#EXCLUSIVE

  Рет қаралды 71,278

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Ай бұрын

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 146
@jaderkyser9389
@jaderkyser9389 27 күн бұрын
Nyimbo kali zipo nyingi katika album, ila nazikubali 1.nitasimama tena Ft Abiud 2.Nishaachana nae Ft Phina 3.Namuachia Mungu Ft Appy 4.Naskia Harufu ft Chid Benz 5.Nakuja Kwako ft One Six
@user-qb1jv2dy2d
@user-qb1jv2dy2d 25 күн бұрын
Roma ni Artist mwenye Akili kubwa mnoo! Binafsi Naamini ili kumwelewa vizur inahitaji Mtu uwe na uwezo mkubwa wa Akili na Fikra. Lakini ukiwa na Akili ya Kawaida ni ngumu sana kumuelewa.
@omolomaxfitnessbodylifetim8252
@omolomaxfitnessbodylifetim8252 24 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤Msanii wa Rwanda aliyesemwa kufariki alikuwa anaitwa Ivan Bravan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤. Big up from Kigali. Ila kama Nasikia harufu vile😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@BingwaboyPepeleboy
@BingwaboyPepeleboy 20 күн бұрын
big artistes in rap
@IssaMkali-k6y
@IssaMkali-k6y Күн бұрын
Zile ngoma roma kauwa sana
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 22 күн бұрын
Unaakili sana nilikuwa sikufatilii leo nimeskiliza na nimakufaham .mungu akuzidishiye
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 13 күн бұрын
Roma yupo vizuri sana
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 26 күн бұрын
All the time = wakati wote
@millardGaiga-vh9yh
@millardGaiga-vh9yh 26 күн бұрын
Oya wanangu Roma katisha "aliyemteka Roma ndo aliyeyavamia mawingu and vice versa "
@user-qb1jv2dy2d
@user-qb1jv2dy2d 25 күн бұрын
Yeah, that's Truthfully.
@AndreaBalintanzeko-vd8yw
@AndreaBalintanzeko-vd8yw 26 күн бұрын
🎉🎉
@imranmohamed9527
@imranmohamed9527 14 күн бұрын
Nakukubali sana ROMA
@KelvinBushesha
@KelvinBushesha 24 күн бұрын
Tunategemea hizi ngoma zisikose Top10
@silvanusmasawe
@silvanusmasawe 22 күн бұрын
Love you kaka ❤❤❤❤
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 26 күн бұрын
Roma ni rapa mzuri isipokuwa hajui biashara ya muziki
@RiddoRiddo-jj1bx
@RiddoRiddo-jj1bx 25 күн бұрын
Rapa wa kawaid s
@imammwasanyamba9715
@imammwasanyamba9715 27 күн бұрын
@KenedyKazana
@KenedyKazana 17 күн бұрын
Akika usipo kuwa makini uwezi kumuelewa mwamba mungu ni mpaji wavyote mungu awe nawe mpaka mwisho✝️
@dreamz_d
@dreamz_d 19 күн бұрын
Bro 😎
@princessplatnum4416
@princessplatnum4416 26 күн бұрын
Mkivaaa kiatu cha roma amtembei mnasaau kwambaa akuna alokamilika so ata ukiwa nawatoto so wote wataona unatenda aki lkn mzeee wetu ulitishaa
@basilvenance1368
@basilvenance1368 19 күн бұрын
Anajitambua sana, pia anatumia akili sana kufikisha ujumbe.
@chrispinegervas1681
@chrispinegervas1681 27 күн бұрын
Super
@nzegeatv6355
@nzegeatv6355 25 күн бұрын
Tatizo la uyo mtangazaji ana sifa hatulii anatangaza kuonekana kama anajua wakati sifa ya mtangazaji inatakiwa kufanya kaz na sio kushindana
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 25 күн бұрын
Naona kama bando langu mmelimaliza tu mlichoandika hapo na Roma alichoongea vitu viwili tofauti
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 27 күн бұрын
tunakukubali sana hujawahi kosea kaka. Big up roma👏👏.
