POUL HUSSEIN MUBARACK ALIESEOMEA UCHAWI NCHI 6 NA OSAMA/SADDAM/GADAFFI/OSAMAH HAJAFA NAJUA ALIPO

  Рет қаралды 23,553

Davistar Media

Davistar Media

Күн бұрын

Пікірлер: 255
@immaculatecute4884
@immaculatecute4884 Жыл бұрын
Ooh my i love this man of God .Mara yangu ya kwanza kusikia ushuhuda wake ilikuwa 2015 wakati huo nilikuwa nafanya kazi nchi ya Saudia ilibidi nafuatilie ushuhuda wake kwa sababu nilokuwa naya ona huko uarabuni yalikuwa yananishangaza.Namshkuru kwa ushuhuda wake niliweza kujifunza mengi.mtumishi wa Mungu Paul Hussein live long in Jesus name🙏❤
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Be blessed sana
@hamidgirrafe3708
@hamidgirrafe3708 Жыл бұрын
Nenda uko
@elimuvisioncenter
@elimuvisioncenter Жыл бұрын
Nonesense
@glorymiko4864
@glorymiko4864 Жыл бұрын
Ubarikiwe
@alawifarahani4788
@alawifarahani4788 Жыл бұрын
Mambo gani uliyaona Saudi Arabia
@catemacharia8499
@catemacharia8499 Жыл бұрын
Davistar thanks for bringing this man of God I will never get tired of watching his testimon,na ningependa kama ungeweza kuleta ushuhuda wa mtumishi Yohana kama hivi bila kelele kuna part zingine hatukuelewa vizuri sababu ya kelele 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@kipchorngwonektiroto457
@kipchorngwonektiroto457 Жыл бұрын
This interview is very informative. Dr. Paul Hussein Mubarak is a wonderful resource for the the Christian church.
@kipchorngwonektiroto457
@kipchorngwonektiroto457 8 ай бұрын
This man is surely a great servant of God.
@Emmanuela_pius
@Emmanuela_pius Жыл бұрын
Kwa Yesu raha tupuuu ,acha nikunje nne mie . Ubarikiwe sana mtumishi watching from Norway 🇳🇴🇳🇴🇳🇴
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Жыл бұрын
Ameeen
@patrickmaina5459
@patrickmaina5459 Жыл бұрын
Asifiwe Mwokozi wetu Yesu kristo 🎤
@marianaduncan6330
@marianaduncan6330 Жыл бұрын
Ameeen Hallelujah hallelujah litukuzwe milele na milele jina la BWANA wetu YESU KRISTO
@Sarahsaid2648
@Sarahsaid2648 Жыл бұрын
Hakuna cha kunitenga na upendo wa YESU
@dodoted5033
@dodoted5033 Жыл бұрын
Davistar Thank you for bringing Paul Hussein,please tell him that I love him in Christ Jesus.❤❤ God bless you Davistar ❤ This is awesome! God bless your ministry with finances you need to develop in the name of Jesus.
@oscarkibate1913
@oscarkibate1913 Жыл бұрын
This is ANOTHER Big ONE. Praises and reverence To the ALMIGHTY GOD 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@cyantess8423
@cyantess8423 Жыл бұрын
amen
@kapalatu7322
@kapalatu7322 Жыл бұрын
Huyo mtu Ni muongo kabisa, maelezo yake Ni ya mtu mwenye chuki na uislam... Pia anaonekana Hana busara,huwezi kusema uislam umefungamana na uchawi wakati uislam umelaani Sana washirikina,. Huyo Ni mchawi hata Sasa.... Ameniudhi Sana
@azizahassan9981
@azizahassan9981 Жыл бұрын
Yesu kimbilio
@janenjenga5639
@janenjenga5639 Жыл бұрын
Jina la Yeshua Messiah Lihimindiwe milele na milele Amina.nimesikiza ushuhunda zake na mafundisho.abarikiwe sana
@marianaduncan6330
@marianaduncan6330 Жыл бұрын
Kwa BWANA YESU KRISTO ndio sehemu sahihi kuliko zote Duniani na Wala hakuna Mungu mwingine zaidi ya yeye Utukufu na heshima ni Kwa BWANA YESU KRISTO milele na milele amini ukombolewe
@daisymuthoni675
@daisymuthoni675 Жыл бұрын
Wow this is a great man of God alinifanya nikapenda kufuata shuhuda I listened to him many yrs bk akiwa Rwanda n Davista Mata hongera na kila la heri
@juliuskalama2746
@juliuskalama2746 Жыл бұрын
Aki Davista umefanya jambo la maana kweli kumtafuta huyu mzee nilitaka kumsikiliza kwamakini najifunza mengi kutoka kwake. Kazi nzuri Davista ubarikiwe
@jossyayielo7576
@jossyayielo7576 Жыл бұрын
Hongera Davistar hii ya 🔥🔥🔥🔥asante najifunza🇰🇪🇰🇪
@mercyelahuya9522
@mercyelahuya9522 Жыл бұрын
Wow. Hata mwili WA mkristo aliyekufa,unalindwa, hallelujah.
