Huyu dada wa chuo ana akili saaaana.. Yaaani sipati picha angekuwa mwembamba, this slim ladies kidogo wanajua kushughulika angeweza kuanza vurugu hahahaha nimekapenda sana❤
@Judy-dy4zt4 ай бұрын
Wewe mtoto uko vzr sana mwenyezi mungu akupatie wakwako 🙏
@sayuni123-kl6xk4 ай бұрын
Hawa wadada wote wana akili na ni wasitaarabu.Huyu dada mwenye mtoto ana akili kuzidi na ni msitaarabu sana Mungu akutangulie
@smartnyengo7254 ай бұрын
She is very smart genius
@linnerphilip42604 ай бұрын
Anamleaje mwanaume bhn
@mamaa746Ай бұрын
Dolvin ni mzuri na ni mstaarabu sana. Aendelee na maisha yake, amuombe Mungu ampate aliye wake, japo huenda Daniel akamchagua Dolvin
@hellendaniel38094 ай бұрын
Tusomeshe watoto. Nimefuatilia interviews za wadada wanaogombania wanaume ila hawa kweli shule ni nzuri. Wanajibu kisomi.Busara na hekima
@Tyughcdrbdt4 ай бұрын
Sanaaa
@hildagabriel10034 ай бұрын
Kabisa elimu ni nzuri sana
@JELSONMAUKI4 ай бұрын
Eti elimu ni nzuri 😂😂😂😂😂😂😂😂
@hellendaniel38094 ай бұрын
@@JELSONMAUKIEeee siuliona vile vibuyu vingine vilivyoshikana😂😂😂😂
@JELSONMAUKI4 ай бұрын
@@hellendaniel3809 . Hahahahaha haya bana.umenishinda tabia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@isaacnkya3 ай бұрын
Ummy much appreciated humble,discipline enough Mungu atakupa wa kwako keep on moving🎉🙏
@twalebleboss96873 ай бұрын
OUUWWWWH... Nimependa saana the way DADA ZANGU HAWA walivyopata SOLUTION kwenye hili.... ILA DANIEL KAJICHANGANYA SAANA.... HIKI KIFAA KILICHOMTOA DANIEL KIJIJINI SI CHA MCHEZO...#RESPECT SANA DADA... Utapata wako mwenywe tu.....#LOVE & ..BLESSINGS ....❤❤
@BenaCharles4 ай бұрын
Wadada makin sana hekima ni muhimu nimewapenda wote ♥️♥️♥️
@AnethKimario-rj6hl4 ай бұрын
Daaah kat ya cku nimefurahia hiki kipindi ni Leo Hongeran Sana kumgombania MTU ambae Hana malengo na wewe ni Sawa nakudek bahar daah afu ukiangalia tena kameokotwa kijijin aiseee
@MagrethStephano-ro1jn4 ай бұрын
Wasomi wanamaliza haya mambo kisomi Kuna kina neyla uwiii😂😂😂😂😂
Ninyi wanawake mnaakili sana na ni wa staarabu sana, mwanaume alikua na bahati sana ila kutokua naakili kumempinza,tena wote mumuache na mue marafiki wazuri,ili akaumie baadae.
