MAPENZI YA BONGO Pt 2

  Рет қаралды 93,146

Mr Uky

Mr Uky

Күн бұрын

Пікірлер: 459
@winfridashao8690
@winfridashao8690 2 ай бұрын
Huyu dada wa chuo ana akili saaaana.. Yaaani sipati picha angekuwa mwembamba, this slim ladies kidogo wanajua kushughulika angeweza kuanza vurugu hahahaha nimekapenda sana❤
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 4 ай бұрын
Wewe mtoto uko vzr sana mwenyezi mungu akupatie wakwako 🙏
@sayuni123-kl6xk
@sayuni123-kl6xk 4 ай бұрын
Hawa wadada wote wana akili na ni wasitaarabu.Huyu dada mwenye mtoto ana akili kuzidi na ni msitaarabu sana Mungu akutangulie
@smartnyengo725
@smartnyengo725 4 ай бұрын
She is very smart genius
@linnerphilip4260
@linnerphilip4260 4 ай бұрын
Anamleaje mwanaume bhn
@mamaa746
@mamaa746 Ай бұрын
Dolvin ni mzuri na ni mstaarabu sana. Aendelee na maisha yake, amuombe Mungu ampate aliye wake, japo huenda Daniel akamchagua Dolvin
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 4 ай бұрын
Tusomeshe watoto. Nimefuatilia interviews za wadada wanaogombania wanaume ila hawa kweli shule ni nzuri. Wanajibu kisomi.Busara na hekima
@Tyughcdrbdt
@Tyughcdrbdt 4 ай бұрын
Sanaaa
@hildagabriel1003
@hildagabriel1003 4 ай бұрын
Kabisa elimu ni nzuri sana
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 4 ай бұрын
Eti elimu ni nzuri 😂😂😂😂😂😂😂😂
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 4 ай бұрын
​@@JELSONMAUKIEeee siuliona vile vibuyu vingine vilivyoshikana😂😂😂😂
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 4 ай бұрын
@@hellendaniel3809 . Hahahahaha haya bana.umenishinda tabia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@isaacnkya
@isaacnkya 3 ай бұрын
Ummy much appreciated humble,discipline enough Mungu atakupa wa kwako keep on moving🎉🙏
@twalebleboss9687
@twalebleboss9687 3 ай бұрын
OUUWWWWH... Nimependa saana the way DADA ZANGU HAWA walivyopata SOLUTION kwenye hili.... ILA DANIEL KAJICHANGANYA SAANA.... HIKI KIFAA KILICHOMTOA DANIEL KIJIJINI SI CHA MCHEZO...#RESPECT SANA DADA... Utapata wako mwenywe tu.....#LOVE & ..BLESSINGS ....❤❤
@BenaCharles
@BenaCharles 4 ай бұрын
Wadada makin sana hekima ni muhimu nimewapenda wote ♥️♥️♥️
@AnethKimario-rj6hl
@AnethKimario-rj6hl 4 ай бұрын
Daaah kat ya cku nimefurahia hiki kipindi ni Leo Hongeran Sana kumgombania MTU ambae Hana malengo na wewe ni Sawa nakudek bahar daah afu ukiangalia tena kameokotwa kijijin aiseee
@MagrethStephano-ro1jn
@MagrethStephano-ro1jn 4 ай бұрын
Wasomi wanamaliza haya mambo kisomi Kuna kina neyla uwiii😂😂😂😂😂
@DianaMhule
@DianaMhule 4 ай бұрын
😂
@francokinyunyu2619
@francokinyunyu2619 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@MamaAbdul-c5i
@MamaAbdul-c5i 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@neemaelyandrew7944
@neemaelyandrew7944 3 ай бұрын
Na sia😅😅😅😅
@ChristopherShedrack-sl6kq
@ChristopherShedrack-sl6kq Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@memoryngambi7570
@memoryngambi7570 4 ай бұрын
Ninyi wanawake mnaakili sana na ni wa staarabu sana, mwanaume alikua na bahati sana ila kutokua naakili kumempinza,tena wote mumuache na mue marafiki wazuri,ili akaumie baadae.
