Dr. Chris Mauki: Mambo 6 ya kuongeza ujanja wako kwenye mahusiano

  Рет қаралды 97,117

Chris Mauki

Chris Mauki

Күн бұрын

Пікірлер: 289
@leylasaid3629
@leylasaid3629 Жыл бұрын
Jenga uaminifu Jiwekee mipaka Ongeza uwezo wako wa kuwasiliana Onyesha kiu ya kudumu Angalia uhitaji na uelewe uhitaji wa kihisia wa mwenzako Fahamu madhaifu yako
@neemamboya99
@neemamboya99 Жыл бұрын
Kaka Mungu akubariki sana kwa kuwa vipindi vyako ni halisi na kweli. Nmejifunza mengi mno kupitia vipindi vyako.wakat mwingine nikikwama huko huwa nakuja kutafuta huku nijue makosa yangu kisha narud kwenda kutengeneza nilipokosea🙏 Mungu akuweke zaidi na zaidi
@AbeliMshani
@AbeliMshani Жыл бұрын
E bwana Dr Chris mauki uko vizuri nitakufuta siku Moja tuongee
@ElizabethKapinga-u6b
@ElizabethKapinga-u6b 12 күн бұрын
Amina najifunza kitu huo ujanja unanigusa ktk uchumba wangu Asante mjori wa mungu
@bakarpandu1142
@bakarpandu1142 2 жыл бұрын
Asante doctor nashkuru kwa mchango wako kidogo nimefarajika lkn naomba no. yako nikueleze zaid nlonayo moyoni mwangu asante 🙏.
@miriumsirmwechengo
@miriumsirmwechengo 10 ай бұрын
Mimi ni mwanandoa nampenda sana mume. Wangu sana na nipo huru kiasi flani kwake ila yeye hawezi kurudisha upendo namaanisha naweza mwandikia txt yenye hisia kuhusu penzi letu ila yeye akajibu kwa ufupi na maneno machache TU me nikiwa namhitaji Huwa namwambia lakini mara nyingi anadai amechoka inaniuma coz hatumii lugha rafiki sana kunifikishia ujumbe nakwazika kwenye hili haswa
@ChristineRobert-i6k
@ChristineRobert-i6k 8 ай бұрын
Niko Kwa kiatu kama hicho
@frida-oi6kw
@frida-oi6kw Ай бұрын
​@@ChristineRobert-i6k😂😂😂😂😂 pole
@paulinpendo7497
@paulinpendo7497 Жыл бұрын
Asante sana doctor nimejufunza kitu
@fadhilanassor426
@fadhilanassor426 2 жыл бұрын
I appreciate your lessons Dr.chris long live Dr
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
Hapo kwenye miipaka nimepaelewa vzr,,,,,be blessed
@kastangonyani4068
@kastangonyani4068 2 жыл бұрын
Nafurahishwa sana na masomo Yako,endelea kutufundisha Ili tuweze kujenga mahusiano yetu na ndoa zetu zipate kudumu zaidi na Mungu akubariki
@julia99francess13
@julia99francess13 Жыл бұрын
Kwakweli Asante maana kuna mabadiliko nime ona kupitiya video zako Asante sana ♥️
@bertilalaurent
@bertilalaurent Жыл бұрын
Asante Sana kwa somo hili ni mara yangu kwanza kusikiliza hili somo nimesikiliza ujumbe kama tatu hiv nimejifunza kitu je kunauwezekano wa kuongea kupitia sm maana mengine ni Siri ya mtu kwa msaada zaidi mm niko mwanza niko kwenye ndoa Nina watoto asante kwa somo
@jamillajackson2165
@jamillajackson2165 2 жыл бұрын
Nipo kagera nimeipenda na nimejifunza Asante
@elizabethgodblessmalanga2726
@elizabethgodblessmalanga2726 3 жыл бұрын
Thanks so much dr. Chris nakufatiliya kutoka Kenya
@stupidgenius2864
@stupidgenius2864 3 жыл бұрын
Chris nime shukuru sana kwa hii mawaidha yako mimi niko na shida kuhusu mausiano na mume wangu tafadhali naomba namba yako tuonge niko Kenya
@leinashabani1386
@leinashabani1386 Жыл бұрын
doct but iseeee umeniimarisha Sana now am happy because of you 🙏🙏🙏Mungu akuweke
@AmoncaMkobwe
@AmoncaMkobwe 7 ай бұрын
Mda ni mchache mambo ni mengi Asante Kwa somo zuri
@dadaumulisa7088
@dadaumulisa7088 Жыл бұрын
Asante Sanaa ubarikiwe.Watching you from Australia
@rithamlacha5403
@rithamlacha5403 Жыл бұрын
Yaani leo nimetenga muda kwaajili ya kujifunza kiukweli Mungu akubariki daima.
