Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.lo... DONATE TO EBM SCHOLARS 1. PayPal www.paypal.com... 2. CASH APP cash.app/$EBMS...
Пікірлер: 58
@EBMSWAHILI6 ай бұрын
How to Claim Your Free Consultation: YOU MUST RESIDE IN THE USA 1. Visit our dedicated page: ebmscholars.com/finance/ 2. Fill out the form with your details to schedule your consultation. 3. Sit back and relax - a financial expert will reach out to you to arrange your free session Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.locals.com/
@Alexandrehabimana-k4l6 ай бұрын
Thank you EBM wewe nimwalimu kabisa ,siwezi kulala bila kutembelea website zako thank you
@ndukulusudikucho_6 ай бұрын
Sehem sahihi ya kupandia ndege ni Rwanda 🇷🇼 au South Africa, ila hizi Nchi zingine Zina mashaka saana ktk Air port zao , Kenya , Uganda na Tanzania yanayotokea pale air port ni aibu, Kuna siku jamaa ananiomba rushwa kisa mizigo mingi 😂😂😂 nikamuuliza mizigo mingi? Au uzito mwingi? 😂😂 nikamwambia mizigo imejaa mitumbua na Chapati tu ikabid jamaa acheke tu
@christiankambuga93382 ай бұрын
Ni kweli kaka viwanja vyetu east africa vinazingua
@pmt796 ай бұрын
Yalinishanikuta pale Jk Nyerere Airport eti anasema hii viza mimi sijawahi kuiona akatuweka pembeni na familia nikamwambia unatuchelewesha tu utaturuhusu mwenyewe. Sahihi kabisa wengi ni roho mbaya na hawajui kitu.
@jimmyhabarugira42326 ай бұрын
@pmt79. Tz watu wengi wameisha sumbuliwa sumbuliwa ili uwape chochote kitu kwa kifupi Rushwa
@khaliphaabubakar94666 ай бұрын
EBM nazipenda sana darasa zako.Kitu kimoja hujaelezea vizuri.Ukiwa transiti khaswa kama unakwenda USA wafanyakazi wa uhamiaji ya usa ndio wanaangalia tiketi,pasipoti,mizigo na umebeba kiasi gani cha pesa. Ukisafiri vaa vizuri Sio ndara na soksi bokta na t-shirt.Mavazi ndio heshima yako.
@gasparlubaga58666 ай бұрын
Yaani kwa kweli watu wa hapo airport wanazingua sana,kuna kesi moja ya black Singapore walimfanyia hivo hapo Dar Airport,wabongo wanaroho mbaya sana
@rose_Winchester866 ай бұрын
Wivu ndo shida hujakosea tena Tanzania airport😂
@salehkhamis30006 ай бұрын
Kuna kitu umeongea hapa Bro EBM kwel maofficers wengi pale airport hawajasafir na si km wanashindwa ila utamadumi tu hatuna wa kusafir ko akiona mtu unasafiri wanakuletea roho mbaya tena haswa hawa wadada na wamama wanaongoza kw roho mbaya
@kakamkuu53836 ай бұрын
Tunamshukuru Sana mkuu Kwa kutusanua Mimi napata elimu Sana kwako
@kisagentabirage66935 ай бұрын
Kaka Ernest Makulilo hujambo nakusalimia ndg yng mungu akubariki, nasubiria mpango wako naomba unisaidie mungu akubariki sana
@andrewmwema49226 ай бұрын
Asante ndugu zangu kwa kutuelimisha.
@msengasikaonga30396 ай бұрын
Kaka Asante kwa ujumbe mzuri
@KingTimoo6 ай бұрын
Nimeipenda hii aisee
@tuyisengegad42836 ай бұрын
Good baba we are happy about the how you take time for us
@MisanaMasatu-zz4xr6 ай бұрын
Kuna English na kiingereza jmn kuweni makin 😅😅😅
@LeilaSadik-o1w6 ай бұрын
Mimi lilinikuta hamsadam nkarudishwa unaenda wapi Spain kufanya nn sijui utafikia wapi sijui jamani ni kweli ila nilitaka kushuka spain alafu nchukue usafiri wa kutambaa hd Greece ndiko niendapo lkn nkawa sijakalili pindi nikifika kuulizwa ilikua bahati mbaya na ilikua trip ya pili kupanda ulaya
@naimuothman34936 ай бұрын
Tatizo watanzania hatupendi kujifunzaa
@michaelnyandindi84616 ай бұрын
Good Sana Kaka ebm.