@mamaa746
@mamaa746 Ай бұрын
Mimi yalinikuta, tena aliniomba pesa nintumie dadake, kumbe mpenzi wake loh! Nikaenda usiku kumfumania, kilichofuata ni kufuta kila kitu chake kwangu. Sasa ni miaka 11 imepita, maisha yanaendelea; tena nikiwa na baraka za Mwenyezi Mungu
@NeemaDevotha
@NeemaDevotha 4 ай бұрын
Nime aminii mwanaume become matured akiwaa na responsibility 😂😂
@charlesfundisha6376
@charlesfundisha6376 Ай бұрын
Mr Uky ila Dolvin She is very Brave ineed this Woman nikutanishe nae
@ZephaniaSositenesi
@ZephaniaSositenesi 2 ай бұрын
Hiyo ndoshida wanaume saivi wanapenda kurerew sana mufukuze awataki kufanya kazi
@OmanOman-ru4eu
@OmanOman-ru4eu 4 ай бұрын
Leo umewahisha part 2 tu Hongera sana
@silviaamakweliukweliutajul8395
@silviaamakweliukweliutajul8395 4 ай бұрын
Umesamehewa dadang hukujua chochote mungu atakuongoza utampata mwenzie
@joycekambuga6286
@joycekambuga6286 4 ай бұрын
Pole Mungu akutetee Daniel ni mpuuzi mdada mrembo hivi una mcheat
@DM_15
@DM_15 2 ай бұрын
Huyu mwenye miwani yupo cool sana she is good I think she deserves tobe a good wife , akiwa ndani yanyumba nadhani hawez kua namambo za ku dhalilishana kuanikani ishuz. She is good i like her
@davidoberlin7236
@davidoberlin7236 2 ай бұрын
Jamaa anajua kuchagua fr fr😅 ila jamaa kazingua ummie z more cuter than doro ila doro ako na vibes za kirwanda🤣....but still😅🤌🏾
@NeemaMsuya-kk6bs
@NeemaMsuya-kk6bs 4 ай бұрын
Leo ndo mara yakwanza nimeona watu wastarabu😇😇
@nataemsuya
@nataemsuya 4 ай бұрын
Maigizo hayo
@NeemaMsuya-kk6bs
@NeemaMsuya-kk6bs 4 ай бұрын
@@nataemsuya igiza na wew dear Kama Raha wala hakuna shido
@FatmaSultan-dy1ql
@FatmaSultan-dy1ql 3 ай бұрын
Ila wanawake wa dar wanapenda kuhudumia wanaume looh😂
@wardarashid7250
@wardarashid7250 3 ай бұрын
Jmn mbn mnaujasili hvy wa kumuudumia mwanaume 😂😂😂😂
@Sharifajafari-ys6gx
@Sharifajafari-ys6gx 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂awa ni watoto wa chuo wa uwasibu eeee kama sikosei we kaka😂😂😂😂
@DoreenMwanga-dg7xp
@DoreenMwanga-dg7xp 4 ай бұрын
Hivi unampaje mwanaume kila kitu et bado ni mpe nauli arudi kwao si atembee kwa miguu au apande gari la mizigo pumbavu
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 4 ай бұрын
Kumsaidia tu
@TreasureMagumba
@TreasureMagumba 4 ай бұрын
We ni mm kabisa na nguo atavaa ndo hizo ataondoka nazo zingine zote ataziacha
@mimahsavage-ju2xj
@mimahsavage-ju2xj 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@judithminja6386
@judithminja6386 4 ай бұрын
Moyo tu
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 4 ай бұрын
Wewe ni mimi 😂😂😂😂😂
@rqiyaabdallah840
@rqiyaabdallah840 4 ай бұрын
Awa wadada oteni wastaarabu mashallah Awana shidi
@frankjackson9575
@frankjackson9575 4 ай бұрын
DANIEL KACHEZEA DHAHABU ..MWANAMKE KAMA HUYO MSTAARABU NA ANAONEKANA ANA TRUE LOVE NA BADO ANAMCHEAT 🥲wanasemaga thamani ya kitu utakiona kikiondoka...daniel atamkumbuka sana huyo mwanamke .
