DOTTO MAGARI AMJIBU BABA LEVO BAADA YA KUMUITA TEJA/ BOSS WAKE NDO TEJA.

  Рет қаралды 42,296

BinaTv

BinaTv

8 ай бұрын

Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
#alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv

Пікірлер: 81
@user-hs1en8dm7n
@user-hs1en8dm7n 7 ай бұрын
Unakosea kwa Mwenyezi Mungu nguruwe kharamu unamkosea Sana Alla
@hassanmichael7068
@hassanmichael7068 7 ай бұрын
Hili jamaa Senge sana una uhakika gani kama mlimani city wanaibia wateja
@starjay3052
@starjay3052 8 ай бұрын
kazi anayo 😁😁🤣🤣🙌🙌💥💥🔥🔥✅
@peterganga9924
@peterganga9924 8 ай бұрын
Basibasi doto inatosha🙌😂😂
@JacklineNamundengozi
@JacklineNamundengozi 8 ай бұрын
Dotto ❤🙌
@user-nl6wu6cq1i
@user-nl6wu6cq1i 8 ай бұрын
Nakukubali sanaa 😊😊
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Munaomchokoza dotto kazi munayo kwann munamchokoza uyo mzaramo afu muhuni ngoja awanyoosheni mwamba namkubali sana dotto nakukubali sana aisee uyo mtoto wa mjini dotto muhuni kitambo
@nasorobilali255
@nasorobilali255 8 ай бұрын
Dah!mwamba huyu hapa😅😅😅😅😅😅
@Jingu2
@Jingu2 8 ай бұрын
Media very stupid..utafungiwa unaruhusuje mtu kutaja biashara ya watu??
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 8 ай бұрын
Nakuelewa Doto keto😂😂😂
@idrisajuma9314
@idrisajuma9314 8 ай бұрын
Doto safi sana upo vzr hakuwez kaka fanya kazi
@jamesmachiwa3679
@jamesmachiwa3679 8 ай бұрын
Una madharau Aisee unatukana watu
@mwakiosalim2914
@mwakiosalim2914 8 ай бұрын
MbonA nko kenya nakukubali sana Dotto magari
@AbuuIssa-ei8wi
@AbuuIssa-ei8wi 3 ай бұрын
Doto uko vizur
@asiyasunsocker3025
@asiyasunsocker3025 8 ай бұрын
Kweli Doto riziki mwanzo wa chuki i see.furahia maisha mtoto wa kino mwenyewe wakaribishe mjini haoo
@charlesmentod7314
@charlesmentod7314 8 ай бұрын
Daaaaah
@user-vl2ux2wl2l
@user-vl2ux2wl2l 8 ай бұрын
Kakaaa Doto Magari, au Mzee wa kuwanyoosha vibwengo machawa.
@kassimhashi49
@kassimhashi49 7 ай бұрын
safi sana
@AhmedMohamed-mw3ev
@AhmedMohamed-mw3ev 8 ай бұрын
Huyu doto unga umemuathiru nguruwe anasema siharamu halafu ndo mtoto wa kiislam dah Allah amsameh
@mohamedally5225
@mohamedally5225 8 ай бұрын
Kwan ni Muslim hiyo mbn misalaba
@leonardmhagama5828
@leonardmhagama5828 8 ай бұрын
Nawe kama mbuyu kumbe huna tu Mpua😊😊😅😅
@richardsalala9147
@richardsalala9147 8 ай бұрын
Nani kakuambia muislam huyo? Au kwakuwa umesikia ni mzaramo?😅
@AhmedMohamed-mw3ev
@AhmedMohamed-mw3ev 8 ай бұрын
@@richardsalala9147 hahahaha
@salumuseif3324
@salumuseif3324 8 ай бұрын
Gala B 😂😂
@hamzamoshi8275
@hamzamoshi8275 8 ай бұрын
Kwaiyo mnaenda kumuhoji ili awatukane watu, kwaiyo nae uyu muandishi
@user-hl4eb8ct7l
@user-hl4eb8ct7l 8 ай бұрын
Much love from 🇰🇪
@user-cw7gz2jp7z
@user-cw7gz2jp7z 8 ай бұрын
www qqqqqqqqwqqqqwqqwqqqqwqqqqwwqqqqqqqqwqq😂wwqqqqqqqq😂😂😂qqwqqq😂qqqqqqqqwqqqqwqqwqq😂qqqqqqwwqqqqqqqqqqqqqwqqqqqqqqqq😂q😂qqw😂qqqqqqqqwqqw😂qqqqqqqqqqqq😂qqqq😂q😂qqqq😂qqqqqqqqwwwqqq😂q😂qqqq😂wqww😂qwq😂qqq😂qq😂wq😂qq😂q😂qqww😂q😂qwwwqqqqwqq😂q😂q😂q😂qqq😂qqqwqq😂q😂qq😂😂wq😂qq😂q😂q😂q😂wqqqqqqq😂q😂qqq😂wq😂qqq😂qq
