Ndio shida ya Elimu Yani muwekezaji hajui mradi unaendaje. Isas magari akuachishe kazi
@aflofemagriservice72955 ай бұрын
Naitwa DR MGISA Kiukweli Hawa watu wanaoonekana kirahisi katika media wangetumia vizuri huo wakati Ili kusaidiwa wengine, Kwa wakati mwingine Wana amsha hari Kwa vijana lakini watafute taarifa sahihi. Nina project naanza kufanya dodoma ikikupendeza karibu
@Leeeeeeee-965 ай бұрын
kaka naomba namba kuna kitu nataka niulize unaweza nisaidia
@christophermsekena6166 ай бұрын
Huyu ni Ambassador
@aflofemagriservice72955 ай бұрын
Hata kama ni barozi tafakari maneno unayokwend kuongea mbele ya media, pata ABC ya unachotaka kukizungumzia, that's all
@zidatv11226 ай бұрын
Mmea za utapeli, hayo mambo kwa Tanzania bado mifumo ya kusaidia wtu wanufaike hakuna,
@GbpAud_King6 ай бұрын
Millard Ayo umeanza kuyumba... Habari gani izi
@selector7285 ай бұрын
acha kiherehere
@pascosalvatory5274Ай бұрын
#DOTO KAWEKEZA SEHEM AMBAPO HAPAJUI ASEE TUSIDANGANYANYE
@antonyngairo33066 ай бұрын
Huyu mwamba akiongea maneno 20 la kweli ni neno 1
@bokakassimkhojakhoja32086 ай бұрын
Nguruwe wa mke wa professa jay,,hizooo
@RayaOmar-w5e6 ай бұрын
Kharamu ngurue
@ashamahadi52816 ай бұрын
We si muislamu we askafirullah
@Abu-Hamza2546 ай бұрын
Nilikua nadhani huyu Doto ni muislamu,Uislamu wa Tanzania mi siwaelewi Subhanallah
@HashimuHashboy-bo2wl5 ай бұрын
Uislamu unatoka wap hii ni biashara weka Mbali na imani, haya maisha muache apambane hilo game tuu udini tuu😊
@Abu-Hamza2545 ай бұрын
@@HashimuHashboy-bo2wlWw una Imani gani?
@PrinceBonnyTz86 ай бұрын
Doto acha bangi ngurue 1 anakula laki 3 Ahya ngurue 1,000 ×laki 3 ni ngapi kwa mwezi na unalipwq ngapi na Issah😂
@dextech20236 ай бұрын
Atawadanganya wagugaji wenzake wa Dar😅😅
@PrinceBonnyTz86 ай бұрын
@@dextech2023 😅😅😅😅
@EvaristKatibula2 ай бұрын
Watanzania munachekesha
@nabothsilasie2020Ай бұрын
Hata mimi nimeahangaa!!!
@christopherdiu78516 ай бұрын
Kijiji cha Nguruwe❤❤
@donaldmutegeki96696 ай бұрын
Nguruwe wao tofauti na wa Africa wametoka ulaya huko Namibia wapi wapi.....
@Abu-Hamza2545 ай бұрын
Inaalillahi Wainaa Ilayh Raajiun
@meshackthomas13416 ай бұрын
Musjaji imani ya doto. Kwamba yeye imani gani fikilieni mazaifu yenu kama Kuna mtu Hana zambi Kati yenu. Anajiongopea. Nafisini mwake. Mungu akujuen sana. tu. Jutien mazaifu yenu. Ndipo mtoe ushauri wa meme.
@Lundege_Hips6 ай бұрын
Hongera kaka kwa kufuga nguruwe wenzako
@idrisaseiph34996 ай бұрын
😂😂😂
@elbaricktv16326 ай бұрын
😂😂😂 kenge kabisa
@fredducaunt6 ай бұрын
Nguruwe mama ako 😂😂 Kenge wa chooni 😂😂
@dafrosamonko82546 ай бұрын
Shkamoo bro
@aflofemagriservice72955 ай бұрын
Mungu anakuona
@Chettymlambalipsi-lb9km6 ай бұрын
Eti anamshauri na reporter wa Millard aache kazi aanze kufuga 😂😂
@nabothsilasie2020Ай бұрын
Nguruwe mmoja anakula laki 3?