@xmathematics_
@xmathematics_ 27 күн бұрын
dk 46
@eliahswai1607
@eliahswai1607 27 күн бұрын
Big up to you bro since day one hujawahi kukosea
@princessplatnum4416
@princessplatnum4416 26 күн бұрын
Kaka nikweli lkn maumivu aliyapata yeye akuna alokamilika ata mzee akukamilika boss lkn tulimpenda mzee wetu kwa hyo ukijalibu kuvaa kiatu chaloma usingewenza kutembea
@jaderkyser9389
@jaderkyser9389 27 күн бұрын
11:28
@HamisiWilson-kb2bj
@HamisiWilson-kb2bj 25 күн бұрын
Roma salute _$
@JacksonMwinga
@JacksonMwinga 11 күн бұрын
We ni mwamba
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 26 күн бұрын
Nyinyi wapuuzi tu hakuna lolote
@user-tt1ze2dw4x
@user-tt1ze2dw4x 14 күн бұрын
Mweu anakujaga bondo nakurudi uyu broo ngoja siku nitakupost ukiwa apa bongo😂😂😂
@MATHAYOPETROGARYA
@MATHAYOPETROGARYA 26 күн бұрын
Namshauri sikumoja aimbe kuhusu flusa anazoziina huko especially masuala mazima ya biashara zinazoweza kuzalisha tukauza huko america mamen aache kutia sumu miyo.ya vijana ..coz Dunia haiitaji mambo hayoo kivile we need to hear economic issues..thanks
@joshuanyaulingo4109
@joshuanyaulingo4109 26 күн бұрын
an kwa huo ushaur wako nd umbadilishe,, akat alinusurika kupotezwa en he z still in his standing
@josephbuddoh1577
@josephbuddoh1577 25 күн бұрын
Natamani kusikiliza hio ves walioigomea kuirusha hewan
@GunmanUnique-zo9bp
@GunmanUnique-zo9bp 7 күн бұрын
Nkbr chaf
@joelandekile3933
@joelandekile3933 26 күн бұрын
HI CHANNEL IMEKUWA YA KISENGE SASA
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 22 күн бұрын
Roma mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@RamadhanHaruna
@RamadhanHaruna 27 күн бұрын
Roma mtanzania ivi kwanni kaka umehama bongo
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 27 күн бұрын
Kwani kuna shida gani? Yani uache sehemu yenye pesa.
@isaacbywell7081
@isaacbywell7081 27 күн бұрын
​@@angelsblackboard8008 ww Angels mbona majib yako na jina lako haviendani. Unatukana nakujib vitu visivyo.
@herbethlukogela7657
@herbethlukogela7657 26 күн бұрын
Kwani hivi Roma ni mtu wa kwanza kuishi nje
@alexlingwendu6780
@alexlingwendu6780 26 күн бұрын
Kwani kuna shiido
@dennischarles8524
@dennischarles8524 24 күн бұрын
Umesahau alitekwa kupigwa karibu auliwe?
@user-tx1yb3my3m
@user-tx1yb3my3m 23 күн бұрын
Mm kilicho nishangaja uyo mtangazaj Ana nawa sanamikono bila maji
@LukeloKibumo-uu2oh
@LukeloKibumo-uu2oh 26 күн бұрын
Kote umeongea vizuri ila kumgusa aliyevamia mawingu umefeli unaushahidigani
@juliusmix
@juliusmix 25 күн бұрын
Kuna wakati usipoelewa kitu ni heri unyamaze tu ili usionyeshe udhaifu wako. Unazungumzia ushahidi kwa mhusika mwenyewe? Mhusika kasema, wewe unasema hana ushahidi...,unataka alete ushahidi hapa ni polisi?
@AshelyJonas-vg9gg
@AshelyJonas-vg9gg 8 күн бұрын
Namkubali san uyo mwamba
@AshelyJonas-vg9gg
@AshelyJonas-vg9gg 8 күн бұрын
Mwana unakuja lin
@AshelyJonas-vg9gg
@AshelyJonas-vg9gg 8 күн бұрын
Roma ludi tanzania
@jeromejanson3003
@jeromejanson3003 24 күн бұрын
Is name’s jay polly
@DitrickKidagayo-cj1cj
@DitrickKidagayo-cj1cj 27 күн бұрын
Huyu muongeaji Bado Hana sifa ya kuwa mtangazaji kigugumizi kama ametoka kunywa pombe
@filexkivuyo8383
@filexkivuyo8383 23 күн бұрын
Ngoma kama hizi zinatakiwa kuwa nafasi za kumi bora kilamara
@filexkivuyo8383
@filexkivuyo8383 23 күн бұрын
Wanao kutukana naisi wana upungufu wa ufam kwaiyo wasame tuu
@chrismwanjalika9892
@chrismwanjalika9892 24 күн бұрын
Hivi bado Nyimbo mnaita mwimbo? dah! hatutafika.
@brain_ujazo
@brain_ujazo 23 күн бұрын
Wewe mwenyewe pia umekosea hakuna Neno NYIMBO kwenye Kiswahili . Ni WIMBO Tu Iwe Wingi Iwe Umoja.
