Sio kila Mtanzania🇹🇿 hapa USA 🇺🇸 ni mbeba boksi. Hawa wanafanya nini?

  Рет қаралды 110,595

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

Пікірлер: 242
@davjoh7728
@davjoh7728 2 жыл бұрын
Congratulations to our Tanzanian brothers and sisters for the greater heights they have attained,much love from kenya.
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 жыл бұрын
Nasisi tunawapenda wakenya ❤️❤️❤️
@davjoh7728
@davjoh7728 2 жыл бұрын
@@rukiaiddyyahaya9506 sote ni ndugu na Dada ,karibu sana
@berthatz
@berthatz 2 жыл бұрын
Hii imekaa vzuri sana kaka EBM..Nafurahi kuona watanzania wenzetu wanaofanya vzuri ugenini..Love my people so much…Kzi nzuri kaka EBM..👏🏾👏🏾👏🏾❤️🇹🇿🙏🏾
@haikamsechu8039
@haikamsechu8039 2 жыл бұрын
Hakika nafurahia sana vipindi vya EBM. Kwa wale mnaotaka kucheki maisha ughaibuni na hata kwa wale ambao tayari tupo ughaibuni. Hizi information ni nondo. Mungu endelea kuibariki kazi ya EBM.
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Dokta p ni mrembo kweli maashaallah ❤❤❤❤
@chemutaimaina3637
@chemutaimaina3637 2 жыл бұрын
EBM, this is a great video, informative and educative.Keep it up!
@michaelkomwiswa7048
@michaelkomwiswa7048 2 жыл бұрын
Hongera kwa hao wote Asante sana Bwana EBM
@nandikaa471
@nandikaa471 2 жыл бұрын
Congratulations to our brothers and sisters and thank you for setting a great example for all Africans. Kazi ni kazi... But always have a plan and a goal.
@ladylucky1714
@ladylucky1714 2 жыл бұрын
Mahojiano ni mazuri sana. Hongera sana Mtangazaji...Nimempenda mchaga og 🤣 anavyoongea amewakilisha..wachaga hoyeee ❤❤
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 2 жыл бұрын
EBM sasa matumani yamerudi, kama hamna anayebeba boksi basi ntajitahidi nije huko. EBM unafanya kazi nzuri.
@sikuzanibusanya7352
@sikuzanibusanya7352 2 жыл бұрын
Km hipo kz yakubeba boksi basi watwambie tusiyokuwa na Elimu ya juu jmn
@T_Darius
@T_Darius 2 ай бұрын
wakubeba maboksi bado wapo, ila wapo waliyofanikiwa kama hawa
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
I real appreciate you jmn. I wish to get connection ya kukuja huko mambele. For sure natamani ulaya saaana ila namuamini Mungu. Mchaga og nifanyie basi mchongo best
@Simulizinalilly
@Simulizinalilly Жыл бұрын
Apply green card rafiki ndo mchongo pekee ukipata umeula ndugu. Cha msingi apply apply apply Tena
@noelamwesiga6776
@noelamwesiga6776 2 жыл бұрын
Hopefully few years to come I'll in America that's my dream and Mr EBM your are the catalyst of my Dream.God bless you all my African Brother and sisters in America
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Welcome
@thanksgivingchannel6247
@thanksgivingchannel6247 2 жыл бұрын
EBM barikiwa sana, karibu Texas, yupo Bishop Robert kuanzia tarehe 9/09/2022,kupata link ya mtumishi ingia KZbin andika Robert tv Tanzania.
@leadekeikelvin456
@leadekeikelvin456 2 жыл бұрын
Amazing stories 🙏🙏 I will like to visit USA & Canada ❤️❤️
@rabisonchrizestomu1810
@rabisonchrizestomu1810 2 жыл бұрын
EBM hii nimeipenda Sana I wish na mimi ningekuwepo Leo.
@joymas1653
@joymas1653 2 жыл бұрын
Jamani mweee first gal talking my schoolmate vero, happy seing her !
