TID NA Q CHIEF WATANGAZA COLLABO NA ABBY CHAMS | WAMTOA NISHAI MWIJAKU MTOTO MDOGO HATUWEZI | SISI NI MASHABIKI WAKUBWA WA HAJI MANARA BILA YEYE WADADA WASINGEPENDA MPIRA. #manaratv #hajimanara #tid #abigail #qchief #topbrand
Пікірлер: 73
@bigmtoro4 ай бұрын
Hawa watu wana chemistry nzuri sana waeke mziki kando wafungue podcast..inverstors should take note ama Alikiba awape kipindi it will be a hit.
@nassercurtis95793 ай бұрын
Dah! Nikweli umeona mbali sana.
@AfricaQueen3 ай бұрын
Kweli kabisa hata Mimi nimeona hivyo ! Mungu aulinde urafiki wao 🤲
@sadamirambo8853 ай бұрын
Daah ebhana good idea ndg
@DahHodges7774 ай бұрын
Wako vizuri acheni chuki watazamaji..roho mbaya hazijengi na hawa lazima wapige hela nyingi sana kwenye umri huo,kikubwa wasisikilize wanaoongea negative wapige tu kazi...
@eddysaleh43884 ай бұрын
😂😂😂😂 alichosema mwijaku 💯 kweli kabisa
@BlackMirrorTz4 ай бұрын
For now, don't look at who understands you. It's important if you understand yourself. It's enough for the rest. Time will speak. Inshallah #Walinazi🙌
@athumantuwa45424 ай бұрын
UMEJTAHID SANA KUWAHOJI HAO JAMAA,NI NGUMU SANA SANA SANA
@shukrishuu96723 ай бұрын
This two whenever I come through their interview lazima niwaskize legends
@mfalmekima53184 ай бұрын
Kafanana na mzee abdul babaake dimond huyo TID
@aminata37023 ай бұрын
Hata wewe
@user-ds5tf9xx1d4 ай бұрын
Wamependeza kwa hili vazi
@AbisinaRashidi-wg5jt3 ай бұрын
Mashavu yashawashuka hamna lolote mnagombana na mtoto mdogo Tena mwanamke wasenge baridi tu
@jewelmabhenga47424 ай бұрын
Kwenye Maisha ni muda tu yaani hawa mwishoni wamekua mataira hivi yaan vichaa
@beatusmajumbi71253 ай бұрын
Wakali wa muda wote Good music
@thomaskiponda60793 ай бұрын
HAWA MAREJENDARI WAWILI NAWAPENDA SANA SANA ALIKLI NYINGI WANACHEKESHA MUDA WOTE NACHEKA MPAKA NALIA?????❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂
@mudrickbarton89114 ай бұрын
Q anaonekana kuna kitu anataka ila tid hajakua serious saaana
@pulikisia79633 ай бұрын
Movie inaanza tu stelingi anakufa😂😂😂
@Qqambaa3 ай бұрын
Ni yeye ndani ya mjengo
@alimuchiri61513 ай бұрын
Muziki sasa acheni. Yani inafaa muje na kipindi maalum katika Manara TV
@DaudNgodilo3 ай бұрын
Hahaaaaaa wana waninikumbusha mbali mno kipindi nikiishi na kaka zangu wavuta bangi yaan wao kila wanacho kifanya wanahisi wako sahihi na wanajionaga wanaakili kuliko mtu yeyote et
@alliancendabarushimana45704 ай бұрын
Bangi tupi😅😅😅
@davidndaha96074 ай бұрын
Ndugu zangu jikiteni kwenye mziki na kuacha vigingi wakati ni mda wa kusaka Pesa!. Unajua watu wana hope na kuongeza mashabiki
@mouzahal-alawi64743 ай бұрын
Nawapenda mimi hawaa??😂😂😂😂
@Babygirl7583 ай бұрын
Sio kwa answari sunnah 😂😂😂😂😂😂 mpaka TID imebidi acheke 🤣🤣
@ukhutfatumah11544 ай бұрын
Mnamtafura kaka yangu msechu sasa hapa kaka yangu amekujaje jamn kisha anapiga sana za mafanikio toa nyimbo zako kaka msechu kiongoz yeyote akifa wewe achia muda uwo uwo coz usanii ni ubunifu KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE
Hebu wacheni kuwasema hawa watu .as long as bado wako hai maisha yao yataendelea tu.wengine nyie mnaocoment vibaya kuwahusu ma roho zenu zinawauma tu kwasababu hajui English kama TID na Q chief .mawivu tu mko mfyuuu
@salimsibabu90273 ай бұрын
Wimbo/ Nyimbo ni haramu then kutoa mwezi wa Ramadhan alafu kukosa kuupatia heshima huo mwezi.
