Duni Ateta Sakata la Bandari.'Kosa Sababu Rais Mzanzibar'.Wako Mikoani Huko Wanazunguka

  Рет қаралды 50,102

The Chanzo

The Chanzo

Жыл бұрын

Juma Haji Duni ambaye ni mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo alikua akiongea kwenye mkutano wa hadhara wa ACT Wazalendo uliofanyika Bubwini Zanzibar hivi leo Agosti 06,2023
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 432
@mollelyally5213
@mollelyally5213
Safii mzee duni haji Allah akulinde na maadui wa ndani na nje inshaalah
@shukurukoll7269
@shukurukoll7269
Wabaguzi hao, Mwenyezi Mungu Awalaani . Mwenyezi Mungu Ambariki Rais wetu Mama Samia.
@MussaMgonola
@MussaMgonola
Naam MashaAllah hakuna marefu yasiyo ncha ,ni kweli kabisa wawape nchi yenu mna bendera yenu ,bunge lenu ,wimbo wenu ,jeshi lenu na rais wenu
@godwinkasaizi882
@godwinkasaizi882
Hii spana ya Mkataba wa Bandari, Iko vizuri Sana. Inafungua Kila kitu.
@mutalemwajohanes-kx9dj
@mutalemwajohanes-kx9dj
Kwa haraka wenye kujua tatizo lilipo ni lazima wajue ccm ndio ugonjwa sugu wa hii nchi
@biteyubwoba492
@biteyubwoba492
Wazanzibari simameni kidete vunjeni muungano ili watanganyika wajihangaikie wenyenyewe,
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z
Bandari imetujulisha mengi kumbe ACT kilaza
@omarijuma5007
@omarijuma5007
Hello duni Safi Sana wakae wakijua kukosa muungano Zanziba wangeiona Dubai hakuna kisiwa masikini duniani waambie hao wanyawima
@chescokagali5962
@chescokagali5962
Nimeamini Hawa jamaa Wana umoja kuliko sisis Watanganyika
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862
Kwa hiyo ACT inatetea agenda ya ccm hivyo ni aibu sana kwa zito
@jamesswai1683
@jamesswai1683
Hii mijitu ya hovyo Sana..hakika nawaambia act inafutika Zanzibar..wazanzibar sio wanafiki kamwe na hawako tayari kukaa na watu wanafki..mara ngapi metendewa madhila na watanganyika wamewatetea
@vicentnyanda828
@vicentnyanda828
Si muondoke kwani kuna watu wanawatakeni????
@pendaelmollel1847
@pendaelmollel1847
Ni matope tu au naona mwenyewe wadau
@user-hb1iw9uj3x
@user-hb1iw9uj3x
Zanzibar haipaswi kuwepo kama ilivyopotea tanganyika, tufute tofauti Tanzania iwe moja,
@Allybinamour
@Allybinamour
babu duni umeongea vizuri sana,ila mimi najiuliza hawa watanganyika wanaodai tanganyika yao kwani tanganyika yao anayo nani?
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598
Ameingia mikataba mibovu, na mbona hajaziweka na hizo za huko?
@mimiraia2531
@mimiraia2531
Hoja ni kwa nini Bandari za Zanzibar hazimo kwenye huo mkataba. Hoja Sio Uzanzibar, UARABU au Uislam.
@benjaminyakobo7792
@benjaminyakobo7792
Wewe Naye mchochezi tu hunaunalo lijua waretehao warabu kwenu zanzi
@hajihassan5433
@hajihassan5433
Tuijadili Zanzibar yetu tu Babu Duni tatizo la Zanzibar ni hivi vyama vyenu na usitaje kabisa CCM kuhukumiwa Dodoma wakati vyama vyote mnahukumiwa huko huko Tanganyika tofauti ni mitaa tu.
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680
Nimemsiklz vizuur mzee duni. Kumbe ndio watanganyika wakawa wanatoka mapovu ktk comments zao mzee kauwa nyani. Ivi kwann jamani mpka tukielezwa ukweli ikawa tunapinga tu sisi ? Ndio mpaka leo tukawa watumwa wa wazungu na papa wa Ital kwa ujinga wetu.
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 32 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,5 МЛН
Jussa atuma salamu nzito kwa ZEC na Rais Mwinyi
53:20
Weyani Tv
Рет қаралды 10 М.
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 32 МЛН