Hii nchi ina watu wana Roho Mbaya sana Mandojo kapitia changamoto sana mpaka kifo Chake, kuna kipindi kuna watu walimvunjia Nyumba yake Ya Dar, Jamaa kapitia mitihani Mwenyezi MUNGU amlaze Pema Legend."😢
@nemesapollo48462 ай бұрын
aisee kumbe ni htr
@emmanuelmayunga15182 ай бұрын
Jamani kwel kabisa iliniuma sana aisee
@jumaamohamed28152 ай бұрын
@@emmanuelmayunga1518 Ile issue mpaka Mkuu wa Mkoa aliingilia kati kipindi kile Makonda Cjui ikaishia wapi, Kwa kweli Mandojo Dunia haikuwa fair kwake japo yeye alikuwa mtu mzuri Duniani na kuchagua kutuburudisha bado watu wengine wa Dodoma wamemdhulumu Uhai Wake."
@TumainiMedason2 ай бұрын
Makonda kupitia mfuko wa maafa ofisi ya mkuu Wa mkoa walimjengea nyumba na wadau wengi tu walijotokeza kumchangiaga na mtaji wake wa kufuga kuku aliupata@@jumaamohamed2815
@BabuAbdul-hd3xn2 ай бұрын
😢
@naba_watomaco92742 ай бұрын
Br! Pole sana! Kwa wahenga! Tunatambua haijawahi tokea Big Combination 🇹🇿 ya Muzic kama Dojo na Domo! 😭😭😭 MUNGU akutie Nguvu Br, since day one nawakubali....😭😭😭 Tunamkabidhi MUNGU
@DjJohnBashir-oy7cx2 ай бұрын
polenisana Ndojo ameniuma sana napenda kazi zenu mungu amtangulie mbele za haki
@stellamokiwa20252 ай бұрын
Domo kaya nimekupenda.....unaongea vizuri sanaaaa
@emmanuelmayunga15182 ай бұрын
Pole sana broo naelewa unachokifeel juu ya ndugu yako Dojo
@paulmwanyika76222 ай бұрын
"Kazi yake mola haina makosa... Anafanya atakalo,anafanya awezalo kwani dunia ni yake, hakuna ashindwalo" R. I. P dojo....
@pharleserasto31142 ай бұрын
Kuwa pole Domokay njia Moja hii Mungu atalipa kwa wote walohusik
@fatmazullu49332 ай бұрын
Pole sana domokaya jamanii umepoteza combination yako kubwa kabisaa! Daaah
@sabrinaurio3652 ай бұрын
Kama wızo na radio
@eaglemakopa75922 ай бұрын
Mungu amlaze maalipema pepon mandojo
@joss.nkilio.35372 ай бұрын
Waliomfanyia Hivyo Mungu hatowaacha bule,Mungu ampumzishe Kwa Amani Mandojo🙏😭😭.
@samyspesho16982 ай бұрын
HAO WALOMUUWA WANAJISIKIAJE HV SASA
@BedaKunguluche2 ай бұрын
Domokaya,umeongea maneno yenye hekima sana, Mungu akutie nguvu
@AishaHaji-h4d2 ай бұрын
Watu wachacheee 🥹🥹🥹misiba ya siku hizi sio kama ya zamani in short maisha yamebadilika sana Zamani mtu akifariki mpaka 40 ifike watu wanakuwa bado wanaomboleza Siku hizi ukizikwa tu unasahaulika muda huo huo Mungu atujaalie mwisho mwema Natoa pole sana kwa familia,ndugu,jamaa na mashabiki wote wa mandojo May peace be upon him
@mujwasteven2 ай бұрын
Hanta Nation Nampata ni producer number moja bongo ndo alimtoa hamornise alitengeneza Uno na nyimbo kibao harmo alipotoka wasafi, utasikia "youg legendary" Yuko hapo pembeni kwa domokaya. R.I.P DOJO
@CatherineKulaya2 ай бұрын
Roho ya marehemu ilale mahala pem peponi Amein 🙏🙏🙏
@dicksonjonas17992 ай бұрын
Pole sana bro,,umeongea kwa uchungu sana,,
@ShokoleMasawe-hk9vh2 ай бұрын
kwa mola kila mja atarejea hakuna kifo kilichowahikosa sababu.pole sana domokaya
@MarryKiula2 ай бұрын
Pole Sana Domokaya kweli Wewe ndo unamjua vizuri Mandojo Since mnafanya Mazoezi ya kuimba Mto Temi Arusha Kweli mmetoka Mbali😭😭
@LauraGeorge-u1r2 ай бұрын
Hongera domokaya umeongea kwa busara sana
@phantyrhymes95362 ай бұрын
Polesana rafiki yangu Domokaya kwa Kumpoteza Dojo. R. I. P Dojo.
@PaskalEmilist2 ай бұрын
Wote safari mojaa inauzunishaa na inasikitishaa sanaa hila mie nina aminii safari yetu moja asanten
@godfreyhiza10752 ай бұрын
Maisha yetu duniani ni kama ua la kondeni mara kukauka na kuchukuliwa na upepo ...tumkabidhi BWANA YESU maisha yetu, Ndiye tunayerejea kwake!!!