@user-cw7gz2jp7z
@user-cw7gz2jp7z 8 ай бұрын
Wwqqqq😂😂q😂q😂qqqqqqqqwqqqqwqqwqqqqqqqqqqwqqqq😂q😂qq😂qq😂q😂wwqq😂qqqqq😂q😂wwq😂qqw😂qqqqqqqqq😂qq😂😂qqqqqq😂😂qqqqqqqq😂qwqqwqqqqqqqqqqwqqqqqqqqw😂😂qqwqwqqqqwqqqqwqqwqqq😂😂qqqwwwq😂qwqq😂q😂😂qqqq😂qwq😂wwwqqqqqqq😂qq😂q😂qq😂qwqqqqwwqq😂qqq😂qqq😂qqqqqqqqqq😂😂q😂q😂😂q😂wwq😂😂q😂q😂wqqq😂😂wqqqq
@DebabaFikirini
@DebabaFikirini 3 ай бұрын
Nikweli ndoto anavuta unga natena anahakili
@user-xc8wk2md6c
@user-xc8wk2md6c 8 ай бұрын
Doto uk vzr
@mosesnjorogekinuthia5621
@mosesnjorogekinuthia5621 8 ай бұрын
Dotto magari nimekukumbali Sana kutoka Nairobi Kenya nangojea ile siku utapiga babalevo madondi
@user-sx9wy2ru5n
@user-sx9wy2ru5n 7 ай бұрын
Mzalamo mwenzangu nakukubal huna baya Kwa kujiamin
@mosesjnr8436
@mosesjnr8436 8 ай бұрын
😂😂😂 msenge anaongea
@jastinedaudi-qi9vr
@jastinedaudi-qi9vr 8 ай бұрын
Daah😂😂😂😂😂😂😂
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Dotto nkukubali kaka
@mathewungani9724
@mathewungani9724 8 ай бұрын
MAPUA
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
🤣😂🤣😂😂eti magari sokoni dotto waone uruma wameyatimba eti umetokea wapi🤣🤣🤣
@BabiLax-zh8kk
@BabiLax-zh8kk 8 ай бұрын
Ila kwelii huyu anaonekana kama teja
@Alexthadey-lm3ju
@Alexthadey-lm3ju 8 ай бұрын
Duuuh baba level na mwijaku kwa chuma hiki kazi mnayo mtapotea mjini
@leonardmhagama5828
@leonardmhagama5828 8 ай бұрын
Duuuh kaz wanayo aseee🙌🙌🙌 hug apa kiboko
@charleskaozya9924
@charleskaozya9924 8 ай бұрын
Hahahaha dotto anaongea anaonesha MADODI😂😂😂 yake mwanzo mwisho
@salhajuma3333
@salhajuma3333 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Daaah kaka
@sadicknyahi7312
@sadicknyahi7312 7 ай бұрын
Umeniudh kumwita mwenzio mapua
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Baba levo kayatimba😂🤣😅🤣
@JudithFrad-nk1di
@JudithFrad-nk1di 8 ай бұрын
Mm napenda anavoongea
@user-pw8pc3by8p
@user-pw8pc3by8p 8 ай бұрын
Nissan jux😂 ila dotto ❤❤
@user-hs1en8dm7n
@user-hs1en8dm7n 7 ай бұрын
Wewe ni muislam unasali kesho utakwenda kuhukumiwa
@kingmzara3124
@kingmzara3124 8 ай бұрын
Mwambie na hapa ipo😅😅
@user-qm3hb4sz7y
@user-qm3hb4sz7y 8 ай бұрын
Doto anajielewa sana
@obeydmwemezi3663
@obeydmwemezi3663 7 ай бұрын
Ko unataka mechi na mhaya..😅
@kulatendaudi7671
@kulatendaudi7671 8 ай бұрын
kizimkaz wamekuitwa
@ibrahimyakubu2765
@ibrahimyakubu2765 7 ай бұрын
Upo poaw kk umenyooka chakochako hela zao
@idrisajuma9314
@idrisajuma9314 8 ай бұрын
Kweli talee ni big boss kabisa hajakosea kabisa
@muddysharo7699
@muddysharo7699 8 ай бұрын
😂😂😂
@bentez911
@bentez911 8 ай бұрын
Dotto magari namkubali sana uyu sio muongo amenyooka
@user-ht7ik5wy8h
@user-ht7ik5wy8h 8 ай бұрын
Ni muongo pia sana tuu...
@jamesmachiwa3679
@jamesmachiwa3679 8 ай бұрын
Kwa iyo Viwete siyo Watu???
@user-pw2dv7sp9c
@user-pw2dv7sp9c 8 ай бұрын
Msukuma ajawah kua chawa we n muha ulie zamia usukuman
@user-mo3xs7fh3e
@user-mo3xs7fh3e 8 ай бұрын
Doto nikija Tz nakutafuta
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 8 ай бұрын