@deonatusdaud4640
@deonatusdaud4640 3 ай бұрын
mnakamatwaje wanaume wenzangu..😂 viswqswadu kibao
@UmkuluthumYahya-yn3dz
@UmkuluthumYahya-yn3dz 4 ай бұрын
Nimtu ambae nafwatilia saan hizi challenge hii nimependa 😊
@AssOii
@AssOii 3 ай бұрын
Yaan uyu dada mwenye mtoto anatia uluma kana mawazo 😢😢😢 pole dada
@SurprisedIguana-rv6by
@SurprisedIguana-rv6by 4 ай бұрын
Daaaah ila inaumizaa Sanaa dada mzuriii ila mwamba bado ana mchiti
@EmanuelPantaleo
@EmanuelPantaleo 4 ай бұрын
Hawa wadada wanaupekee wao Mungu amewapa 👏👏👏
@marthabizuru5584
@marthabizuru5584 4 ай бұрын
ila mnapata wap nguvu za kuhudumia mwanaume🤣🤣🤣
@FloraMikindani
@FloraMikindani 29 күн бұрын
😂😂😂
@stellamayagi3387
@stellamayagi3387 4 ай бұрын
Duh wanaume siwez mpa k2 aiseee😂😂
@juddysemiti7920
@juddysemiti7920 4 ай бұрын
Huyu dada hawez tena kurudia kuhudumia mwanaume😂😂
@abdultandala6576
@abdultandala6576 4 ай бұрын
Unamuacha mtu kisa kakucheat ni sawa na kukimbia nchi kisa mvua😂😂😂😂mvua iko popote😅😅
@jaqykombe3390
@jaqykombe3390 4 ай бұрын
Hiv inawezekana mm Bado sijapenda kwakweli .😢 Siwez muhudumia mwanaume kias hivyo
@ZabibuSeif-pj3tr
@ZabibuSeif-pj3tr 3 ай бұрын
Mhhh una moyo mm mwanaume akiniomba ata buku moyo unaniuma na simpi ng,ooo na km ndo tunaanz mapenz naweza kukupotezea wallah
@selinakatega6691
@selinakatega6691 4 ай бұрын
Sasa jamani mnamuachaje daniela harakaharaka namna hiyo jamani😂😂😂tena woooteee khaaa
@Enockmtiba
@Enockmtiba 4 ай бұрын
Dada wa watu mzuriii maskini anaenda mcheat na kibonge
@nipheremmanuel4383
@nipheremmanuel4383 4 ай бұрын
Mshumi. ......... mtoto wa kishua Toka tukiwa shule 😂😂😂😂
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 4 ай бұрын
😂😂😂wasomi kumbe wanamaliza kesi kisomi ingekuwa wale WA kiswaz wangedundana na mitusi Juu
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 4 ай бұрын
Hahahaha kumbe elimu muhimu hacha nianze kucheat hili kesi imelizwe kisomi 😂😂😂😂😂😂😂😂
@GoodluckAlex-vd6vc
@GoodluckAlex-vd6vc 4 ай бұрын
Washukuru ni wanakula hela za mwanamke ukute boy unatoa hela alafu anapewa boy mwenzako kinachofuata ni kutumia Parachute tu😅😅😅
@saeedahhenry711
@saeedahhenry711 4 ай бұрын
Ukute uyo kaka Yuko na huyo dada sio anampenda alimkubali to kuwa nae kwajili ya pesa ndio akajitafutia kitu roho inapenda Dan Yuko sahihii 😅😅😅
@CatherineAnderson-e6p
@CatherineAnderson-e6p 4 ай бұрын
Ukiumizwa nd utaacha kuongea hayo maneno dear
@DM.2200
@DM.2200 4 ай бұрын
Kamtumia kama daraja avukie ng'ambo ya pili 😅😅
@saeedahhenry711
@saeedahhenry711 4 ай бұрын
@@CatherineAnderson-e6p siku zoote ukweli huwa mchungu lakini lazima ukweli usemwe ivi mwanamke unapata wapi hiyo nguvu ya kumuhudumia mwanaume kama mtoto wako huoni kama anafosi kupendwa dada
@ZolufaMas-ie4un
@ZolufaMas-ie4un 4 ай бұрын
Bro unafanya kazi poa juu wamezidi sana hawa maboys ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@farajikitihu4558
@farajikitihu4558 3 ай бұрын
Huyo dada bonge nimependa yupo vizuri hapendi matatizo
@francokinyunyu2619
@francokinyunyu2619 4 ай бұрын
Daniel hapa kapoteza mke pumbavu zake😂😂😂
@Caren-og7qd
