Dr. Frank Minja ni Mtanzania Daktari bingwa wa Radiology aliyesoma Harvard University. Hii ni historia yake fupi #ebmscholars #ebmswahili #ughaibuni
Пікірлер: 170
@Myplusbee2 жыл бұрын
Miaka 27 ughaibuni!! Msomi aliyesoma vyuo vikubwa na maarufu kabisa duniani lakini bado anazungumza Kiswahili vizuri kabisa lakini ndugu zangu Wakenya, mkifika tu Nairobi, mnajifanya hamjui tena Kiswahili! Kila entensi moja, 60% ya meneo ni Kiingereza! Hata Wabongo nao ndo hivyo hivyo! Hasheem Thabeet alikaa Marekani miaka 4 tu, karudi Bongo akajifanya Kiswahili kinampa taabu!! Eti Harmonize nae ni Viingereza kwa kwenda mbele; JINGA KABISA! Hata Mzee wa EBM nae anaongea Kiswahili safi kabisa na bila kuchechemea, lakini wengine mkienda kwa Ras Simba wiki 3 tu mnajifanya hamuwezi kuongea Kiswahili bila kuchanganya Kiingereza! PENDENI LUGHA ZENU MIAFRIKA!!
@elinamilyatuu73372 жыл бұрын
Watu wanaulimbukeni sana kaka,washamba tu
@rickrosswabongo41162 жыл бұрын
Hapo kwa Harmonize ndo umeua kabisa😅Imebidi nitafute moja ya interviews zake nicheke kwanza😅
@tumainimayala81879 сағат бұрын
@@rickrosswabongo4116😂😂
@daniellyimo3782 жыл бұрын
Kijana uko vizuri sana.mungu akubariki sana baadaye uje tusaidia Muhimbili.
@kikalarashid90032 жыл бұрын
Doctor yuko vizuri sana! Yani serikali itafute namna ya kuwachanfanya hawa watu wa ughaibuni wafaudishe wenzao huku. Doctor anaonekana mtu mzuri sana.
@ChoroTesla4 күн бұрын
Serikalo hii ya hoyeeeeeee
@hidayaswai31192 жыл бұрын
Duuuh!!! Very excited Daktari. I wish to get connection jmn. I wish bt God will help me.
@misschagga80422 жыл бұрын
Kaka rudi utusaidie watanzania wenzako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏
@mossyfimbo3577 Жыл бұрын
Pesa anayolipwa USA TZ hawawezi kumlipa yaani Nasemea Muhimbili
@ufahamuzaidi23432 жыл бұрын
Great sessions we are inspired alot from 🇹🇿
@hajjmohd36022 жыл бұрын
Yeye kakaa marekani miaka yote hio na anaongea kiswahili fasaha tu ww wajidai kizungu uchwara ongea kiswahili ustuchnganye😀😀
@ahz69072 жыл бұрын
Andika kiswahili tu 😁
@hajjmohd36022 жыл бұрын
@@ahz6907 😀
@254interiorkenya52 жыл бұрын
Keep it up my brother I will meet you one day
@marcominja88502 жыл бұрын
Hongera sana brother.
@oxwad38362 жыл бұрын
Kweli navutiwa sana kuona interview kama hizi ... uzidi kubarikiwa Mr EBM . 🇹🇿
@deejeydaev2 жыл бұрын
Bora amecheka kidogo maana nikajua ni mtu wa u_serious
@vom842 жыл бұрын
Kubeba box ndio nn? Au ni kaz gan hiyo kaka EBM
@upendomamuya7238 Жыл бұрын
Mafanikio yako yananitia hamasa, nitaiga kutoka kwako.
@HamzaHeri12 күн бұрын
NIMEKUFURAHIYA SIYO KAMA LIMBUKENI WENGINE WAKIWA NA VYEO VYAKO HATA LAFUDHI ZAO HUWA WANA BADILISHA ALAKINI WEWE NI MBONGO HALALI
@fahadfaraj64742 жыл бұрын
Jamaa mtu humble sana anaongea kwa heshma na unyenyekevu Mungu amlinde
@berthatz2 жыл бұрын
Sana sana..na hachanganyi.Kiswahili kimenyooka..Mungu akutunze kaka.@EBM asante kwa kazi njema ..Kazi nzuri sana kaka EBM👏🏾👏🏾👏🏾
Kuna wasomi wa kweli ikisha kuna wasomi wasanii, huyu muonekano wake tu unajua kwamba ni kichwa hana haja ya kubabaisha na kutia usanii flani aonekane ati mjanja zaidi.
@ismailmasoud60012 жыл бұрын
Sijaziskia YES , NO , YOU KNOW , I'M , I'M.....!...Yaani kiswahili kimenyooka, safi kaka, na sisi tuko sehemu mbalimbali UGHAIBUNI tunabeba boksi za KITAALAM...!
