Pole sana kwa shujaa Dragila na Mungu asifiwe kwa kufunguiliwa kwake. Tunamtakia amani na maisha marefu katika kazi na mipango yake. Asante sana kwa kutetea udongo wetu na nchi yetu ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (RDC - DRC). Pasteur Pierre Mas1
@markoesombo84403 ай бұрын
Pole sana kk yangu Dragila Ekanda. Najuwa kwamba utakapoingia tena mukazi wewe ndo utafanya kazi zuri
@mwajumasakina95993 ай бұрын
Pole sana kwa hayo yote yaliyokupata mzalendo wa kweli Diragila, Mwenyezi Mungu akuponye na akutie nguvu zaidi
@MauridiJosephMasumbuko2 ай бұрын
Pole sana pp
@nendeamisi21843 ай бұрын
Pole saana ndunguyangu drangira. Mungu Akubariki.❤
@KABWEM2 ай бұрын
Pole sana mzee na karibu tena
@sadikijambari67363 ай бұрын
Pole sana mzee wetu gragila kwa kazi ulio ifanya
@mathiaboeddy2 ай бұрын
Pole sana mzee, ingekua vizuri ndugu mtangazaji umuulize namba ambazo za simu anapatikana
@AbigailGlory-p4k2 ай бұрын
Pole sana mzee wetu shujaa mungu akulinde pia akutie nguvu
@byoseasolokoci72573 ай бұрын
Pole sana mzee wetu. Tunakutegemea nakukuhitaji pia. FIZI POWER.
@GodenBMDaniel3 ай бұрын
Hongera sana na pole mzee wetu maisha ni shule
@KashindiMauridi3 ай бұрын
Pole sana shujaa wetu! Kweli nimeamini kauli ya wabembe isemayo" MSOSHI TALEKYAKA NYAMA YA HITO LEMO" ! Naomba uwaurumie maana walikusema tofauti na ulivyo! Mungu na mababu wetu watuhumiwa!
@pastaapalale2 ай бұрын
Pole Sana ndugu bragira , naomba namba zako zasimu
@AlembeModeste2 ай бұрын
Pole saana mdogo wangu ekanda jaribu papania Inchi yetu.
@AmisseMwenetombwe3 ай бұрын
Hongera saana ndugu mtangazaji. Kipindi kizuri saana!!!!
@sadikiMauzosimbi2 ай бұрын
Pole sana mazee wetu tena shujaa wetu Mungu ahendeleye kukutia nguvu shujaa wetu.
@omarymwenebatu22 күн бұрын
Polesana kakayangu kwa ulichopitia ila mungu atatendatu.
@BikeyMtunga3 ай бұрын
ishi sana shujaa wetu mimi niko usa ila iyo moja imenigusa sana akika mungu wa baba zetu akulinde na akupe nguvu ya kushimama katika kweli juu ya inchi yetu na pia uwasamehe wabembe wote walio kukejeli na kukuongelea vibaya.
@agenceunionpourlareussite60502 ай бұрын
Vraiment au problème de Fuliru et ba babembe il a bien répondu voilà voyant un vrai patriote soldat bien formé, il est de CNPCC pole kutoka kwa pasteur Francis from canada Mungu akulinde Dragila atutakuachilia na Mimi Francis natoa pole kwa Dragila Epembwe y’a Babembe.
@SamuelAmitié3 ай бұрын
Pole sana mzee wetu kwa maguu yote ulio pata, mimi napenda kujuwa esk mzee wetu Grago kwa leo eko wapi?
@mg-lion.27823 ай бұрын
Mungu akulinde DRAGON.
@innocentbishinaba40672 ай бұрын
Pole sana mzee wetu kwayote uliyo pitiya
@OmariAmissi-ik8pp2 ай бұрын
Pole sana mzee wetu ni Omari kutoka Moçambique wede nyumbani .
@FrdyAembetchalumba3 ай бұрын
Pole sana Mzee dragira kwa magumu yote ulikabili,haki unabakia kuwa haki.
@GervéNgongo3 ай бұрын
Pole saaana
@babadiego59782 ай бұрын
Mungu aku bariki pia na pole sn mjomba wng Ninayo furaha kuku ona balala lux
@Martin-jy6dw3 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu
@EzekielIongwa3 ай бұрын
Pole sana
@PondoLulinda3 ай бұрын
Pole sana dragira
@CONGOINTHEPICTURE2 ай бұрын
Pole sana kwa yote yamekupitiya
@AbandelwaMkelelwa3 ай бұрын
Asante kwa kutoa ushuuda huo na pole sana mzalendo sifa pia kwa collegue Eciba Isanganino Joram kukuifadhi.
@AmisseMwenetombwe3 ай бұрын
Pole kabisa!!!!
@justinwalubingo2862 ай бұрын
Umojaninguvu courage
@FundiImidi3 ай бұрын
pole sana
@AkidaModeste2 ай бұрын
Mweshimiwa Dragila uko na Mungu na uko Mwanaume, Na tunakuomba sisi wa Bèmbe wenye tuko Inchi ya Inchi tunakuomba uwahurumie kabisa Ndugu yetu na Pole saana Wetu M'mulu Dragila Epembwe 'ya Babembe !!
@AlphonseSelemani3 ай бұрын
Vraiment tume furah sana kwaku muhona mzee wetu na pia tuna ku tegemea sana mzee wetu fanya mema nenda zako mzee wetu
@samsonkwaba45503 ай бұрын
Bravo.
@MoreOmari-sk9mc3 ай бұрын
Ok ❤❤❤
@al-bleproshooteur19222 ай бұрын
😢
@AnasaWashikala2 ай бұрын
Kaka Dragila, sisi wabembe twakupa pole sana nashida uliopata. sasa ww fika kwanza uku mengine yatafwata.
