MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mbaroukkhalfani9244Ай бұрын
Kwelo huwezi kukamatwa kwasababu waislamu wana amiini Allah ndio mlipaji na dr.sule utabaki kuwa tapeli na kwa huku pemba(znz) hutakuja mtapeli mtu tena misikitini maana unatumia udhaifu wa waislamu kuwatapeli kwa kuja kuwatapeli kwa kuwatibu na kujenga hospital za wanawake. Allah atakudhirisha hapa hapa biidhniillah
@Djdiho257Ай бұрын
Kuna audio ya huu Baba alitapeli mama wawatu uko warabuni laki 5 na mwengine south Africa laki 7
@AmoIslamicTv27 күн бұрын
Duuh@@Djdiho257
@AmoIslamicTv27 күн бұрын
Duuh
@hadijaismail3619Ай бұрын
Kweli dr sule cku hizi hatutoi zaka ya mali wala ya mazao nk umaskini na ufakiri hautaisha kwa waislam
@AugustinoFredrick-d4gАй бұрын
DD sulle tembelea na misikit ya njombe🙏
@legendaction202Ай бұрын
Subhanallah
@abubakarmwasumilwe7070Ай бұрын
Nlikuwa na kuelewa vzr lkn ww iman imenikata kabisa wadanganye haohoa Nauseje Kwetu Njombe
@majaliwahassan928Ай бұрын
Sio eti kila tapeli anashikwa mara moja ngoja siku utashikwa hautaachiliwa . Wewe tapeli kweli sio utani
@mataypanga5262Ай бұрын
Nani amkamate kama rais ni muislamu mwenzake. Na kwa waislamu wanawake wako chini ya miguu ya wanaume😂
@AllaudinMeghjiАй бұрын
Wewe sio tapeli tunaamini ila matibabu yako ni gharama Sana...
@SheeMaryam.MАй бұрын
Kwakweli n zama za mwisho hizi Waisilamu watakuwa hawaelewai hata kindogo 😢😢 Allah awafanyie wepesi
Watu baada kuona mshrikin saiv unawatolew watot mawaidh at mskit hawjai kwel usilam dini y mungu sio ya mtu n ukibdlka tuuu wat wnkukmbia
@ZaidAKissinza23 күн бұрын
Hukamatwi kwa sababu uko chini ya kivuli cha dini, jaribu kutoka kwenye kivuli hicho uone moto wake
@PablolookmanАй бұрын
Fundisheni deni sio kuaombea Dua waislam nilichogundua hakuna sheikh atakae kupa elimu bure hata katika mtandaoni hawezi kukuandikia
@paulocosmas7232Ай бұрын
Sule ata kanzu basi ww ni kiongozi mkubwa
@yahyamohamed1831Ай бұрын
Tapeli tu wewe na mshirikina sio yule Dr Sule wa zamani
@MwijakaSwalehe-dg4hwАй бұрын
Ww alikutapeli nn,au wale wale bendera tu
@yahyamohamed1831Ай бұрын
@@MwijakaSwalehe-dg4hw subiri wewe akutapeli ndio utajua kama hujui. #Mwaipopoonlinetv
@hassanhamid4359Ай бұрын
Kwani mpaka atapeliwe yeye ao anowatapeli dada zake ndugu zake nk@@MwijakaSwalehe-dg4hw
@paulocosmas7232Ай бұрын
Kwa nn unagusia maisha ni njia iyo ya kutaka kutawala na kufanya biashara watu wa kawaida awawez kutambua kitu
@PablolookmanАй бұрын
Hao wana wake wote wanaokufuata hakuna anaesimamisha swala Tano ndio maana utawakuta wana wake wengi kwenye vituo vyenu
@MfaumeYahyaMfaumeАй бұрын
Nafurai Sana na sure naombeni namba zake zawasapp mm nipo nynje yatazania
@migoshimself3204Ай бұрын
Njo Cape Town unafurahi......... Kumamako
@paulocosmas7232Ай бұрын
Mara elfu 1000 sule sio kwer umetonga kjna
@DjibrileMumbere-j3yАй бұрын
Dr sulle tafadhali utembelee vile huko kwetu Congo durba ukuye kufanya muhadhara huko durba sheikh
@fundimorisho8230Ай бұрын
Iyo siyo hoja kunawangine matapeli huwa hawakamatwi kwakutokana napesa zao ao kutokana nanguvu walio kuwa nayo kwenye viombo vyadola
@davidharerimana1383Ай бұрын
Na anaye kucafuwa alaniwe Dk
@hassanhamid4359Ай бұрын
Unawatapeli waislamu
@rajuxcharityАй бұрын
Ame kutapeli nini ao shingapi?
@AishaIssa-l4qАй бұрын
Mdomo uliponza kichwa unaushaidi kama nitapeli
@mataypanga5262Ай бұрын
Huo ni uongo kusema kuna wakati waislamu wote walikuwa na kipato eti wakapeleka zaka kwa wasio waislamu 😂. Waislamu na zile ndoa zao za wake wengi na watoto wengi,watapata wapi pesa😅
@SaidIsmail-w2wАй бұрын
wambie wasikie
@jumamagoma1743Ай бұрын
Mshilikina.chawa.wa.ccm.dunia.imekuteka.
@uwezahalisidominick4215Ай бұрын
Watu baada kuona mshrikin saiv unawatolew watot mawaidh at mskit hawjai kwel usilam dini y mungu sio ya mtu n ukibdlka tuuu wat wnkukmbia