DR.SULLE KISA CHA ISRAAH NA MIRAJ/MATABAKA MANNE YA ANGA (SEHEMU YA NNE)

  Рет қаралды 2,337

ISLAAH ISLAMIC  TV

ISLAAH ISLAMIC TV

Күн бұрын

#drsulle #islamicfigure #africa #tanzania #islaamic

Пікірлер: 6
@allymtunge5530
@allymtunge5530 8 күн бұрын
Ahsanteh kwamafundisho yako Dr sulle mungu akupe uhai mrefu,
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 8 күн бұрын
Wallah waislamu ndio mana tuna maarifa na akili. Bravo Dr Sulle.
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 8 күн бұрын
Elimu yote hii utaipata ktk Biblia funny book thubutu anyenye 😅😅. Alafu kuna kuja watu wasio tahiriwa wanamtukana Nabii Muhammad SAW na Allah Subhuana wa Taala.
@ndayikezaoscar3467
@ndayikezaoscar3467 8 күн бұрын
Mzee wangu una akili sana MUNGU AKUTUNZE
@subu04
@subu04 8 күн бұрын
Swali langu kwa ndugu zangu ambao ni waislamu, mie sio muislamu ila nauliza neno Haramu kwa kiswahili ni kitu kisichofaa au kutokuhaharishwa, mbona nasikia humu safari kutoka masjid Haram kwenda Aqsa, Haram hapa inamaanisha nini na Aqsa inamaanisha nini kiswahili?
@nice-products-q9q
@nice-products-q9q 7 күн бұрын
Ni lugha tu ya kiarabu ndugu yangu, kama vile unavoona neno moja la Kiswahili au Kiingereza linaweza kuwa na maana zaidi ya moja. Haram kiarabu inaweza kuwa na maana iliyozuiliwa yani Allah kakataza ima kukifanya au kula au kukisogelea n.k, mfano mimi siruhusiwi kumuoa dada yangu, basi dada yangu ni "maharimu" wangu, haramu kumuoa. Lakini maana ya pili ni "TAKATIFU" na hii ndio inatumika sasa kwenye huo msikiti. unamajina mengi lakini Moja wapo ni hilo "Msikiti mtakatifu" Allah ni mjuzi zaidi. Ushauri wangu: Kuna baadhi ya ndugu zetu Wakristo, wameshajua ipi dini sahihi na ipi si sahihi, lakini Kuna roho ya kishetani inamchelewesha kuingia katika dini ya sawa, anajiuliza nikibadili dini nitaonekanaje, rfk zangu watanionaje? Nawashauri tu usibadili dini kwa ajili ya mtu, wala kwa ajili ya kitu, wewe ingia katika uislamu kwa ajili ya Mungu mmoja wa ulimwengu ambae hana mshirika, uone jinsi atakavokubariki. Mtume anatuambia "Akikupenda Allah, akikuridhia Allah, basi vitakupenda vya mbinguni vyote na vya ardhini vyote" tukitaka kupendwa na Allah ni kufuata maelekezo yake yote kisawa sawa tu. Sasa si kwambii kwa wewe ambae mwanzo ulikuwa humjui Allah, ukafahamishwa alafu ukamfuata kwa yakini kabisa, Allah anakupenda mno! Allah awaongoze ndugu zetu Wakristo awalainishe mioyo yao waingie kwenye dini ya haki. Haiwezekani na haitokuja kuwezekana sisi tuumbwe na Mungu mmoja, alafu tuje kutofautiana Imani alafu useme wote tuko sawa! hapana. Lazima lipo kundi moja ambalo lipo sahihi sana katika kumtambua Mungu wa kweli. Allah atubariki sote
Beat Ronaldo, Win $1,000,000
22:45
MrBeast
Рет қаралды 158 МЛН
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
KISA CHA ISRAAH NA MIRAJ PART TWO//DR.SULLE VS MUHAMMAD AL ALAW
1:35:55
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 4,1 М.
DAWAH YAGUZA MLIMA || DAWAH AT THE GOD'S POWER MOUNTAIN
51:21
Straight Path Dawah
Рет қаралды 2,8 М.
Jacaranda tumefika ujumbe waendelea kufika wajitokeza kwa wingi kusikiza
1:27:19
Salim Daawah Kenya TV
Рет қаралды 4,9 М.