@ORG960
@ORG960 23 күн бұрын
Roma ameamza kuzeeka sikuizi
@idrisandaka2198
@idrisandaka2198 22 күн бұрын
Huyu ni mwamba na nusu
@yassinchuwa8824
@yassinchuwa8824 25 күн бұрын
Huyu dogo anachokonoa hatari
@MponelaJuma
@MponelaJuma 27 күн бұрын
we mtangazaji unapapara tulia wakati unauliza maswali
@nzegeatv6355
@nzegeatv6355 25 күн бұрын
Wa kike au wakiume😂
@brudatv3539
@brudatv3539 24 күн бұрын
Walioanza kukimbilia comment
@user-rk9sd4kc4d
@user-rk9sd4kc4d 22 күн бұрын
Mzuri ni mchamungutu, nyie pigeni keleletu, af mnasahau Akhera
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 25 күн бұрын
Ila yupo kijijini sana😂😂😂😂
@kareem1182
@kareem1182 14 күн бұрын
Ulayaa ata pakiwaa shambaa sawa na masaki
@VitukoKiwanga
@VitukoKiwanga 27 күн бұрын
Mwana, halakati huyoo!!
@ThousandPhase
@ThousandPhase 27 күн бұрын
Roma anakitu so ni mkweli Mimi sjaona ubaya wake
@user-wy5zv2qw6t
@user-wy5zv2qw6t 24 күн бұрын
Ramadhan na ww unauliza nn ss
@OscarPilla-oy2rc
@OscarPilla-oy2rc 26 күн бұрын
Ww 🎉❤mwamba
@robartifabiani
@robartifabiani 26 күн бұрын
Tano nyingi mpaka sugu
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 27 күн бұрын
Big up east Africa, big up Sana mwanangu Roma ,npo nawewe tangu mathematics adi leo paka na panya, kwenye maua yangu,,endelea kutusema watu wako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😎😎😎😎😎😎(nimewa challenge ,nlikua natafuta coment50 Dil done)😂😂
@emmanuelchacha6718
@emmanuelchacha6718 27 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 27 күн бұрын
Kwani serikali ikikosea inatakiwa watu wasiseme? Hivi Mikundumikundu kama wewe akili mnapelekaga wapi?
@NorascoKipeto
@NorascoKipeto 27 күн бұрын
hamna bayaaa, chupa limeamka na chai,
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 27 күн бұрын
@@angelsblackboard8008 mdomo uliponza kichwa😎😎😎
@TIMOTHEOALFREDI-zf2te
@TIMOTHEOALFREDI-zf2te 27 күн бұрын
Ww nyiko kweli urafinywa nyuma serikali ni nani sio me na wewe acha ujinga
@Black-sound24
@Black-sound24 27 күн бұрын
Roma 💥
@MohamedBakari-lb5mk
@MohamedBakari-lb5mk 27 күн бұрын
Mwana harakati mmoja
@filexkivuyo8383
@filexkivuyo8383 23 күн бұрын
Mm binafs nakukubali ijapo umetukacha
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 27 күн бұрын
Mtanzania anaeipenda nchi yake. Mzalendo ndo huyo sasa.
@ThousandPhase
@ThousandPhase 27 күн бұрын
Eee bana ee Roma ni jembe na nimegundua kitu rap iliyotulia IPO Moro na mwanza
@user-to6cg8uf3f
@user-to6cg8uf3f 26 күн бұрын
BT remind you Roma mwana fa wanatoka Tanga😊
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c 27 күн бұрын
Tatizo uyu jamaa kuimba anajua shida mpumbavu wa kupinga ata jitihada za kuvusha inch katika umasikin
@MayraTiffu
@MayraTiffu 26 күн бұрын
Acha uchawa ww kupinga jitihada gan
@SikabweChristophe
@SikabweChristophe 26 күн бұрын
Bro are you mad
@FilbertHabashi-zn1qu
@FilbertHabashi-zn1qu 26 күн бұрын
Bado bongo wasiojielewa ni wengi saaana aiseee
@markoshem-ij6cf
@markoshem-ij6cf 26 күн бұрын
Musenge wewe
@januarysungura8119
@januarysungura8119 26 күн бұрын
serikali inajitihada gani zaidi ya kutuendelezea umasikini na wenyewe ndo kubakia matajiri,au na wewe ni mjukuu wao?
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 95 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 55 МЛН
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 50 МЛН
ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA
18:50
Eliud Samwel
Рет қаралды 14 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 68 М.
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 205 М.
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН