama na taifa la Tz nilako Mungu uliliumba kwamapenzi yako nawe lifanye kuwa amani na lisimamie kwa mapenzi yako katika jina la Yesu Kristo 🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Rest in peace wazee wetu wote waasisi wetu viongozi wetu wazee wetu nanyinyi mlikuwa na haki ya kuishi Bali n kwamapenzi yake Mungu akawapenda zaidi.
@mosesmaduhu6603
@mosesmaduhu6603 Жыл бұрын
Huyu Mzee aombe msamaha kabla ya siku ya kesho kma magufuli alikuwa mbaya ndio maana alitangulia sawa lkn kma nia kuu na malengo ya JPM ilikuwa kuisukuma Tanzania mbele ata yy siku zake chache sana.
@lilykarim8968
@lilykarim8968 Жыл бұрын
Hili lizee ligwadukaji kila kukicha sijji anaenda wapi apunguze mukali siku za kuishi si nyingj hapa duniani makamba tubu!
@mwanumwanu1513
@mwanumwanu1513 Жыл бұрын
Aombe msamaha mapema
@festomlunya7538
@festomlunya7538 Жыл бұрын
Tena zimebaki chache sana namuomba Mungu ata yy asiushuhudie uchaguz 2025
@amosfelex3368
@amosfelex3368 Жыл бұрын
Yaan kila mara hawa watu wanaposimama jukwaani kuhutubia,, nakumbuka JPM,, rip my president 💔💔💔😭😭😭,, ulinifundisha kitu,,, tumebakiwa sas na vituko kwenye MAJUKWA A 😭😭😭💔💔,, NIMEKUKUMBUKA SAN HAYATI JPM😭😭💔💔💔💔
@husseinkaseja2510
@husseinkaseja2510 Жыл бұрын
"usijali kanuni ,usijali katiba"......
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 Жыл бұрын
Umeongea sana umekosea maneno ya wazuri hawafi wabaya wanakufa umekosea neno hilo lifute
@hassanabdillah3325
@hassanabdillah3325 Жыл бұрын
Hongereni sana tunasubir maendeleo Tanzania ibadilike sababu mungu ametupa zaslimali nyingi
@Peaceman-S
@Peaceman-S Жыл бұрын
Ingekuwa nchi hii watu wanaakili yakufumbua mafumbo hakika CCM syo chama Cha kuchagua yaani hapa ndo unakiona hichi chama unaelewa kinalengo gan na hii nchi kama Kuna wanamaombi wazindi kuomba sana Mungu alete mabadiliko
@kefamkv3743
@kefamkv3743 Жыл бұрын
Huyu mzee ameamua kumdhiaki mwenzie alie tangulia mbele za haki eti watu wazuri hawafi kwan watu wote wanao kufa ni wabaya sio daah Huyu Mungu kama anasikiaga viliyo vya waja wake ninakuomba baba 2025 isiwe ccm madarakan uwaaibishe Mana wanajikuta miungu watu Nimekasirishwa na hii speech
@leticiacyprian7786
@leticiacyprian7786 Жыл бұрын
Sawa Mzee mungu ameskia kauri yako na Imani ataifannyia kazi maana hata hao wabaya aliwaumba yy hata mwl Julius alikuwa mbaya au unajitengenezea mazingira
@mwanumwanu1513
@mwanumwanu1513 Жыл бұрын
Namimi pia hatasina lakueleza bali naomba watanzania tufunguke macho
@fabianayubu6738
@fabianayubu6738 Жыл бұрын
tunaweza kufanyaje ili tutimize lengo hilo nipo tayari
@kefamkv3743
@kefamkv3743 Жыл бұрын
Dawa ni kujitokeza sana ktk vituo vya kupigia kura na kumchagua yule kiongozi atakae kuwa sahii kwetu sisi wanyonge Hata kama wanaweza kuiba kura lakin zikiwa nyingi watakosa namna
@enockfanueli3008
@enockfanueli3008 Жыл бұрын
Sio ccm tu mungu hata yeye na mwanae wasiwepo uchaguzi huo wa 2025 et mama vunja katiba wao ndio walitunga
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 Жыл бұрын
Hakuna mwenye hera hizo pesa ni za Watanzania wote.walipa kodi na wasiowalipa kodi nchi ni mfumo kama wa mwanadamu kila kiungo kina mchango wake
@kabojamaluku7894
@kabojamaluku7894 Жыл бұрын
Nimesha juwa Tanzania niya watu wa pwan na Tanga Kama hujuwi ujuwe
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Ndo ukweli wenyewe
@omaryhassan4770
@omaryhassan4770 Жыл бұрын
Maana yako hayati magufuli alikua mbaya?