@salumukevin9576 ай бұрын
Muwekezaji anauliza panaitwaje hapa 😂😂😂yani umewekeza sehemu usiyo jua jina Doto kaka😅😅
@KPPKPPkabwendepoultrypro-ue4pe6 ай бұрын
😂 tulianza kuwekeza hapa
@songamberetv22196 ай бұрын
Uyu anafanyia matangazo wenye nguruwe zao
@NadeemKhan-zo8dc6 ай бұрын
Si dalali😂
@Hasnspop6 ай бұрын
Jamani amkeni huu ni utapeli huyo jamaa mugopeni mwenye hiyo gari nyeupe Dotto utapotea acha kufungamana matapeli😂😂😂😂😂😂
@edwinntabwa54516 ай бұрын
Ñi matapeli Kivip mkuu hebu nisanue
@Hasnspop6 ай бұрын
@@edwinntabwa5451 Ndugu yangu ni story ndefu sana ila kwa kiufupi epuka sana hakuna pesa inapatikana kiurahisi hivi hawa wako kwenye mambo ya vanilla pia wameliza watu sana naona wamekuja na mbinu zingine tena za nguruwe
@Trey2k365days5 ай бұрын
Si wale jama waa vanila
@thomasardoph6 ай бұрын
Content😮😮😮
@Mgema0016 ай бұрын
Dotto namashaka na uraia wako, nahisi utakua mnazareth maana kiswahili kwako shida😅😅
@LIVINEMILY6 ай бұрын
Zamahero 😂😂 kumbe kijiji cha nguruwe ni Dotto ✅🤗
@eliakusaja19556 ай бұрын
Hahahaha yani mtu amewekeza sehem ambayo hapajui ni wilaya gani?
@pantaleomcha17956 ай бұрын
TRA is typing and deleting...😂 Isije ikafika muda ukapelekwa mahakamani kama Mr Kuku boss
@charleskaozya99245 ай бұрын
😂😂😂😂😂mtoto wa kiislam amefuga nguruwe aaah bana dotto 😂😂😂😂😂
@gmdigitostore85506 ай бұрын
Mbona sielewi. Serikali... nani amekuambia mradi ni wa kitapeli...hivi Mr kuku bado yupo. Kuweni makini..
@kingxule65625 ай бұрын
hajui hata uwekezaji wake uko wilaya gan aache kuigiza mbupu huyo hidaya kapita shinyanga katupa Hii😂😂
@rogmassay40106 ай бұрын
Pumbavu sana, nguruwe anakula laki 3 kwa siku???
@ibrahimelisha68426 ай бұрын
Hata wilaya haijui Dah
@antonyngairo33066 ай бұрын
Kilo 400 nguruwe mmoja Mungu anakuona
@beatusmtui5076 ай бұрын
Sawa boss acha mringe tuuu tutafanyaje na ushajipataaaaa😂
@emmanicko15356 ай бұрын
Huyu mwamba bangi sana
@KAMANDAGAMALIELI-zp1ni5 ай бұрын
Mfanyakazi ndyo mfafanuzi zaidi kuliko mkurugenzi..hahaha alafu mkurugenzi hata haelewi anang'oa macho tu acha kutuchora doto. Yani unapewa nafasi unaanza kujisifu ulivovivaa badara ya kudadavua mladi hahaha alafu mfanyakazi ndyo anadadavua yani unashindwa hata kuuvaa uhusika!!!? We kweli kutoboa kazi IPO!!!!!!!!!