@NzeyimanaNadine-x5y
@NzeyimanaNadine-x5y Жыл бұрын
Ubalikiwe sana
@AnnoyedJumpRope-kw1cs
@AnnoyedJumpRope-kw1cs Ай бұрын
Asant Dr kwa somo
@katorokatoro-r4p
@katorokatoro-r4p Жыл бұрын
Asantee kwa masomo nmejifunza vizur sana
@joshuaterstegen6296
@joshuaterstegen6296 2 жыл бұрын
Naitwa Joshua Joseph MANDEVU kutoka Zambia na nashukuru kwa somo lako limenigusa sana pia nahitaji kuonana na wewe siku nikirudi dar nikupatie hata kahawa. Asante
@MariamRamaa
@MariamRamaa 2 ай бұрын
Asante sana dr
@Kolomuani-my1mh
@Kolomuani-my1mh Жыл бұрын
Dr asant kwa kutupatia elimu nashkuru penzi langu limekuwa nilafuraha
@Mosesyona-t9j
@Mosesyona-t9j Жыл бұрын
Leo ni kwa Mara ya kwanza najuinga au kufuata video zako mwalimu lakini nabarikiwa na jengeka naimarika mana bado mimi ni single kwahiyo masomo haya yananiandaa na kuwa makini katika kuoa, mana wanasema unaweza kujenga nyumba vibaya ukaibomoa na ukajenga Tena lakini ukikosea kuoa au ukioa vibaya umeharibu kila kitu katiaka maisha yako ya baadae, kiukweli najiona niliyebahatika kuwa miongoni mwa wanafunzi wa masomo haya na mwalimu wetu Mungu aendelee kukutumia zaidi na akubariki sana sana Amen
@allexbeautysaloon2325
@allexbeautysaloon2325 2 жыл бұрын
Napenda sana masomo yako, natazama kutoka arusha
@Berinder3155
@Berinder3155 10 ай бұрын
asantee mungu akubariki
@mbukeemanuel3331
@mbukeemanuel3331 2 жыл бұрын
Asante sana hakika najifunza vingi kupitia ww
@AndrewNgonyani
@AndrewNgonyani 5 ай бұрын
Asante nimefurah san
@mwavitafuraha7244
@mwavitafuraha7244 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwaujumbe
@ZawadiKilagalila-sd2tt
@ZawadiKilagalila-sd2tt Жыл бұрын
Asante,kweny communication ilikuwa n tatizo sana kwang
@neemamabena-xx5er
@neemamabena-xx5er Жыл бұрын
Nimekuelewa saana
@AugustinoCosmas
@AugustinoCosmas 7 ай бұрын
Mungu akubariki
@josiampokera5977
@josiampokera5977 10 ай бұрын
Dr Chris, thank you!
@mamanulati1105
@mamanulati1105 2 жыл бұрын
Asante doctor mungu akubariki sana.
@magrethnestory3562
@magrethnestory3562 2 жыл бұрын
Asante kwa ushauli kaka
@dinahkirigha2637
@dinahkirigha2637 Жыл бұрын
Asante sana kwa masomo yako yenye faida kubwa maishani.