@malakimollel6044
@malakimollel6044 2 жыл бұрын
Brother Ernest ..Huyu mchaga nimemuelewa sana Inaonekana yupo smart sana 😁
@berthatz
@berthatz 2 жыл бұрын
@Juakali Tamthilia 😂
@ufahamuzaidi2343
@ufahamuzaidi2343 2 жыл бұрын
Great
@BaigonMacha
@BaigonMacha 11 ай бұрын
Mungu awabariki
@shabanigenya4708
@shabanigenya4708 2 ай бұрын
Nimemielewa Mr Shabani mwenzangu. Mafanikio hayana path to follow.. kwamba ukipita hii njia utafanikiwa. Kila mtu ana mafanikio yake.
@jacobemmanuel5023
@jacobemmanuel5023 Ай бұрын
Safi sana
@mr.content266
@mr.content266 2 жыл бұрын
miaka 21 nipo marekani huo ni umri wangu 😁😁 anyway didn't expect that brother you look younger👏👏
@boazkalema2439
@boazkalema2439 2 жыл бұрын
Hiyo Ni no ya wtsapp
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Pole njoo ubebe box
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 жыл бұрын
🤔Funua funua bro. Kila ukifunua stori na maendeleo ya Watanzania nje ya nchi itawatia motisha Watanzania wengine kufanya jitihada ya kufikia malengo kama ya hawa wenzetu. Asante EBM kwa habari🤝
@OmariEtetembaWilondja
@OmariEtetembaWilondja 2 жыл бұрын
EBM I’m patiently waiting for all the videos from DICOTA event
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 жыл бұрын
Safi sana maisha kutafuta ..,
@flossiephilemon8797
@flossiephilemon8797 2 жыл бұрын
Kazi nzuri EBM God bless you
@victoriamuteti6328
@victoriamuteti6328 2 жыл бұрын
Kazi nzuri EBM ,number 1 fan from Kenya.
@jtheophil5499
@jtheophil5499 2 жыл бұрын
Safi sana.Lkn next time zingatia sound makelele ni mengi sana
@FredWaiyaki-ix7gz
@FredWaiyaki-ix7gz 3 ай бұрын
Kazi nzuri from Kenya
@abdulazizsadi5901
@abdulazizsadi5901 2 жыл бұрын
Very inspirational
@maribasimon6993
@maribasimon6993 Жыл бұрын
kazi nzuri
@piusphilip307
@piusphilip307 2 жыл бұрын
Uraia Pacha unahitajika haraka sana Tanzania, hii rasilimali ya Watanzania tunaihitaji nchini haraka sana.
@georgenkanawa7156
@georgenkanawa7156 2 жыл бұрын
Kabisa aisee
@kasukukasuku3896
@kasukukasuku3896 2 жыл бұрын
Inaonekana huko hakuna ubaguzi katika kazi niliona wtz wengine wako jeshi America,EBM thanks for inspiration
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Wazungu hawabagui Weusi na Waafrica tunabagua hata mkimbizi tu unamnyima haki ya msingi,Mtu kazaliwa 1972 Tz mpaka leo ni Mkimbizi,ni Haki hiyo??Marekani ukifika leo Ukiomba ukakubaliwa tu mwanao akizaliwa tu ni Raia hata kama wewe mzazi si Raia
@kautharjay5868
@kautharjay5868 2 ай бұрын
​@@trophywilson7211Wala hatubagui wakimbizi
@beatrice3671
@beatrice3671 2 жыл бұрын
Amen 🙏
@amirykingoto9123
@amirykingoto9123 2 жыл бұрын
Asante sana Ebm kwa shule tunajipanga tutaonana October
@jobmaclean5382
@jobmaclean5382 2 жыл бұрын
Mangi nimependa the way unaelezea jambo #welcome #December#2022
@amkizigo
@amkizigo 2 ай бұрын
It's nice meet .
