DOKTA MO ADAI BHAKERSA NI MWANACHAMAWA SIMBA,ISHUYA FEI KWISHA ATAMBA SIMBA MPYAUSILETE TIMU,TULIENI

  Рет қаралды 11,763

Kaje Tv

Kaje Tv

Күн бұрын

#ahmedally #yanga #alikamwe #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #hajimanara #simba #azamfc #azamtv #azam

Пікірлер: 59
@MashakaSabato
@MashakaSabato 3 ай бұрын
Kweli umenikumbusha Yanga walikuwa wanafurahi kuja kwa chama ama walikuwa wanafurahi kifo cha yusuphu manji ebu mnisaidie hapo ndugu mtangazaji
@JohnKavula-xw7xl
@JohnKavula-xw7xl 3 ай бұрын
You make me laugh 🤣😂😂😂😂😂😁😁😁😁
@badmeetsevil7643
@badmeetsevil7643 3 ай бұрын
Kweli wamekosea sna sio poa dah manji
@ramadhanichaurembokahunge
@ramadhanichaurembokahunge 3 ай бұрын
Kweli doct mo umesema kweli
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 3 ай бұрын
Yaani yanga wamenishangaza... Kweli mmnyonge mnyongeni haki yake mpeni... Msiba wa manji yanga uliwahusu mnooo... Ama kweli tenda wema nenda zako usingoje shukrani.. Mungu atujaalie mwisho mwema 🙏
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 3 ай бұрын
YAANI KATIKA WATU WA HOVYO KWENYE TATHINIA YA MICHEZO NI HUYU DR, HUWEZI KUIPANGIA YANGA CHA KUFANYA WEWE MJINGA.
@bianahemedi
@bianahemedi 3 ай бұрын
Sawa Dr mo umesema sana chama ye nani Kwa Simba uliondoka wengi zaidi ya chama na simba bado ipo
@ramadhanichaurembokahunge
@ramadhanichaurembokahunge 3 ай бұрын
yanga umeuzi kweli paka msiba mmesusa
@saidsalum6101
@saidsalum6101 3 ай бұрын
Kweli unacho ongea wanao kupinga hawamjui manji vizuli niwatoto wamwaka 2000 hawajui umuhimu wa manji katika michezo
@Dastanikasanda
@Dastanikasanda 3 ай бұрын
Ajaabu. Hata marehem wanamsusia khaa. Sio watu hawa 😂😂😂😂😂😂😂
@ramadhanichaurembokahunge
@ramadhanichaurembokahunge 3 ай бұрын
Sakosi ya wazee yanga
@drallan6879
@drallan6879 3 ай бұрын
Madeni yanga yanawasumbu wapate wapi kumkubuka manji?
@peterpain5594
@peterpain5594 3 ай бұрын
Tatizo halipo kwa hawa makolo tatizo lipo kwa hizi chanel zakisenge kwenda kuwahoji madunduka
@Japhethmwakasege-j4k
@Japhethmwakasege-j4k 3 ай бұрын
acha kututoa kwenye leri
@innocentnyiliwa1907
@innocentnyiliwa1907 3 ай бұрын
Zedz and njoromen, feytoso sio kwa michapio hii😂😂
@abubakarishariff8489
@abubakarishariff8489 3 ай бұрын
Apo yanga wamechamka japo uyu Simba lakin uo ndio ukweli bila manji yanga isingekuwa apa ilipo
@SimonPaschal-g9s
@SimonPaschal-g9s 2 ай бұрын
Hili ni tahira unabadilishaje awe hai ukipiga hema ndo sifa hakuna sifa ya msiba wew jielewe
@peterpain5594
@peterpain5594 3 ай бұрын
Yani kocha anaweza akawa huyu kweli sema ww shabiki simba aka dunduka tupo apa. Hao wachezaji mnao wasifia mnakumbuka kina jobe babakar saa mliwasifia ivyo ivyo sasa hawamu hii mtakufa na presha
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 3 ай бұрын
walikuwa wanamfurahia Chama😂😂😂
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 3 ай бұрын
Bila kumsahau KRAMO
@AmeMahmoud
@AmeMahmoud 3 ай бұрын
Wewe mbona mpumbavu sana
@amanifadhi
@amanifadhi 3 ай бұрын
Hawayanga niwatu wajabu sana
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 3 ай бұрын
Chama alikua anawagawa wachezaji pamoja na coacher
@ELIACHOMOLA
@ELIACHOMOLA 3 ай бұрын
Kweri manji wameshindwa
@daudichoghoghwe5035
@daudichoghoghwe5035 3 ай бұрын
Supu za vibudu
@RASHIDIKAWINA
@RASHIDIKAWINA 3 ай бұрын
Walichokuwa wanakisema kibovu kwao shangwe hawana hakili hawajitambuwi
@BashiluOmary
@BashiluOmary 3 ай бұрын
Kati ya pakome na clamo nani alikua mvp wa kule
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 3 ай бұрын
Uto ni kunguru wa mizoga Dampo la Simba
@graceabdalla
@graceabdalla 3 ай бұрын
Kweli.hao.yanga.ni.nyanya.chungu 😮😮😮😮
@Virimogolo
@Virimogolo 3 ай бұрын
Hiyo nikweli bro
@SmilingDolphin-xg2kd
@SmilingDolphin-xg2kd 3 ай бұрын
Anasema kweli
@hamisikapute598
@hamisikapute598 3 ай бұрын
