Ya allah ninakuomba kwa yakin moyoni unajua naumwa ya allah naomba uniopoa kutoka ktk maradh haya naomba nisaidie baba mungu niondolee maradhi na uniepushe allah yasinikute tena allah kupitia dua ya mashekh hawa naomba uniponye allahna unijaaalie kumaliz mkataba salama na kurud kwetu salama
@KasimuNgware10 күн бұрын
Yaa Allah nakuomba kupitia dua hii unifungue vifungo na uchawi ulipo kwenye mwili wangu amina
@UmmyHamis-d8u13 күн бұрын
Allahumma Ameen yarrab kupitia Dua hii naomba uniondoshee uchawi na vifungo mwilini mwangu na mawenge katika kichwa changu
@NuuratAdinan27 күн бұрын
Amiin ishanllah anllah atuondolee vifungo na maradha kupitia dua hii ishaanlah anllah atawalipa kila la kheri mashehe wetu 🙏🏻🙏🏻
@user-qx9yt9ej2i10 ай бұрын
Ya allah uwaongoze kwa kila la kher wasomaj wetu inshaallah
@faysaltamim27142 жыл бұрын
A,aleykum shekh yusuph
@innocentramadhani Жыл бұрын
Naomba munisomee Dua ya kuto kuinbiwa
@UmmyHamis-d8u13 күн бұрын
Shukran jazzaka Allah kwa Dua ila naomba niidaulodi
@amneally41352 ай бұрын
Allahumma ameen
@hawomusa936411 ай бұрын
Mashallah Allah awahifathi,amiin
@salamabakari838411 ай бұрын
Mashallah wasomaji amiin
@hawomusa936411 ай бұрын
Mimi bi hawo pia muniombeni.kutoka Kenya Mombasa.
@GhGg-mc4qq14 күн бұрын
Ya allh kupitia hii dua nakuomba uniepushie na maladhi kwenye mwil wang
@ZABIBUCOSMASАй бұрын
Maashaa Allah
@GhGg-mc4qq27 күн бұрын
Ya allla kupitia dua hii niondoshee na maladh yot kweny mwili wang
@evaboaz1311 Жыл бұрын
Amiin
@user-yl2ju4oc9c5 ай бұрын
Ya Allah kupitia hii Dua mm saumu ayub nakuomba uniondeshe vikundi vyamajini pamoja na watu wabaya wanao taka niunganisha freemason ya Allah nakuomba uniondeshe 😢
@AmenaMm-r5t5 ай бұрын
Mm amin khamis nnaeisikiliz iidua nakuomb mung uniepushie wat wabay mm na kizazi changu na mm yang kwakil aloukusudia ubay umrudie mwenyew amin yarab
@GhGg-mc4qq14 күн бұрын
Ya allh nakuomba unisameh makosa yang yot unipe kizazi chem
@issakhamis68177 ай бұрын
Asalam walekum sheik jazakallah keri let me put my intention to it because of people doing jealous to me thanks
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv8 ай бұрын
Mashaallah Mashaallah
@RizikiBeja8 ай бұрын
Asalam alaikum mimi ninae andika naitwa riziki naandikia mamangu anaitwa kanga ako na matatizo ya tumbo naomba mumuombee pia nyumbani kwetu kuna matatizo mengi sana twaomba kisomo
@fatumabariko261310 ай бұрын
ameen
@شاني-ص6ظ Жыл бұрын
Amiin, 🤲🤲🤲❤️❤️❤️
@user-qx9yt9ej2i10 ай бұрын
Amiin amiin
@munaisa5850 Жыл бұрын
Amiin🤲
@abbasayubb5424 Жыл бұрын
Asalam alekum usthadh saumu ayub kutoka Mombasa country napata visomo venu kupitia simu kwa jirani ila nikwa naomba uniombee dua huko mliko mimi yatima nafanya kazi ila ifikapo malipo bosi hanilipi napia nadhulumiwa pesa
@FathiyaAboubakar-hn7cs Жыл бұрын
Amin
@user-gg5ow9bg6y6 ай бұрын
Shukulani sana shehe
@user-ki9le1jy8e7 ай бұрын
Kibib kutok tang tukopamoj allah azid jututia moyo tusmam katk din yet nakumstahiq allah mamb kama haya yasitupit yaarab