@Caren-og7qd 4 ай бұрын
Dah! Natamani part 3, hawa wadada ❤️😂
@agnesmartin5716
@agnesmartin5716 4 ай бұрын
Safi sana dada ubarikiwe kwa kugundua Hilo na kuamua kumuacha tafuta wakwo kipenz kwakua ushaujua ukweli
@NanahBrown
@NanahBrown 4 ай бұрын
Labda niulize wenzang 😥 mlipewa mioyo gani mi nikitoa msaada mmoja tu najiona kama nateketea😂😂😂
@Asha-kj5lu
@Asha-kj5lu 4 ай бұрын
Wewe ni mimi kabisaaaa
@VivianSamwel
@VivianSamwel 4 ай бұрын
😅😅😅😅
@NanahBrown
@NanahBrown 4 ай бұрын
@@Asha-kj5lu Yan labda ale mama ang jmn na c mwanaume
@CHRISTINAMAGASI
@CHRISTINAMAGASI 4 ай бұрын
Yn nimecheka km mbwa
@NanahBrown
@NanahBrown 4 ай бұрын
@@CHRISTINAMAGASI 😂😂pole huenda ikawa pengine Kwa kuwa niliwahi kuumiza mapema kabla ya kujipata😂😂walinifunza kutokuwaamin wakanipa na usugu
@RahmaSalum-jz4wp
@RahmaSalum-jz4wp 4 ай бұрын
Tupeleke tukaone nauli na virago vinavyotolewa kwa nyumba😂😂
@RachelJulius-h1p
@RachelJulius-h1p 3 ай бұрын
Wanawezaje kuwahudumia hawa viumbee kumamake😂
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 ай бұрын
Oooh wanawake wote waliokutana ni wife material. Nimewapenda sana
@fatmambeyela6697
@fatmambeyela6697 4 ай бұрын
Hyu bint mstaarabu sna na ana hekima coz ame apologize kwa ummy na kuachananae, ila wanaume jaman walau muwe mnathamin mwanamke anaekushika mkono ktk chochote msivunje miyoyo yao🙌🙌sasa DANIEL kakosa yte hya sasa arud kwao akalime
@saiditwaha5634
@saiditwaha5634 4 ай бұрын
Wako poa sana kwenye talk....very smart girls.
@LeahPhilipo-kx8yn
@LeahPhilipo-kx8yn 3 ай бұрын
Jamn me naomb unifanyie challenge plz 🙏🙏🙏😭 nakuomb nisaidie Niko arusha njiro nawaomba San mr.uky and kiredio nawaomba San 😢
@mrpromisemp
@mrpromisemp 4 ай бұрын
Mapenz yamekaà pembeni yana tutazama tu😂😂 tunavyo yasema sema
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 4 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@sabrinasabrina8395
@sabrinasabrina8395 4 ай бұрын
Hahaha haki tenaa
@RehemaMaloda
@RehemaMaloda 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@RehemaMaloda
@RehemaMaloda 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@RehemaMaloda
@RehemaMaloda 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 4 ай бұрын
dan atakuwa mchaga hahahahahahhaha
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 4 ай бұрын
Dada wa kwanza mzuri mashaa Allah
@mwakajumba25
@mwakajumba25 4 ай бұрын
Nimewapenda mnoooo Hawa wadada❤️❤️❤️
@linnerphilip4260
@linnerphilip4260 4 ай бұрын
Jmn huyo da bonhge mstaarabu .... Ety aondoke. Akati mjin tyr ana connection ataabak tu hiyo f40. Ataanzia life afu mr Uky hajaridhika anaona content bado haijakamilika hadii ampate daniel kwa simu😂😂
@LucyPatrick-t1l
@LucyPatrick-t1l 4 ай бұрын
Mmmmmmmmmmmh jmn watuu wanajuwa kupendaaa daaaah wengine tukasomee
@kivuyo_john
@kivuyo_john 4 ай бұрын
Aisee Hawa wanaume wanaolelewa ivi hizi frusa wanapateje maana wengine tuna damu ya kunguni😂
@FaridaKizenga
@FaridaKizenga 4 ай бұрын
Dada mstaarabu sana huyu mashalaa 😢😢😢😢😢😢❤❤❤
@franciscakija1702
@franciscakija1702 4 ай бұрын
Haya ndo ninayopenda sasa. Part 2 yaani weeee.