@mamaa746Ай бұрын
Mimi yalinikuta, tena aliniomba pesa nintumie dadake, kumbe mpenzi wake loh! Nikaenda usiku kumfumania, kilichofuata ni kufuta kila kitu chake kwangu. Sasa ni miaka 11 imepita, maisha yanaendelea; tena nikiwa na baraka za Mwenyezi Mungu
@NeemaDevotha4 ай бұрын
Nime aminii mwanaume become matured akiwaa na responsibility 😂😂
@charlesfundisha6376Ай бұрын
Mr Uky ila Dolvin She is very Brave ineed this Woman nikutanishe nae
@ZephaniaSositenesi2 ай бұрын
Hiyo ndoshida wanaume saivi wanapenda kurerew sana mufukuze awataki kufanya kazi
@OmanOman-ru4eu4 ай бұрын
Leo umewahisha part 2 tu Hongera sana
@silviaamakweliukweliutajul83954 ай бұрын
Umesamehewa dadang hukujua chochote mungu atakuongoza utampata mwenzie
@joycekambuga62864 ай бұрын
Pole Mungu akutetee Daniel ni mpuuzi mdada mrembo hivi una mcheat
@DM_152 ай бұрын
Huyu mwenye miwani yupo cool sana she is good I think she deserves tobe a good wife , akiwa ndani yanyumba nadhani hawez kua namambo za ku dhalilishana kuanikani ishuz. She is good i like her
@davidoberlin72362 ай бұрын
Jamaa anajua kuchagua fr fr😅 ila jamaa kazingua ummie z more cuter than doro ila doro ako na vibes za kirwanda🤣....but still😅🤌🏾
@NeemaMsuya-kk6bs4 ай бұрын
Leo ndo mara yakwanza nimeona watu wastarabu😇😇
@nataemsuya4 ай бұрын
Maigizo hayo
@NeemaMsuya-kk6bs4 ай бұрын
@@nataemsuya igiza na wew dear Kama Raha wala hakuna shido
@FatmaSultan-dy1ql3 ай бұрын
Ila wanawake wa dar wanapenda kuhudumia wanaume looh😂
@wardarashid72503 ай бұрын
Jmn mbn mnaujasili hvy wa kumuudumia mwanaume 😂😂😂😂
@Sharifajafari-ys6gx4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂awa ni watoto wa chuo wa uwasibu eeee kama sikosei we kaka😂😂😂😂
@DoreenMwanga-dg7xp4 ай бұрын
Hivi unampaje mwanaume kila kitu et bado ni mpe nauli arudi kwao si atembee kwa miguu au apande gari la mizigo pumbavu
@Judy-dy4zt4 ай бұрын
Kumsaidia tu
@TreasureMagumba4 ай бұрын
We ni mm kabisa na nguo atavaa ndo hizo ataondoka nazo zingine zote ataziacha
@mimahsavage-ju2xj4 ай бұрын
😂😂😂😂
@judithminja63864 ай бұрын
Moyo tu
@miriamdavis38934 ай бұрын
Wewe ni mimi 😂😂😂😂😂
@rqiyaabdallah8404 ай бұрын
Awa wadada oteni wastaarabu mashallah Awana shidi
@frankjackson95754 ай бұрын
DANIEL KACHEZEA DHAHABU ..MWANAMKE KAMA HUYO MSTAARABU NA ANAONEKANA ANA TRUE LOVE NA BADO ANAMCHEAT 🥲wanasemaga thamani ya kitu utakiona kikiondoka...daniel atamkumbuka sana huyo mwanamke .
@deonatusdaud46403 ай бұрын
mnakamatwaje wanaume wenzangu..😂 viswqswadu kibao
@UmkuluthumYahya-yn3dz4 ай бұрын
Nimtu ambae nafwatilia saan hizi challenge hii nimependa 😊
@AssOii3 ай бұрын
Yaan uyu dada mwenye mtoto anatia uluma kana mawazo 😢😢😢 pole dada
@SurprisedIguana-rv6by4 ай бұрын
Daaaah ila inaumizaa Sanaa dada mzuriii ila mwamba bado ana mchiti
@EmanuelPantaleo4 ай бұрын
Hawa wadada wanaupekee wao Mungu amewapa 👏👏👏
@marthabizuru55844 ай бұрын
ila mnapata wap nguvu za kuhudumia mwanaume🤣🤣🤣
@FloraMikindani29 күн бұрын
😂😂😂
@stellamayagi33874 ай бұрын
Duh wanaume siwez mpa k2 aiseee😂😂
@juddysemiti79204 ай бұрын
Huyu dada hawez tena kurudia kuhudumia mwanaume😂😂
@abdultandala65764 ай бұрын
