No video

THE CLASSIC TID:NILIACHA KURAP NI UJINGA/MADEM FAKE/ NILITANGAZA TANZANIA DUNIAN BILA MSAADA/ SIJALI

  Рет қаралды 12,629

KuviFacts

KuviFacts

7 ай бұрын

Top In Dar ama TID amefika kwenye The Classic katika episode hii ambae walau alipata nafasi ya kuelezea safari yake kwa ufupi na kuzungumzia nyakati za awali kabisa mpaka sasa alipofika na ameweza kubainisha mambo mengi ambayo pengine hukuwahi kuyafahamu usisahau ku subscribe ukimaliza kutazama for more

Пікірлер: 53
@harakati1
@harakati1 7 ай бұрын
“Siku kama hizi” one of the best song
@VisualsByEnokaOti
@VisualsByEnokaOti 6 ай бұрын
🇰🇪Nimetokea kumpenda sana TID baada ya hii interview. Huwaga nafikiri hayuko sober akiongea kumbe ni mcheshi tu in general. Good talent of all time
@salaita2829
@salaita2829 6 ай бұрын
Jabir saleh bonge moja la interviewer
@hameesnassoro7158
@hameesnassoro7158 7 ай бұрын
Sema bro Jabir Saleh mjanja sn wkt unafanya interview kuna kitu nimenote ukiona msanii anaenda OP unachukua kipaza unasherehesha kidogo kwny point yko ile ile ulokusudia then unampa swal lingine unamuhamisha na mada yke y OP pind linaendelea 😂😂😂 Bip up sn bro
@KuviFacts
@KuviFacts 7 ай бұрын
😂😂🤝
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 7 ай бұрын
Nipe nafasi Tid na fid q ndo ngoma kali zaidi ya Tid
@barnabasmafuru6735
@barnabasmafuru6735 7 ай бұрын
The industry doesn't pay enough respect to this legend but once he sleeps into 6" down a lot will pay shits 😢
@davidwambura5915
@davidwambura5915 7 ай бұрын
Asha ni ngoma kubwa sana kuliko zeze
@arsenalic23
@arsenalic23 7 ай бұрын
Sio kweli jomba. Zeze ngoma kubwa sana ikifuatiwa na Siamini halafu ndo Asha na Girlfriend
@user-cn2ol4gk4b
@user-cn2ol4gk4b Ай бұрын
eti wale wangu 🎉 wanaoniita TID ni wale wanaotoka mikoani .......kuma sana huyu janki
@justinmashala6944
@justinmashala6944 7 ай бұрын
Sauti ya Dhahabu, one of the best album
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 7 ай бұрын
Dakika ya 4..KATA SIM KALALE 😂😂,,,tidi kichaa😅😅
@youngdula5409
@youngdula5409 6 ай бұрын
Huyu Jamaa Anangoma nyingi sana Kali lakni sidhani kama Kuna ngoma Kali zaidi kama nyota Yako / Asha noma sana
@salaita2829
@salaita2829 6 ай бұрын
Kuna siku kama hizi,rahisa
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 7 ай бұрын
Consistent, Maji mengi Mtoto mdogo Legend🔥🔥🔥🔥
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 7 ай бұрын
Im proud of you top in dar. Umeuweka mziki wetu kweny ramani
@stevewanga957
@stevewanga957 7 ай бұрын
Huyu jamaa interview zake haziboeshi😂 TID Yuko vzury
@user-cg3cm4qv4q
@user-cg3cm4qv4q 7 ай бұрын
Ww msenge! unanichekesha sana
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 7 ай бұрын
Siamini ni 🔥🔥🔥 mpaka kesho kutwa
@imogimasta9077
@imogimasta9077 7 ай бұрын
nakifwatilia sana hiki kipindi big up
@William_ngela
@William_ngela 7 ай бұрын
Nakubali pindi
@destroyerban7364
@destroyerban7364 7 ай бұрын
Zeze hat club inafaa kwa matumiz yetu
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 7 ай бұрын