Hivi nyie Wachambuzi hamna Cha kuongea au kiwewe Cha Chama. Ndio maana umefukuzwa na Mangungu
@amanimbawala8889
@amanimbawala8889 3 ай бұрын
Nyinyi midia tafuten watu wa kuwaoji puplichupli
@Happypeter-r9q
@Happypeter-r9q 3 ай бұрын
Kwe
@gustaphshehumu2458
@gustaphshehumu2458 3 ай бұрын
Tulia wew chula dawaingie
@JulianaMunubi
@JulianaMunubi 3 ай бұрын
Pambana na Simba yako bro yanga bado snààa itawakera tuuiu
@NoahSimchimba
@NoahSimchimba 3 ай бұрын
Kumkera nani nawewe makosa utu na timu yenu
@jaribunimangoma4322
@jaribunimangoma4322 3 ай бұрын
Inakukela?😂
@kihilenahimana8821
@kihilenahimana8821 3 ай бұрын
Huyu jamaa kachanganyikiwa.
@saidsalum6101
@saidsalum6101 3 ай бұрын
Wewe ndiyo umechanganyikiwa au haumjui manji wewe nimtoto wa mwaka 2000
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 3 ай бұрын
Nanini kweri mmekosa ubinaadamu
@omanbarka1588
@omanbarka1588 3 ай бұрын
Yanga wamechanganyikiwa na chama Kwa sababu washamba boss wao manji kafa wamemuachia atupwe tu marekani huko wao wako na chama manyau kwale hawa
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 3 ай бұрын
Dogo jiiangalie usitukane watu ongelea mpira utapotea unapowatukana yanga kuna watu wakubwa utapotea msenge kelele nyingi haujui chochote kuma ww watu wanakuangalia watakupoteza ongelea timu yako
@JuliusMollel-jz4xl
@JuliusMollel-jz4xl 3 ай бұрын
Mpoteze sasa nyie nani huwa anawapotezaga na unavyotukana kama kichaa
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 3 ай бұрын
Mbona unatukana na wewe timu yenu inalawama sana halafu matusi ndio mmeweka mbele hamuendi mbinguni nyie timu imejaa lawama kubebwa kadi nyekundu za uongo zinafutwa
@CornenciaFaustine-pd2rc
@CornenciaFaustine-pd2rc 3 ай бұрын
Eeeeh hivi na nyie mmeanza kujipambanua kuwa clubuni kwenu kuna watu wakubwa wa kuweza kupoteza. watu. Jamani tusifike huko kuweni na lugha za kimpira acheni kutisha watu
@AdamRashidi-n9g
@AdamRashidi-n9g 3 ай бұрын
Weee fara tuu jamaa anaongea kweli hakuna wakupotea hatupo ktk ukomonist tuko ktk demorsia
@AdamRashidi-n9g
@AdamRashidi-n9g 3 ай бұрын
Weee fara tuu jamaa anaongea kweli hakuna wakupotea hatupo ktk ukomonist tuko ktk demorsia
@kihilenahimana8821
@kihilenahimana8821 3 ай бұрын
Sijawezaga kumuelewa,anaubiri tuu.
@omanbarka1588
@omanbarka1588 3 ай бұрын
Na hutoelewa kama hukumuelewa boss wako manji utamueleea mo kwenda zako na ushamba wenu huko jangwani
@januarysungura8119
@januarysungura8119 3 ай бұрын
Sijawahi kuona timu ya washamba kama yanga duniani kote mambo yao ni ya shamashamba hivi
@kihilenahimana8821
@kihilenahimana8821 3 ай бұрын
Pambana na hali yako na Simba yako kwanza,huyu jamaa anaubiri au ?
@azizaj776
@azizaj776 3 ай бұрын
Kasema UKWELI
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 3 ай бұрын
Mmekosa utukweri mbona mnajifanya hamumjui kengenyie
@januarysungura8119
@januarysungura8119 3 ай бұрын
Kwani nyie hamjawahi kuona hata kama nyumbani kwenu mlipanga sherehe alafu ghafla anakufa ndugu wa karibu ,huwa lazima muanze na msiba kisha sherehe baadae sasa ninyi watu wa aina gani?
@kihilenahimana8821
@kihilenahimana8821 3 ай бұрын
HAJUI UCHAMBUZI ,KAZI NI USHABIKI NA UCOMMIDIAN.
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 3 ай бұрын
Wew ndo unajua??
@adsonadrian6472
@adsonadrian6472 3 ай бұрын
Chambua wewe kama yeye hajui
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 120 МЛН
DOCTOR MO ALIPUKA NA USAJILI WA KAMATI MPYA SIMBA/ WACHUKIE TU TUTASEMA"
11:29
ALICHOSEMA AHMED ALI MSEMAJI WA SIMBA SC
11:19
DUNIALEO
Рет қаралды 2,4 М.
Hakikisha umepanda miti hii nyumbani kwako
8:04
Topten Tv
Рет қаралды 114 М.
UCHAMBUZI SAKATA LA FEISAL SALUM, JE, ANAKWENDA SIMBA AU HAENDI?
14:01
ЭТОТ КРОЛИК ВЫРОС ДО ОГРОМНЫХ РАЗМЕРОВ! 😳
0:59
Why are there two Harley Quinn?#Harley Quinn #joker
0:11
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 7 МЛН