Рет қаралды 26,425
Serikali ya Tanzania iliuchagua mji wa Dodoma kuwa makao makuu ya nchi hiyo mnamo mwaka 1973. Mji huu ulizingatiwa kuwa eneo sahihi katika kusukuma maendeleo ya nchi kwa sababu ya faida yake ya kijiografia kama makutano ya usafiri. Mwanahabari wa BBC Peter Mwangangi alitembelea mji huo kutathmini ujenzi unaoendelea kuleta hadhi ya mji mkuu wa nchi.
#Dodoma #Tanzania #DarEsSalaam #MjiWaSerikali #MagufuliCity #JohnPombeMagufuli #SamiaSuluhuHassan #PeterMwangangi