@mhudumuonline9060
@mhudumuonline9060 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Kwa ufahamisho
@salimamri9488
@salimamri9488 2 жыл бұрын
Brother unavyo sema siokila Mtz alieko USA Sio mbeba BOX 📦 Unakosea sana kunawatu wanafanya hizo kazi namaisha yao wana yasukuma vzur napia wapo proud about it. Na wanashinda mushahara badhi ya wasomi wengi walioko Bongo kwahiyo jaribu kurekebisha kauli yako please
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 жыл бұрын
Stop complaining and learn
@sabatoarika6550
@sabatoarika6550 2 жыл бұрын
Yes don't claim because hayo ndo Mambo yaliyozoeleka kusemw kuwa watu wanaosha vyombo
@Holywood_Entertainments
@Holywood_Entertainments 3 ай бұрын
Wa Kenya mulikuwa mnatazama nyuma mukijigamba vile mko mbele ya Tanzania, Tanzania ikawafikia kama munatazama mbele, mkasahau kuangalua upande. Sasa Tanzania ndio ina kimbia ikiangalia nyuma kama munatimua mbio kuifikia. Hongera Tanzania, I am very proud of the progress you are making. Competition is healthy. Now Kenya will be coming over to bench mark from you.
@peacemwakyombe
@peacemwakyombe 2 жыл бұрын
Dr Veeee ni mrembo Mungu azidi kumbariki
@erastokimaro8954
@erastokimaro8954 3 ай бұрын
Hongera sana
@sukivlog885
@sukivlog885 2 жыл бұрын
EBM barikiwa sana
@wm9669
@wm9669 2 жыл бұрын
Interesting video.
@shabanigenya4708
@shabanigenya4708 2 ай бұрын
Wabongo wa majuu hawana upendo wanajigawa.
@aprilking8250
@aprilking8250 2 жыл бұрын
Minabeba boksi kwa mshara $22 kwa saa kwangu mimi niko sawa tu
@kanyankole
@kanyankole 2 жыл бұрын
Ndo upambanaji kikubwa kusaka pesa na mafanikio🙏
@Simulizinalilly
@Simulizinalilly Жыл бұрын
Big up bro keep it up... And for how many hours do you do the Job
@peterkariuki9073
@peterkariuki9073 Жыл бұрын
Halloo there! Am also from Tz
@abduyussuf8345
@abduyussuf8345 Жыл бұрын
Mi ni kinyozi ninauzoefu wa miaka 20 vipi naweza kupata kazi?
@rosemarygiga167
@rosemarygiga167 10 ай бұрын
Mambo vipi!! Naitwa Rosemary Niko arusha can we talk more if you don't mind
@belzylucas7275
@belzylucas7275 2 жыл бұрын
Nimependa 💞
@barakasimba6486
@barakasimba6486 2 жыл бұрын
Mm ni refrigeration technician na aluminum welder, how and what can I do nije huko boss.
@leecode6135
@leecode6135 2 жыл бұрын
Njoo Brasil kazi zipo mbona sio mpka marekani
@TrueZionTv255
@TrueZionTv255 2 жыл бұрын
@@leecode6135 utaratibu ukoje kuja huko?
@leecode6135
@leecode6135 2 жыл бұрын
Ntakutumia maelekezo
@TrueZionTv255
@TrueZionTv255 2 жыл бұрын
@@leecode6135email au contact please
@robertmasule4819
@robertmasule4819 2 жыл бұрын
Lee code nipe mchongo WA Namna ya kupata kuja huko Canada
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 2 жыл бұрын
Jaman nımewapenda sana hongerenı nataman sıku mnıalıke nataman kwel .
@benngideon9317
@benngideon9317 2 жыл бұрын
😂😂😂😂hawa itakua wanafanya hotelini ndio maana wanene hivii. Mungu awabariki ndugu zangu mzidi zaidi na zaidi.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Mmm kila mtu akitaka kuwa mnene huku anakuwa
@gaudencemihungo4348
@gaudencemihungo4348 2 жыл бұрын
Kipindi ni kizuri. Lakini ni vizuri watu wajitambulishe wenyewe na kujieleza. Congratulations.