@kimbiasani64643 ай бұрын
pole sana kwakweli lomba uonane na rahici utu tumikie kama zamana bitakwira apate haya. Umutafutekwanza
ASANTEKUONASHUJAAWETU.DRAGON ANAPEWAUHURU,NAKUSEMAMUFULIRUNAMUBEMBEWALETE MTU MOJA.
@markoesombo84403 ай бұрын
Pole tena
@NzaleSango3 ай бұрын
Bitakwira anakuaga msazi sana, muda mwegine anakuaga chameleon.
@wilondjacare3 ай бұрын
Munisaidie namba ya dragila
@markoesombo84403 ай бұрын
Angalisho na wanyarwanda
@sendeesupriydewoochiagaliy74743 ай бұрын
Wa Bembe wa Babondo Je mujuwa Mwami Lukoko Wa SUNGURA!!
@SangoEbuela3 ай бұрын
Hipo siku Mungu hata tulipa hayo yote
@MnyakaFelixesloni3 ай бұрын
I'ombwe
@AmisiKaluta2 ай бұрын
Héro wetu
@FaustinaëmbeMwessa3 ай бұрын
Tuwe pamoja tupigame
@amisiamani78143 ай бұрын
Tutumiye namba zake jamani.
@Emo_Television3 ай бұрын
Tu cheki whatsapp kwenye namba +242 981 071 068
@PeterBaininwa3 ай бұрын
Maisha marefu tunakuombea
@bitangacabosoka1803 ай бұрын
Sisi wabembe hatukosi Mwami na Mwami hakuwaki anafaniwa uchaguzi. Tatizo kubwa kwetu ni Akakya. Mkusanye Wami WOTE na muwauliziye Mwami wenu anakuaka Nani. Wasipo mjua WOTE hawafai na si Wami ni makapita. Tatizo lenu hamujuwi Historia. Tuko taifa kubwa Sana tena Sana. Taifa Pekee ambalo linaahadi na Mungu.
@j...8763 ай бұрын
Apama mweshimiwa tuna kuhitaji mimi na kujuwa kama shujaaa!!
Aliye umba Dunia asifiwe, kwa Sababu ukweli una Julikana sasa tuwe pamoja wa bembe.
@EzekielIongwa3 ай бұрын
Sasa ukimupata Bitakwira je hunaweza kumuacha hivi hivi
@Choraleneema34emecadafsympo3 ай бұрын
Pôle baba kwa matatizo iliyo kupitiya tunafurahi gisi uko hai
@amisiwapole31443 ай бұрын
Kuhusu swala la WABONDO kuwa na MWAMI 1, hapo ume Sema kweli kabisaaa. Hata mimi huwaga nawazia Hilo swala. Je, tutafika hapo siku moja?
@Emo_Television3 ай бұрын
Inawezekana
@luc66lumona932 ай бұрын
Journaliste jitahidi kuuliza maswali muhimu. Ulipaswa kuuliza zaidi kuhusu namna alivyotoka , kwa nini alifungwa miaka sita? Ni kosa gani katika hizo kosa zilionekana ni kweli na zipi zilifutwa na kwanini?na wale wajeshi wengine wako wapi? Wanafanya nini?Pia yeye dragira Ana mpango gani wa baadae? Ataenda tena porini. Hayo maswali ya bwami ni muhimu Ila sio lazima sana. Mawasiliano Yake na Yakutumba yakoje? Unaacha bya muhimu unauliza bya bwami na maswali legelege
@EilaAssa3 ай бұрын
Tusamee papa tumesema mengi
@byoseasolokoci72573 ай бұрын
Bitakwira sasa hivi anasikia ahibu, pia anatumikia wanyarwanda. Karibu FIZI.
@rexricardo5733 ай бұрын
Hachana na huyo mpumbavu
@rashidikindu54343 ай бұрын
Mjomba Ekanga pole kwamatatizo hayo.Wabembe kamanda wangu anasema yote wazi.m’mbondo fungueni macho Bitakwira nimtu ambaye apengagi wabembe.mwepeke mulijisikilia
@AnasaWashikala2 ай бұрын
Fika uku kk, apa fizi sisi ni vita tuu tutapigania Fizi na rdc en général mupaka kufa. Fizi=Zone Rouge. Nous avons la guerre dans le sang.
Kwa sasa Bitakwira yeye ndo anaonekana ndo hana akili,hana uwezo waku tukana mbembe hana akini,kwasasa anatembelea ndjia ya watoto wa kibembe,ana jiita mzalendo hivi yeye Bitakwira
@Masengo-su3mf2 ай бұрын
Misofi hona
@Masengo-su3mf2 ай бұрын
Mwayenga kalila kihimiino misofi hona boma
@RamazaniAmisi-ns5mf3 ай бұрын
Wabembe muwe muna ongeya luga yenye tutakuwa tuna fatana sisi wote tuta acha kufatilia Chanel yako
@Emo_Television3 ай бұрын
Tuta jaribu kubadili LUGHA
@nendeamisi21843 ай бұрын
Kibembe nilunga ya wabembe, Husihongope nduguyangu mtangazaji. Fanyakazi tukopamoja.
@Fadhili-mk3 ай бұрын
Unasema kweli ila ubadili tabia 😛😛
@mg-lion.27823 ай бұрын
Tabia gani .
@KolamuWabene3 ай бұрын
Tuhambie tabiya yake tujuwe
@babadiego59782 ай бұрын
Weye imbwa abadilishe ta biya gani mjinga Kuma ya mama yako