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 Жыл бұрын
Twende kazi twende kazi
@abdimohamed3953
@abdimohamed3953 Жыл бұрын
Salute davista
@josephngunzu6473
@josephngunzu6473 Жыл бұрын
Pongezi sana Davista nilikuomba umlete huyu mtumishi wa Mungu long time ago and at finally is here. Ohh thanks Lord
@samwelmwigicho3092
@samwelmwigicho3092 Жыл бұрын
Davista Mata,GOD BLESS YOU, MUCH MORE
@aligned6729
@aligned6729 19 күн бұрын
I felt all the same love for this man until I hired him to help me deal with a situation. I felt like I found the father I do not have. To my surprise, he took a bride from the deamons to not do the job in exchange for whatever he wanted. He accepted. Was shown to me in a dream, I confronted, no denial and I walked away. Was so angry, he had my trust.
@teddysisty320
@teddysisty320 Жыл бұрын
Ushuhuda mzito umeimarisha Imani yangu sana baba
@joycekaphevemba7215
@joycekaphevemba7215 Жыл бұрын
Yaani mchumgaji nishamuelewa sana juu ya ukristo na ukristu ubarikiwe sana nishajifunza tayari
@gamaneliphaz7716
@gamaneliphaz7716 Жыл бұрын
hongera sana kutuletea mtumishi wa mungu
@hamidgirrafe3708
@hamidgirrafe3708 Жыл бұрын
Hamna kitu hapa anataka biashara tu
@husseingabo5497
@husseingabo5497 Жыл бұрын
Osama amesomea marekani mwanzo mwisho Osama hakusomea saudia na wanaobisha waingie gugle waulize yaani anadanganya mchana kweupe
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 Жыл бұрын
Ok kumbe jamaa ni muongo🤔
@khalidyasinkhalid5944
@khalidyasinkhalid5944 Жыл бұрын
Ameitaja Al haramain tu ila vyuo vya hizo nchi zingine hajataja hata kimoja hapo kwa mtu timamu atajua kuwa huyo hajawahi kutoka nje ya tz
@stevostevozz1168
@stevostevozz1168 Жыл бұрын
God bless Hussein Mubarak..I learned a lot when he spoke in Kigali at apostle gitwaza church
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Davista mata kama kuna siku umetafuta watu wa ushuhuda huyu ndio gwiji la wachawi wengine wote wanaiga tuu. Hakika sitakubali kupitwa na kila kipengele hapa naomba davista umuulize kila swali huyu jamaa ili tujue mengi
@flm1530
@flm1530 Жыл бұрын
Part 2 please
@hellendiana625
@hellendiana625 Жыл бұрын
Hakika Yesu ndie kimbilio kwa watu na makabila yote duniani
@mercyelahuya9522
@mercyelahuya9522 Жыл бұрын
Hallelujah. Mungu ni mwaminifu kutulinda kila wakati.
@dominickimeu6219
@dominickimeu6219 Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe.
@chifuthedoni8889
@chifuthedoni8889 Жыл бұрын
Jamaa ametembea, Aisee!!! Kumbe tunakutanaga na watu waliotembea sana dunia hii!