@godcompeter9844
@godcompeter9844 2 жыл бұрын
Boss fanya interview na Roma mkatoliki
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 2 жыл бұрын
Sijapata simu yake. Hopeful one day
@godcompeter9844
@godcompeter9844 2 жыл бұрын
Mchek dm
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 жыл бұрын
Mbeba boksi ni term tu ya kumaanisha hawaafanya kazi za maana haina maana kabisa ya kubeba boksi. Wengi ndivyo walivyo hawafanyi kazi za maana Pamoja na kuwa hata Hizo kazi za hovyo SINA competitive advantage on terms of Dollar and Tshillings wanapotuma PESA Tanzania but when it comes kutuma Hizo PESA ndani ya Marekani ni struggle. I have seen many doctors with PhD Wanaosha vyoo na kuendesha taxi so inategemea how lucky are you.
@atoshamkingule7258
@atoshamkingule7258 2 жыл бұрын
True
@peterkariuki9073
@peterkariuki9073 Жыл бұрын
Nataka sana nije Marekani nipambane.
@mjumbemwanda9666
@mjumbemwanda9666 2 жыл бұрын
EBM the great
@ngamanyajoshua839
@ngamanyajoshua839 2 жыл бұрын
Mambo ya kusema kuwa watu waliopo US na Europe ni wabeba Box mostly ni maneno ya haters wanaotamani wangepata nafasi ya kwenda Europe na US lakini wameshindwa..
@nagyguntar2268
@nagyguntar2268 2 жыл бұрын
Mimi hata kama kuna kazi ya kuogesha mbwa na paka am rediiiiii to gooo
@Thegossipermediatz
@Thegossipermediatz 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@zozokulwa1627
@zozokulwa1627 2 жыл бұрын
Hahahaha 😆😆😆
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 жыл бұрын
Titels ziko Sanaa Africa. Sababu wanataka Sana ukubwa. Na ubabaishaji.
@kautharjay5868
@kautharjay5868 2 ай бұрын
Mim nimempenda muhamed Ally
@nataliamu4119
@nataliamu4119 2 жыл бұрын
Napenda watanzania! 🙏
@yonandimila793
@yonandimila793 2 жыл бұрын
Karibu
@luizabahati5198
@luizabahati5198 2 жыл бұрын
Aisee Kinabo kumbe upo hukuuuu..salams bro..
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 3 ай бұрын
Hiyo kuwapa kisogo hata huku kwetu ndio hivyo safi sana
@samsifuni
@samsifuni 7 ай бұрын
haina part two hii?
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 10 ай бұрын
Wameshiba, maisha mazuri huko!
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Mazungumzo mazuri lakini angalao yangelifanyika sehemu ambayo haina kelele background..,natumaini utafanya vyema mbeleni.
@Gdiamond360
@Gdiamond360 2 жыл бұрын
Very good video, it's good kuona WaTanzania wenzetu wameweza achieve the best education level. But after kuipata, why wameshindwa kuja convert their education where it's actually practical? Why wameshindwa kuja share with the rest of sisi nobodies?
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Mshahara Tz mdogo ndiyo maana tunabakia huku
@MZIZE
@MZIZE 2 жыл бұрын
​@@trophywilson7211 Safi Sana 👏👏 Nafanyaje na mm nibak?
@anastaziuscyriacus5415
@anastaziuscyriacus5415 9 ай бұрын
We mwenyewe unafahamu, bongo miyeyusho sana
@Gdiamond360
@Gdiamond360 9 ай бұрын
@@anastaziuscyriacus5415 kwakweli changamoto ni nyingi na kubwa
@almuhtaramzamil
@almuhtaramzamil 2 жыл бұрын
Nimefurahi kumuona Dr.Mohamed Zuhery,wakati nipo Form 1 Popatlal Sec School Tanga alikuwa School Headboy wetu!