Unamuacha mtu kisa kakucheat ni sawa na kukimbia nchi kisa mvua😂😂😂😂mvua iko popote😅😅
@jaqykombe33904 ай бұрын
Hiv inawezekana mm Bado sijapenda kwakweli .😢 Siwez muhudumia mwanaume kias hivyo
@ZabibuSeif-pj3tr3 ай бұрын
Mhhh una moyo mm mwanaume akiniomba ata buku moyo unaniuma na simpi ng,ooo na km ndo tunaanz mapenz naweza kukupotezea wallah
@selinakatega66914 ай бұрын
Sasa jamani mnamuachaje daniela harakaharaka namna hiyo jamani😂😂😂tena woooteee khaaa
@Enockmtiba4 ай бұрын
Dada wa watu mzuriii maskini anaenda mcheat na kibonge
@nipheremmanuel43834 ай бұрын
Mshumi. ......... mtoto wa kishua Toka tukiwa shule 😂😂😂😂
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج4 ай бұрын
😂😂😂wasomi kumbe wanamaliza kesi kisomi ingekuwa wale WA kiswaz wangedundana na mitusi Juu
@JELSONMAUKI4 ай бұрын
Hahahaha kumbe elimu muhimu hacha nianze kucheat hili kesi imelizwe kisomi 😂😂😂😂😂😂😂😂
@GoodluckAlex-vd6vc4 ай бұрын
Washukuru ni wanakula hela za mwanamke ukute boy unatoa hela alafu anapewa boy mwenzako kinachofuata ni kutumia Parachute tu😅😅😅
@saeedahhenry7114 ай бұрын
Ukute uyo kaka Yuko na huyo dada sio anampenda alimkubali to kuwa nae kwajili ya pesa ndio akajitafutia kitu roho inapenda Dan Yuko sahihii 😅😅😅
@CatherineAnderson-e6p4 ай бұрын
Ukiumizwa nd utaacha kuongea hayo maneno dear
@DM.22004 ай бұрын
Kamtumia kama daraja avukie ng'ambo ya pili 😅😅
@saeedahhenry7114 ай бұрын
@@CatherineAnderson-e6p siku zoote ukweli huwa mchungu lakini lazima ukweli usemwe ivi mwanamke unapata wapi hiyo nguvu ya kumuhudumia mwanaume kama mtoto wako huoni kama anafosi kupendwa dada
@ZolufaMas-ie4un4 ай бұрын
Bro unafanya kazi poa juu wamezidi sana hawa maboys ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@farajikitihu45583 ай бұрын
Huyo dada bonge nimependa yupo vizuri hapendi matatizo
@francokinyunyu26194 ай бұрын
Daniel hapa kapoteza mke pumbavu zake😂😂😂
@Caren-og7qd4 ай бұрын
Dah! Natamani part 3, hawa wadada ❤️😂
@agnesmartin57164 ай бұрын
Safi sana dada ubarikiwe kwa kugundua Hilo na kuamua kumuacha tafuta wakwo kipenz kwakua ushaujua ukweli
@NanahBrown4 ай бұрын
Labda niulize wenzang 😥 mlipewa mioyo gani mi nikitoa msaada mmoja tu najiona kama nateketea😂😂😂
@Asha-kj5lu4 ай бұрын
Wewe ni mimi kabisaaaa
@VivianSamwel4 ай бұрын
😅😅😅😅
@NanahBrown4 ай бұрын
@@Asha-kj5lu Yan labda ale mama ang jmn na c mwanaume
@CHRISTINAMAGASI4 ай бұрын
Yn nimecheka km mbwa
@NanahBrown4 ай бұрын
@@CHRISTINAMAGASI 😂😂pole huenda ikawa pengine Kwa kuwa niliwahi kuumiza mapema kabla ya kujipata😂😂walinifunza kutokuwaamin wakanipa na usugu
@RahmaSalum-jz4wp4 ай бұрын
Tupeleke tukaone nauli na virago vinavyotolewa kwa nyumba😂😂
@RachelJulius-h1p3 ай бұрын
Wanawezaje kuwahudumia hawa viumbee kumamake😂
@hidayaswai31192 ай бұрын
Oooh wanawake wote waliokutana ni wife material. Nimewapenda sana
@fatmambeyela66974 ай бұрын
Hyu bint mstaarabu sna na ana hekima coz ame apologize kwa ummy na kuachananae, ila wanaume jaman walau muwe mnathamin mwanamke anaekushika mkono ktk chochote msivunje miyoyo yao🙌🙌sasa DANIEL kakosa yte hya sasa arud kwao akalime
@saiditwaha56344 ай бұрын
Wako poa sana kwenye talk....very smart girls.