@petermwaibofu3260
@petermwaibofu3260 Жыл бұрын
Ndiyo hivyo, lkn kuna mijitu inasema anaongopa! Ngoja dawa iwaingie ili waelewe uislamu ni nini!
@husenimareja1907
@husenimareja1907 Жыл бұрын
Ukristo bila uongo hupati waumini.ila ushauri wangu kwa wakristo faatilieni masomo anayosema kama yanapatikana katika uislamu.andika jina lake huyu jamaa umuone uongo wake katika kanisa la gwajma alafu aya anazotoa angalia kwenye quran tukufu kama zipo ili ujue ni muongo
@designdesign4426
@designdesign4426 Жыл бұрын
Kasoma vyuo vyote hivyo lakini kiarabu n'a koloani anayosoma utacheka hivi wanafanya hivi kwamanufaa gani
@oldma90
@oldma90 Жыл бұрын
Yani mtumzima unaandaa pumba kudanganya watu, njaaa mbaya sana .
@amirimbago8325
@amirimbago8325 Жыл бұрын
kila level ya elimu ina documentation ya vyeti na mamlaka husika inayotoa vyeti hivyo. sasa huyu mzee kasoma uislam kwa miaka 22. mwambie atuletee Cheti cha diploma miaka 2 (Alharamain) Dedree Tripoli miaka 8 Degree ya pili Quwait miaka 6 PHD Iran miaka 4 Degree ya 4 uongozi miaka 2 saudi Arabia. Alafu atuambie kwenye kila level kajifunza nini, na kama ni uchawi atuambie miaka 22 yote kafundishwa uchawi upi kwa kila level.
@petermwaibofu3260
@petermwaibofu3260 Жыл бұрын
Mimi napenda aje shehe nguNguli hapa atoe ushuhuda wake lkn asiwe mazinge wala mwaipopo, waje wengine wageni tuwasikie! Wakija wachungaji mnawasema vibaya kuwa wanauvuruga uislamu wakati wanaongea ukweli wao.
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Najua unadharau wakristo na unatuona wajinga mimi nakuambia tukana kashifu laani dharau hatumuachi Yesu milele
@designdesign4426
@designdesign4426 Жыл бұрын
Kasema wazaziwake walikua wachawi kwanini aharibu ada namuda kusoma vyuo vyoote nchi zote hizo hivi kunachizi anaweza amini hii hadithi
@AmCool_
@AmCool_ Жыл бұрын
Haya maswali ni muhimu sana 😂😂😂
@onyaluoma848
@onyaluoma848 Жыл бұрын
Mjinga huyu atafuta pesa,tapeli,tamaa ya pesa Tu,soon Allah atamlipa,mnafiki mkubwa tu
@drnow1528
@drnow1528 Жыл бұрын
Uislamu ni uchawi
@kithunguesther8551
@kithunguesther8551 Жыл бұрын
Glory to God Amen, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@stejasatv7349
@stejasatv7349 Жыл бұрын
Best story ever
@hamisikitwana7957
@hamisikitwana7957 Жыл бұрын
DAVISTA MTU HUYU NO MUONGO SANA SANAAAA
@petermwaibofu3260
@petermwaibofu3260 Жыл бұрын
mmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhh
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Жыл бұрын
We shetani takataka mchawi mkubwa
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Unasikiliza uongo wa nini mbona jomba unapenda kutishiana maisha sana
@manguloabawali4747
@manguloabawali4747 Жыл бұрын
Hii channel kaiharibu huyo davista,
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Жыл бұрын
@@manguloabawali4747 kaiharibuje mbona unaifuatilia kuisikiliza fala ww?
@saidgawawa
@saidgawawa Жыл бұрын
Huo ni uwongo mtupu kama ni kweli atoe hizo digree zake? Alafu osama bin laden haitwi bilal huo ni uwongo
@gerardnibikora839
@gerardnibikora839 Жыл бұрын
Mzee Kajani ametesa watu sana unacho sema ni ukweli.
