TID NA Q CHIEF WAMCHANA VIBAYA MWIJAKU | WAOMBA MSAMAHA KWA ABIGAIL CHAMS | BILA BUGATI HAKUNA MPIRA

  Рет қаралды 16,695

Manara TV

Manara TV

4 ай бұрын

TID NA Q CHIEF WATANGAZA COLLABO NA ABBY CHAMS | WAMTOA NISHAI MWIJAKU MTOTO MDOGO HATUWEZI | SISI NI MASHABIKI WAKUBWA WA HAJI MANARA BILA YEYE WADADA WASINGEPENDA MPIRA.
#manaratv #hajimanara #tid #abigail #qchief #topbrand

Пікірлер: 73
@bigmtoro
@bigmtoro 4 ай бұрын
Hawa watu wana chemistry nzuri sana waeke mziki kando wafungue podcast..inverstors should take note ama Alikiba awape kipindi it will be a hit.
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 3 ай бұрын
Dah! Nikweli umeona mbali sana.
@AfricaQueen
@AfricaQueen 3 ай бұрын
Kweli kabisa hata Mimi nimeona hivyo ! Mungu aulinde urafiki wao 🤲
@sadamirambo885
@sadamirambo885 3 ай бұрын
Daah ebhana good idea ndg
@DahHodges777
@DahHodges777 4 ай бұрын
Wako vizuri acheni chuki watazamaji..roho mbaya hazijengi na hawa lazima wapige hela nyingi sana kwenye umri huo,kikubwa wasisikilize wanaoongea negative wapige tu kazi...
@eddysaleh4388
@eddysaleh4388 4 ай бұрын
😂😂😂😂 alichosema mwijaku 💯 kweli kabisa
@BlackMirrorTz
@BlackMirrorTz 4 ай бұрын
For now, don't look at who understands you. It's important if you understand yourself. It's enough for the rest. Time will speak. Inshallah #Walinazi🙌
@athumantuwa4542
@athumantuwa4542 4 ай бұрын
UMEJTAHID SANA KUWAHOJI HAO JAMAA,NI NGUMU SANA SANA SANA
@shukrishuu9672
@shukrishuu9672 3 ай бұрын
This two whenever I come through their interview lazima niwaskize legends
@mfalmekima5318
@mfalmekima5318 4 ай бұрын
Kafanana na mzee abdul babaake dimond huyo TID
@aminata3702
@aminata3702 3 ай бұрын
Hata wewe
@user-ds5tf9xx1d
@user-ds5tf9xx1d 4 ай бұрын
Wamependeza kwa hili vazi
@AbisinaRashidi-wg5jt
@AbisinaRashidi-wg5jt 3 ай бұрын
Mashavu yashawashuka hamna lolote mnagombana na mtoto mdogo Tena mwanamke wasenge baridi tu
@jewelmabhenga4742
@jewelmabhenga4742 4 ай бұрын
Kwenye Maisha ni muda tu yaani hawa mwishoni wamekua mataira hivi yaan vichaa
@beatusmajumbi7125
@beatusmajumbi7125 3 ай бұрын
Wakali wa muda wote Good music
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 3 ай бұрын
HAWA MAREJENDARI WAWILI NAWAPENDA SANA SANA ALIKLI NYINGI WANACHEKESHA MUDA WOTE NACHEKA MPAKA NALIA?????❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂
@mudrickbarton8911
@mudrickbarton8911 4 ай бұрын
Q anaonekana kuna kitu anataka ila tid hajakua serious saaana
@pulikisia7963
@pulikisia7963 3 ай бұрын
Movie inaanza tu stelingi anakufa😂😂😂
@Qqambaa
@Qqambaa 3 ай бұрын
Ni yeye ndani ya mjengo
@alimuchiri6151
@alimuchiri6151 3 ай бұрын
Muziki sasa acheni. Yani inafaa muje na kipindi maalum katika Manara TV
@DaudNgodilo
@DaudNgodilo 3 ай бұрын
Hahaaaaaa wana waninikumbusha mbali mno kipindi nikiishi na kaka zangu wavuta bangi yaan wao kila wanacho kifanya wanahisi wako sahihi na wanajionaga wanaakili kuliko mtu yeyote et
@alliancendabarushimana4570
@alliancendabarushimana4570 4 ай бұрын
Bangi tupi😅😅😅
@davidndaha9607
@davidndaha9607 4 ай бұрын
Ndugu zangu jikiteni kwenye mziki na kuacha vigingi wakati ni mda wa kusaka Pesa!. Unajua watu wana hope na kuongeza mashabiki
@mouzahal-alawi6474
