Eti nauliza jamn aya mambo ni kweli au wanaigiza 😅😅😅😅😅 maana
@StylebyTully2 ай бұрын
Hahah😂😂😂😂😂 shout out for Roses confidence
@esthermollel98922 ай бұрын
Rose una busara sana dadangu. Strong woman ever. God bless you
@JudithAdonisАй бұрын
Kwa kweli ❤
@user-fy2ve5by9vАй бұрын
Rose mwamke wa nguvu nakupa salut mama kaza Buti hao mafisi Wanamdondoshe mate mumeo
@eunicegerminus1932 ай бұрын
Rose nimempenda sana yaani mno mno mno ❤❤❤Rose popote ukiona comment hii nakupenda bure
@user-fy2ve5by9vАй бұрын
Rose nimekupe da sana kuwa na ujasisiri was kutosha
@JudithGeorge-kh4sc2 ай бұрын
Huyu dada anabusara sana unajua kuongea bila kutumia panick 📌hv unakasirikaga kweli rosee 🙌your super woman ❤️🔥
@VailethHarbeth-nc4qkАй бұрын
Maana kama mm apo ndo sehemu ningeruka adi juu ya mezaa okay yeye Sasa Kam ayupo 👐👐
@deelinus30802 ай бұрын
Siku zote mwenye BUSARA na HEKIMA atakua juu🥰🙏. Rose ni mwanamke na nusu🔥💯
@user-oj1fh5dn6t2 ай бұрын
P mke wake unamwita mchepuko yan rose ww si unipe na mimi hyo siri ya maisha jamn niwe km ww nimekupenda mimi❤❤❤
@StellaDimitry2 ай бұрын
Rose popot ulipo nmejifunza kutok kwako unajiamn mpk rahaa makopa yko uchukue❤❤❤❤❤
@SarahAntony-dv2co2 ай бұрын
Tulio rudia mara mbili mbili tujuane kwa like
@WardaHemedyАй бұрын
😂😂😂😂😂ni hatarii 😝😝😝
@husnaadam65102 ай бұрын
Tuunganishe na roz tumpe hongera zake ni mwanamke na nusu💃💃❤❤❤
@oscarcharles9624Ай бұрын
❤❤❤❤
@azinamsuya9350Ай бұрын
Usikute maliki kalinda kula yake hawa viumbe hawatabiriki,akirudi kwa p anajibebisha😂😂😂😂😂 nawaza tu
@user-od4ye6du5n2 ай бұрын
Unafaa da rose kuhitwa mke wa mtu hongera kwa hekima uliyo nayo nakupenda sana ❤❤❤
@NeemaAkyo2 күн бұрын
Rose jaman nimekupenda bure mnomnomno ,❤❤ Yani ukiona hiii comment una busara dada yang strong woman ever god bless you ❤❤
@Salmakaucha2 ай бұрын
Duuu ila Loz nimzuli Kisha anaeshima na busala piya mashaallah
@mohamedchillumba-rk4eu2 ай бұрын
Sio lozi Rose
@faridalihondo33222 ай бұрын
@@mohamedchillumba-rk4eu😂😂😂😂😂
@athumanhamad85222 ай бұрын
Loz nimke mwema so hawez kosa busara angalia sasa hio mbuzi inavyo jibu p anatamaa na duka za msela alizopewa na Loz
@AgnesDavid-et3zn2 ай бұрын
@@mohamedchillumba-rk4eu a weee 🤣🤣🤣
@salmatuleteesehem71jmnmahm592 ай бұрын
Nyie nyoote ni michepuko hahhhahh kumbe hakuna mke hapo mie nilijua mmoja kaolewa kumbe nyoote mnaziniwa tu mwisho wa siku anaenda kuoa mwingine endeleeni kugombania tu😅
@arianasangawe96882 ай бұрын
Hasira hukaa kifuan mwa mpumbavu pole kwake p maana alizan kutambulishwa ndo kuolewa hakujua ckuiz watu wananunua wazaz wa mchongo nimempenda sana Rose anajiamini na anatabasamu la kipekee
@mariethagodwin22732 ай бұрын
😂😂😂😂
@VeronicaMinja-zg3mv2 ай бұрын
Rose ndio mke🎉Rose umepitishwa ❤
@suhaylajuma57612 ай бұрын
😅
@happymwaseba58782 ай бұрын
🤣🤣🤣👉
@oscarcharles9624Ай бұрын
rose maua yako❤❤
@solomondanny-1507Ай бұрын
Hongera Rose, you are very humble. Umejaa hekima na ndivyo ilivyo kwa kila mwenye haki.
