Im from Kenya We love this guys🤣🤣Their Ego is on the top notch
@yama_virginhairthequeen10656 ай бұрын
Omg give this two radio section like wakiwa watangazaji itakuwa lit sana
@mohamedsudi60326 ай бұрын
Mombasa here we go
@mahadabuu26476 ай бұрын
Family nakubali kazi zenu
@mwakirenjeomary14866 ай бұрын
Kenga 🇰🇪 tunawajali sana😊😊 hatubagui
@joyk30756 ай бұрын
Tid EA Chris Tucker very hilarious
@elisifaedsoni6 ай бұрын
mung anawasaidia wazeee vigogooo nawakubali sana nawapenda sana sana sana
@eddiebilly34756 ай бұрын
Mnajisifu sana mpka mnaboa
@ndevuemcee30006 ай бұрын
Hii ndio tafsiri halisi nilio sikia kwenye wimbo ulio kua kwenye album ya Macho ni Ngumu Kuona ilio fanya na Dambwe La Hip Hop mwaka 2016 kuna wimbo unaitwa Baraka za wakongwe ukipata muda sikiliza utaelewa nini Q chief anasema.
@sapatdiary12386 ай бұрын
Halloi how can i send music to eastafrica radio?salimia hao wasanii wakali
@barakaekuro6 ай бұрын
Uncle grandpa 😅😅😅😂🙌🏼
@pitbullfamily44996 ай бұрын
😈😈😁💯💯💯🔥🔥🚀🚀🚀Real talk-show
@giztony20096 ай бұрын
Mm nadhani wangekubali waandikiwe nyimbo kwanza maana style yao ni ya zamani
@danielmwita21366 ай бұрын
Hao bila hata kuandikiwa wakiamua kufanya mziki rahisi kama Amapiano wanafanya, sasa ngoma kama Tshwala Bami kuna ufundi gani, pale producer tu atoe dundo kali na dancers wabunifu, promo kali baas.Wanaweza bana
@dismasjerome16586 ай бұрын
Kumbe mnajua game inataka nini halafu mnaleta madharau
@Shokolokobango93856 ай бұрын
Kama umeangalia hii alafu haukucheka basi we ni yule
@kotongomunkupahlombe81696 ай бұрын
💥🐘❤️❤️❤️
@salimbilali51746 ай бұрын
Kwani chila sio muislam
@zuberijuma85436 ай бұрын
Nimejikuta narudia pale kwenye toa T & C ibaki N😂😂😂
@elisifaedsoni6 ай бұрын
harmo fanya kitu nahawa mabroo
@zeddymourice42496 ай бұрын
Aachane nao maana alishafanya kwa chilah lakini akaja kuleta madharau na maneno kibao.
@maitharobert68336 ай бұрын
Malindi all the way
@hassankhamis73806 ай бұрын
Hawana akili unga mwingi kichwani mlipata pesa mka shindwa kufanya maendeleo ss leo Diamond maendeleo yake mnaya chukia tajiri ni tajiri tu kueni na akili
@jaybroza86846 ай бұрын
Wacha chuki brother ushawai waona wakila unga
@Shokolokobango93856 ай бұрын
Mbona ww unakula mchele na watu hawasemi
@DonDesdery6 ай бұрын
Kipind kile mziki wa tz ulikua burudan na sio biashara,hvyo hawakuwa wanapata pesa km sasa,maana hata platform hazikuwa km hz walikua wakiuza kwa kusambaza maeneo yote lkn leo mtu akiwa geto anasambaza worldwide
@Dekingalba6 ай бұрын
Unakosea bro
@danielmwita21366 ай бұрын
Unajua wamedhulumiwa kiasi gani?Usiskilize watu wanavyopakwa matope. Wana makosa yao,lakini waliibiwa sana
@dismasjerome16586 ай бұрын
Inahitajika pesa na muda ili nyie wazee mrudi mjini tena