Dr. Chris Mauki: Faida 4 za migogoro kwenye mahusiano na ndoa

  Рет қаралды 21,087

Chris Mauki

Chris Mauki

Күн бұрын

Пікірлер: 51
@kabwefrancine99
@kabwefrancine99 2 жыл бұрын
Shucrani baba hata mimi ya menitokea mazito sana bahada ya kugombana na mwenza wangu yale makosa ambayo nilikuwa simwambii kipindi atuja gombana lakini sasa kipindi tuna gombana nime yahongea yote ya moyoni na kuya tamka na yeye ana tamka ya kwake ,kwa sasa mimi niko na jirekebisha hata bila kumwambia , pia na yeye na hanza hona mabadiriko mazuri kabisa kutoka kwake , ana hanza badirika bila yeye kuni hambia ,somo nzuri kaka
@rhodasaid3262
@rhodasaid3262 2 жыл бұрын
Asante hakika kwenye darasa lako sijawahi kutoka tupu. BWANA akutunze na kukupigania daima, Amen!
@aminakarisa2721
@aminakarisa2721 2 жыл бұрын
Natoka kenya...asante sana chris kwa ushauri wako I appreciate you
@asteriashios1852
@asteriashios1852 6 ай бұрын
Hivi Dr ulijulia wapi mambo ya kweli namna hii ama kweli mungu Kuna karama ameziweka Kwa watu wake hongera hivi mke wako si ana Raha sana yeye ndo alipata mume kamili ana Kila sababu ya kumshukuru mungu hongera sana Mzee cris
@EvodiaMtenga
@EvodiaMtenga 10 күн бұрын
Duuuuuh Ahsante Sanaa Dr🙏🙏🙏
@OdetteKahambu
@OdetteKahambu 5 ай бұрын
Aksante sana baba kwa mafunzo. Haya migogoro yalisha wai kunitoke. Kiisha réconciliation,tume kuwa Na mausiano Mazurie sana.
@MesiusKaroli
@MesiusKaroli 5 ай бұрын
Asante sana Dr nmejifunza sana jamaniiii
@claraeliethi7176
@claraeliethi7176 2 жыл бұрын
Asante doctors nimejifunza mengi kupitia wewe
@mafadakilimo2200
@mafadakilimo2200 2 жыл бұрын
Chris Mauki Noma!
@dancansaka5004
@dancansaka5004 2 жыл бұрын
Natoka Kenya Asante sana Cris mauki
@LissaGodson
@LissaGodson 14 сағат бұрын
Umeongea ukweli mtupu
@neemashirima6121
@neemashirima6121 2 жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri
@queenmakere2849
@queenmakere2849 2 жыл бұрын
Asantee dr criss kwa somo zurii
@jennytugara9470
@jennytugara9470 2 жыл бұрын
Wow yaani hapo ndio kweli utajua makucha ya Mtu!!!
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Acha tu
@rejinajoseph2994
@rejinajoseph2994 9 ай бұрын
Nimepata kitu kwenye masomo yako mungu akupiganie
@chadasjames8856
@chadasjames8856 2 жыл бұрын
You always spot on SIR🙏🙏🫡
@joyceluambano2931
@joyceluambano2931 2 жыл бұрын
Asante Kwa elimu hii nzuri.
@juliealex7214
@juliealex7214 2 жыл бұрын
Asantee kaka Kwa darasa lako nimeelewa🙏🙏
@ruthmbuya6601
@ruthmbuya6601 2 жыл бұрын
Nimekuelewa Sana
@ruthmunyasya4499
@ruthmunyasya4499 2 жыл бұрын
wow nimependa sana mafundisho yako mchungaji ubarikiwe sana kwa kuponya ndoa zetu.
@habi78121
@habi78121 2 жыл бұрын
Asanteh Dr
@miriamandrew5783
@miriamandrew5783 2 жыл бұрын
Dr masomo yako ni mazuri
@HamidakomboKombo-xs2ju
@HamidakomboKombo-xs2ju Жыл бұрын