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Ndo alicho maanisha.
@abdibilali4186
@abdibilali4186 Жыл бұрын
Kuna watu ni watu wazima na ni machawa jitu kubwa kichwani zero Kama magufuri ni mbaya Basi mtuue na sisi wewe mzee ni mpumbavu njooni mnikamate fara weww RIP Magufuri
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
kaka hawa watu wanalinda maslahi yao hapo ,. ndio maana wanasema vitu bila kijali .
@musason1680
@musason1680 Жыл бұрын
Mzee wa hovyo kabisa
@richardnganya2311
@richardnganya2311 Жыл бұрын
Hicho ni kielelezo cha kuvunja KATIBA!! Makamba kachemka !! Ujinga mtupu.
@aderickanatorypesha4004
@aderickanatorypesha4004 Жыл бұрын
Mama Mkapa,Mama Nyerere,Mama Magufuri na wengineo,Kwa lugha hii watakuwa wameguswa Sana rohoni mwao.Lakini watanzania tunasikia na kueleweshwa zaidi kinachoendelea pale ambapo hatujui.Tusiwaumize wenzetu walio hai kwa midomo yetu.Hakuna mbaya wala mzuri zaidi mbele ya Mungu wote Ni sawa.Najalibu kutafakari Sana ,ikitokea mtu unakufa unakoelekea unawakuta wale uliowaisi kuwa wabaya ndo pia viongozi mbinguni ,je kipi kinaweza kufuatia .Nasubilia majibu.
@zainabally4
@zainabally4 Жыл бұрын
Mzee huyu sio bure ana Lana ya Mungu kuna mzuri kuliko Mtume Mohammad na mbona alikufa? Baba ako mzazi amekufa kwahio alikua mbaya sio alafu usiseme mioyo ya watu kwani kupiga kura maana yake ni uhuru wa kumchagua umtakae sasa vip mnatutisha kwa maneno yenu? Kama mnalazimisha vilee vip au mnajihami kwa matendo yenu mabaya ya kuwauwa waTz kwa njaa?
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 Жыл бұрын
Uwiiiiiiiiiiiiiii kumbe Tanga Kuna mganga wa kienyeji wa CCC
@nassorseluma9106
@nassorseluma9106 Жыл бұрын
daaaaah kufruuu kubwa sana yaani watu wazuri hawafiii......mitume yote ya mwenyezi wamekufa unazihaki wenzio kwa kuwa ww umzima ....mungu yupo
Man Mocks Wife's Exercise Routine, Faces Embarrassment at Work #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 6 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
PROF KABUDI ASHANGAZA WENGI KWA HOTUBA YAKE
37:31
Ngasa Tv
Рет қаралды 173 М.
Mbarikiwa ahoji. Je kikwete atakamatwa na simu yake...
20:02
Kikosi kazi cha injili🎖
Рет қаралды 434 М.
Salamu za Mzee Makamba
9:50
KKKT DKMS Online TV
Рет қаралды 159 М.
Man Mocks Wife's Exercise Routine, Faces Embarrassment at Work #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 6 МЛН