@hancymachibbula43556 ай бұрын
Nguruwe Mmoja ale Laki 3😢 huu utapeli, atangaze tu matangazo yeye kawekeza mwaka jana lakin mwingine anasema miez minne iliyopita mradi haukuwepo sasa unamuelewa nani hapo 😂 😂 , Huyu akaririshwe kwanza kabla hajaongea
@warakawayohana28966 ай бұрын
😂😂😂muwekezaji hajui amewekeza Wilaya gani. Alafu nguruwe 1 anakula laki tatu kwa siku😂😂 bange hizi
@MajaliwaMajaliwa806 ай бұрын
Doto bwana wasio kujua wanapata shida sana
@NixonGerson6 ай бұрын
Wewe unaenda tukukosa sisi waislamu wote .. kwa biashar. Yako Harajuku hiyo😊
@Chettymlambalipsi-lb9km6 ай бұрын
😂😂 sisi tupo
@fredducaunt6 ай бұрын
😂😂 tusifosiane principle ya maisha Kula nyama nyamaza 😂😂
@Chettymlambalipsi-lb9km6 ай бұрын
@@fredducaunt kelele waachie mbwa
@daudpius1306 ай бұрын
Mzee wa vanilla
@fatumahossein7546 ай бұрын
Uongo Huyo ngurue a nakula laki 3 atauzwaje? 😂😂😂😂 Acha uongo. Hata wilaya hujui hahaha
@godfreymasabwida40646 ай бұрын
Mke wa professor j kawekeza hapo
@stevenngota64005 ай бұрын
😂😂😂😂 acha nicheki tu ngurue mmoja anakula laki tatu
@pauloegbert5156 ай бұрын
Mhhh wapi
@BentleyB-d3u6 ай бұрын
Hapo hakuna uwekezaji wa Ml 70 Wala hakuna nguluwe anakula chakula cha lak3 kwa siku 1 Acha uongo
@eddyeddy13376 ай бұрын
Unatuzingua Milard ayo sasa kutupeleka kwenye nguruwe
@fredducaunt6 ай бұрын
😂😂 ikihitajika utaitwa Na nguruwe wapo
@pascosalvatory5274Ай бұрын
MRADI WA HUYO MWENYE MIWANI #MR_MAMGURUWE😂😂
@melanialeonard40316 ай бұрын
Huu ndo ule mradi wa billion ngapi?
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Muislamu unaguga nguruwe maajabu hayooo
@NgengeMkeni-uo5hq6 ай бұрын
Muhimu mkono uende kinywani😂
@ramadhanimtetu36566 ай бұрын
Dec hii au Mr Kuku ?
@marthamvanga80285 ай бұрын
Amezoea kuongea kwa kishindo
@barakamutabazi28246 ай бұрын
Achauongo nguruwe gani anae kula laki 3 kwa siku, mimi pia ni mfugaji na nivema kusema ukweli
@@vt-kn6qf sina hata wivu ndugu mimesikiliza kiswahili chake tu
@MfiriFulgensi6 ай бұрын
Mbona hunyoi mashart au?
@Kabwela7766 ай бұрын
Nyama ya nguruwe ni magonjwa tu unaweza kupata minyoo Hadi kwenye ubongo
@husseindumwala34316 ай бұрын
Nimesikia nguruwe mmoja anakula laki tatu...
@ForodhaniZanzibar6 ай бұрын
Milard ayo unazingua sana hizi habar gani unaeka
@fredducaunt6 ай бұрын
😂😂 futari ya nguruwe
@sommnetengineeringltd6117Ай бұрын
Huna jipya ujinga mtupu
@kingkendrickk6 ай бұрын
Dotto mbona mchafu hivyo, au ndo masharti ya mganga
@liberatusjackson50456 ай бұрын
Huyu hakili tiziii hajierewii ilaa anapiga hela
@ProsperMlati6 ай бұрын
Acha uonge nguruwe mmoj anakula 300000
@SimonJohn-v9c6 ай бұрын
Pumbavu kbc kwa cku laki 3
@dayanamsuya65166 ай бұрын
Millard huna habari yakugwa au😢
@sabihaibrahim1436 ай бұрын
makaburi uloachiwa na bibi yako pia unaweleza😂
@twahahamidu62465 ай бұрын
Kumbe doto akilia ana .awekeza ngurue
@cmantz88376 ай бұрын
Kwenye laki 3 ndipo unaonekaka mpuuzi tu laki tatu kwa miezi sita no sh ngapi Hugo ngulue unauza billion ngapi
@selector7285 ай бұрын
Nguruwe sio ngulue
@ForodhaniZanzibar6 ай бұрын
Duuuuuuh ngurue ana kilo 480 nusu tani oyaaaaa acheni ufala
@magidalenarauya42866 ай бұрын
We mwongo,anakula lakitatu utauza sh ngapi,hujui unachosema
@kingkendrickk6 ай бұрын
Dotto anabwabwaja hajui anachoongea
@joumarajab53076 ай бұрын
Utapeli wa peli huu after mr kuku here we go again
@igulug54506 ай бұрын
Wezio tumewekeza ng'ombe erofu 1000 mbn hatujisifii tatizo wazaramu munaonge sana siyo kama sisi wasukuma
@RashidLupatu-bg8dr6 ай бұрын
Nguruwe Moja anakula laki 3 ????