@reisezone4574
@reisezone4574 Жыл бұрын
davista bwana sasa mbona kaanzia moja kwa moja kwenye matukio mwambie aanze historia yake ya safari yake ya kwenda huko arabuni nchi zote sasa yeye naona kaanza na simulizi ya wakati asharudi toka arabuni hizo nchi
@josephatanyanda4051
@josephatanyanda4051 Жыл бұрын
Huyo amenibariki sana na shuhuda zake naomba namba yake ya simu na pia anaweza kututembelea kisumu?
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Atataja namba mbeleni mtumishi usijali
@kennethmgona1180
@kennethmgona1180 Жыл бұрын
Din ya kiislamu ndio maana sihamin kabisa kwa nn kitabu cha din umsomee mtu azulike wakat Bible inasema usimuhukumu mwenzako ndio maana hata usome mtu kuanzia agano jipya had la kale awezi kuzuliza lakin wenzentu abdil sijui taihatu mmh
@aprilking8250
@aprilking8250 Жыл бұрын
Yesu anawapenda sana waislam
@jimmykazoya1749
@jimmykazoya1749 Жыл бұрын
Anapenda binadamu wote … Tuzidi kuomba rehema na neema zake kwa kuomba katika roho na kweli kwa kumwamini kuwa yeye ndiye njia pekee ya uzima wa milele…
@husseingabo5497
@husseingabo5497 Жыл бұрын
Huyo muongo jinga wewe wapi Aya au hadidhi inayoruhusu watu wafanye ushirikina ? Walmushirikina fiinari jahanama Aya inasema washirikina watadum ndani ya moto wa jahanama milele na kamwe hawatatika humo sasa kama yeye alikuwa mchawi ni yeye mwenyewe
@mercyelahuya9522
@mercyelahuya9522 Жыл бұрын
Tunalindwa na malaika, hallelujah.
@jaystrongmagaboy1633
@jaystrongmagaboy1633 Жыл бұрын
Muongo sana acha kudandanya watu
@kahindiwanje90
@kahindiwanje90 Жыл бұрын
Amen
@r14kgroup68
@r14kgroup68 Жыл бұрын
Hongera baba poul
@mathayopapiasi8872
@mathayopapiasi8872 Жыл бұрын
Asante yesu sifa nautukufu zikurudie
@nzumimawa9853
@nzumimawa9853 Жыл бұрын
Mtangazaji Mtu wa Mungu ,muulize Mchungaji swala lililoshamiri kwa wachungaji na manabii,na makuhani kuhusu swala la kutumia maji.chumvi,mafuta n,k
@salumjabir813
@salumjabir813 Жыл бұрын
Yani kumsikilza huyu mtu ni kukosa akili.
@othmanhaji1832
@othmanhaji1832 Жыл бұрын
Ahaaa, tatizo lako hukua Muumini tokea awali. Ulikuwa mshirikina na hukua Muumini. Elimu yako pia haikukusaidia, Na fanya urejee katika dini yenye kwenda sambamba na umbile uliloumbiwa.
@aceofspades3728
@aceofspades3728 Жыл бұрын
Davistar where is our favourite Msabato😂😂😂
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Mzee kanyerere favourite msabato. Hivi kwanini ukikutana na msabato anakuhubiria usabato badala habari ya Yesu jamani
@Patience.67
@Patience.67 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@Irenes_Kitchen
@Irenes_Kitchen Жыл бұрын
Tuko pamoja mtumishi davistar
@musticonka484
@musticonka484 Жыл бұрын
Hakuna sheikh aliyesoma elimu ya juu kama yako alafau akawa mkristo baadae
@rebound2179
@rebound2179 Жыл бұрын
Sikizeni msemao kuwa Uislamu unakataza uchawi. Sheikh mwenyewe hapa asema kuwa wasomi wa viwango vya juu vya uislamu ni LAZIMA wasomeshwe uchawi!
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 Жыл бұрын
mmh, world is full of consipiracy. kila mtu atataka atoe ushuhuda ili dini yake ionekane ipo sahihi na ya mwingine ipo wrong. mwisho wa siku kaa ukiamini katika Imani yako.
