Mashekh wangu mm nina matatizo nina chuo znz shamba ndani ya msikiti ambao nimeujenga. Sasa nataka kujenga chuo hiyo ardhi ni babu yetu ambayo warithi watt Wa Khali yangu wamenipa nijenge lkn wajukuu wa khaloo yangu wamenizuwiya na chuo kimekuwa mashallah kikubwa watt hawaingii tena hapo msikitini. Nahitajia dua mashekhe wangu nitakulipeni
@charitymwaura48979 ай бұрын
Amin ya arabii na Mimi .nijalie nirudishiwe pesa yngu na aliye nidhulumu Leo asubuhi
@ashushfarruuj9 ай бұрын
Aalkm masheikh MOLA awajaze mema Ht mume wangu pia anataka kudhuumiwa nyumba yakena mtalaka wake naomba pia mumuombee mume wangu
@aminarajab10452 ай бұрын
Asalam alaikum allah mfanyie wepesi dadaangu apewe hakiyake na mimi Amina rajabu nataka allah anipewepesi na mimi nimedhulumiwa na boss wangu fatma siabi
@namrindasudi62723 жыл бұрын
Allahuma Ameen. Nasie pia tuwe wenye kutakabaliwa kwenye dua hii inshaallah
@BushramussaShaaban5 ай бұрын
Aamen 🤲 Allah atufanyie wepesi kwa wote
@SaumJuma-ng4vj2 ай бұрын
Amiin yaAllah kwa dua hii nirudishiwe haki yangu
@khairatkeneth84367 ай бұрын
Amiin amiin natumaini dua hii itanisaidia na mimi nirudishiwe ela yangu
@RASHEEDTV-c3s6 ай бұрын
Ameen na mm yarabby naomba nirudishiwe pesa yangu niliodhulumiwa ya KARIM😢
@khamisasina59422 жыл бұрын
Mwenyzimungu anijaliee pia mimi nimedhulumiwa plot yangu na mimi ni yatima naomba mwenyezimungu ayeeze kuniridishia in sha Allah
@ggjdjfgyhkfkf1542 Жыл бұрын
Amina
@jumawaziri85017 ай бұрын
Aaamiin
@nooornoor12013 күн бұрын
Amiin
@mjanaelsabugo231910 ай бұрын
Amfanyiye wepes dada shuf nami pia aliyethulum anilip bila usumbuf
@setiseti5281 Жыл бұрын
Amina yaaraab
@enterenter19212 жыл бұрын
Aamiin Aamiin Aamiin Yaa Allah nifanyie wepesi namimi nisidhulumiwe eneo langu yaa Allah hakika wew ndio mwenye kurusha haki yakila mja wako Yaa Allah hifadhi haki yangu😭Yaa Rabb nakiri nakuamin wew hushindwi nakitu chochote Yaa Lat'wiif kiwanja changu🤲🤲kird katika mikono yangu,, Yaa Allah waangamize wote wanaotaka kunidhulu Yaa Allah waangamize mbali kbs wakajikwae kidole waangukie mbali kabis🤲🤲
@Halimasikudhani5 күн бұрын
Mimi pia nimidhulimiwa pesa zangu za kujenga nyumba yarabb niajalie na mimi
@FatmaAhmed-n6c Жыл бұрын
Ameen
@kijangwazay77114 жыл бұрын
Wa alaykum ssalaam warahmatullah wabarakatuh Allahumma amiin Allah airejeshe haki yake kwa wakt in sha Allah
@salimanasri39802 жыл бұрын
Amiin ya rabii na mm yaa Allah nijalie nirudishwe pesa yangu wamenidhulumu🤲
@Mymuna-bk9md11 ай бұрын
Shukran sheikh kama tayari mtu kashadhulumiwa je
@Aisha-e3k4m Жыл бұрын
Amina yaaraby eeh mwenye zimung nifanyie wepesi ishaallah nirudishiwe pesa zangu niloibiwa na vitu vyangu ishaallah amina yaraby nakuomba mwenye zimung amiina🙏🙏
@ashaamina Жыл бұрын
Ameni
@shamsiyasalim68667 ай бұрын
Ustadhi niombeni dua kwa mtot wangu rafique amesigiziwa kuamenajisimtoto wajirani muombeni dua rafique mungu amuepushie hasadi hiyo kwani molaatie wepesi
@halimaalimwamajeni62914 жыл бұрын
Allahumma Ameen
@abdulazizsaid40462 жыл бұрын
Mungu atufanyie sote mepesi pamoja , ameena ,?