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
😁😁😁
@hermentmrema65372 жыл бұрын
Uko vizuri sana Dr. MINJA na hongera sana. Mimi nimekaa hapo marekani miaka 9 nimerudi Tanzania na ninashukuru sana kwa fursa niliyopata. Ninaishi ndoto yangu ya kuhakikisha kila mtanzania ana kipato cha uhakika, cha kutosha na endelevu kutokana na kilimo. Niko hatua nzuri na Mungu akijalia ndani ya miaka 3 mtunda ya juhudi zangu yataonekana
@abbyadams86912 жыл бұрын
Hiyo miaka 9 ulikuwa huko kusoma au ulikuwa unafanya nini? Na sasa unafanya kilimo cha mazao gani? Asante
@mmasipeter41572 жыл бұрын
Vzr sana kama ulichokipata utagawana na wengine na mungu atakubariki sana
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Big Up kwako
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Nice
@allahisone63862 жыл бұрын
Mungu Akurahisishie
@bernardjohn87882 жыл бұрын
Kaishi marekani miaka kibao, ila kiswahili kimenyooka na hachanganyi, sasa visanii hewa vya bongo hata kenya havijawahi kufika vihoji uone
@benedictormwalugaja53142 жыл бұрын
Aaah you know what this and that😂😂😂
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
Tena bongo amesoma Tanganyika international school
@georgeosmund7272 жыл бұрын
Na badok Tz alisoma IST shule ya kishua
@bernardjohn87882 жыл бұрын
@@georgeosmund727 hapo sasa
@sadih53332 жыл бұрын
Tupo wengi wa namna hio nipo hapa tokea 1999 na jamaa wengi tu wa 2000, hatujawahi kurudi hoko home na upumbavu huo wa vingereza tunapo ongea na watu wa kwetu hatuna kabisa.
@jumahamis2272 жыл бұрын
Jamaa yupo 🇺🇸 muda mrefu ila nimefurahi kuona amejitahidi sana kukihifadhi Kiswahili chake, hadi neno kung’amua bado liko kichwani 😂, watoto wenu pia ughaibuni inabidi wajue lugha yao kama vile wahindi.
@emanuelmhoja24112 жыл бұрын
Mungu awabariki Watanzania wote wema mlioko nje na Mungu aibariki Tanzania
@minormine44172 жыл бұрын
Amen! Kwa kweli mtumuombee!
@fatumamuya72962 жыл бұрын
Amiin
@batulii12482 жыл бұрын
Amini
@kanankirannko61742 жыл бұрын
Kuna wasomi wengi huko mfano ile vita ya Ukraine ilitosha kuonyesha kuwa tuna watu ambao wakiwa wazalendo na serikali zikawajali hatuna haja ya kutibiwa India
@kamanda0072 жыл бұрын
Jamani kichwa sana nafikiri alitoka na point 7, na hakuna ujinga wa you know what I'm saying ingawaje lugha ipo vizuri 😁, wabongo take a hint mkiongea sio kuchanganya lugha
@choggysly35412 жыл бұрын
Take a hint 😂😂😂
@Brunn-mh2bq6 күн бұрын
@@choggysly3541Hapo sasa😅😅
@levinekalikuela49162 жыл бұрын
Well done Doctor!!!!! If only you can establish a good hospital in Dar to support the many sick people who are dying for lack of expert doctors to help them. Thinknof that really!!!!!! I am writing out of experience I saw one patient who went through pain and suffering and was never helped and left us. It is pity anyway!!!!!!
@kanankirannko61742 жыл бұрын
Kati ya kitu wachaga walijaliwa ni unyenyekevu ndo maana wamefanikiwa sana sisi akina nanii sasa tumebaki kusema wachaga wanapenda hela,
@mariandesario64682 жыл бұрын
Hasa kwenye biashara wananyenyekea sana wateja,
@kanankirannko61742 жыл бұрын
@@mariandesario6468 kabisaaa
@KukuBata-y7f9 күн бұрын
Jitihada wajadah
@AnasAli-xe6pg2 жыл бұрын
Safi sana hio ndio maana ya usomi. Unaongea lugha yako kwa ufasaha. Big up bro!
@beatricepallangyo28212 жыл бұрын
Asante sana Dr. Minja.., u mnyeyekevu sana. Ingekuwa wengine hapa dk 5 nyingi ungeshatu-bore. Asante sana Ndugu Mtangazaji kwa namna unavyohoji maswali kiufasaha Dr. Minja nakuombea Baraka nyingi sana kwa Mwenyenzi Mungu!!!!
@amourmtungo6232 жыл бұрын
🤔Hongera Dr. Ni mfano mzuri kwetu sote. Asante EBM pia kwa kuturushia hii video🤛
@annatemu59022 жыл бұрын
Hongera nyingi kwake Dr Minja, nimefurahia sana hii interview.Asante sana EBM
@aliakrabi83212 жыл бұрын
Mwalimu wangu Dr. Minja, Neuroradiologist. Hongera sana. Emory University, Atlanta.
@abasisapi54742 жыл бұрын
Dr. Unamiss ugali? Unga wa ugali upo huko, wamarekani wanautumia kama dressing kwenye samaki wa kukaanga. Ulizia super markets!