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
@Nuru beauty& kitchen huombwi kuaminiani
@debbohkawaka9222
@debbohkawaka9222 Жыл бұрын
Safii ;kitambo kumsikia paul
@Abusalim308
@Abusalim308 Жыл бұрын
Ujambazi wizi utapeli umewajaa kazi ya kudanganya watu ili apate kuwaibia watu
@matiusmgisa7203
@matiusmgisa7203 Жыл бұрын
Ww ni wakala wa shetani
@musaissa7463
@musaissa7463 Жыл бұрын
huna hoja wew!
@matiusmgisa7203
@matiusmgisa7203 Жыл бұрын
Niulize swali lolote kama mm sina hoja. Hao mnao waskiliza wakala wa shetwani lakn nyinyi hamjui
@drnow1528
@drnow1528 Жыл бұрын
Uislamu ni imani ya kichawi
@yunusramadhan2546
@yunusramadhan2546 Жыл бұрын
Utajua hujui hiyo sku ikifika utajua niimani yakichawi au laa
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
@@yunusramadhan2546 wacha tuone ukweli utakuwa wapi na nani ataingia motoni,kama tulio mwamini kristo au mlio mwamini mtu wenu !!
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
@@yunusramadhan2546 cku gan make sis sio nyie sis tunaimani yetu mzee
@chidybwax8080
@chidybwax8080 Жыл бұрын
Duhhhh cna iman kabs na kipindi hiki tutakujib kwa Hoja maliz kipindi kwanz #hamwezi kuua uislam kwa story book
@lilymwasi1221
@lilymwasi1221 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@jesusislord9190
@jesusislord9190 Жыл бұрын
mimi ni Mkristo ninaomba huyu jamaa aseme alisoma na osama mwaka gani? hii kazi alioajiliwa na mubarack na..gadaffi..na kadhalika aliwezaje kufanya kazi kwa watu wa tatu kwa mazingira gani
@designdesign4426
@designdesign4426 Жыл бұрын
Kua n'a akili hivi story km hii ujaijuatu nizakutunga
@jimmykazoya1749
@jimmykazoya1749 Жыл бұрын
Davister pls usije thubutu kukatiza ushuhuda wa huyu mtumishi kama ulivyokatiza ushuhuda wa Meshack… Ubarikiwe Bro 🙏🏾🙏🏾
@lynnpreciousm6182
@lynnpreciousm6182 Жыл бұрын
Yes, please
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Жыл бұрын
alikua muislam akaona atoke? mhhh wacha atoke kila mtu ataubeba mzg wake
@josephmuchiri3180
@josephmuchiri3180 Жыл бұрын
Mr facts
@michaelwanyanga
@michaelwanyanga Жыл бұрын
Testimonies born of Jesus Christ are meant to break chains of darkness and torture to those who are aimed. Jesus never allow a testimony like this for nothing but for a reason. And this is the reason to get rid of spiritual obstacles that one can think they are immovable. Every thing is possible in the hand of God.
@kefasonmahenga2917
@kefasonmahenga2917 Жыл бұрын
Davista MUNGU akubaliki sana
@consolathaamandus8136
@consolathaamandus8136 Жыл бұрын
Ushuhuda ni mzuri Ila kitu ambacho sijapenda ni mtangazaji hajatulia kabisa na anaonekana Kama ana haraka anataka kuondoka, naomba ubadilike hapo
@AmCool_
@AmCool_ Жыл бұрын
Hivi mtu mwenye akili zake anamuelewa huyu mzee???😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@hamisikitwana7957
@hamisikitwana7957 Жыл бұрын
MUISLAM YOU'RE AMBAYE AMUAMINI YESU HUYO SIYO MUISLAM
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Kama umwamini Yesu kwani tumekuomba umwamini? Wewe amini utakacho jomba
@husseingabo5497
@husseingabo5497 Жыл бұрын
@@victorbeno yesu nani yesu SI kama wewe tu
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
@@womanofsteel1402 hawezi kusikia huyooo
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 Жыл бұрын
Hakuna anaejua dini ya kweli ipi Hadi ufe ndio utajua maana dini ni njia tu haimaanishi ambao hawapiti njia unayoipita wewe basi hawatofika kule uendako wewe. Hilo tu uislam na ukristo zote ni njia kikubwa ni matendo mema. Ukiwa muislam Kama unamatendo machafu Moto unakuhusu ukiwa mkristo Kama una matendo machafu pia Moto unakuhusu.