@mouzahal-alawi6474 3 ай бұрын
Nawapenda mimi hawaa??😂😂😂😂
@Babygirl758
@Babygirl758 3 ай бұрын
Sio kwa answari sunnah 😂😂😂😂😂😂 mpaka TID imebidi acheke 🤣🤣
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 4 ай бұрын
Mnamtafura kaka yangu msechu sasa hapa kaka yangu amekujaje jamn kisha anapiga sana za mafanikio toa nyimbo zako kaka msechu kiongoz yeyote akifa wewe achia muda uwo uwo coz usanii ni ubunifu KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE
@Babygirl758
@Babygirl758 3 ай бұрын
Kwasababu hajui kupika ugali tunamuomba atusamehe 😂😂😂😂 nakojoa
@jade75798
@jade75798 3 ай бұрын
Hebu wacheni kuwasema hawa watu .as long as bado wako hai maisha yao yataendelea tu.wengine nyie mnaocoment vibaya kuwahusu ma roho zenu zinawauma tu kwasababu hajui English kama TID na Q chief .mawivu tu mko mfyuuu
@salimsibabu9027
@salimsibabu9027 3 ай бұрын
Wimbo/ Nyimbo ni haramu then kutoa mwezi wa Ramadhan alafu kukosa kuupatia heshima huo mwezi.
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 3 ай бұрын
HAWA JAMAA HAPO KWENYE MPIRA WAMECHEKESHA SANA HAIJAWAHI KUTOKEA❤❤❤😅😅😅😅😅😅
@fauziasultanikilewa7602
@fauziasultanikilewa7602 4 ай бұрын
Nasoma qomenti 😂😂😂😂😂
@nunuuali5316
@nunuuali5316 4 ай бұрын
Hili kundi likila mwaka mpya pamoja niko pale
@damigitv8023
@damigitv8023 3 ай бұрын
Wasaanii wangu from Nairobi Kenya
@user-cr7vi4qp9c
@user-cr7vi4qp9c 4 ай бұрын
Babu T I D
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 4 ай бұрын
😂😂😂
@user-xu6fg7sg6s
@user-xu6fg7sg6s 4 ай бұрын
Hao hawana lolote bange nyingi sana halafu sifa kibao kama TID KASHAKUWA MWEHU
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 3 ай бұрын
Waliyoyafanya kwenye tasinia ya music 🎶 ww na ukoo wako wote hata tuwape miaka 3000 hamuwezi kuyafanya so tuliza makalio yako chini na roho yko mbaya
@Babygirl758
@Babygirl758 3 ай бұрын
Sio kwa kumnyonya ghalib vidole 😂😂😂😂 was he low key dissing jux na ommy 🤣
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 4 ай бұрын
Acha kwanza nisome comment wadau
@elizabethchabluma-zw5qz
@elizabethchabluma-zw5qz 3 ай бұрын
Tatizo la Hawa watu wanatafuta kick kwa kuwasema watu vibaya na ndio maana hawasapotiwi
@obijoha2877
@obijoha2877 4 ай бұрын
Qc napenda yuko calm, na waungwe mnoo
@Qqambaa
@Qqambaa 3 ай бұрын
Ukiwa mpole mjini utakufa maskini big up tid
@user-xu6fg7sg6s
@user-xu6fg7sg6s 4 ай бұрын
Mwijaku amesema kweli bwana
@user-ur8nm1wi6c
@user-ur8nm1wi6c 4 ай бұрын
KAVA LA CM LA MSANII MMELIONA KWELI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@giftmbogela2435
@giftmbogela2435 3 ай бұрын
😂😂
@Dysmedia254
@Dysmedia254 3 ай бұрын
Mateja wawili 😂
@nicolauselias9084
@nicolauselias9084 3 ай бұрын
Duh.bangi mbaya
@Nayla-pd5zn
@Nayla-pd5zn 3 ай бұрын
😂😂😂😂hatariii
@nicolauselias9084
@nicolauselias9084 3 ай бұрын
Munaongelea vibaya madalali wakati madalali wanaishi vzr zaidi yenu nyie mbwa takataka.kama we tld hama utoke kwenu ukapange
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 4 ай бұрын
Yaani hawa watu wa wili wako na maringo na hata nyimbo sio ety NI kitu ya maana!!!!! Maringo madharau hawatafika popote kabisa!!!!!
@BakariKibauri-qh7gf
@BakariKibauri-qh7gf 4 ай бұрын