@kezakimanamelissa9121 Жыл бұрын
Amiin amiin . Namimi chef wangu anavo nidhulumu haki yangu Yallah naomba kupitiy Dua hiyi uniwekey wepesi nami nishinde mitihani
@farhiaisabella31662 жыл бұрын
Allahumain Amen mpe wepesi mja wako. Nami pia Allah unifanyie wepesi Boris na Stumai waweze kunilipa fedha zangu. Allahumain Ameen.Allah naomba ushindi maana wewe ndiye unaweza na unaturudishia haki zetu zilizodhulumiwa
@KhadijaDidas Жыл бұрын
Mm khadija nimezulumiwa mume na biashara zangu na mm ni yatima xna wazee ata mmoja
@mjanaelsabugo231910 ай бұрын
🤲🤲🤲🤲
@rahmamukuria7154 жыл бұрын
Aaamiin Aamiin
@nooornoor12013 күн бұрын
Kupitia dua hii nikarudishiwe haki zangu yaallah
@bintialijuma Жыл бұрын
Ameen ya allah atujalie sote tuliodhlumiwa pesa zetu inshaallah
@swabraty17604 жыл бұрын
Allahumma ameen
@zuhurajuma80902 жыл бұрын
Amiin Amiin Amiin inshallah mjalie wepesi na mimi pia unifanyie wepesi nguvu yangu irudi pesa na simu ia edi
Mimi nimezulumiwa pesa zangu milioni moja alikuwa anashida akaniambia nikopeshe pesa takulipa hakunilipa mpaka leo nikimkumbusha nilipe pesa zangu ananitukana sana basi mimi nimemwachia mungu anilipie
YaAllah watu wenye mamlaka wanataka kunidhulumu Mali Yang yarabi nisaidie nirejeshee kilicho Chang Allah Mimi siwez ww tu ndiye unayeweza Allah nirejeshewe haq yang
@user-yj2qc6cw3q2 жыл бұрын
nko na shida pia mm naomba namba niweze kuelezea kwamaan sai nko mbali sana nalia mchana uciku kunawatu nawadai pesa zangu nyigi sanaa naswali nikilia lakn bado kwamaan kunadua nyegine sizijui
@nazmakneya46422 жыл бұрын
Aamiin yaa RABB
@aamarsuleymain2932 Жыл бұрын
Asalam aleykum munapatikana wapi sisi tumedhulumiwa uwanja shamba hekalu 25.3 lipo songea namtumbo migelegele Mali halal ya babu yangu marehem issa mapele yalab aturudishie haki yetu inshaallah
@rwandaafrika61733 жыл бұрын
AMEEN 🤲🤲🤲
@vaillethero6658 Жыл бұрын
Nami pia niwe mwenye kutakabiliwa kwenye dua hii inshaallah
@alishasaid69313 жыл бұрын
Natumaini. Dua ninayoisikiliza. Pesa Nilizozulumiwa. Nitalejeshewa.kwa.uwezo.wa.allah.
@shamsiyasalim68667 ай бұрын
Ni dada shamsiya muombeni mtoto wangu dua ya kusingiziwa kuenda kitendokiovu ubaya umrudie jirani mwenyewe kwa uwezo wa allaj
@shamsiyasalim68667 ай бұрын
Niko Mombasa kenya
@rehemaiddy56962 жыл бұрын
Mimi nateswa na ndoa bimdogo ndie mwenye sauti mimi shida nilizopata awali hazionekani kwa mmewangu mpaka sasa tunamaisha mazuri lakini sionekani nitumie njia gani
@aziza9093 Жыл бұрын
Naoba naba yako yawasappu nashdanaewe shehe
@ameenaameena49072 жыл бұрын
Name jaman
@MARGARETRUGURU-sd8zw Жыл бұрын
nilithurumiwa kupendana na mwanaume jini
@mimitijara4806 Жыл бұрын
Mm pia nimedhulumiwa pesa zangu za retire miliion 4 na cc mm tu watu wengi wamezulumie wamekufa wengi naomba no zenu
@aminatsumamakanga79083 жыл бұрын
Tumuombeeni pia makamu wetu wa raisi Kenya anyanyaswa na wababe wa kenya viongozi wanaojiona ndiokusema kuliko mungu
@thurayaalriyamy86353 жыл бұрын
Asalam aleykum
@shufaabakari9494 жыл бұрын
Ameen yarabilaalamin
@zakariahuka81792 жыл бұрын
ALLAHUMMA Amiin
@rehemaidd7722 жыл бұрын
Ameen yaarabby ameen
@hanifasupplies2109 Жыл бұрын
Assalamu aleykum.Asante kwa dua.Allah awalipe wema.Niwaombe dua isomwe kwa wingi.Yaani kupitia shufaa a.Allah awarejeshee wote waliodhulumiwa haki zao.Kupitia dua hii.Yeye na familia ,jamaa ndugu na majirani . Mbarikiwe na Allah.