@joshuatalu9596
@joshuatalu9596 Жыл бұрын
Waislamu Yesu anawapenda sana.
@zubedarichard2311
@zubedarichard2311 Жыл бұрын
Ataa cc tunampenda maan ni nabii wetu huoo
@matiusmgisa7203
@matiusmgisa7203 Жыл бұрын
Huyo ni wakala wa ibilis
@hamisikitwana7957
@hamisikitwana7957 Жыл бұрын
NADHANI TAARIFA ZAKE NIZAONGO
@husseingabo5497
@husseingabo5497 Жыл бұрын
Huyu ni muongo huyo mi mwenyewe alishindwa kujibu hoja zangu mpaka akanibrock hakuna kitu hapo
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 Жыл бұрын
Maswali yepi alishindwa kuyajibu natamani niyajue.
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 Жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows awe na hoja zipi na wakati majini ni nduguze na bado Quran yenyewe ilishushwa na majini sasa majini yanatoa hoja wapi?
@Yvonne-Kavira
@Yvonne-Kavira Жыл бұрын
David, umuone hussein kwenye vidole vyake; ikona fanya uchawi wake, mchunguze vizuri.
@alawifarahani4788
@alawifarahani4788 Жыл бұрын
Unauonaje uchawi mikononi
@serengetishipping2196
@serengetishipping2196 Жыл бұрын
Dah acheni uongo jamani
@AmCool_
@AmCool_ Жыл бұрын
Kwanza kwenye UISLAM hakuna PHD wala Degree. Halafu Fuqhi ni sheria, Tawheed ndio kumjua Mungu. Huyu mzee mnafki sana kila neno mi hucheka sana, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Halafu anataja wale watu wakubwa ili ionekane kweli. Njaa mbaya 😂😂😂😂😂
@violinenyakara5028
@violinenyakara5028 Жыл бұрын
Nimechelewa but mradi nimefika
@rebound2179
@rebound2179 Жыл бұрын
Davistar uwe macho! Kuitisha msaada mtandaoni ni hatari. Sio watu wote wanakupenda, hasa wale siri zao hufichuliwa kupitia kipindi chako. Huoni kama waweza kutumiwa majini na visirani?
@elleng5227
@elleng5227 Жыл бұрын
Yesu ni jibu
@hassanshadhly3481
@hassanshadhly3481 Жыл бұрын
Mtu huyu muongo sana fiq hi si elimu ya kumjuwa mungu ni elimu ya kumjuwa matendo ya ibada. Na tawheed ni elimu ya kumjuwa mungu. Huyu jamaa alidai akifundisha Burundi warundi walimtafuta akasepa
@user-sc8gj3zn1j
@user-sc8gj3zn1j Жыл бұрын
Uyu mzee mnafki sana quran yenyewe ajui kusoma njaa tu
@mamafloraofficial4315
@mamafloraofficial4315 Жыл бұрын
Nahisi nilimuona mara ya kwanza kwa bishop gwajima
@humoudseyd7310
@humoudseyd7310 Жыл бұрын
Uyu jamaa akapimwe akili izi adisi tulitolewa tulivokuwa chekechea adisi za kitabunii
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Kwani wewe ndio utaenda motoni sisi wakristo tuache tuende motoni wewe inakuhusu nini jomba. Mbona tunakuja kufuatilianaa imani na tunakuja kunyimana amani tanzania.
@petermwaibofu3260
@petermwaibofu3260 Жыл бұрын
Mimi napenda aje shehe nguNguli hapa atoe ushuhuda wake lkn asiwe mazinge wala mwaipopo, waje wengine wageni tuwasikie! Wakija wachungaji mnawasema vibaya kuwa wanauvuruga uislamu wakati wanaongea ukweli wao.