@ZuhuraMoshi-co2wc
@ZuhuraMoshi-co2wc 4 ай бұрын
Sema Dan anapenda macho😂
@ladsonmshana9920
@ladsonmshana9920 3 ай бұрын
Daniel usimpe hata nauli huyo mshamba tu arudi kwao kwa miguu
@fistonnibigira167
@fistonnibigira167 4 ай бұрын
Wow bro I like your job man🇿🇦🇧🇮
@idrisakishuga3998
@idrisakishuga3998 3 ай бұрын
Shikamoooo mapenzi😂
@TasmiaDulla
@TasmiaDulla 4 ай бұрын
Cc ummy mtaratibu san pole dada ❤
@idybwoytz8485
@idybwoytz8485 4 ай бұрын
Wadada wotooo ni wazuliiii San kabixa tena wana hakiliii nyingii San hongelaaa 🫡
@frolamganyulo853
@frolamganyulo853 4 ай бұрын
Hizi hela mnazowapaga mnatoa wapi jamanii 😮hamna ndugu zenu Kijijin huko mkawasaidie jamanii 😢
@NeemaIbrahimu-c2l
@NeemaIbrahimu-c2l 2 ай бұрын
Jaman ummy mpole Danny kajichanganya
@AssOii
@AssOii 3 ай бұрын
Mmmmmmmmmh wanaume 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@GetrudarCelestineAmede
@GetrudarCelestineAmede 4 ай бұрын
Mnaigiza ama??? Unampaje mwanaume pesa nk🤣🤣🤣🤣 wazaz wako je ulishawalipa nn kwa malez yao
@MariamSamwel-nz8vu
@MariamSamwel-nz8vu 4 ай бұрын
Haya maisha serious ndugu yangu wanaume nao wanatafta aje
@hildaruben3372
@hildaruben3372 4 ай бұрын
Kupatwa kwa kiingerezaa😂
@JosephineOkumu-y3n
@JosephineOkumu-y3n 4 ай бұрын
Huyu dada mwenye mtoto anaongea kama nana dollz ( video queen ) kwenye UTU ya Alikiba
@AngelMbaga
@AngelMbaga 3 ай бұрын
Huyo dada wa pili nimempenda jamani, una akili utapata wako. Wanaume hawapendi kushushwa anataka ainekane na yeye anaweza kuhudumia. Dada Mungu akuongoze kwamba Daniel uendelee naye au, ila inasikitiaha sana pole. Wekeza kwa Mungu/ toa sadaka naye Mungu atawekeza kwako
@Sharifajafari-ys6gx
@Sharifajafari-ys6gx 4 ай бұрын
Mimi nije udumia mtoto wamtu kaaaaa dunia itapinduka
@MunguMwema-m4l
@MunguMwema-m4l 4 ай бұрын
Jamani hawa wanawake wastaraabu sana aiseee
@linahlawrence694
@linahlawrence694 4 ай бұрын
Kumbe wadada wanachukua hawa wanaume mpka mkoan 😢😢nyie hawa viumbe ni mbwaaa😂😂
@prosperjuma4993
@prosperjuma4993 4 ай бұрын
😅😅😅
@kidimusic-tz8205
@kidimusic-tz8205 4 ай бұрын
Dada ummy mstaharabu sanaaaa ❤
@AzahOmary-kd2db
@AzahOmary-kd2db 4 ай бұрын
Wote wastrabu❤
@PerucChabwas
@PerucChabwas 4 ай бұрын
Its like unajua its like nilikuwa cjui like cpembendi matatizo like camini kam ana mwanamke like nataka kuprove like ni kweli like anachosema huyu dada ni sawa like like like
@josephswai3921
@josephswai3921 4 ай бұрын
Dah watoto wote wazuriii sijui nipite na yupiiii
@CHRISTINAMAGASI
@CHRISTINAMAGASI 4 ай бұрын
Haaahaaaa
@pachitofilm
@pachitofilm 4 ай бұрын
😅😅
@eunicegerminus193
@eunicegerminus193 4 ай бұрын
Hapo nimewapenda bure❤❤❤❤maamuzi mazuri safi kabisa
@AlexNswila-g1q
@AlexNswila-g1q 2 ай бұрын
Njoen uku chaka
@WINNIFRIDAVALENTINE
@WINNIFRIDAVALENTINE 4 ай бұрын
Ummy ni wife material unge endelea na maisha mengine you deserve someone better achana na huyo daniel anakupotezea mda
@mwanamwendy9265
@mwanamwendy9265 4 ай бұрын
Pole mwaya, achana nae, inawezekana Dan alikupenda kwa ajili ya pesa
@goodluckmsoka3660
@goodluckmsoka3660 4 ай бұрын
Ndio ukweli
@AshaDickson
@AshaDickson Ай бұрын
Mimi ata nauli asingepata....