@LeahPhilipo-kx8yn3 ай бұрын
Jamn me naomb unifanyie challenge plz 🙏🙏🙏😭 nakuomb nisaidie Niko arusha njiro nawaomba San mr.uky and kiredio nawaomba San 😢
@mrpromisemp4 ай бұрын
Mapenz yamekaà pembeni yana tutazama tu😂😂 tunavyo yasema sema
@miriamdavis38934 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@sabrinasabrina83954 ай бұрын
Hahaha haki tenaa
@RehemaMaloda4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@RehemaMaloda4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@RehemaMaloda4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@reginamluviji94054 ай бұрын
dan atakuwa mchaga hahahahahahhaha
@majaliwamussa92684 ай бұрын
Dada wa kwanza mzuri mashaa Allah
@mwakajumba254 ай бұрын
Nimewapenda mnoooo Hawa wadada❤️❤️❤️
@linnerphilip42604 ай бұрын
Jmn huyo da bonhge mstaarabu .... Ety aondoke. Akati mjin tyr ana connection ataabak tu hiyo f40. Ataanzia life afu mr Uky hajaridhika anaona content bado haijakamilika hadii ampate daniel kwa simu😂😂
@LucyPatrick-t1l4 ай бұрын
Mmmmmmmmmmmh jmn watuu wanajuwa kupendaaa daaaah wengine tukasomee
@kivuyo_john4 ай бұрын
Aisee Hawa wanaume wanaolelewa ivi hizi frusa wanapateje maana wengine tuna damu ya kunguni😂
@FaridaKizenga4 ай бұрын
Dada mstaarabu sana huyu mashalaa 😢😢😢😢😢😢❤❤❤
@franciscakija17024 ай бұрын
Haya ndo ninayopenda sasa. Part 2 yaani weeee.
@ZuhuraMoshi-co2wc4 ай бұрын
Sema Dan anapenda macho😂
@ladsonmshana99203 ай бұрын
Daniel usimpe hata nauli huyo mshamba tu arudi kwao kwa miguu
@fistonnibigira1674 ай бұрын
Wow bro I like your job man🇿🇦🇧🇮
@idrisakishuga39983 ай бұрын
Shikamoooo mapenzi😂
@TasmiaDulla4 ай бұрын
Cc ummy mtaratibu san pole dada ❤
@idybwoytz84854 ай бұрын
Wadada wotooo ni wazuliiii San kabixa tena wana hakiliii nyingii San hongelaaa 🫡
@frolamganyulo8534 ай бұрын
Hizi hela mnazowapaga mnatoa wapi jamanii 😮hamna ndugu zenu Kijijin huko mkawasaidie jamanii 😢
@NeemaIbrahimu-c2l2 ай бұрын
Jaman ummy mpole Danny kajichanganya
@AssOii3 ай бұрын
Mmmmmmmmmh wanaume 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@GetrudarCelestineAmede4 ай бұрын
Mnaigiza ama??? Unampaje mwanaume pesa nk🤣🤣🤣🤣 wazaz wako je ulishawalipa nn kwa malez yao
@MariamSamwel-nz8vu4 ай бұрын
Haya maisha serious ndugu yangu wanaume nao wanatafta aje
@hildaruben33724 ай бұрын
Kupatwa kwa kiingerezaa😂
@JosephineOkumu-y3n4 ай бұрын
Huyu dada mwenye mtoto anaongea kama nana dollz ( video queen ) kwenye UTU ya Alikiba
@AngelMbaga3 ай бұрын
Huyo dada wa pili nimempenda jamani, una akili utapata wako. Wanaume hawapendi kushushwa anataka ainekane na yeye anaweza kuhudumia. Dada Mungu akuongoze kwamba Daniel uendelee naye au, ila inasikitiaha sana pole. Wekeza kwa Mungu/ toa sadaka naye Mungu atawekeza kwako