@user-ib5iv7jx6m
@user-ib5iv7jx6m 10 ай бұрын
Hii story yakutunga mpuuzi mkubwa uyuu
@omarkombo3474
@omarkombo3474 9 ай бұрын
jamaa aache kusingizia uislam aseme tu kwamba yeye alikua mchawi pamoja na familia yake.Abaki na mfumo kristo wake.Na hii ndo fimbo ambayo wachungaji wanaitumia kwa waumini wao ndio maana kanisani huwezi kuhoji kitu.
@charlesmapunda5905
@charlesmapunda5905 Жыл бұрын
Waislam ndio mnao pinga hizi shuhuda, cha kuwashauri jitahidini kutafuta waganga ili mumpe namba Davister ili awaleteen nanyi Burudani maana ninyi hampende kuokoa nafsi zenu ila mnapenda kuzidi kuziangamiza kwa Waganga. Zikija stori za Waganga huwa hampingi kabisa
@khalidyasinkhalid5944
@khalidyasinkhalid5944 Жыл бұрын
Huwa hawaipigi mawe Imani ya mtu
@mercyelahuya9522
@mercyelahuya9522 Жыл бұрын
Tunakuombea ndoa ya furaha,Davistar.
@evachuw8092
@evachuw8092 Жыл бұрын
,🙏🙏🙏
@sarongamushi435
@sarongamushi435 Жыл бұрын
Mbona kama hatoi uahuhuda wake jinsi alivyoanza mpaka akaaweza kumiliki majini na hio elimu alivoipata kwa mtiririko mzuri.. anaunga unga sana
@henryosoro7696
@henryosoro7696 Жыл бұрын
Nimeona Hussein..Kwa mda mrefu sijawahi msikia tena
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Жыл бұрын
Ww mzee wakristo utawadanganya sana ila kwa waislamu tuliopita vyuoni kdg tunakuona mchawi mpuuzi tu na unayoyaongea ni stori za hovyo tu
@babafranco3366
@babafranco3366 Жыл бұрын
Adam haji,omary mnyesheni na omary mzanzibari na tumuongeze meshack alafu leten takataka zenu tuweke mdaharo
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Namsikiliza nikiwa arusha sinoni
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 Жыл бұрын
Ubalikiwe sana.
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
@@eaglecrown1101 ubarikiwe nawe pia mtumishi karibu arusha
@ramadhanbarisa8738
@ramadhanbarisa8738 Жыл бұрын
A nice creativity art work. I have meticulously calculated your years of studies and wonder how Yaseer Arafat could be your employers cause he died long way back. Otherwise you did a good job that suites you.
@b.truthful
@b.truthful Жыл бұрын
To get all those leaders from Ayatollah ,Saddam Hussein, Gaddafi and Yasser Arafat to be on a common agenda of paying him 🤔 something doesn't add up in all this anyway he knows what he is targeting and what he wants to achieve
@davidmwangi1420
@davidmwangi1420 Жыл бұрын
Can you guys stop spreading your ignorance in public by saying things you don't know. Yasser Arafat died on 11th November in 2004. Unless you think that those are so many years. Quit writing things to oppose someone just because you don't like them or what they are saying. Or at least do your research first before writing.
@gospelman3720
@gospelman3720 Жыл бұрын
Jamaa nimemsikia mara ya kwanza 2002. Hata kabla Yasir Arafat hajafariki
@salimchimwaga8384
@salimchimwaga8384 Жыл бұрын
Watu waongo kweli.
@milley7185
@milley7185 Жыл бұрын
Alidomeq na osamq nq sqdamu hahaha kichwa cha Habari bwana kinafurahishq
@junioryohana2577
@junioryohana2577 Жыл бұрын
NASUBILI part 2,3,
Dr Pastor Hussein Mubarakah Kutoa Majini Na Mapepo Part 1
44:04
Africha Entertainment
Рет қаралды 17 М.
POV: Your kids ask to play the claw machine
00:20
Hungry FAM
Рет қаралды 8 МЛН
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 6 МЛН
USHUHUDA WA SHEHE ALIYEOKOKA(Part 1)~Shehe Omary Mnyeshani
34:08
PROMOVER TV
Рет қаралды 67 М.