@petroprenge8716
@petroprenge8716 4 ай бұрын
Wanaume wenzangu sitetei usaliti kwa hawa dada zetu lakini tujitahidi tusiruhusu kutegemea mwanamke/wanawake kiuchumi. Huyu Daniel kama angekua amechuma kwa jasho lake nadhani angekua amepoteza wanawake hawa wawili pekee. Lakini sasa hivi kapoteza wanawake zake na kapoteza ofisi yake na mali alizopewa na mwanamke.
@kituapeter
@kituapeter 4 ай бұрын
kwel kaka
@brianosiemo86x4
@brianosiemo86x4 4 ай бұрын
I need any single girl from dah ♥️♥️♥️
@faithakil569
@faithakil569 3 ай бұрын
Mngetumia lunga ya taifa tu .kinge waachieni wenyewe
@surusuru1994
@surusuru1994 4 ай бұрын
Good sister mamzi mazury❤
@scolasticanalle9105
@scolasticanalle9105 4 ай бұрын
Wadada Wana hekima sana hadi raha....
@ArafaOmary-ou2jj
@ArafaOmary-ou2jj 4 ай бұрын
Mapenzi nichangamoto sana mungu atutetee tu
@praygodisacksalmon7843
@praygodisacksalmon7843 4 ай бұрын
wamekutana wakiwa wote ni wastaarab Hadi raha, congrats to them, ningewapata mm hao ningewachangany ata nane
@DM.2200
@DM.2200 4 ай бұрын
Wana hekima kwa kwel shule ipo vizur apo kichwan
@AminaMohammed-hb9kd
@AminaMohammed-hb9kd 4 ай бұрын
HK kipindi Ni kizuri cna ila wanawake tunachezewa cna tutafute helaaaaa
@Mercy508
@Mercy508 4 ай бұрын
kwani hela za kuwafungulia maduka wanaume mnatoa wap?😂
@JeladMahenge
@JeladMahenge 4 ай бұрын
❤❤❤❤ wadafa wastalab adi lahaaa
@ShaniNgwaya
@ShaniNgwaya 4 ай бұрын
Kwanini rakini danieli jamani😅😅😅 kampe nauri mwaya arudi kwao akalime mshenzi kabisa ila atakuwa kashatunza pesa. Kwaiyo haotoondoka
@enockmaige8936
@enockmaige8936 4 ай бұрын
Hapo Sasa anataka kumpiga teke chura😂😂😂 afanye Kama yule dada achukue Kila kilichochake
@SaidiRegu255
@SaidiRegu255 4 ай бұрын
Pole san dear uyo sio mume kaa nae mbali
KACHUKUA MPENZI WA MWENZAKE Pt2
8:59
Mr Uky
Рет қаралды 225 М.
ACHANA NA MWANAUME WANGU
11:17
Mr Uky
Рет қаралды 49 М.
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,4 МЛН
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 19 МЛН
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 63 МЛН
This mother's baby is too unreliable.
00:13
FUNNY XIAOTING 666
Рет қаралды 39 МЛН
CHUCHU KANIPONZA KWA KWELI
8:09
Mr Uky
Рет қаралды 63 М.
MAPENZI YA BONGO PART 1
10:27
Mr Uky
Рет қаралды 153 М.
SHEMEJI KAFUNGUKA UKWELI WOTE
9:07
Mr Uky
Рет қаралды 66 М.
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
KIREDIO
Рет қаралды 166 М.
KATUDANGANYA KISA PENZI
8:22
Mr Uky
Рет қаралды 80 М.
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,4 МЛН