@LILIANNANYU
@LILIANNANYU 7 ай бұрын
Thanks awesome learning
@mahambaflorence7671
@mahambaflorence7671 2 жыл бұрын
Ok merci papa Mungu akubarigi
@swalhinajuma4149
@swalhinajuma4149 Жыл бұрын
Yan kk chriss we acha tu mwenyewe unajua
@levinavenance1200
@levinavenance1200 3 ай бұрын
Mambo yakukufanya mjanja kwenye mahusiano 1.jenga uaminifu 2.jiwekee mipaka( kwenye maneno,mda wa kuwa nje ya nyumbani,mambo ya imani) 3.ongeza uwezo wako wa kuwasiliana (sikiliza ili kuelewa c kujibu) 4.onyesha kiu ya kudumu 5.elewa uhitaji wa kihisia wa mwenzako 6.fahamu madhaifu uliyonayo
@MinahWaziri
@MinahWaziri Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@mussadismass9306
@mussadismass9306 3 жыл бұрын
Ubarkiwe Chris mauki mungu akuinue
@rehemamagege5843
@rehemamagege5843 Жыл бұрын
Asante kwa somo nzuri
@evodiamathias2542
@evodiamathias2542 2 жыл бұрын
Naomba no yako dr mmekuelewa sana
@catherinenasambu5366
@catherinenasambu5366 2 жыл бұрын
Thxz saxa kwa hii funzo boss
@neemamabena-xx5er
@neemamabena-xx5er Жыл бұрын
Asantee nakupenda buree🥰
@mariamuodila4132
@mariamuodila4132 Жыл бұрын
Samahan Dr Chris Mimi nampenzi wang Ila ananizidi erimu Sasa naee anajua Mimi sna Kaz yamaana namimi kiukweri nampenda ktoka moyon ss inakuwaje apo japo tupo mbari mbari nisaidie tuchanti tunaelewana wakati mwingine simuelewi jaman 🙏
@princessdickson6900
@princessdickson6900 Жыл бұрын
Mwezangu na mimi jamn watu waliopo mbali na mwezie kuna mambo yanakera unakata tamaa
@theresiamartin3008
@theresiamartin3008 3 жыл бұрын
Asante sana Dr yaani mume wangu ananifurahia umeyabadilisha maisha yangu ubarikiwe mnoo Mungu akuweke viwango vya juu
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
Nafurahi sana kuskia hilo. Endelea. Natumaini umesubscribe channel
@lulubandawe6284
@lulubandawe6284 Жыл бұрын
Doctor dada angu n mnene na amepata mchumba mnene piah mwenye mapenzi ya dhat lkn dadangu anapata hofu kusemwa na familia na majamaa kwamba wamechaguana wanene mda mwengine anadirk hata kuvunja na kurejesha mahusiano yake.unamshaurije
@Sharifarajabudebe
@Sharifarajabudebe Жыл бұрын
@@lulubandawe6284 mahusiano ni yao sio ya familia ukiingz familia kweny mahusiano hufiki mbali wakat wanakubaliana wakijiona
@lilianwilliam2838
@lilianwilliam2838 Жыл бұрын
Asante kwa Magu fish o mazuri
@jumakitwazi6252
@jumakitwazi6252 Жыл бұрын
Asante dkt
@janetdaniely7945
@janetdaniely7945 2 жыл бұрын
Asante sana Dr 🙏
@ShaimaaShaibu
@ShaimaaShaibu Жыл бұрын
Asante sana docta,mafunzo yako yamenisaidia sana nimejifunza mengi.
@ezradavid7476
@ezradavid7476 Жыл бұрын
This a great lesson to me am blessed
@abongaebuka798
@abongaebuka798 2 жыл бұрын
Nakukubali mzee,Mungu akubariki. Uzidi kutuelimisha!!
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha 2 ай бұрын
Sasamjomba hapo kwenye uaminifu ndo unajengaje🎉🎉
@gloryjulius3409
@gloryjulius3409 2 жыл бұрын
Waooo! Nice nime kusoma xn
@magrethsimtenda926
@magrethsimtenda926 3 жыл бұрын
Asante doct MUNGU akutunze Mtumishi tutayafanyiakazi
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@princessa3060
@princessa3060 3 жыл бұрын
Thxxx alot doc for the lessons ❗ it will make us grow as couples...