@Mbambanaji7 күн бұрын
Rose nimwanamke haswa nimeipenda😊
@lilylema52922 ай бұрын
Mwanamke yoyote duniani uzuri ni akili . Rose anaakili mingi sana
@almerquen89102 ай бұрын
𝑁𝑚𝑒𝑝𝑒𝑛𝑑𝑎 𝑥𝑎𝑛
@oscarcharles9624Ай бұрын
rose uko vizuri unabusara sana
@wemapanga1547Ай бұрын
Nimekupenda bureeeeeeeee Rose
@JanethErasto2 ай бұрын
Hapo ukute p umri ulikwisha enda kajiopolea bwana wa watu akajua kapata😅😅😅 but nimpenda rose anaongea Kwa busara. ❤❤❤ Love u 😘 Rose halafu wadada mjue kutambilishwa Kwa ndugu siyo kuolewasijuw mnanipata😮
@KibindaMartine27 күн бұрын
Nikweli
@felistersanga631810 күн бұрын
Hv upumbavu wakugombania mwaume ni njaaa au dudu ety p ila rose Asante Uko bright sana
@user-bo3te8qm1l23 күн бұрын
Rose ana busara sana hivi ndyo anavyotakiwa mwanamke awe pokea mauwa yako❤,p mchepuko anamzarau mwenye mume nimjinga sana😂😂
@NicksonMaghembe2 ай бұрын
ROSE NI MWANAMKE ANAEJITAMBUA SANA SUPER WOMAN CONGRATULATIONS
@Pips_lady2 ай бұрын
That Rose HAVE GOD WISDOM ❤❤❤ BOLDNESS 🥳🥳
@thabitimkufi73882 ай бұрын
Huyu Roz anafaa kua mke,
@SalmamashakaMashaka2 ай бұрын
Hakika kwanza anajielewa vibayano
@diyembarak55062 ай бұрын
Rose apewe maua yake 🎉
@user-zi1or6xh2w2 ай бұрын
Tayàli Ni mke
@user-ls2nq2eq3l2 ай бұрын
Kbs
@JudithAdonisАй бұрын
Wanaume huwa mnajichanganya sana jaman.....loooh !! Amekiri kwamba Rose ni mke wake but amempotezea muda P 🤔🤔
@ZiiMwita2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 wee p weweee kafe mbele ndoa tunayo dada kwanza unasura nzitooo losheni tu inakusaidia 😂😂😂
@IssaIddi-vb9yi2 ай бұрын
Yes nilikuwa naifatilia hii bora imeisha ila nimempenda sana Rose nimwanamke ambaye anaonekana kichwa chake kinafanya kazi vzur
@user-lj2nh6tu4c2 ай бұрын
Shost kujulikana kwa mwanaume siyo kuolewa.... 😃😃 tuulize sisi tuliopelekwa ukweni na tukakaa miezi na hatukuolewa na tulifahamika na ukoo mzima... Rozi upo good sana❤❤ nimependa jins ulivyo smart kuanzia akili mpaka mwili una hekima sana kipenz...
