This was the greatest band in TZ. Whenever they had a government function , Marquis was invited to entertain the crowd. Congratulations to the band leader King Kikii. Your voice is unique & cannot be found elsewhere Though you are not in good health, but we'll remember Marquis Band forever.
@florencehaji31195 жыл бұрын
Asante kwa huu wimbo unanikumbusha mbali sana Dora ni dadaangu yupo hadi leo wakati huo alikua mrembo. Mno
@ulediuledii4885 жыл бұрын
Dora mtoto wa dodoma nakumbuka mbali sana bwana mkubwa kikii sio mchezo naitwa fundi shabani mkalimoto wa mabibo
@suleimanjabir82710 жыл бұрын
This was the first and original Marquis du Zaire: Chinyama Chiyaza; Saxaphone-Band Leader, Vocals: King Kiki, Mbuya Makonga, Kabeya Badu. Mutombo Litungula Odax, Solo: Nguza Viking and 2nd Solo: Ilunga Lubaba, Rythm: Mulenga Kalonji, Bass: Ilunga Banza Mchafu, Others were: Chibangu Katayi, Kanku Kelly (trumpet), Iluga Ngoyi, Bambu Kelly, Ngoi Mubenga, Mutombo Sozy (Conga and Drrums), Nkulu wa Bangoi (Trumpet), Mukuna Roy (Tena Sax). All those I can remember, I'm subject to be corrected. Ndio uungwana, kwani makosa hayana mwenyewe. Sisi sote si wakamilifu. God is Great and Always Good!!
@jamesangana_lingalarumbainstit2 жыл бұрын
Thank you
@jamesangana_lingalarumbainstit Жыл бұрын
Oh leki oh nakufa bure-oh my young one I'm suffering/dying
@josiahkulwa34Ай бұрын
Hakika Wimbo huu unanikumbusha mbali sana
@lutendamomkisi81602 жыл бұрын
What old good days
@Mshini9103 жыл бұрын
Mpakani pale Mwenge Ilikuwa ni motoo miaka hiyo!!
@afuani45232 жыл бұрын
Hakika kweli ya kale ni dhahabu, kwani vitu hivi ni adimu sana kuvipata siku hizi.
@azaliamwimbe21448 жыл бұрын
Hao walikua ndio mainjinia wa muziki, kwani walikua wanauwezo wa kufanya utafiti wa muziki na kuweza kuutengeneza manual, na kila mshiriki na chombo chake na atakapowajibika na mapigo yake. Hawa ndio wahandisi wa muziki na magwiji. Turudi NA KUWAENZI KWA VITENDO.
@jamesangana_lingalarumbainstit2 жыл бұрын
Ukweli
@jaafarmkatta13367 жыл бұрын
Nakumbuka wakati huo redio moja tu RTDV .Hiyo rithim inanikumbusha mbaaali. Mm CHIIKALA CHIKAUJA
@makumbele15 жыл бұрын
unachie wangu eeh, mama eeh ni wangu eeh... tumeshazoeana eeeh mwana Dodoma!!! Dekula, mbona leo lazima nile ugali!!! kumbukumbu nyingi sana.. aaah maisha...
@MrSinafungu14 жыл бұрын
NI ILE MARQUIS halisi, nakumbuka hapa bado niko shule ya msingi nahisi ni miaka ya sabini na tisa kwenda themanini kama sijasahau
@wesnsomba7 жыл бұрын
Nilimaliza shule ya msingi 1979. So we must be the same age. Nilisoma sekondari Dodoma, hata Dora alieimbwa kwenye wimbo huu niliwahi kumuona. Alikuwa mfanyakazi RTC if I remember correctly
@azaliamwimbe21448 жыл бұрын
TUWE NA WIVU WA MAENDELEO YA DHATI BILA KUDHURU WALA KUJERUHI KWA MANUFAA YA VIZAZI VYETU.
@azaliamwimbe21448 жыл бұрын
TUAMKE, NA TUSIMAME NA TUELEKEE KWENYE MALENGO YENYE KULETA MAENDELEO HALALI.
@DavidJohn-wv9yt9 жыл бұрын
Yakale ni dhahabu bwana!!
@CharlesNazi9 жыл бұрын
Maqis Original inatukumbusha mbali utazipata Mwanza
@jamesnselle9348 жыл бұрын
Sulemani hilo solo guitar lilpigwa na Ikunga Lubaba. Ila sax ya Chinyama imeniacha hoi kwenye wimbo.
@asrams15 жыл бұрын
hahaha wazee wa zamani mlifaidi.. hahaha
@papaakea68927 жыл бұрын
asrams nakumbuka mbali sana
@najmasaleh92313 жыл бұрын
Hata ww subiri za kina Nasibu Abdul (Diamonds)utafaidi pia ukija kuona video zake anashika kiuno anakatika mara aonyeshe nguo za ndani utakuwa unafurahi tu
@afuani45232 жыл бұрын
Hakika kweli ya kale ni dhahabu, kwani vitu hivi ni adimu sana kuvipata siku hizi.
@nebertterrah551Ай бұрын
Hasante kwa huo mpangilio. Si kuwahi kuwaona kihalisi lakini ilikuwa bendi yangu bora huko TZ. Hongera King Kikii kwa sauti ya kipekee.