Kwangu Mimi zeze sio mkubwa ila wimbo mkubwa ni ASHA❤❤ TID mpaka anakufa hatokuja kuimba wimbo mkali kama ASHA
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 7 ай бұрын
Nimkubwa Sana ilahapo mpak kufa hapana
@georgeburchard4872
@georgeburchard4872 7 ай бұрын
Wewe tu sikio lako Ila ukweli zeze ndio wimbo mkubwa wa TID
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 7 ай бұрын
Hiyo Asha akati inatoka itakua ulitongozwa nayo😂 au ulitumiwa dedication
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 7 ай бұрын
@@aminmohammed4249 Sasa hizi ni zarau Mie mwanaume nitongozwe nitake radhi:::. Na istosha ASHA imetoka nilikua shule ya msingi nyumbani nilikua na redio so kwa habari ya burudani na mziki walikua wananiuliza Mimi 😂🤣😂🤣 ASHA for me is one of the best song, and I can say is greatest all the time ASHA mpigie makofi 2 Bwana TID
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 7 ай бұрын
@@joshuamuro9494 Sasa bro unataka kunambia huyu jamaa atakuja atoe nyimbo Kali kuliko alizoimba kipindi hicho? Kwa Sasa hawezi kuumiza kichwa kuandika wimbo mkali na badala ya atatoa nyimbo is just for fun
@ConventionalViews
@ConventionalViews 7 ай бұрын
Smart and funny dude
@sajo_lkm2781
@sajo_lkm2781 7 ай бұрын
TID ni rnb gangster 😅
@sultansuleman1690
@sultansuleman1690 7 ай бұрын
Kaimba vzuri hiyo nyimbo ya fally was good
@christianluvanga8148
@christianluvanga8148 5 ай бұрын
Zeze,,tulivaa mpaka ma jeans mamaeee
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 7 ай бұрын
Kumbe ndio maana hili lijinga lilikua linapiga mziki mkubwa 😂😂😂 kumbe ni zao la hip hop mamaeeee
@sidiqmhina7823
@sidiqmhina7823 7 ай бұрын
MNALIJINGA LINALOPIGA MZIKI MKUBWA NI MA LEGEND TU.
@salaita2829
@salaita2829 6 ай бұрын
Zamani was all bout hip hop
@hiphopoldschoolkalama1405
@hiphopoldschoolkalama1405 4 ай бұрын
Black gangstars. Hafu wasanii wa zamani walikua wasomi. Ziku izi kina modi hawamo kabisa.
@joelntile9078
@joelntile9078 7 ай бұрын
TID Kituko sana 🤣
@khanafrica22
@khanafrica22 7 ай бұрын
#watoto_wadogo_hawaelewiiii__😂😂 #vunjuvenga
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 7 ай бұрын
👊👍✌️。
@kibakivideos
@kibakivideos 7 ай бұрын
Ni Yeye mnyama ……….ni noma
@KuviFacts
@KuviFacts 7 ай бұрын
🙌🏾
@sidiqmhina7823
@sidiqmhina7823 7 ай бұрын
kIGOGO warioba ni YEYE.
@emmanuelchristopher6791
@emmanuelchristopher6791 7 ай бұрын
Ngoma kali mimi ni nyota ndo kali sana
@user-ry6qo5lf3r
@user-ry6qo5lf3r 7 ай бұрын
Anaongea mnyama 😂😂
@emmanuelfungo2236
@emmanuelfungo2236 5 ай бұрын
😂
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 7 ай бұрын
😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@deathrow8004
@deathrow8004 7 ай бұрын
😂😂😂😂
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН
MAKOSA YA KUYAEPUKA KATIKA MALEZI SEHEM YA 5 FULL
43:20
BUSATI ONLINE TV
Рет қаралды 204
LIVE: Chama la Wana "XXL" Limemdondosha Legend DJ Boni Luv
39:49
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 4,4 М.