@anordelias
@anordelias 2 жыл бұрын
Bro hbar naomba unisaidie na mm nipate kazi marekani
@adam-saffi211
@adam-saffi211 2 жыл бұрын
Kazi ni kazi ughaibuni. You can do many jobs, Phd or a degree is not all that important. You can clean public toilets get paid well on weekends and public holidays. Kazi ni kazi!
@demicratia4071
@demicratia4071 2 жыл бұрын
Well said
@berthatz
@berthatz 2 жыл бұрын
Exactly….Kuna watu wanabeba box na wafanya mambo makubwa tu..
@Memphisblue22822
@Memphisblue22822 Жыл бұрын
well said lakini yule jamaa truck driver ange angaza hii comt yako mzee anatengeneza 40k a month ukitoa expenses zoote pamoja na kujilipa 1000
@hellenmuthoni820
@hellenmuthoni820 Жыл бұрын
Nawatupe Kazi Cha kuosa choo
@noraazan9124
@noraazan9124 3 ай бұрын
Kweli bro
@oxwad3836
@oxwad3836 2 жыл бұрын
👏🏿👏🏿 . 🇹🇿
@EWillyzeDiplomat
@EWillyzeDiplomat 2 жыл бұрын
Hope to be there one day
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Karibu saana
@samxx411
@samxx411 2 жыл бұрын
Nimependa Sana tujitahidini Sana wenzangu tunaweza kabisa
@happykibona2183
@happykibona2183 2 жыл бұрын
Nimesikia dr kibona
@petermungai6958
@petermungai6958 2 жыл бұрын
EBM naomba namba yako tueze kuongea maswala kadhaa kiundani....mimi ni shabiki wako👍
@TabuHome
@TabuHome 2 ай бұрын
Kwani kubeba boks sio kazi akifika tanzania ni. Boss wako ,na kumpigia magoti kabesa
@freddokuckelmann8502
@freddokuckelmann8502 2 жыл бұрын
Hata kama ni mbeba boksi, bado anapata pesa halali hata mbele za Mungu. Akilala ni usingizi wa amani. Kuliko msomi kwenye ofisi za selikali anayeibia wananchi, siku zote usingizi wa hofu akihofia kufa na kukutana na Mungu.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
AMINA
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 3 ай бұрын
Kumbe wachaga wengi sana state aisee
@Rasheedsmartguy
@Rasheedsmartguy 2 жыл бұрын
Safi hiii🇹🇿
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 жыл бұрын
20 years in USA my whole families here.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Yes Me too now 12 years
@eddyamour9720
@eddyamour9720 2 жыл бұрын
Hapa mwendo wa box tu Hamna chengine wakusoma asome 😂
@kelvinbushis8931
@kelvinbushis8931 Жыл бұрын
Hello brother 👋
@richshayo4924
@richshayo4924 2 жыл бұрын
As longer unalipa bills who care kinachomatter what u earn na si kufurahisha watu mimi nabeba
@richshayo4924
@richshayo4924 2 жыл бұрын
Bora 📦 kuliko HR kwa 17-20/hr kukaa officine au bank teller fir 15/hr while on boxes delivery I can earn up 35/hr plus tip lol marekani ni uwe na Target tu Kuna watu wame spend 4yr on college plus student loan still they can make 10k annual gross 😝 😄 😀
@Holywood_Entertainments
@Holywood_Entertainments 3 ай бұрын
Unge omba hao walimu wengine wa wasiliane kwa sauti ya chini jamani... Waambie hawa wa Tanzania warudishe nyumbani hii elimu yote wamevuna...
