Kama unaamini jarufu atamuomba msamaha kelvin weka coa❤❤❤🎉🎉🎉
@Kagenikagesh8 күн бұрын
Lazima
@NASRASALUM-t4m8 күн бұрын
❤❤❤ lazima ata muomba samn
@Kadzomudzo-h7o7 күн бұрын
❤❤❤
@YonahPeter-wj3zq5 күн бұрын
Daaaaaaah sio pow ety weee Suzy nikama panya ana ng,ata na kupuliza ety au vp wadau tumpe jina gan Suzy me naona panya lina mtosha ety gonga like kama umelikubali ilo jina ety nawapenda san wote wadau❤❤❤❤❤
@EsperenceAyumba8 күн бұрын
Jamani mimi sijawahi kupata like hata moja niwe wa 1ao wa mwisho
@saidamwavuo99269 күн бұрын
Amina amekuwa mshauri mzuri kweli lisa usitoe siri yeyote na ww mzee waache watoto waoane akizaliwa mtoto sinidamu yako ila ww tunza siri tunaipenda 🎉🎉🎉🎉🎉
@ShukraniMasha9 күн бұрын
Shida ni. Mr, d anajuwa but. Jarufu yuko gizani haelewi
@olicej78379 күн бұрын
Shida Mr D bado anamtaka Lisa kwahyo anakuwa na wivu na huba la mwanae ndiyo maana
@GloryWilly-e5x4 күн бұрын
Hakuna Siri inayodumu😢😢
@JastFinancial029 күн бұрын
Wangapi wamehamini kelvin ni RAFIKI wa kweli like hapa tuwatambue ❤🤲
@kladahmad33339 күн бұрын
Lep na mm nomewai kabisa
@VenecaKengabi9 күн бұрын
Kabisaa ❤❤❤❤
@VenecaKengabi9 күн бұрын
Kabisaa ❤❤❤
@rahimaaaaa56829 күн бұрын
😊😊😊😊
@AminaRuliho-k1x9 күн бұрын
Nawapend san
@LucienNdereyimana-v8l9 күн бұрын
Leo nimekuwa wa kwanza kabisaa mnipee maua from Burundi🎉🎉🎉🎉
@fatumajumakombaikokombaiko87889 күн бұрын
Amina wew ndumakuili wakuuma n kupuliza wasiopnda tabia y Amina nyo''osha mkono juu😂
@webnet56529 күн бұрын
Wakwanza ni Mimi simpendi uyo Amina😢😢
@JeannetteManirambona-o6m9 күн бұрын
😂😂mimi hapa
@ShukraniMasha9 күн бұрын
🎉
@LLl-p4r3l8 күн бұрын
🤚🤚🤚🤚🤚
@fatumajumakombaikokombaiko87888 күн бұрын
@@webnet5652 hahahaah yaan marfk kaa hawa wapo
@Lover-m2k9 күн бұрын
From kenya number one🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Nailaty5648 күн бұрын
Wadada hapo mjifunze kuchagua marafiki na pia mjue kuyaendesha maisha Kwa fikra zenu si kila kitu lazima kila kitu chako akijue rafki yako
@Kadzomudzo-h7o7 күн бұрын
Funzo zuri aky
@FatumaMtwana-h6h9 күн бұрын
Mmh jamani Amina muongo unauwakika km mimba ni ya mr d jaman Amina uogopi wewe shoga yngu mauwa yako hayo🎉🎉🎉
@jacklinekivuva37549 күн бұрын
Wa mwisho leo kla mtu kawahi🎉🎉🎉
@Ulupalmer9 күн бұрын
Nmewahi Leo naomba like zangu 🎉🎉❤❤❤
@NassirKhamis-d6l9 күн бұрын
Yaani wewe Amina sio rafiki hata kidogo 😊
@VenecaKengabi9 күн бұрын
Mimi leo nimewai wa pili naomba like kumi tu❤
@فاطمهكينيا-ذ8ش9 күн бұрын
Asanteni sana nawatakia kila la kheri
@RehemaBaya-m1b9 күн бұрын
Kazi nzuri ❤❤
@VenecaKengabi8 күн бұрын
@@RehemaBaya-m1b Asante
@HatidaZogolo8 күн бұрын
Inazid kuwa tamu
@JastFinancial028 күн бұрын
👏
@IvonaMichelle8 күн бұрын
Amina nakupenda Sana unacheza sehemu yako vzr sana❤
@ZulfaSuleiman-v3y7 күн бұрын
sana hata me nampenda❤
@ScolastiqueMbabi9 күн бұрын