@tareqhilal67502 ай бұрын
Brother tunawachukulia tofauti sana ila mtusamehe leo najua kuwa mnafanya music tu, umeongea vizuri mno, hii expression ni wachache wanaweza toa..Pole sana kwa kumpoteza Mandojo, uwe na subira maana Mungu hakosei kaka. Pole sana njia yetu moja.
@FredMeitamei2 ай бұрын
Mungu ampumzishe kwa amani ila binadamu siyo watu kwanini wamefanya hivi
@BabaLea-ez7pp2 ай бұрын
Kweli baba domokaya umesema ukweli ila huyu alieseme nirafiki yeke
@beatricesaitoti61252 ай бұрын
Inamaana hao waliomfanyia ivo hawamjui ndojo dah vitu vingine vinafikirisha sana all and all may soul in paradise ndojo
@FatmaMohammed-ry8yo2 ай бұрын
Inna lillah waina ilaih rajiun poleni kwa Familia dogo ni Familia yangu aisee nimeumia
@MussaHaruna-e7t2 ай бұрын
Dah rip dojo.bro nyimbo zako bado tutazkumbuka na domokaya
@LauraGeorge-u1r2 ай бұрын
Unaumia sana ila umejikaza kiume,big up bro,rest in peace mandgojo
@h.mau99892 ай бұрын
Hawa jama sijawaelewa leo wala jana du imeniuma sana
@ShokoleMasawe-hk9vh2 ай бұрын
daaa.r.i.p kaka
@StevenMsagusa-mk8qd2 ай бұрын
Poleni sana wanafamilia Mungu awape nguvu.
@cylviapatric73432 ай бұрын
It’s pain Jmn… Nmeumia sana. Pole domo
@MahuchaniNgoka2 ай бұрын
Nice talk domokaya 😂
@rajabumkwawa60532 ай бұрын
RIP Mandojo.!! Pole sana Domokaya.
@NeemaLukasy2 ай бұрын
Poleni wanafamilia
@Dully_star2 ай бұрын
Kazi ya mungu haina makosa ila tumempoteza PELLE WA TANZANIA jamaa likua anapiga miguu yote anaimba huku anapiga gittaa yani ni fundy kweli kweli mwenye roho nzury vibaya mnooooo yan daah NCHI YANGU TANZANIA JAMANI JAMANIIII????
@atupokilemwakajila71792 ай бұрын
Broooo nimeumizwa saanaa duuuu nyie jamaaaa combination yenu ilinifanya nijivunie bongo flavor yetu.inamaana ile interview yenu UTV ndo mara ya mwisho kuwaona pamoja duuu.kazi ya mungu haina makosa pumuzika kaka
@jothamkibona29192 ай бұрын
Pole ndugu yetu hakika tumwachie mungu
@PauloKikoti-vn5du2 ай бұрын
safi domo unajua kuongee.
@NeemaLukasy2 ай бұрын
Daah poleni sana jaman
@bakarininga41002 ай бұрын
Daaah Hakuna siku sijaingia you tube cjaskiliz nyimbo zao domo kaya daaah kapoteza combination moja ya maisha
@EmmanuelChacha-k2k2 ай бұрын
Mandojo rest in peace 😢😢😢
@shamimageta66512 ай бұрын
dah...maisha mafupi sana aisee
@AdamSabugo-sr4ds2 ай бұрын
Dah poleni xnaa kwakuondokewa na ndugu mungu awape ngufu 😭😭😭
@JestinaKandonga2 ай бұрын
Inauma sana ila mungu wa mbingu atawalipa😢😢😢😢😢
@Byme64342 ай бұрын
Ila Labda yule Kaka Itakuwa Alivyopigiwa Simu hakujuwa kama Itarushwa hewani
Kanisani ni mahali pa kuponea hata kama ni mwizi sheria zipo na polisi wapo kwa ajili yetu wananchi wasingejichukulia maamuz ya kupiga akat wao ni watakatifu
@jamilaathumani54812 ай бұрын
Yan nyie kwel mlikuwa marafiki wa dhati tokea kipindi kile mpaka leo duu kwel mlipendana....mmmmhh au kuna kitu kinafichwa apo kwan ?? Mbona sijaelewa?
@leilawanjiru64842 ай бұрын
Poleni kaka
@JosephinePanga2 ай бұрын
Jamaa ana matatizo ya akil ulimpima ww, acha kuropoka upuuziii
@HajiSeleman-h2l2 ай бұрын
Apumzike kwa amani
@djamanitvonline36232 ай бұрын
Domo Kaya🇹🇿
@OmaryKibwana-n3nАй бұрын
😭
@AdelineMkingi2 ай бұрын
Labda alikua na ahida ilihitaji huduma za kiroho akakimbilia kanisani na mkamuua. Kwa hali ilivyo sasahivi nadhani watu waelewe mwizi apigwe akiwa na kidhibiti cha wizi aisee