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@amanithomas5069
@amanithomas5069 3 жыл бұрын
Asant mm nakuelewa sana
@julianapeter748
@julianapeter748 2 жыл бұрын
nimekuelewa vizur kaka nashukuru
@ZawadiKilagalila-sd2tt
@ZawadiKilagalila-sd2tt Жыл бұрын
Naomba nione video zako dr
@pactricktimothnyangile8790
@pactricktimothnyangile8790 3 жыл бұрын
Asante sana nakupata vyema kutoka Tunduma Songwe
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@fikikenya1401
@fikikenya1401 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤hapa umenifundisha jambo
@khadijajumbe6984
@khadijajumbe6984 Жыл бұрын
dr, mm naomba tuongee
@aishaaisha4549
@aishaaisha4549 2 жыл бұрын
Asante
@hadasuleimanhaji7823
@hadasuleimanhaji7823 Жыл бұрын
Hongera kaka
@blessjalileni7480
@blessjalileni7480 3 жыл бұрын
Mungu akubariki napenda sana mafundisho yako
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@nuruali8421
@nuruali8421 3 жыл бұрын
Asnte som zur
@yohanamapunda2654
@yohanamapunda2654 3 жыл бұрын
Napenda nikutane na wewe face to face Dr
@doramkolo1745
@doramkolo1745 3 жыл бұрын
Thank you Dr. Mauki nimejifunza kitu kikubwa sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@musarichard2934
@musarichard2934 3 жыл бұрын
Hi Dora
@aishaabdala9591
@aishaabdala9591 2 жыл бұрын
@@musarichard2934 nimekuelewa
@rozzylydmwongeli5078
@rozzylydmwongeli5078 3 жыл бұрын
Napenda Sana mafunzo yako,,Mungu akumbaliki sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@ismailzahor7436
@ismailzahor7436 3 жыл бұрын
Asantee Dr
@BerthaKibambi
@BerthaKibambi Жыл бұрын
Ahsante Kwa mafundisho yako ,m Niko mbali na mume means siish nae yupo Kikaz nifanyaje vp ili nidumishe ndoa yangu bila kujal umbali ili nae anipende zaid navompenda
@zoyafarooq9564
@zoyafarooq9564 2 жыл бұрын
Nice lesson
@jacklinejovitha346
@jacklinejovitha346 3 жыл бұрын
Thanks for ur lesson. Nimejifunza kitu for sure be blessed dr chris
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@sadahamisi3901
@sadahamisi3901 3 жыл бұрын
Asante mauki nimejifunza
@josphinekathina7874
@josphinekathina7874 2 жыл бұрын
Thank you for the lesson
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 3 жыл бұрын
Dr in ze air again. Aksante.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@shanianuru7479
@shanianuru7479 2 жыл бұрын
Asante bro
@MajidAbdullah-p9s
@MajidAbdullah-p9s 11 ай бұрын
mm kwa kweli nimeshidwa nawa viumbe wanawake
@happinesslumambo9831
@happinesslumambo9831 2 жыл бұрын
Nice lesson Dr I appreciate
@rehemachristopher5180
@rehemachristopher5180 2 жыл бұрын
Thnk you for dah good lesson Dr
@ummuhoneyabdulaziz3840
@ummuhoneyabdulaziz3840 3 жыл бұрын
Mungu akubariki dr unanifungua mengi sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@akimanaasiya4654
@akimanaasiya4654 Жыл бұрын
Dr. Nipo n mchumba si kam si mulew ivi yani kanambiy anatka ku ishi na mm Ila kwney Siku yek muhim hataki ndugu zake wa huzuriye ata moj n mama yk eti ata mwambia nyuma akisha kamilisha iyo jambo lak yani Siku y ndoa ivo n kimuliza kwa nin anasem yey ndo mu amuzi sa maisha yk
@happysirili3151
@happysirili3151 3 жыл бұрын
Asante sna
@happysirili3151
@happysirili3151 3 жыл бұрын
Asant xn doctor 🙏 nimejifunza somo zur ubarikiwe sna
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@violethroth9076
@violethroth9076 Жыл бұрын
Your my modal thanks bro
@devidisimkonda8649
@devidisimkonda8649 Жыл бұрын
Ahsante kwa SoMo liko doctor but nampenda mke wangu ila nahis yy hajazama kihisia kama mm je? Nafanyaje ili azame kimausiano
@IreneMichael-se3jx
@IreneMichael-se3jx Жыл бұрын
Big up Dr .Chris ur helping us alot
@violethndowo824
@violethndowo824 2 жыл бұрын
Upo vzur kakaang
@annetcliford8801
@annetcliford8801 3 жыл бұрын
Asante sna umenijenga kitu leo umenifanya kuwa mpya
@oliverstanley6941
@oliverstanley6941 Жыл бұрын
Kipitia wewe naelemika sana ubarkiwe
@righitkileo
@righitkileo 9 ай бұрын
❤❤❤❤true❤❤❤
@AnjelJames-q4w
@AnjelJames-q4w Күн бұрын
Dr mm naomba unishauli mwanaume alinificha kumbe anatarajia kuoa mwanamke yani kipindi ananifata mm tayari alikua na uyo mwanamke nikaja kugundua akaniomba msamaha ila bado nampenda nishauri
@dinahkirigha2637
@dinahkirigha2637 Жыл бұрын
Nina swali, "Je, unasemaje kuhusu wapenzi wawili ambao miaka yao imetofautiana pakubwa? Yaani mwanamke ana miaka 16 zaidi ya mwanamme, na mwanamme huyu anampenda kwa dhati mwanamke wake and he's so proud of her...