Waaoooohh nduguzangu kwa iyi munakuja mbiyo sana , napenda sana, nilipendeleya munge endeleza piya n'a ngombo ya pili kwa mutoto wa Boss inaleta huba
@RafhaelMutha9 күн бұрын
Nimependa vile Jalufu na sister yake wanaongea❤❤❤❤
@elizabethpeter20539 күн бұрын
Kwa nguvu ya mungu Lisa ataolewa tu maana Lisa siyo mbaya Bali ushawishi wa Amina tu
@Mary-u4b2o9 күн бұрын
Jarufu kitamramba karibuni
@GsHd-h8j9 күн бұрын
Sasani watu wangu mie hapa leo ni wa kwaza naomba tu ata kama ni pili peke😅😅
@mankinishee9 күн бұрын
Wew suzy hufai hata kidogo wew nyoka wew ndio ulilazimisha
@IrakozeAicha8 күн бұрын
Lisa Léo ame umbuka 😅😅😅 hiyi Siku nilikua nayitamani sana Yani Léo nimefurahi sana kbx💃💃💃💃🤣🤣🤣🤣🤣
@ZulfaSuleiman-v3y7 күн бұрын
wewe kama mimi😅😅😅😅😅
@Issaking-b6w9 күн бұрын
Wa kwanza leo Like zenu wanangu wa donta fans
@nancyshikuku-vs9le9 күн бұрын
Wa Kwanza leo like ata mbili tu jamani anyway good job guys am watching from Saudi Arabia 🎉🎉
@florahnavuja9 күн бұрын
Good work ❤❤❤
@AshaSalum-g3z9 күн бұрын
Good job ❤❤❤ Like
@WitnessPonsian-n3w8 күн бұрын
Hongeleni sana kaz nzuri ❤❤❤
@JennyRenald9 күн бұрын
Jmn hivi hiyo movie ya Pete ya Ajabu imekuaje tena mbona haamjaaatoa Tena toka mtoe ep ya 1 😢😢
@latifahShabani9 күн бұрын
Ukiwa muongo uwe na kumbumbu Mr d
@latifahShabani9 күн бұрын
Uwe na kumbukumbu
@FatumaMtwana-h6h9 күн бұрын
Amina unazarau sana love piga sana uyoo😂
@StellaKugomwa9 күн бұрын
Nawapenda vile mnavyowahisha 🎉🎉🎉
@AseleRamazani8 күн бұрын
Safi sana Mr D hapo umemukomesha lisa
@jacquelinekivamba85419 күн бұрын
Series yangu pendwa🎉🎉❤❤
@WirsonChachaMwita9 күн бұрын
Wakwanza mimi❤❤❤❤
@VickyKavishe-p4d8 күн бұрын
Amina so rafiki mzuri kabisa🤨🤨..Kevi umetishaa sanaa🎉🎉🎉.....mwachen tyuu Lisaa maan ashachanganyikiw😂😂
@Phoebenafula9 күн бұрын
I hope sijachelewa 🎉🎉🎉❤❤🇰🇪🇰🇪
@KingBanda-g4x9 күн бұрын
Today number one from Malawi🎉🎉❤
@RukiaBhai9 күн бұрын
Nimewah namim leo🎉🎉🎉❤❤
@SiwemaJohn-o5d9 күн бұрын
Amina na Tina hizo ndo kazi zao duuu kuponza watu tuu aisee wanajitahidi ,namuomba MUNGU aniepushie mbali marafiki wa namna hii
@AminaHassaniChoka7 күн бұрын
😂😂😂
@AbdulyShomvi9 күн бұрын
Nmewahi sasa ole wenu sasa😂😂❤❤
@Hellen-rr4rt9 күн бұрын
Wakwanza from kenya🎉🎉 naomba like jamani
@KudraEliasa8 күн бұрын
Iisa umejitaidi san na usimuache hata kidong dialufu🎉🎉🎉🎉
@patrickmwanzali27789 күн бұрын
Tunawapenda sana ❤from kenya
@tigejuma98659 күн бұрын
Suzzy cku zote hua hamtakii lissa mazur...hua wanasumbuana sana kiupande wa wanaume....alafu jarufu ako kma zumbukuku ata elimu ya kitaaa pia hana...limbukeni wa mchana...naona lisa akiolewa na mr d😅😅😅
@rashidyally43369 күн бұрын
We mdogo wake j mzuri
@roudhamahmoud7638 күн бұрын
Wewe love huyo amina huwezi mkosa
@mildrednyamoita54749 күн бұрын
Kazi safi watching from kenya
@ZanuraMsury9 күн бұрын
Amina rafiki mbaya sana
@muuminati8 күн бұрын
Usiseme Amina sema Suzy 😂😂😂
@VailethNkwela9 күн бұрын
We Amina sio rafiki mzuri unagombanisha.