@allysulymani11106 ай бұрын
Ukzaji gani huo unachafua mazingira mzewetu mungu arehem mzee mwinyi alipiga marufuku wewe nizuzu kweli
@stevenmkami23336 ай бұрын
Mmewatapeli watu kwenye vanilla mmeamia ngurue inaumiza sana 😭😭
@MfiriFulgensi6 ай бұрын
Kumbe?
@IsmaelRamole6 ай бұрын
Tunaruhusiwa kuleta pesa zetu tuwekeze
@Allyhujjat6 ай бұрын
Mfundisheni kuzungumza basi maana kuna vitu aviitaji mmasihara
@Electri-ambi6 ай бұрын
😂😂😂 huyu sio muwekezaji eti mmoja anakula laki tatu hahahaha jichanganye huyu tapeli kama tapeli
@josephfrank44466 ай бұрын
😂😂😂😂jamaa ongo hili
@charlesmsuya2206 ай бұрын
Harufu ya utapeli ipo wazi dhahiri mbio ziwaokoe
@mxofmfk84066 ай бұрын
Okay nguruwe mmoja kwa siku anakula laki 3 kwa mwezi anakula milioni 9. Kwa hiyo hao nguruwe mnawalisha pesa au chakula?
@ForodhaniZanzibar6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@SharifaOman-bf1bn6 ай бұрын
Huyu. Fipi. Doto. Magari mtiani. Kweli
@ibrahimelisha68426 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 WATU WA JATU MPOO MJE NA MAELEZO YENU HAPA
@IYEGU-p3n6 ай бұрын
Mabanda yenyewe yanavumbi Kama nini acheni utapeli sisi niwafugaji acheni kuinia watu
@adkajisi45366 ай бұрын
Unadhani bil70 matako eti?
@jumamussantuiche6 ай бұрын
Ngurue na mwenye nguruwe
@augustineanney42396 ай бұрын
Eeh,,,,eeh,, wanapigwa watu siyo mda
@aflofemagriservice72955 ай бұрын
Alikuwepo mwamba aliitwa Tariq au Mr kuku wakawaulize wawekezaji hapo
@suzanambatta11265 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@elbaricktv16326 ай бұрын
Nguruwe mmoja anakula lak3 kwa siku😂😂😂😂
@jonasamos5556 ай бұрын
Boya sana huyu Nguruwe wa kula laki 3 kwa siku eti mmoja apelekwe mirembe Banda za mabaki ya mbao moja ni 1000 bei ya juu Mabanda machafuuuuu nguruwe wachafuuuu Mirad kazi umekosa aisee
@RobertChacha-hb9re6 ай бұрын
Kaka adi makaburi 😅😅😅
@simonjovin18856 ай бұрын
Kijiji cha nguruwe😂😂
@sadickshabankiloya46225 ай бұрын
Hadi nguruwe
@WinnieJamesMichael-yi9jm6 ай бұрын
Ila Millard ayo mbona mnatupa tarifa za kitoto hivyo kwani amekuja kututukana au kutuelimisha