@Hellenlubuva1931Ай бұрын
Ila wake jmn👐👐
@tabithergreen6419Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@tabithergreen6419Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@MwanahawaBeaАй бұрын
Imeisha hyoo,,mke atabak kuwa mke na mchepuko hatabak kuwa chepuko,,,mume hawez Tema big G kwa karanga zakuonjeshwa umeupiga mwingi da rose 👏👏👏
@happyhappy-ym2suАй бұрын
Hivi haya ni maigizo au ni ukweli, mbona kama ni ukweli aibu naona mimi😂😂😂😂
@solomondanny-1507Ай бұрын
Ni kweli
@happynathan8226Ай бұрын
Sio maigizo ni ukweli kabisa
@malietamalieta96582 ай бұрын
😂😂😂uzuri marick ajatoa pesa za uyu asuke uyu asisuke wote ni mnyooshoo mashallah 😂
@hamzachigogolo77662 ай бұрын
😂😂😂😂
@malietamalieta96582 ай бұрын
@@hamzachigogolo7766 kwann unacheka
@user-lx3nz5cq6x2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uwiii
@WivinaMsafiri-hf8ohАй бұрын
😂😂😂
@user-ll9df3ib3oАй бұрын
Hahahaha
@diva_201622 ай бұрын
Sema rose yuko na akili sana mtu wa maana kbc Malik hawezi kumwacha huyu mwanamke ko P angalia upande mwingine girl friend
@JulianJohn-gn4ht2 ай бұрын
Busara huyu dada anayo sana nimejifunza kitu sana sana kaka unlje na kwangu piaa
@magrethjuma85152 ай бұрын
Nime jifunza kitu Kwa Rose jamani 🙏🏾 mwanamke ni akili heshima na hekima balikiwa da Rose
@aminamohamed99552 ай бұрын
Mapenzi yana mambo mengi sana p sio mwizi p pia alitongozwa km Rose ilspokuwa mwanamke ulie wahi kuumizwa kwenye mpenzi au mwanaume ulie wahi kuumizwa hapo mwenye makosa ni mwanaume hakuwa mkweli ila ina uma tuwe wa kweli vipenzi vyangu mapenzi yanauma sana saba 😢
@AksaMwigulu-ed9ck2 ай бұрын
Nikwel katongozwa P kama Rozi ila alichofel yy kutaka kujua Rozi ni nani kwa huyu mwanaume na mbaya zaid anaaza kusema mme wng natabulika kwako ila Pole P hongera kwa Rozi
@annathomas-wy8ytАй бұрын
Wanaume hawajawahi kuwa wakweli kwenye mapenzi
@nurualamoody4305Ай бұрын
Yaani hilo ni funzo kwake na kwa wengine kuwajua vyema hawa wanaume huwa ni watu wa tamaa Ila wanaakili za kuangalia wapi scheme sahihi ya maisha yake ya baadae
@user-lf5uk6mq4t2 ай бұрын
Aibu naona mimi p sura yenyewe ngumu bado unalazimisha mume wangu 😂😂😂 umekataliwa nimgekuwa mm ningekimbia moja iyo
@RehemaEndward2 ай бұрын
Wallah nimecheka sana dah p ndio akome 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@ViolethMushi-sm7yn2 ай бұрын
😂😂😂
@ViolethMushi-sm7yn2 ай бұрын
Kiherehere nikibaya sana 😂
@AgnesDavid-et3zn2 ай бұрын
Sasa p kujitamba kote huko kumbe analelewa na roz
@neemakassan65382 ай бұрын
Nimecheka kwa sauti kubwa 😅😅😂😂km mazuri vile p maskini anatia huruma na amekimbia wanaume ni washezi kabla hujaingia kwenye mahusiano mchunguze kwanza usikimbilie tu kusema ni mume wangu aibu naona mm huku wadada tuwe makini p alikimbilia kisa ana mali mie mwaka wa saba nipo na mahusiano amezaa na wanawake wawili tofauti pia biashara mtaji ni wangu lkn still bado nipo nae tokea 2016 nasafiri sana nje ya nchi hd alioa lkn wakaachana akarundi kwangu tena nami nikazaa na mtu wa mamtoni nimerundi bongo ushauri ukimkuta mtu ana mali jaribu kumchunguza kwanza wadada mnafeli wapi?