Unataka wafike wap ambapo hawajafika hao ni ma legends wa Bongo flavour hao wamefanaya ambavyo bado havijafanywa ata na kizazi kipya
@sadamirambo885
@sadamirambo885 3 ай бұрын
Mshamba hawezi kuelewa bab
@flinchclassic1531
@flinchclassic1531 3 ай бұрын
Usimpige makonzi muache hii pia ni challenge
@shafiiwajad457
@shafiiwajad457 4 ай бұрын
Comedians😂😂😂
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 4 ай бұрын
Hama nyumbani umeshazeeka hiv mama ake huyu mla unga bado yupo
@Qqambaa
@Qqambaa 3 ай бұрын
Nampenda bure imagine ni mcheshi sn uyu kaka basi aje ajenge kenya
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 4 ай бұрын
Watu wazima hovyo!!! Hawana lolote!! Mbwembwe tuu za bure!
@ambroceharouna1612
@ambroceharouna1612 3 ай бұрын
Wewe utabaki na chuki ivoivo koz Bado upo gizani
@svt3
@svt3 4 ай бұрын
Yaani ma babu ambao hawakuwekeza ujanani uzeeni wao wasumbufu, kulaumiana, vichaa, ....hawa saa hizi walipaswa kuwa ma producer's ma directors walipaswa kuwa na ma lebel makubwa kusimamia wasanii na ku fundisha music ila ona bangi ilivyo wafanya wehu 😢😢😢
@asiamerey9081
@asiamerey9081 4 ай бұрын
Yana Mungu usinene ukamara
@raimajimoto1122
@raimajimoto1122 4 ай бұрын
Ustukne mamba kbl ujavuka mto
@svt3
@svt3 4 ай бұрын
@@raimajimoto1122 hawa kwa ulegenda wao wangepaswa kusimamia wasanii wa siku hizi na kuwafundisha mziki, kuimba wangeimba tu kwa haba sababu mziki uko ndani yao ila kuchezea ujanani kuwekeza madawa mbele uzeeeni wamekuwa wazee ovyo lawama, na kulalamika bure vijana wekezeni ujanani msiwe watu ovyo uzeeni
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 3 ай бұрын
Kwahiyo unatakake wakae tu kimya waombe ombe au waendelee kujitafuta mpaka wajipate.
@svt3
@svt3 3 ай бұрын
@@nassercurtis9579 haya aca wajitafute tuone sasabu kama kujipata hawa walijipa miaaka ya 2002
@davidkamau7592
@davidkamau7592 2 ай бұрын
Wame vuta unga
@nururaymond5
@nururaymond5 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Magdalenaaaa
@SalmaNinga
@SalmaNinga 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@kidatokassim7616
@kidatokassim7616 4 ай бұрын
Their body language speaks alot this guys have health mental issues hawako sawa 😂
@nicolauselias9084
@nicolauselias9084 3 ай бұрын
Kimziki walishakufa hao takataka hata selikari haitakiwa kuapa issue yoyote acha waendelee kuvuta bangi
@jade75798
@jade75798 3 ай бұрын
Huoni aibu eti waita wenzio takataka .there better than you mavi wewe .kwani walikuambia wanataka issue from the serikali .wee mshamba tu the way nakuona
@EdnahKebson
@EdnahKebson 4 ай бұрын
Umehoji bangi tu hapo😂😂😂😂
@semkiwamganga4405
@semkiwamganga4405 4 ай бұрын
Choka mbaya...😂
DEM WA FACEBOOK ARRIVES TO SUPPORT OBINNA ON MEN MENTAL WALK
10:39
Vickie vickinah
Рет қаралды 2,4 М.
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 46 МЛН
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
SISHIKIKI "NAPENDA WANAUME WAZEE KUANZIA MIAKA 50, VIJANA SIWATAKI"
13:14
貓咪 小鬼當家🎮🔫🚑 #aicat #shorts #cute
0:41
Cat Cat Cat
Рет қаралды 30 МЛН
ХОТЕЛ ПОТОПИТЬ ДЖЕКА, НО НЕ ВЫШЛО
0:51
Tasty Series
Рет қаралды 1 МЛН
НАЛЕТЕЛ НА БРАТА САНИ🧨
0:36
RFC Fighting Championship
Рет қаралды 265 М.
Фильм про побег от родителей
0:59
Holy Baam
Рет қаралды 3,7 МЛН
♥️♥️♥️
0:20
Татьяна Дука
Рет қаралды 5 МЛН