Kweli kabisa Yesu Kristo anaokoa na ni mwenye nguvu sana waislam lazima waokoke hayo ndio maombi yetu
@eliseirankunda41496 жыл бұрын
Shangwfe Gissu
@jeremiekangabo57656 жыл бұрын
Huu ni ukweli ,ukubari usikubalu Yesu anaweza yote. Nakusii na wewe muisilam unayebaki nyuma uje ukaokoke yesu kristo anaweza.
@chantalchaniss7665 Жыл бұрын
Imana ibahezagire kuri izo info. Inedite muduhaye kugira zikure abantu muri ignorence. Koko ceux qui le traduit, l'ont traduit differement. Bisabako umuntu agomba kugira isesengura ryimbitse pe, kugira abone exactement izo verset Umukozi w'Imana arimwo kuduha. Mon peuple perit par manque de connaissance. Imana idufashishe esprit de Wisdom kugira tubashe gutahura ivyo yoyonyini ishakako dutahura.
@MagretJonas3 ай бұрын
Yesu ni bwana atosha
@pitajoaquim57722 жыл бұрын
Nnampenda sana pastor Paul Hussen,
@marywangui23109 жыл бұрын
Hiyo si uongo YESU kristo aokoa na watu wake hawatapotea
@mohamoh77478 жыл бұрын
bwana hussein hio ilikuwa biznes yako nafamilia yako, sio uislamu ! ww tu mwenyewe ni mchawi, ungechomwa hata kama mutume alisema wachawi wachomwe
@jamilshisia59294 жыл бұрын
Wewe endelea kumuunga mkono ju mko nakafiri
@jamilshisia59294 жыл бұрын
@Nestor Kambala wewe ndio uko gizani, tangu lini mtu akosoma hizo vyeti zote na angali na hizo miaka ujinga acheni
@beatriceirakoze963 жыл бұрын
Yesu arakiza araruhura imitim imenetse
@glorioseniyonzima19823 жыл бұрын
Bwana wetu yesu apewe sifa
@scolarketer8353 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@desireniyomwungere1829 Жыл бұрын
Mtusaidie Mtupatiye number ya houssen Mubarak
@jamilshisia59294 жыл бұрын
Hiyo uongo haukupanga vizuri ungekuja nkupangie vizuri ingemake sense, mwanzo tu miaka za kusoma zimekutoa nje, LA pili hicho cheti cha kuwa sheikh wa kati kwa Africa hatuna kwa dini yetu LA tatu Mihadhara walimu wetu na masheikh huwa hawalipwi ni kujitolea kwao, LA NNE hujatwambia ni mskiti gani ulikuwa unaongoza LA mwisho hujui kusoma Qur'an walah kuongea hizo herufi hawatamki ka mwenye amelewa hivo, so danganya wakristo wasio juwa elimu wala maandiko, intact huko Uganda ndio kuna waisilamu wegi so ungeenda utanganyeko mahali pengine
@ismamansour26204 жыл бұрын
Hii ni filamu ya ucheshi ndugu yangu Mazuzu wanapiga makofi😂😂😂😂😂
Ameeeeeeennnn yesu kristo asifiweeeè Ameeeeeeennnn
@kenidaki89422 жыл бұрын
Amen
@jamilshisia59294 жыл бұрын
Huyu jama kweli ni muongo eti alikunywa maji yenye alimeweka damu ya majini! Hebu twambie Hiyo damu inafananaje ndio tujuwe pia sisi
@rebeccakamau2134 Жыл бұрын
God is great,every tongue shall confess that Jesus is lord
@jamilshisia59294 жыл бұрын
Wewe ulijuwaje ni petrol ndio walitumia kuchoma nyumba yako ilihali ulikuwa ushachukuliwa, ungeomba tu sadaka na uwende zako
@Richesfam4 жыл бұрын
Ungali Muslim. So usitegemeye majibu anayo kupita kimo
@bibi1em7 жыл бұрын
Yani uislam ç dini moto unawahusu njoooni kwa Yesu mpone
@blessedlovedandfavoured41296 жыл бұрын
Please share
@mshindivictor16905 жыл бұрын
Nimeamini
@hosealutaha85886 жыл бұрын
Kweli wakristo mnapelekwa pelekwa tu kama misukure vile
@jamilshisia59294 жыл бұрын
Jamani tusidanganywe hebu twambieni ukweli hizo miaka zote ka anasoma na venye ako saai kwani kwa akili zenu hamfikirii kuwa anadanganya!!!!! Alafu anadanya eti alikuwa anataka kuwa sheikh wa kati kwa Africa, tangu lini sisi tukawa na cheo kama hicho
@Richesfam4 жыл бұрын
Jamil Shisia Unawashwa Dada 😂Ukweli huwa unaumiza
@henrylisamadi36413 жыл бұрын
Hahahaaa.. .huyo mwanamume yuko sawa kabisa bro muhim kabisa nikumpokea YESU CRISTO baa.
@girukwishakavenantie4972 жыл бұрын
Pole sana ,rakini na wewe YESU anakupenda sana na anakuitaji uombolewe nae!
@AnnurKisoda Жыл бұрын
Wewe kama ni muislamu waulize viongozi wako juu ya elimu yake hiyo kama ni kweli au uongo. Vyuo vipo na rekodi zake zinapatikana huko,fanyeni follow up mtajua. Phd sio mchezo!
@y.n.initiative27012 жыл бұрын
ulaaniwe wacha kupoteza watu wacha ku con watu
@luvmo047 жыл бұрын
huyu jamaa toka alopowandanganya hawa warundi hajaonekana tena.......arudi atutajue hivyo vyuo kwa majina alivyosoma huwezi kuwa msomi wa kiislamu kwa miaka 26 uwe na kiarabu kibovu kiasi hiki
@festusjapharychunya13925 жыл бұрын
Ndio tabia zenu wakiwaanika wazi Mambo yenu mnasingizia hawajui kiarabu.vizuri..hicho anachojua kidogo ulimfundisha wewe
@jamilshisia59294 жыл бұрын
@@festusjapharychunya1392 wewe hebu hezabu hizo miaka na uniambie ni umri gani ako nayo na alimaliza akiwa na ngapi, acheni kuwa makafiri
@festusjapharychunya13924 жыл бұрын
Yesu ndiyo njia kweli na uzima okoka jamali Yesu anakupenda
@festusjapharychunya13924 жыл бұрын
Hakuna msomi wa kiarabu au dini ya kislam kutoka nchi zisizo za kiarabu ambaye anakijua Sana kiarabu..
@jamilshisia59294 жыл бұрын
@@festusjapharychunya1392 acha uongo bro, kwa Qur'an huwa wanatafisiri kivipi,
@salehlofy42517 жыл бұрын
Inasikitisha sana mkiwemo kanisani hua wanawadanganya sana lakn wakikutana na waislam wanakua hawana hoja siku zote wakristo wanazdiwa kwa msaada wa bure fuatilieni midahalo ya wakristo na waislam na musome hii itawasaidia kuamua kwa akili yako mwenyewe
@abdalanyandwi779410 жыл бұрын
Kupitia Uwongo huu Uislam ndio Unazidi Kukuwa
@felisterkhisa21466 жыл бұрын
Jina la yesu liko Na nguvu!
@mshindivictor16905 жыл бұрын
Asante Yesu, unaweza sana
@hosealutaha85886 жыл бұрын
Na waislam washampatia majibu yake tafuteni video enyi wakristo mjifunze vizuri pia aliitwa na mashehe wafanye muhadhara akagoma sababu anajua, kaongea uongo mtupu,