@ibahatimoses6431
@ibahatimoses6431 3 жыл бұрын
Tnx Dr mauki nimejifunza sanaa
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@samirasaid6948
@samirasaid6948 3 жыл бұрын
Asante kwa ujasiri wako una tufunzamegi lakini mm bado nå ombo nikupate prt nina jambo naitakuwa nimafunzo kwetu mm mkenya
@marydisii1082
@marydisii1082 2 жыл бұрын
Asante dr
@queenmakere2849
@queenmakere2849 3 жыл бұрын
Asanteee sana Dr kwa somo zurii
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@alfonsimarkous5266
@alfonsimarkous5266 3 жыл бұрын
Thanks Dr
@GraceNgandu-lj1ft
@GraceNgandu-lj1ft 5 ай бұрын
Mm nipo kwenye uchumeleba ambao sielewi kuwa ananioa au hanioi, kwamaana haniweki wazi huwa anamniambia kuwa ipo siku nitaenda kuonekana nyumbani kwenu ila haendi kwa sasa tunamtoto mmoja anamiaka mitatu naomba uunisaidie nifanye nini maana nampenda sana
@GraceNgandu-lj1ft
@GraceNgandu-lj1ft 5 ай бұрын
Yaani umekuwa uchumba sugu maana nimiaka mingi sasa imepita naomba unisaidie
Njia Sita (6) Za Kuboresha Mahusiano Yako  - Joel Nanauka
6:02
Joel Nanauka
Рет қаралды 68 М.
Family Love #funny #sigma
00:16
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 13 МЛН
Friends make memories together part 2  | Trà Đặng #short #bestfriend #bff #tiktok
00:18
UFC 308 : Уиттакер VS Чимаев
01:54
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 794 М.
Dr. Chris Mauki: Mbinu 5 za kuiteka akili ya mpenzi wako. Part 2
8:12
Dr. Chris Mauki: Mbinu 6 za kudumisha mahusiano ya chumbani
9:55
Dr. Chris Mauki: Tabia 5 za mpenzi mwenye akili ya mahaba
8:48
Chris Mauki
Рет қаралды 48 М.
Dr. Chris Mauki : Hakikisheni Mmeyazungumza Haya Kabla Ya Kuoana
11:10
LIFE WISDOM : KABLA YA KUMPATIA MTU MOYO WAKO - JOEL NANAUKA
15:27
Dr. Chris Mauki: Epuka maneno haya 8 wakati wa tendo la ndoa
8:16
Chris Mauki
Рет қаралды 637 М.
AINA ZA BIASHARA ZINAZO MFAA MWANAMKE - JOEL NANAUKA
8:58
Joel Nanauka
Рет қаралды 193 М.
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
Dr. Chris Mauki: Sababu 5 kwanini mnagombana hovyo
11:45
Chris Mauki
Рет қаралды 134 М.
Dr. Chris Mauki:  Mambo 5 ya wanawake yanayo waudhi wanaume
10:15
Chris Mauki
Рет қаралды 254 М.
Family Love #funny #sigma
00:16
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 13 МЛН