Mhubiri wa kimataifa huyu, pumzika Kwa amani mteule, Kenyan watching this great man's sermons
@jesusbrother768411 жыл бұрын
Ni huzuni kuu na uchungu wenye majonzi mazito kuona kuwa umetutangulia mbinguni kwa baba, nasi tumebakia na upweke na ukiwa ambapo kamwe hatuwezi kukusahau ... Kazi uliyoifanya ni kubwa sana maana umewaleta maelfu kwa maelfu kwa Yesu Kristo, ukizingatia kwamba injili ni mzigo, ni kazi ngumu wala "si lelemama" lakini umevumilia mpaka mwisho! Umevipiga vita vya imani, "naamini sasa umevikwa taji huko juu mbinguni"! Mchungaji Daniel Moses Kulola pamoja na familia yote nawapa pole wakati huu mgumu!
@silvesetremily776110 жыл бұрын
ni mmoja kati ya watakatifu ambao Mungu aliwatambua,mfano mzuri wa kuigwa katika vizazi vyetu
@wenderoserie15386 жыл бұрын
God is good. I was Blessed to hear the Word of God from you at a tender age of 14, and I was saved. May all you descendants be saved. In Jesus Christ Mighty name.
@joycekabula11 жыл бұрын
Rest in peace Bishop Moses Kulola......kazi yako si bure Mungu atakulipa na taji utavikwa..
@lugailankwabi38097 жыл бұрын
I MISS YOU MY FATHER You leave as but your words is still alive.
@moseskatumo78322 жыл бұрын
Nakupenda nanilikupenda tena mno pumuzika kwa amani
@neemaemanuel56895 жыл бұрын
Mungu aliweka kitu kikubwa sanaaa ndani yako barikiwa
@cmoshi70144 жыл бұрын
Hawa ndio watakatifu wa BWANA, yani mafundisho yake huchoki kusikiliza kila unaposikiliza unakutana na kitu kipya na unasisimka. Mafundisho yamejaa upako Mungu akupumzishe kwa Amani baba Kulola.
@jaymoo2910 жыл бұрын
nilikutana naye mwaka 1992 Mungu amrehemu mtumishi wake aliifanyanya kazi Mungu ilivyotakikana
@barakajacobs54855 жыл бұрын
He's resting in peace in eternity. Mahubiri yalio hai .Mungu aturehemu tuishi katk utakatifu wake.
@violetkisamo99757 жыл бұрын
You were one in a million. I know you are happy with Jesus, the Lord.
@pendobaharia69224 жыл бұрын
Mbarikiweee watumish
@johnelisha180911 жыл бұрын
“Man who is born of woman is of few days and full of trouble.He comes forth like a flower and fades away;He flees like a shadow and does not continue.Job 14:1-2. Rest In Peace Bishop Kulola.
@ombenikisunga50595 жыл бұрын
Mtumishi utakumbukwa daima baba
@elicanalupondije65158 жыл бұрын
Apumzike kwa AMANI Baba yangu Moses
@fatumanaliaka22104 жыл бұрын
Ameeeeen in Jesus might name amen
@user-rp3wj4ns5f Жыл бұрын
God blessing Moses kulola RIP his man the my Rory model___❤
@israelisponsor8755 Жыл бұрын
Injili ya kweli Baba Mungu awe naye huko aliko naponywa sana na mafundisho yake.
@jesusbrother768411 жыл бұрын
Ahsante sana na ubarikiwe na Bwana Pastor Daniel. Moses Kulola kwa kutuwekea video za mahubiri ya mtumishi wa Mungu Askofu Moses Kulola! Nimefurahi sana kusikia sauti yake tena, tafadhali nakuomba utuwekee nyingine ili tupate kubarikiwa na ujumbe wake mzuri utokao kwa Mungu ... Mungu aendelee kumtunza na kumbariki mtumishi wake Askofu Moses Kulola pamoja na wewe Pastor Daniel Moses Kulola - Amen!
@suzanamsambazi64656 жыл бұрын
Jesus' Brother ⅞7
@nelsonmakundi80015 жыл бұрын
Ni mteule wa Bwana , mwendo ameumaliza na imani ameilinda Mungu amemuandalia taji mbinguni. Tujitahidi kumsikiliza Mungu ili nasi tufike mbinguni
@theodorannko98092 жыл бұрын
Hii ni injili yakweli
@billtheadviser8947 жыл бұрын
huyu ndio jembe la injili duniani leo yupo paradiso sio peponi kwa mapepo, gGOD bless u
@veronicamucharles69756 жыл бұрын
amen
@abiyaamisi96545 жыл бұрын
Neme reginashukurani
@franceshassan12175 жыл бұрын
Ndio huyu n baba wa imani
@greenmwasile97694 жыл бұрын
Peponi sio sehemu ya mapepo
@mecktildatushabe78984 жыл бұрын
Hakika yupo mbinguni
@gwamakamwakyambiki396310 жыл бұрын
hili ni neno la Mungu amen!
@reginarhina68378 жыл бұрын
I know god rest you in peace.. I miss you pastor.
@yohanamuya2316 жыл бұрын
Love xana, my bishop,,,, RIP
@fifilomo11 жыл бұрын
u bless my heart in great deal
@israelbmkumbo58405 жыл бұрын
mungu awe nawe daima
@jesusbrother768411 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi, Amen!
@TheKihoro11 жыл бұрын
Rest in Peace bishop Kulola
@nichorausntajunja31446 жыл бұрын
Bwana ametwa kilicho chake,jina lake lihimidiwd,
@sifasanga78667 жыл бұрын
Nimekupenda...neno lako linaishi
@jeremiaalubano11016 жыл бұрын
Amina
@KingdomMediaTV10 жыл бұрын
Mhubiri wa kimataifa Dr. Moses Kulola.
@neemamwalende97407 жыл бұрын
Amen baba Yetu .
@upendom.41737 жыл бұрын
Amen
@rapahelkamwela68087 жыл бұрын
may your soul rest in peace our hero
@jofreybuliba90036 жыл бұрын
moses nihatali sana kwamahubli.
@raphaeljaphet8658 жыл бұрын
rest in peace bishop
@EmanuelMwimi6 жыл бұрын
AMEN
@richisaibulu15384 жыл бұрын
Role model pastor
@dorcasemmanuel4583 ай бұрын
Nabarikiwa sana sina neno napenda nikizifata nyayo hizi