@dicvanofficial2 ай бұрын
Mr Uk your very humbled
@agnesjohnson23932 ай бұрын
Lol I had to subscribe, after watching this video 😂😂😂 mi nilijua nimasiharaa kumbe watu wapo serious 🤣😂🙈🙈🙈🙈 I’m going to be watching more of your videos 🤣😅😂
@ReginaKaizirege-sd3hn2 ай бұрын
Rose nimekupenda buru,, ktk hii dunia nilijua niko peke yangu kumbe nimekupata mdada mwenye kujitambua na mwenye maneno matamu na mazuri yenyekufundisha,,, Mark kaoe Acha upuuzi
@IvethaRugambwa2 ай бұрын
Shida inakuwa pale ulimpa moyo wako kumbe yeye alitaka mwili wako tu😃😂😂😂big up Rose
@almerquen89102 ай бұрын
𝑊𝑎𝑙𝑙𝑎ℎ
@muntazsaleh20232 ай бұрын
😆😆😆
@aishahamad79232 ай бұрын
Words 😂❤😊
@LightnessUrio-fo7mq2 ай бұрын
Miaka minne na mwaka mmoja wapi na wapi 😂😂😂😂😂,dadaangu kua mpole tuu
@agatonybenedict69852 ай бұрын
Daaah Kumbe wanawake kama Rose Bado wapo Duniani, daaah impressive woman, full of IQ, Big up Rose you deserve kuish milele ili uwe mfano Kwa wengine 🎉🎉🎉🎉 chukua maua yako
@user-fh1jk9qq5y2 ай бұрын
P kwanzaa hata alikuwa hajiamin tangu mwanzoo😅😅😅
@hidayakiza93642 ай бұрын
Lazima asijiamini mwaka mmoja kwa miaka minne
@minahsulesh87402 ай бұрын
Sina ht Cha kuongeza rose umemaliza hii ndio mwanamke inabid ubehave❤
@elickjosephy292 ай бұрын
Mwanamke kama rose dunia hii wamebaki wachache sana god bless you rose
@user-xz7gu4wo2k2 ай бұрын
Hongera Kwa uvumilivu wako nimekupenda🎉
@user-jo9vw5dm2h2 ай бұрын
Ila sisi Wanaume tunajua tuyafanyao kwa mabinti ,hatuwez chagua mbulala hata iwe pisi vip😅😅
@emmanuelnzaligo62622 ай бұрын
Ila rose mzuri!!!❤❤❤.
@JenipharMgoto2 күн бұрын
Rose ubalikiwe sana we ni dada wakuigwa nakupenda sana❤❤❤❤
@eunicennko38612 ай бұрын
😘😘Roz ni powerful women Hana papara mingi,makopa kwa ajili yake♥️♥️♥️♥️♥️
@DomitilaMollel2 ай бұрын
Ghaaaiiiiiii😅huyo Rose yupo kama mm atiiii me nachojua kwa mwanaume wangu nipo mm tuu hao wanajibaruguza wachaaa waburuzweee mwishowe Bwana anarud zake kwangu😅😅❤
@JacklineAmbangile2 ай бұрын
Dada rose upo vizuri dada nimekupenda bure natamani hata nipate no yako. Una busara sana dada❤❤❤
@KibindaMartine27 күн бұрын
Je wewe huna busara
@WitnessMtasima-i9sКүн бұрын
Hao ndo wanamumeeeeeeee😂😂😂😂 wacha nikule mimi😂😂😂😂
@SevelinaNandwike2 ай бұрын
Roz jmn nimempenda huyu dada anajiamin sana big up
@KibindaMartine27 күн бұрын
Hata Mimi nimempenda pia
@tinahmnubi1872 ай бұрын
Huu Mchezo hautaki hasira kilanga komooo Rose yuko humble ❤
@rechalmshana12932 ай бұрын
P alichokitafuta kakipata 😂😂, shikamoo mapenzi🙌
@user-mr3qg9iq5k2 ай бұрын
❤ Rose nimekupenda Bureeee Dada Mungu anipe Hekimaa kama Uliyonayo Mama Nakupenda nakupenda zaidi
Amazing Rose ww ni mwanamke sija pata kuona simply the best..😂
@einsteinmboje47302 ай бұрын
Ila Mchizi kama Alienda Kujitambulisha Ukweni Kwa Huyo Mchepuko Sio Poa .... Kama Tunawachezea Basi Tusiwaaminishe Kama Tuna Future Nao , Huyo Mdada Kama Anaamini Kwenye Ushirikina Basi asilimia Kubwa Anaenda Kufanya Kibaya , Au Kama Ana Roho Ndogo Anaweza Kujidhuru , Sio Poa Kabisa .... But Hongera Kwa Rose Pia , Ni Definition Tosha Ya Mke Jasiri Na Bora Ambaye Ni Wachache Kati Ya Mamilioni Kwa Kizazi Cha Sasa
@eunicedaniel2 ай бұрын