Kweli kabisaaaaa
@jovithersarufu6082
@jovithersarufu6082 2 жыл бұрын
N kwel kabsa
@abubakarirajabu3947
@abubakarirajabu3947 Жыл бұрын
Najifunza vitu vingi sana kupitia masomo yako yananijenga sana
@Udindigwa
@Udindigwa Жыл бұрын
Amina
@abubakarirajabu3947
@abubakarirajabu3947 Жыл бұрын
Kweli doctor ata mm uyu mwanaume amepadirika sn
@neemaelijah760
@neemaelijah760 2 жыл бұрын
Nimedaka hii
@ummkolthumkoalthum3271
@ummkolthumkoalthum3271 2 жыл бұрын
Sahihi🥂
@calorinyfrancis8682
@calorinyfrancis8682 7 ай бұрын
@sarahnicodem6336
@sarahnicodem6336 2 жыл бұрын
God bless you 🙏
@gloriakawago6223
@gloriakawago6223 2 жыл бұрын
Asante sana Dr chriss Mauki, yoote umesema ni sahihi
@hassanharuna1519
@hassanharuna1519 2 жыл бұрын
Nikweli
@khaylulykessy7111
@khaylulykessy7111 2 жыл бұрын
Salute broo 🙌🙌🎤🎤
@megatbae3400
@megatbae3400 Жыл бұрын
Nikama sisi ndio tunaongelewa hapa.mgogoro kila mara, tunanyamaziana,,mala puuuh anaanza kuongea tena🤣🤣
@louismwero7842
@louismwero7842 2 жыл бұрын
Asante
@onlinemarketingplace310
@onlinemarketingplace310 2 жыл бұрын
1 waiting
@happyhaule5865
@happyhaule5865 Жыл бұрын
Kama umeona kwangu
@shijalupondeja908
@shijalupondeja908 2 жыл бұрын
Nashukru kuna kitu nimejifunza hapa,maana jana tu nimetoka kugombana na Mama mtoto wangu
@briyanna8139
@briyanna8139 Жыл бұрын
👍
@Lily-xw6hg
@Lily-xw6hg 11 ай бұрын
Amina baba uko vizur
@ashamwilawa23
@ashamwilawa23 2 жыл бұрын
🙏🙏😍😍
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 жыл бұрын
Asntee kaka
@NZAMUYEJoseph
@NZAMUYEJoseph 12 күн бұрын
Huyu ni Doctor chiris je? Unataka kujuwa mwanafunzi wake ngusa profile ushuhudie chris wa pili kazuba paulo
@jamilahathumani4222
@jamilahathumani4222 2 жыл бұрын
Nikwer niliona Hilo mda mrefu Yani,,hata mim nimuelewa Sana Kama wewe Kaka,,Yani umeongea point tupu Yani,,nikwer yoote yan
@tausisalum4052
@tausisalum4052 2 жыл бұрын
Naomba namba yako
@severinemngulu.3471
@severinemngulu.3471 2 жыл бұрын
Dr tufanye nini tunapohisi kuchoka au kuchoshwa na jambo flani,
@sarahkidanha7201
@sarahkidanha7201 2 жыл бұрын
Duuuh kumbe
@RahelMrope
@RahelMrope Ай бұрын
😂😂😂😂
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 26 МЛН
Não sabe esconder Comida
00:20
DUDU e CAROL
Рет қаралды 55 МЛН
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
Dr. Chris Mauki: Athari 7 za kutokusamehe na kubeba vitu moyoni
9:18
NAMNA YA KUDHIBITI HASIRA.
3:18
Riziki Mwaikugile
Рет қаралды 2,1 М.
FAIDA 5 ZA MIGOGORO KWENYE MAHUSIANO
8:52
FAFANUO MEDIA
Рет қаралды 641
Dr. Chris Mauki - Dalili 4 Kwamba Mpenzi Wako Amekuchoka
9:36
Chris Mauki
Рет қаралды 4,9 М.
Fix You: Hii ndio misingi ya ndoa yenye Afya!
1:10:32
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 1,9 М.
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 26 МЛН