@Hamisimihayo9 күн бұрын
Jarufu umepigwa hapo
@Halima-p7h8 күн бұрын
Waoooooooooooooooooooooooo
@55goodmen9 күн бұрын
Suzzy ananifurahisha sana anavyo act bonge la actor pia pesa kaweka mbele
@RahmaSaid-d9q9 күн бұрын
Kaah watu mnawahi kaahh😢
@faudhiamohamed9 күн бұрын
Nice
@LiberatusMahinja9 күн бұрын
Hongereni sana aiseeeee kesho mtupatie kipande ki achofata
@عائشة-ذ9م7 күн бұрын
Courage ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@SylvesterMutua-uw4bl8 күн бұрын
Much congrats donta TV am HOLY SYLVESTER from Kenya..🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Nailaty5648 күн бұрын
Lisa bora umwambie ukweli atakuelewa Kwa sababu anajua alipo kutoa anajua kazi yako ukweli humuweka mtu huru
@Marlenapilikitsao-gk9je9 күн бұрын
Danga linajuwa kuzimaaaaaa 😅😅😅😅😅Lisa kwani huna kwenuuuu 😭😭😭😭😭😭suzii gaidiiii😮😮😮😮😮😮 ukweli Juli ww ni rafiki wakweli pongezi chukua🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@sarahqueen24949 күн бұрын
😂😂😂😂hii ya Leo moto Mr d amenfurahisha 😂😂😂et hapo mwanzo hukujua m n mzee 😂😂😂Mr d kaamua ubaya ubwela😂😂😂
@DoriceEustace8 күн бұрын
Ila Amina jaman Amina Anamtolea Makavu Mr D Hata kauibu hana Jamani 🎉🎉 Kama umeliona hili Gonga Like
@DeboraIlomo9 күн бұрын
Lissa ludigi na kwenu.mda wote we Kwa Suzi heee mpaka unakela
@DivineIngabire-lj3sr9 күн бұрын
Jaloufu wew huoni maneno juli alikwambia kweli kwanini hufikili ceny kilimukataza babako ndoa yako isimame jamani
@SadikiRashidi-v3n9 күн бұрын
Jaman me sijui ni wamwisho mh
@Jescah-i2q9 күн бұрын
Nani mwingine anatamani jarufu kujua kweli Lisa na bike jarufu
@Pat139enZaeadic9 күн бұрын
Aaahh Amina kashindakana jameni waaah nmeinua mikono juu
@MasauShida8 күн бұрын
Kazi nzuri sana🇹🇿
@MichaelMtalula9 күн бұрын
Sante niliwangojea sana
@tonykonki14378 күн бұрын
Lisa kimekuramba dadangu umaraya umekuposa karembo kaa kwa kutulia huone mwisho wako.