@pceodhc
@pceodhc 4 ай бұрын
Congratulations everyone! 🎉
@mwajumakitoro8582
@mwajumakitoro8582 Жыл бұрын
Uwe unajitahidi sauti ikae vizuri
@ernestmatimba9964
@ernestmatimba9964 8 ай бұрын
Ni wamarekani wenye asili ya TANZANIA
@habibmarwan2737
@habibmarwan2737 2 жыл бұрын
Mangi hatareee..😁😁😁
@OgollaJr
@OgollaJr 2 жыл бұрын
much love guys🇰🇪❤️
@leilaassey1726
@leilaassey1726 2 жыл бұрын
Mchagha kanikosha jamani
@Kabi_47
@Kabi_47 2 жыл бұрын
Kiwanjani (canada & america) mchawi nguvu zakoo hakuna kazi ya kubeba box hakunaga hyo kaziiii ukifanikiwa kuingia ni rahisi kutusua coz michongo iko mingii fundi ujenz hapa canada analipwa hela nyingi kuliko mfanya kazii wa maana kabisa humu humu canada ,madereva wa magari taka wanalipwa mpunga mzurii tu madereva wa mabasii wanalipwa mpunga mzurii tuuu so bnafsii naaamin katika mipangoo ukifika kiwanjani kama hauna familia jipe miaka zaidi ya mi4 kuseto down usiwe na preshaaaa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@zahararamadhanisalmu395
@zahararamadhanisalmu395 3 ай бұрын
M2 ambaye anajuwa jinsi ya kwenda tafadhali anisaidiye
@officialaftab8760
@officialaftab8760 2 жыл бұрын
good job
@agreyaloyce432
@agreyaloyce432 2 жыл бұрын
Ones a chaga always a chaga nani
@YohanaYoramu-nl6bw
@YohanaYoramu-nl6bw 10 ай бұрын
WAHA TUNAKUBARI SANA KAKA
@ammaherman3391
@ammaherman3391 2 жыл бұрын
One day I will earn my Law PhD in America.
@brianmarco1646
@brianmarco1646 2 жыл бұрын
Amen
@samsifuni
@samsifuni 7 ай бұрын
nimempenda sana mangi huyo. yuko realistic sana na anapenda asili yake na hajaisahau.
@jacobmsigwa383
@jacobmsigwa383 2 жыл бұрын
Huyo Dr wa IT ana miaka zaidi ya 20 US ila ana kiswahili amazing hadi anataja neno "UDOHOO" kama kashata ambalo ni kiswahili cha ndani ndani.
@kautharjay5868
@kautharjay5868 2 ай бұрын
Watu wengi wa pwani wanajua kiswahili ni mtu wa Tanga huyo
@haider1997
@haider1997 2 жыл бұрын
Leteni raia pacha mbwa nyinyi,mnakaa bungeni na posho zenu za tsh elf 8
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 жыл бұрын
Halafu wanafuraha wenyewe hWana shida ya maisha
@jamessanga7120
@jamessanga7120 2 жыл бұрын
tabu zipo palepale
@joycesichone1175
@joycesichone1175 2 жыл бұрын
Mohamed zuberi was my school m.et at Gerezani primary school
@barbarasara4033
@barbarasara4033 2 жыл бұрын
Nimecheka sana eti sio mbeba boksi
@martinkisha6307
@martinkisha6307 2 жыл бұрын
Kama tunawasomi huko SI Bora waje Tanzania wengine wawe viongozi hapa Sasa tunawapigaji tu viongozi ovyo sana hawana uzarendo nikutozwa tu Tanzania
@luizabahati5198
@luizabahati5198 2 жыл бұрын
Mmh na hizi Tozo? Hawatawezana
@kautharjay5868
@kautharjay5868 2 ай бұрын
Analipwa vizur sana aje Tanzania ??
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
TAZAMA HOTUBA YA TRUMP KWA KISWAHILI, ATANGAZA JINSIA MBILI TU MAREKANI
19:23
A 91 Year Old Prime Minister Shares His Best Life Lessons
16:03
Sprouht
Рет қаралды 1,3 МЛН
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН