#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079 UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079 YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079
Пікірлер: 70
@yesuyuhaipectv9176 Жыл бұрын
Hii ndio injiri ya kutukomboa hizi siku za mwisho za unabii wamwisho.Huyu Mtumishi wa Mungu nilianza kumsikiliza miaka mingi tangu nikiwa anamiaka 10 mwaka 1982 mpaka sasanibamiaka 50 hii injiri ndiyo yakubadilisha watu tumwende Mungu.Tumtole Mungu.( Asante Mtumishi wa Mungu unayerusha hii injiri)
@MARYNAGUJustinАй бұрын
Amen
@user-kj7kz7sl9jАй бұрын
Amen Yesu atusaidie
@micamathew25952 жыл бұрын
Moses Kulola hakika Yesu akutunze!! Amen.
@user-eg8yi1oi9j10 ай бұрын
Amen baba.mungu akupe Raha ya milele Kwa kazi uliyoitenda hapa dunian.
@demetriamulenge1786 Жыл бұрын
Mungu ajarie tupate warumishi waliojikana kama huyu iliwatusaidie kutufundisha kweli
@user-cc6ed3fy9qАй бұрын
Mungu atuwezeshe mteule wa mungu sa moses ndiye anaitajika kwa nyakati hii za mwisho
@neemamwambapa8086 Жыл бұрын
Kaz uliyoifanya ni nzuri, bado inatenda kaz kwetu amen
@anafikamugisha883414 күн бұрын
Nimepokea Barikiwa Sanaa Mtumishi wa MUNGU
@elinemakundi5011 Жыл бұрын
Bado uko nasi kiroho tuone paradise Rip amen
@user-jq3zh9fj9gАй бұрын
Mungu anisaidie niwe mtumishi Kama moses
@selinageogre2881 Жыл бұрын
Hii ndio injili ya kweli yesu tusaidie kuliishi neno lako siku zote
@gasparlubaga5866Ай бұрын
Mungu ampe pumziko la mile mtumishi wake,Moses Kulola
@xsavermbele731810 ай бұрын
Nimekubali kwa injili hihi,,Mungu atusaidie sisote wana ruvuma
@PatrickShoo.10 ай бұрын
Bwana Yesu tusaidie tuishi sawa sawa na Neno lako 🙏.
@pastortimothyjoshua3304 Жыл бұрын
God bless you SYLAS TV for bringing to us this wonderful sermons of our legend
Asante Sana kwa kutuletea mafundisho, Mungu awabariki
@cathsariah1520 Жыл бұрын
Mungu akutunze Baba
@marinemodest1798 Жыл бұрын
kula na raha sasa na BWANA YESU Baba yetu
@harrietkiden7808 Жыл бұрын
A trueee Servant of the Most High GOD
@lovenesswalter66502 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@kconnect274 ай бұрын
Ndugu Sylass Tv, nashauri unapoweka mahubiri basi jitahidi kuweka full usikatekate vipande maana inaondoa hitimisho la SOMO lililokusudiwa. By the way unafanya kazi njema Mungu akubariki
@user-bf4hl2xz1i4 ай бұрын
Lala kwa Amani mtumishi mteule wa Mungu❤
@neemasazia-vg9sh Жыл бұрын
Bila wewe Yesu hatuwezi!!!
@user-kx5kg8yu6r9 ай бұрын
Baba askofu nimekubaliana naalioko ndani yako nitakuona wap baba nashauku yakukuona
@user-bz5ik9yx5y3 ай бұрын
Amen🙏
@FilbertSwai8 ай бұрын
Naipenda hii
@francishilly35058 ай бұрын
Ni mtakatifu sana huyu baba
@user-fp4ru1eu9r6 ай бұрын
Aminaa baba🎉🥰
@NemaKendrick3 ай бұрын
Mungu atutetee
@JoramKasenga-ig2gkАй бұрын
Kweli Yesu ni mwema
@stanfordchimola9792 Жыл бұрын
Mtumishi wa kweli
@isakaaliko987610 ай бұрын
habari mbona videos zake nyingi mnazikata kata kuna kitu tunapoteza, pia naomba unisaidie kama naweza kupata mafunzo yake mengine yaliyo full sio vipande
@SikujuaEmmanuel-fj4mg3 ай бұрын
Wana Raha sana walio kuwa wanahubiliwa live na huyu baba,,du mimi nasikiliza TU napokea uponyaji kwa jina la yesu sipat picha hao walio Kaa apo ulikuaje
@victorianchimbi86404 ай бұрын
Kwakweli hujatutendea haki huu ushuhuda kutofika mwisho, lkn itoshe kusema kuna mambo Mungu amenikumbusha hapa jamani
@Reginajohnson198844 ай бұрын
Halleluya amen
@helvetasswiss4638 Жыл бұрын
R I P BABU YETU BABA WA INJILI YA KWELI HAPA TZ UMETUACHIA URITHI MZURI HASA VIJANA SADAKA YA MAISHA YAKO IMETUPONYA WENGI MIMI NI MMOJA WAO
@SamEmanuel-oi1xkАй бұрын
Tujifunze hapa watanzania
@wisekidlema Жыл бұрын
Ameen
@ElibarikiLevavaАй бұрын
Eemungu wa IBRAHIMU ISAKA NA YAKOBO kama huyu mtumishi alipita njia yako na umempokea...nakusihi YESU na mimi nipe nafasi ya kuingia paradiso ya MBINGUNI
@JosephsMrope Жыл бұрын
Amen
@juliuskitaluka1206 Жыл бұрын
Injiri isiyo na mawaa
@geraldntiyorosa5057 Жыл бұрын
Amina
@user-pc8ot2ok6v4 ай бұрын
Hallelujah
@NicodemusMwakifwange2 ай бұрын
Injili ya uwamusho wa kiroho kwa kanisa ngazi zote
@frorida3106 Жыл бұрын
Jina raye jesu ribarikiwe
@Kanutierastonyagawa2 ай бұрын
Ubalikiwe wewe unaye lusha injili hii
@stanlychishimba27292 жыл бұрын
Mungu
@ecod-sb6lx Жыл бұрын
Tupate wapi tena mtu kama huyu
@esaumahundi564710 ай бұрын
Mungu aliye hai atupatie mtumishi mwingine .kuimalisha kanisa LA mwisho maana ss.wamebaki wa.mshahara tu.wanatafuta vya kwao tu.ni.kuuza mafuta na udongo na sadaka ya ukombozi.kumbe sadaka ya ukombozi ni yesu ilisha tolewa msalabani
@sophiamangwela4298 ай бұрын
Karibu full gospel Bible fellowship
@ivonaevarista46545 ай бұрын
tafta tengwa tv mtoto wake wakiroho ana injili km hii
@maxwellssemakula15652 ай бұрын
Huyu ni shujaa wa injili
@UswegeJohn-ov3ymАй бұрын
Huyu ni moto wa kuotea mbali.
@sipesiozabonifasikalihamwe9970 Жыл бұрын
Vema
@eliethmwanguya71184 ай бұрын
Dunia inapita na mambo yake yote, Yesu naomba unipe nguvu niyaishi na kuyatenda mapenzi yako
@SamwelKipenzi4 ай бұрын
Bwana akupe hitaji la moyo wako, nikimsikiliza huyu mzee najikita nabadilika san
@elinemakundi50113 ай бұрын
Kaka tunaomba usikatize mahubiri haya wala usiya edit unatutoa kwenye uwepo wa Mungu, usituache njia panda ututendei haki, acha, tumsikilize Baba mtumishi wa kweli wa Mungu, tunapata faraja, Mungu yupo, sasa hivi wasaka tonge ni wengi, acha kukatisha mahubiri ya kweli pls
@neemasamwel8968 Жыл бұрын
Mbona kama umekatiza🤔
@edwardmwalukware97342 жыл бұрын
Asante kwa kutuletea mafunzo haya. Ila mbona haijakamilika kuna story hapo mwisho nataka kuiskia yote.
@geofreyrungwe92062 жыл бұрын
Siku hizi injili za ukweli ni chache mungu nisaidie nihubiri kweli ya injili ni nyakati za mwisho kulola amemaliza kazin kwangu.
@dativajoachimwai1194 Жыл бұрын
Mungu umwema
@Musema19 Жыл бұрын
Kwanini umekatakata mafundisho? ungecha tukaskiliza yote
@bienvenupaluku52622 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@neemasamwel8968 Жыл бұрын
Ameen
@stanfordchimola6913 Жыл бұрын
Amina
@CassianNziku8 ай бұрын
Hakika mtu huyu Yuko hai kilichokufa nimwili lakini roho yake ambayo ndiyo mtu ihai Yuko na Bwana mbinguni akistarehe anatusubiri nasisi watoto wake tufike kule aliko yeye bwana atusaidie kuihubiri injili hii ya kweli na tukisha maliza tuka pumzike kwa bwana yesu Amen.