@JoeriaAbdallah8 күн бұрын
Noma sana
@FatmaMohammed-b4g8 күн бұрын
Amina unatabiya mbaya upo uku na uku wew
@AshaMalekela-o7t9 күн бұрын
Nimejitaid kidg kuwai leo
@HalimaAdam-r5e8 күн бұрын
Suzy wewe ni mbeyaaa sanaaa acha kutafuta ubaya kwa lisaaa linanikeraa hili la suzy kiherehere kimezidi lisaaa muongezee tenaa kibao asikuzoee
@Najmahnyangasi8 күн бұрын
Kazi nzuri sana
@diojoanes68939 күн бұрын
Yaan Suzy simpend kwenye uu mchezo
@JAMSIPASCO8 күн бұрын
Wa Kwanza mm nawatu Kama Kevin niwachache ange ngoja tuone ubaya ubwela wa baba na mwana msisahau Kuni follow❤❤❤❤❤❤
@IburahimEmmanuel-e5m8 күн бұрын
Uhakika broo 😂😂
@JamesComplexnumber8 күн бұрын
Leo ndo Leo,,
@joenahwanga6 күн бұрын
Amina ww ni mnafiki sana na tena ww si rafiki mwema 😂😂😂😂😂
@chidzodunda8 күн бұрын
Weeeh kivumbi huku cha Loveness na Mr D😂😂😂😂😂
@JoelWafula-in3xh8 күн бұрын
mapenzi Yana aibu tena Yana heshima kupenda usiyemjuwa ni sawa na kupenda adui,, hayo ni matokeyo ya humalaya
@HabibaKhamisi-xo8tz7 күн бұрын
Aliyemuuzia Hivyo Viatu Vya Juu Juu Loveness Hakamatweeeeeeeeee Haraka Sanaaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Franciscah-ks5zq8 күн бұрын
Suzy rafiki mnafiki sana
@DesderiaKanepela9 күн бұрын
Mr. D king'ang'a😂😂
@JamilaBocha9 күн бұрын
Congratulation lisa mpenzi hki unajua kuact mob ❤ naipenda kazi yako
@JolieKansime8 күн бұрын
Wee fathilia movie achana na jarufu
@aminandurya8 күн бұрын
From Kenya nimependa xn Mungu awazidizie taaluma🎉🎉🎉🎉ila somu wangu wee ni mnafk yaan mbeaa Kenya hoyee
@NdayikundaNathan9 күн бұрын
Ieo na mie nimewahib like 5 zinanitosha
@اريناارينا-ق3ط8 күн бұрын
Lisa kazi nzuri ❤❤
@ReginaSamwel-h6n9 күн бұрын
Ndo hyo yakutembea na vibint ukiwa mzee unajkuta unashea na mwanao
@MalkaNinik9 күн бұрын
Hiyo umesema.kweli baba mtu mzima watafuta kibint ambaacho pia wewe ukonaye
@SylvainNgoy-l3c9 күн бұрын
❤❤❤
@StephanoStephano-y7y8 күн бұрын
Jarufu maisha ya kwao ya kitajiri lakini habadilishi nguo wala havai mkanda kwel kuna uhalisia hapo..kilasiku nguo izo izo.!!?
@jamilashabani85808 күн бұрын
😂
@ChachaMasaga-t2q8 күн бұрын
Love changanya itakuuwa
@MwaJuma-x3t9 күн бұрын
Hellow team strong leo nimewahi msininyime😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
@philetundo8 күн бұрын
Pitia hapa Riyadh tuangalie wote 😅😅
@MwaJuma-x3t8 күн бұрын
@philetundo nko Hail dear nakupenda
@philetundo8 күн бұрын
@MwaJuma-x3t nakupenda pia ❤️
@MwaJuma-x3t8 күн бұрын
@@philetundo ya hayat shkran
@ConfusedBalkhHound-on2mx9 күн бұрын
Yan huyu Suzi sio rafiki mwema
@MaryamIsmaeel-v3i9 күн бұрын
Haya lisa ba mkwe anaumwa,kazi unayo.ila huyo suzy muuaji kabisa hafai kwenye jamii😂😂😂😂😂
Wa kwanza kwenye lissa nipeni likes leo jamani hata 10.. please guys wwe lissa mwongo hila punde yatakutokea puani natoka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪...nawapenda nyote🥀🥀🥀🥀