@gracecolyvas3926 ай бұрын
Asante KAKA kwa kutupa elimu
@pembemussa28046 ай бұрын
Ndio Hao Hao wanaojiita watoto wa Mama KIZIMKAZI usiombe ukutane nao waanze kukuswalike maswali mbona utaomba poo 😁
@binabeid39806 ай бұрын
Bro EBM daaa kiukwl unatusanua sana unajitajidi kila ck kutupa update nzuri km hizi maana watu wengine hivi vitu hatuvijuii kbsa ila mungu Akubariki sn
@piusdeo93806 ай бұрын
Jamaa anajua vitu vingi ebm
@elogevyizigiro11576 ай бұрын
Shukrani bwana ebm
@christopherrobert19486 ай бұрын
i trust KLM
@Ryanzabron6 ай бұрын
Dutch Airlines for life ❤
@haysam63176 ай бұрын
EBM anasema : Usiombe ukutane na Black American English akiongea halafu wew hujui chochote akiongea unakaa kimyaa unashangaa akicheka na wew unachekaaa 😂😂😂😆😆😆 dah nimechekaa mbavuu zangu
@adkajisi45366 ай бұрын
Watu wa hovyo sanaa
@ismailislam24626 ай бұрын
Ebm..mm nilirudishwa Amsterdam kwa sababu ya mualiko wangu uliandikwa natakiwa kusafiri mwezi August 2023 lakini nikasafiri mwezi wa February 2024 wakapiga sim Canada na maswali kuhusu huo mwaliko na wakaniambia hawajaridhika na majibu..Jr nikisafiri tena kwa kutumia Conference je changamoto ya kwanza ninaweza kuipitia..?
@jocelyneedward6 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉 Asante sana kaka
@manbo52456 ай бұрын
Kweli Mkuu watu wengi wanaludishwa airport
@classicmediaenter10ment444 ай бұрын
Yaaani hii imewai kunikita kwa yellow fever card kutoka rwanda 🇷🇼 kuingia tanzania via rusumo 😢 waliwai kuniambia hawaijui document yangu lazima ni nunue ya tanzania 😂
@trueone_tz6 ай бұрын
kuna watu wengi hata kwenye ukaguzi inakua shida ukianza na yeye acha baggage, viatu havieleweki ngua shida, mkanda ,saa kubwa ,ukivua mkanda suruali inadondoka🤣
@franciscoabushiri80656 ай бұрын
Umenyoosha maelezo sana chief
@MukireFatmaEvaste6 ай бұрын
Ally♥️♥️♥️😍😍
@kilalikanestory36356 ай бұрын
Kaka uko vizuri Nami nakufatiria kwa ukaribu zaidi naomba mawasiliano ya Whatsapp Nina shida nawewe
@advinofficial65706 ай бұрын
EBM MIMI NINAUHITAJI TOFAUTI KIDOGO ILA NIMEKUWA NIKIKUTAFUTA KWA EMAIL HUJIBU SASA NASHINDWA KUWASILIANA NAWEWE NTAFANYAJE TAFADHALI
@IbrahimMwadini-hz7ib6 ай бұрын
Kk edm Swahili naomba no ya simu ya ubalozi Ili na ss isiyeikatufika kama iyo habar unayosemaa .... Ni kweli tunarudishwa ...
@khamiswadi41996 ай бұрын
Pamoja sana
@minaayoze6 ай бұрын
Ebm ❤
@WeirdPuppy6 ай бұрын
Naomba ebm tueleweshe hapo kwannini uzuiliwe port of entry wakati umeshinda dv lottery,ni hatua zipi kuchukuliwa ili upewe ruhusa
@LauraLozano-c4kАй бұрын
Smitham Junctions
@rahelpaul30796 ай бұрын
Skutokutembea shida kweli.
@mbarakamwayungu34856 ай бұрын
EBM HIYO DOCUMENTALY NIMEIONA. YA MGHANA MUNGU AKUWEKE.
@robertlinuma60516 ай бұрын
Nyuma ya camera yuko ELLY DAVID ( Profesa)
@Zazababy7776 ай бұрын
Which institutions in Kenya can I take a student loan for proof of funds
@JacklineRaphael-wu2te6 ай бұрын
Hi EBM, samahani mimi nimeona tangazo lako la kazi ya kufundisha kiswahili… naomba nisaidie nafanyaje?
@aishanelly20266 ай бұрын
Duuu vinaumaaaaa lad Sunday kijana alirudishwa Amsterdam na Alisha check inn cleared to boarding the flight…..what went wrong God knows ……hope alifanikiwa kwenda usa 🇺🇸
@ChoroTeslaАй бұрын
Inakuaje yeye harusiwi kufanya hvyo unless angefika marekani akardishwa yeye harusiwi hata kidogo.
@enemtatuka58636 ай бұрын
Wajina wangu nimtu muimu San wewe. Siku nikifika ntakuja kukuona
@hailehim16 ай бұрын
Hahah eti Mmarekani nizamie Kenya,wanazingua sa ingine
@dn.n49836 ай бұрын
Wewe unacheka mweli kingereza au English
@Zanzibreport20246 ай бұрын
EBM naomba unisaidie kitu hivi baada ya kuomba B2 na kupata risiti na applicate confirmation Je appointment confirmation page inapatikana Vipi ili kuwenda nayo kwenye interview?
@upendomamuya72386 ай бұрын
tumia password ku log in kwenye account yako ya US Embassy visa, hapo utaweza ku download confirmation page