Dora Mtoto wa Dodoma/Orch.Maquis "Kamanyola Bila Jasho"

  Рет қаралды 70,550

Dekula2 Band [official]

Dekula2 Band [official]

Күн бұрын

Пікірлер: 28
@nebertterrah551
@nebertterrah551 9 ай бұрын
This was the greatest band in TZ. Whenever they had a government function , Marquis was invited to entertain the crowd. Congratulations to the band leader King Kikii. Your voice is unique & cannot be found elsewhere Though you are not in good health, but we'll remember Marquis Band forever.
@florencehaji3119
@florencehaji3119 5 жыл бұрын
Asante kwa huu wimbo unanikumbusha mbali sana Dora ni dadaangu yupo hadi leo wakati huo alikua mrembo. Mno
@ulediuledii488
@ulediuledii488 5 жыл бұрын
Dora mtoto wa dodoma nakumbuka mbali sana bwana mkubwa kikii sio mchezo naitwa fundi shabani mkalimoto wa mabibo
@suleimanjabir827
@suleimanjabir827 10 жыл бұрын
This was the first and original Marquis du Zaire: Chinyama Chiyaza; Saxaphone-Band Leader, Vocals: King Kiki, Mbuya Makonga, Kabeya Badu. Mutombo Litungula Odax, Solo: Nguza Viking and 2nd Solo: Ilunga Lubaba, Rythm: Mulenga Kalonji, Bass: Ilunga Banza Mchafu, Others were: Chibangu Katayi, Kanku Kelly (trumpet), Iluga Ngoyi, Bambu Kelly, Ngoi Mubenga, Mutombo Sozy (Conga and Drrums), Nkulu wa Bangoi (Trumpet), Mukuna Roy (Tena Sax). All those I can remember, I'm subject to be corrected. Ndio uungwana, kwani makosa hayana mwenyewe. Sisi sote si wakamilifu. God is Great and Always Good!!
@jamesangana_lingalarumbainstit
@jamesangana_lingalarumbainstit 2 жыл бұрын
Thank you
@jamesangana_lingalarumbainstit
@jamesangana_lingalarumbainstit Жыл бұрын
Oh leki oh nakufa bure-oh my young one I'm suffering/dying
@josiahkulwa34
@josiahkulwa34 Ай бұрын
Hakika Wimbo huu unanikumbusha mbali sana
@lutendamomkisi8160
@lutendamomkisi8160 2 жыл бұрын
What old good days
@Mshini910
@Mshini910 3 жыл бұрын
Mpakani pale Mwenge Ilikuwa ni motoo miaka hiyo!!
@afuani4523
@afuani4523 2 жыл бұрын
Hakika kweli ya kale ni dhahabu, kwani vitu hivi ni adimu sana kuvipata siku hizi.
@azaliamwimbe2144
@azaliamwimbe2144 8 жыл бұрын
Hao walikua ndio mainjinia wa muziki, kwani walikua wanauwezo wa kufanya utafiti wa muziki na kuweza kuutengeneza manual, na kila mshiriki na chombo chake na atakapowajibika na mapigo yake. Hawa ndio wahandisi wa muziki na magwiji. Turudi NA KUWAENZI KWA VITENDO.
@jamesangana_lingalarumbainstit
@jamesangana_lingalarumbainstit 2 жыл бұрын
Ukweli
@jaafarmkatta1336
@jaafarmkatta1336 7 жыл бұрын
Nakumbuka wakati huo redio moja tu RTDV .Hiyo rithim inanikumbusha mbaaali. Mm CHIIKALA CHIKAUJA
@makumbele
@makumbele 15 жыл бұрын
unachie wangu eeh, mama eeh ni wangu eeh... tumeshazoeana eeeh mwana Dodoma!!! Dekula, mbona leo lazima nile ugali!!! kumbukumbu nyingi sana.. aaah maisha...
@MrSinafungu
@MrSinafungu 14 жыл бұрын
NI ILE MARQUIS halisi, nakumbuka hapa bado niko shule ya msingi nahisi ni miaka ya sabini na tisa kwenda themanini kama sijasahau
@wesnsomba
@wesnsomba 7 жыл бұрын
Nilimaliza shule ya msingi 1979. So we must be the same age. Nilisoma sekondari Dodoma, hata Dora alieimbwa kwenye wimbo huu niliwahi kumuona. Alikuwa mfanyakazi RTC if I remember correctly
@azaliamwimbe2144
@azaliamwimbe2144 8 жыл бұрын
TUWE NA WIVU WA MAENDELEO YA DHATI BILA KUDHURU WALA KUJERUHI KWA MANUFAA YA VIZAZI VYETU.
@azaliamwimbe2144
@azaliamwimbe2144 8 жыл бұрын
TUAMKE, NA TUSIMAME NA TUELEKEE KWENYE MALENGO YENYE KULETA MAENDELEO HALALI.
@DavidJohn-wv9yt
@DavidJohn-wv9yt 9 жыл бұрын
Yakale ni dhahabu bwana!!
@CharlesNazi
@CharlesNazi 9 жыл бұрын
Maqis Original inatukumbusha mbali utazipata Mwanza
@jamesnselle934
@jamesnselle934 8 жыл бұрын
Sulemani hilo solo guitar lilpigwa na Ikunga Lubaba. Ila sax ya Chinyama imeniacha hoi kwenye wimbo.
@asrams
@asrams 15 жыл бұрын
hahaha wazee wa zamani mlifaidi.. hahaha
@papaakea6892
@papaakea6892 7 жыл бұрын
asrams nakumbuka mbali sana
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 3 жыл бұрын
Hata ww subiri za kina Nasibu Abdul (Diamonds)utafaidi pia ukija kuona video zake anashika kiuno anakatika mara aonyeshe nguo za ndani utakuwa unafurahi tu
@afuani4523
@afuani4523 2 жыл бұрын
Hakika kweli ya kale ni dhahabu, kwani vitu hivi ni adimu sana kuvipata siku hizi.
@nebertterrah551
@nebertterrah551 Ай бұрын
Hasante kwa huo mpangilio. Si kuwahi kuwaona kihalisi lakini ilikuwa bendi yangu bora huko TZ. Hongera King Kikii kwa sauti ya kipekee.
Walimwengu by Maquis Original
6:38
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 69 М.
Mbaraka Mwinshehe - Shida
7:54
Africha Entertainment
Рет қаралды 1,5 МЛН
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,9 МЛН
兔子姐姐最终逃走了吗?#小丑#兔子警官#家庭
00:58
小蚂蚁和小宇宙
Рет қаралды 10 МЛН
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 35 МЛН
Double Double by Nguza Viking & Orchestra Maquis
7:17
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 56 М.
Masantula "Mtoto wa mjini"
5:42
muzikifan
Рет қаралды 23 М.
Mokili/ Orch.Maquis "Telemuka Chekecha"
7:07
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 179 М.
Karubandika
7:13
Kasalo Kyanga - Topic
Рет қаралды 11 М.
Salza by Orch. Maquis Original "Kamanyola Bila Jasho"
6:34
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 66 М.
Nalala kwa taabu
7:33
Bongo Records
Рет қаралды 3,6 М.
Karubandika by Kasaloo Kyanga & Orch.Maquis Original(Zembwela)
8:13
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 172 М.
Orchestra Maquis Original - Niweve Pekee
7:00
dinkotom
Рет қаралды 374 М.
Shemeji/Orchestra Maquis Original OMACO Ltd
5:28
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 53 М.
Ngalula
6:30
Tshimanga Kalala Assosa - Topic
Рет қаралды 24 М.
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,9 МЛН