@thomaskiponda60793 ай бұрын
HAWA JAMAA HAPO KWENYE MPIRA WAMECHEKESHA SANA HAIJAWAHI KUTOKEA❤❤❤😅😅😅😅😅😅
@fauziasultanikilewa76024 ай бұрын
Nasoma qomenti 😂😂😂😂😂
@nunuuali53164 ай бұрын
Hili kundi likila mwaka mpya pamoja niko pale
@damigitv80233 ай бұрын
Wasaanii wangu from Nairobi Kenya
@user-cr7vi4qp9c4 ай бұрын
Babu T I D
@ireneimbuhira77594 ай бұрын
😂😂😂
@user-xu6fg7sg6s4 ай бұрын
Hao hawana lolote bange nyingi sana halafu sifa kibao kama TID KASHAKUWA MWEHU
@user-eb3hf1lm9e3 ай бұрын
Waliyoyafanya kwenye tasinia ya music 🎶 ww na ukoo wako wote hata tuwape miaka 3000 hamuwezi kuyafanya so tuliza makalio yako chini na roho yko mbaya
@Babygirl7583 ай бұрын
Sio kwa kumnyonya ghalib vidole 😂😂😂😂 was he low key dissing jux na ommy 🤣
@ukhutfatumah11544 ай бұрын
Acha kwanza nisome comment wadau
@elizabethchabluma-zw5qz3 ай бұрын
Tatizo la Hawa watu wanatafuta kick kwa kuwasema watu vibaya na ndio maana hawasapotiwi
@obijoha28774 ай бұрын
Qc napenda yuko calm, na waungwe mnoo
@Qqambaa3 ай бұрын
Ukiwa mpole mjini utakufa maskini big up tid
@user-xu6fg7sg6s4 ай бұрын
Mwijaku amesema kweli bwana
@user-ur8nm1wi6c4 ай бұрын
KAVA LA CM LA MSANII MMELIONA KWELI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@giftmbogela24353 ай бұрын
😂😂
@Dysmedia2543 ай бұрын
Mateja wawili 😂
@nicolauselias90843 ай бұрын
Duh.bangi mbaya
@Nayla-pd5zn3 ай бұрын
😂😂😂😂hatariii
@nicolauselias90843 ай бұрын
Munaongelea vibaya madalali wakati madalali wanaishi vzr zaidi yenu nyie mbwa takataka.kama we tld hama utoke kwenu ukapange
@BarbaraPatience-qt9cc4 ай бұрын
Yaani hawa watu wa wili wako na maringo na hata nyimbo sio ety NI kitu ya maana!!!!! Maringo madharau hawatafika popote kabisa!!!!!
@BakariKibauri-qh7gf4 ай бұрын
Unataka wafike wap ambapo hawajafika hao ni ma legends wa Bongo flavour hao wamefanaya ambavyo bado havijafanywa ata na kizazi kipya
@sadamirambo8853 ай бұрын
Mshamba hawezi kuelewa bab
@flinchclassic15313 ай бұрын
Usimpige makonzi muache hii pia ni challenge
@shafiiwajad4574 ай бұрын
Comedians😂😂😂
@wemaMichael-fr4th4 ай бұрын
Hama nyumbani umeshazeeka hiv mama ake huyu mla unga bado yupo
@Qqambaa3 ай бұрын
Nampenda bure imagine ni mcheshi sn uyu kaka basi aje ajenge kenya
@BarbaraPatience-qt9cc4 ай бұрын
Watu wazima hovyo!!! Hawana lolote!! Mbwembwe tuu za bure!
@ambroceharouna16123 ай бұрын
Wewe utabaki na chuki ivoivo koz Bado upo gizani
@svt34 ай бұрын
Yaani ma babu ambao hawakuwekeza ujanani uzeeni wao wasumbufu, kulaumiana, vichaa, ....hawa saa hizi walipaswa kuwa ma producer's ma directors walipaswa kuwa na ma lebel makubwa kusimamia wasanii na ku fundisha music ila ona bangi ilivyo wafanya wehu 😢😢😢
@asiamerey90814 ай бұрын
Yana Mungu usinene ukamara
@raimajimoto11224 ай бұрын
Ustukne mamba kbl ujavuka mto
@svt34 ай бұрын
@@raimajimoto1122 hawa kwa ulegenda wao wangepaswa kusimamia wasanii wa siku hizi na kuwafundisha mziki, kuimba wangeimba tu kwa haba sababu mziki uko ndani yao ila kuchezea ujanani kuwekeza madawa mbele uzeeeni wamekuwa wazee ovyo lawama, na kulalamika bure vijana wekezeni ujanani msiwe watu ovyo uzeeni
@nassercurtis95793 ай бұрын
Kwahiyo unatakake wakae tu kimya waombe ombe au waendelee kujitafuta mpaka wajipate.
@svt33 ай бұрын
@@nassercurtis9579 haya aca wajitafute tuone sasabu kama kujipata hawa walijipa miaaka ya 2002
@davidkamau75922 ай бұрын
Wame vuta unga
@nururaymond54 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Magdalenaaaa
@SalmaNinga4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@kidatokassim76164 ай бұрын
Their body language speaks alot this guys have health mental issues hawako sawa 😂
Huoni aibu eti waita wenzio takataka .there better than you mavi wewe .kwani walikuambia wanataka issue from the serikali .wee mshamba tu the way nakuona