@Sharifajafari-ys6gx4 ай бұрын
Mimi nije udumia mtoto wamtu kaaaaa dunia itapinduka
@MunguMwema-m4l4 ай бұрын
Jamani hawa wanawake wastaraabu sana aiseee
@linahlawrence6944 ай бұрын
Kumbe wadada wanachukua hawa wanaume mpka mkoan 😢😢nyie hawa viumbe ni mbwaaa😂😂
@prosperjuma49934 ай бұрын
😅😅😅
@kidimusic-tz82054 ай бұрын
Dada ummy mstaharabu sanaaaa ❤
@AzahOmary-kd2db4 ай бұрын
Wote wastrabu❤
@PerucChabwas4 ай бұрын
Its like unajua its like nilikuwa cjui like cpembendi matatizo like camini kam ana mwanamke like nataka kuprove like ni kweli like anachosema huyu dada ni sawa like like like
@josephswai39214 ай бұрын
Dah watoto wote wazuriii sijui nipite na yupiiii
@CHRISTINAMAGASI4 ай бұрын
Haaahaaaa
@pachitofilm4 ай бұрын
😅😅
@eunicegerminus1934 ай бұрын
Hapo nimewapenda bure❤❤❤❤maamuzi mazuri safi kabisa
@AlexNswila-g1q2 ай бұрын
Njoen uku chaka
@WINNIFRIDAVALENTINE4 ай бұрын
Ummy ni wife material unge endelea na maisha mengine you deserve someone better achana na huyo daniel anakupotezea mda
@mwanamwendy92654 ай бұрын
Pole mwaya, achana nae, inawezekana Dan alikupenda kwa ajili ya pesa
@goodluckmsoka36604 ай бұрын
Ndio ukweli
@AshaDicksonАй бұрын
Mimi ata nauli asingepata....
@petroprenge87164 ай бұрын
Wanaume wenzangu sitetei usaliti kwa hawa dada zetu lakini tujitahidi tusiruhusu kutegemea mwanamke/wanawake kiuchumi. Huyu Daniel kama angekua amechuma kwa jasho lake nadhani angekua amepoteza wanawake hawa wawili pekee. Lakini sasa hivi kapoteza wanawake zake na kapoteza ofisi yake na mali alizopewa na mwanamke.
@kituapeter4 ай бұрын
kwel kaka
@brianosiemo86x44 ай бұрын
I need any single girl from dah ♥️♥️♥️
@faithakil5693 ай бұрын
Mngetumia lunga ya taifa tu .kinge waachieni wenyewe
@surusuru19944 ай бұрын
Good sister mamzi mazury❤
@scolasticanalle91054 ай бұрын
Wadada Wana hekima sana hadi raha....
@ArafaOmary-ou2jj4 ай бұрын
Mapenzi nichangamoto sana mungu atutetee tu
@praygodisacksalmon78434 ай бұрын
wamekutana wakiwa wote ni wastaarab Hadi raha, congrats to them, ningewapata mm hao ningewachangany ata nane
@DM.22004 ай бұрын
Wana hekima kwa kwel shule ipo vizur apo kichwan
@AminaMohammed-hb9kd4 ай бұрын
HK kipindi Ni kizuri cna ila wanawake tunachezewa cna tutafute helaaaaa
@Mercy5084 ай бұрын
kwani hela za kuwafungulia maduka wanaume mnatoa wap?😂
@JeladMahenge4 ай бұрын
❤❤❤❤ wadafa wastalab adi lahaaa
@ShaniNgwaya4 ай бұрын
Kwanini rakini danieli jamani😅😅😅 kampe nauri mwaya arudi kwao akalime mshenzi kabisa ila atakuwa kashatunza pesa. Kwaiyo haotoondoka
@enockmaige89364 ай бұрын
Hapo Sasa anataka kumpiga teke chura😂😂😂 afanye Kama yule dada achukue Kila kilichochake