nikweli Makanisani wameeka mpaka viti vya VIP masofa set na wengine hohehahe kwenye viti vya plastic😅 sasa huo si ni udhalilishaji tena kwenye nyumba ya ibada...ila wako na macho lakini hawaoni kama kawaida yao,kama huani angalia reply za ubishi👇👇👇
@hamadhamis9763
@hamadhamis9763 8 ай бұрын
Nahiyo ogopa utakuja kutuambia umeianzisha wewe kumbe ni yadogo wa ushilombo
@nassorsaid7445
@nassorsaid7445 8 ай бұрын
Chafu😂😂😂
@bonabonala5559
@bonabonala5559 8 ай бұрын
doto upo juu achana na huyo mapua mama levo mshamba
@MussaSongo-fd1ex
@MussaSongo-fd1ex 8 ай бұрын
Wewe h baba siyo msukuma ni muha mwijaku boy mmanyema wewe. Msukuma utakuwa wewe
@richardsalala9147
@richardsalala9147 8 ай бұрын
Ni msukuma huyo kwao ni misungwi
@damianwambura8314
@damianwambura8314 8 ай бұрын
Hujasabuscrubu?????
@eddsonjeremiah6669
@eddsonjeremiah6669 8 ай бұрын
Kumbe junky
@kwadukassim2568
@kwadukassim2568 8 ай бұрын
Doto mzee baba mimi Ninakushauri kwasababu sasaivi wewe ushakua staa mkubwa kwiyo imba nyimbo hata1tu ya kuzingua Itasikilizwa na wa2 wengi tena kama vipi tuimbe na mimi unitoe kupitia wewe yaani we ni brand kubwa
@denisjoel1592
@denisjoel1592 8 ай бұрын
Wambie Mr influence waelewe
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 8 ай бұрын
Ata kwa Wakristo ngurue amekataliwa sio Waislam tu,ila ujanja na maneno mengi yakiwa mengi unaona nkama maendeleo! ndo juzi Sheikh kasema ukiona ujinga unaubadilishaa jina ukauita maendeleo ujue huna akili
@kwisa4899
@kwisa4899 8 ай бұрын
ukristo mgumu sana maneno mengi yapo kimafumbo ,utofauti wa ukristo na uislam waislam wanameza maneno kama yalivyo wagumu kuelewa
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 8 ай бұрын
@@kwisa4899 sasa kwa kweli,ebu niambie andiko la Walawi limesema ngurue tusile nyama yake inamaanisha nn,kwa kikristo,sio kila kitu kimefichwa maana,hapo katajwa mnyama mwenyewe,ebu niambie Mungu alimaanisha nn aliposema watu wasile wala kugusa nguruwe? please maana wanyama wapo wengi lakini apo katajwa ngurue direct
@aliaden5512
@aliaden5512 3 ай бұрын
teja kafiri
@samirshaban1663
@samirshaban1663 8 ай бұрын
Mbona mapua Alisha sababisha wasafi kufungiwa
@user-hl4eb8ct7l
@user-hl4eb8ct7l 8 ай бұрын
Jamaa kasema ukwel baba levo,hana akili timamu
@starjay3052
@starjay3052 8 ай бұрын
kazi anayo 😁😁🤣🤣🙌🙌💥💥🔥🔥✅
@chrispinrafael3831
@chrispinrafael3831 7 ай бұрын
Uyu jamaa awamuwezi Bora mnyamaze uyu mzalamo
@bonabonala5559
@bonabonala5559 8 ай бұрын
doto upo juu achana na huyo mapua mama levo mshamba
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 24 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 52 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 37 МЛН
UTACHEKA VITUKO VYA DOTTTO MAGARI WASAFI, AJIITA 'BOSS LADY'😂
6:50
Слепой перехитрил свою жену😳
1:00
Kino_sh
Рет қаралды 11 МЛН
КАК ВЫЖИТЬ В АВИАКАТАСТРОФЕ✈️
0:25
MEXANIK_CHANNEL
Рет қаралды 4,8 МЛН
БАЧОК ПОТИК
0:22
KINO KAIF
Рет қаралды 3,9 МЛН
100❤️
0:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 14 МЛН
МЛАДШАЯ СЕСТРА И МОРОЖЕНОЕ ИЗ АРБУЗА
0:41
ОЛЯ ПЕРЧИК
Рет қаралды 2 МЛН