Umeongea neno na itakuwa kweli ametambulishwa lakini anaonekana ana roho ndogo anahitaji psychological counselling kabla hajajidhuru Mr Uky madhara ya hii kazi yako ndo hayo unatakiwa umstablerize P kabla hajajidhuru chukua hatua mapema plz najua ni kazi usiache kazi yako lakini kuwa makiniiiiii mwenye makosa ni mwanaume Wala sio P Wala Rose mapenzi yanauma asikwambie mtuuuu tunacheka tyu yakikukuta utaita maji mma
@lilianmwilawi72332 ай бұрын
Rose katulia sana hapanick wala nn aaak huu mchezo hautaki hasira we p kaendelee ty kupaka mkorogo dada😂😂😂
@user-ef6zt8dr7p2 ай бұрын
Hawa watu wananipa raha 😅 sema huy dada mzur sanaaa wa rang ya chocolate❤
@user-ih6ng6sf6o2 күн бұрын
Tuna wahamini wanaume wetu sana ndo tatizo😂😂😂😂
@DeboraChediely2 ай бұрын
Nilijua rose ndowifi yetu ❤❤
@RachelJulius-fh9nl2 ай бұрын
Rose mzuri na anaakili❤
@celvinrobert797210 күн бұрын
Nimependa Hii confedence ya Rose ❤😂
@snowfalldahash739919 күн бұрын
Rose ni role model wangu kwa leo aisee❤❤❤nimempenda sana...ni mstaarabu na yupo na confidence ile level ya juu kabisa. Mungu awadumishe sana kwenye mapenzi yenu wewe na mumeo mzikane jamani❤
@furahanorbert78432 ай бұрын
Huyu P kiboko hadi anagonga meza kumshitua rose😂😂mapenzi bwana🚶🚶
@user-rf3zi6no6bАй бұрын
Amepaniki
@user-wy5dn4xu8hАй бұрын
🤣🤣🤣🤣 aise me ningejitupa chini
@SeciliaNicholaus2 ай бұрын
Nakpenda da rose ❤❤❤
@user-ih6ng6sf6o2 күн бұрын
Nakupenda bure Rose❤😂😂😂
@amrimohamed93032 ай бұрын
Rose wew ni fire nimekupenda kweli kweli mwache uyo mariq njoo kwangu
@khadejarajab80072 ай бұрын
Hapo aliyemuita mwenzie mchepuko kumbe yeye ndio mchepuko hatari sana kwakweli rozi anafaa na ana point nzuri
@greenermichael20572 ай бұрын
Kirose Wala hakina shida ❤❤❤❤
@EngelLameck-nz5nk2 ай бұрын
Huyu Rose jamn kanifurahisha sana yaan Yuko vzr sana Hana presh kwanza ❤❤❤
@hawaomary962 ай бұрын
Mwanamke akili jaman 😅😅😅
@maryamsylivester86622 ай бұрын
Rose haendeshwi na hisia bali anajiamini na kukubaliana na kila kitu na bado ongea yake ni ya busara sana aisee mi siwezi kumfatilia mwanaume kiasi hicho hali ya kuwa hajanioa na sina uthibitisho wa kuwa mkewe halali hebu ona kilichomkuta P 😢😢😢😢😢😢
@plasmascreen24592 ай бұрын
Njaa mbaya sana zingatia maokoto
@monicapeter90652 ай бұрын
Maskin nmemuonea huruma p nkiwa kama mwanamke mwenzake maana kosa sio lake wanawake tunadanganywa sana duuu Japo mwaka mmoja ni mkubwa kumchezea mwenzako kiasi hcho kampotezea sana mda
@betitympeleta96974 күн бұрын
Rose uko vizuri wewe ni mwanamke sahihi
@Blackanzazi84Ай бұрын
Rose ,your one of a million ladies outside here, very much wise, intelligent and focus, Malk bro you have a wife, and a mother of your kids bro love Rose
@sesiliahussein77742 ай бұрын
P alishajua kapata bonge la bwana lenye mihela yake 😅😂
@evaaggrey13822 ай бұрын
Hao ndo wadada wasio fanya kazi 😅😅😅😅
@sesiliahussein77742 ай бұрын
@@evaaggrey1382 kwakweli kabisaa
@user-jz9xb2pn6v2 ай бұрын
Daah natamani ningekuwa na moyo kama wa rose😂
@domitilaneovitus57242 ай бұрын
😂😂 kwa kweli
@hildagabriel10032 ай бұрын
Ukiamua tu unaweza
@ErnestMalima2 ай бұрын
Lakini sasa😂😂😂
@eunicedaniel2 ай бұрын
Ukitaka Mbwa asikubwekee mpe chakula Kama alivopewa marick hawezi kuwa na jeuri na rose amemfuga marick coz anajua ni Mbwa wake hawezi enda popote aende kwa p anakohonga vi elfu 15 ,20 Tena vya kuiba kwa Boss weeeeee marick chezea pesa usichezee kaziiiii utakula dagaaa