@zawadikessy20982 жыл бұрын
wooh good yupo peace
@rahmaabdulla49492 жыл бұрын
@@abasisapi5474 kunakilakitu vyote ivo ulivovitaja vipo
@hidayaswai31192 жыл бұрын
Woow. Very excited
@saidiamanzi5286Күн бұрын
Dr. Minja uko vizuri sana na ni mfano wa kuigwa kwa vijana wetu wa sasa. Huna makuu, uko wa kawaida sana, Kiswahili kimenyooka utadhani unaishi Bongo miaka yote. Walio wengi wakiinukia kidogo tu wanajifanya Kiswahili wamesahau. Hongera sana Doctor Minja.
@Mazoea2 жыл бұрын
Ongera zake jamani Kumbe tunawatu muhimu Marekani hiii
Wako wengine ati wamesahau kiswahili kimechanganyika na kizungu nusu nusu, kwa mfano (mjomba aitwa mchomba) sio mchezo.
@benedictaustard55832 жыл бұрын
Nimependa sana hii Interview!. Asante EBM!
@aliyageorge67942 жыл бұрын
Uje Tanzania Mwigulu nchemba akutoze tozo, tozo hongera kaka🤣😂
@mcback43842 жыл бұрын
Mbona hamuongei jamaa anaonekana yanki kabisa ukilinganisha na muda alioenda mtoni? Mimi nikisimama nae na hizi mvi zangu nitaonekana kikongwe wakati nimezaliwa wakati jamaa ndio anaenda USA 🤣
@daviddonatus81216 ай бұрын
😂😂😂
@kmotivation1130Күн бұрын
Usije huku wasije kukupoteza
@kmotivation1130Күн бұрын
Usije huku wasije kukupoteza
@BonnyMwajombe-iu7hb7 ай бұрын
Napenda unavoongea kiswahili bila kuchanganya na lugha za kigeni ,angojiwa harmonise hapo tungekoma kwa kizungu
@Mubarak5522 жыл бұрын
Dr. Minja hongera Sana kwa kazi nzuri mnafanya huko, nilikuwa naomba December tukutane Moshi kuhesabiwa hakikisha unafika
@madimj50222 жыл бұрын
Very humble, tisha sana kaka mkubwa mungu aendelee kukupa moyo huohuo 🙏
@makibadatela78652 жыл бұрын
Hongera Classmate Muhimbili Allumni 1988 na Upanga.
@mussaelia86932 жыл бұрын
Hongereni sana seniors
@manjaugodwin78342 жыл бұрын
Hı kaka zangu.Naomba msaada mm nına mıaka 49 nataman mtoto naomba msaada wa matıbabu nıpete mtoto.Mungu atawabarıkı.
@mussaelia86932 жыл бұрын
Fika hospitali ya karibu utapata pa kuanzia
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
Anaonyesha ni mwnyaji mzuri wa pombe kali
@Brunn-mh2bq6 күн бұрын
Wewe uko kwenye fani gani ndugu hata ugundue unywaji wa mtu unayemuona kwa mbali na kwa mara ya kwanza? Au ndio mmoja wa wale viboko vya wachawi?😊
@jandreamk2 жыл бұрын
Hongera Dr. Nimejifunza kitu . Ahsante kwa EBM kwa interview hii 👍🏽
@sylvestercharles35852 жыл бұрын
Hata Dr Shika naye alikuwa Dr ughaibuni vilevile 😁😁😁😁
@patrinraura13975 күн бұрын
Dr Minja Hongera sana "RUWA NAKUTARAME"Nimekusikiliza sana Hujapoteza ile lafudhi ya ASILI yako kama "MCHAGGA" maana sikusikia unachanganya Lugha kama baadhi ya wenzako.
@demariwa76062 жыл бұрын
Wote, mtangazaji na Dr.Minja, mmegusa maisha yetu.Mahojiano mazuri sana, hongera Dr.Minja.
@kuhususheria44082 жыл бұрын
Huyu jamaa kasoma top University duniani and he is still humble - Yale, Havard etc heshima kwake aisee
@agustinomatefu42775 күн бұрын
Hongera sana Dr.Minja Kwa kweli upo mnyenyekevu sana Umetulia Sana ...na Unajua unachofanya Kila La Kheri
@journeywithjesus2 жыл бұрын
Hongera kwa video nzuri na vizuri kujua kwamba kuna shule hapa Tanzania ambao wanatafuta talents na kutoa scholarships za uko Marekani. Doctor yuko smart sana na Mungu amtangulie. Nadhani serikali inabidi ifanye zaidi na hawa diaspora.
@husseinkarim76632 жыл бұрын
Hongera Dr, mungu akulinde, nafurahi unawasaidia Watanzania na jumuia kwa jumla.
@peterswai3912 жыл бұрын
God bless more brother 🙏 Dr minja your very humble 🙏💪 , I learn something , Dodoma Tanzania
@josephmchila6467 Жыл бұрын
Ongea kiswahili. Wewe
@barakamshiu71462 жыл бұрын
wachaga wengi wapo ng'ambo asee than any other tribe
@swahiliwithZita2 жыл бұрын
Tunashukuru ameelezea vizuri sana. Sasa angeelezea pia je marekani alisoma pia kwa scholarship au ndo full ufungwa wa deni la udaktari? Kaka EBM naomba utuletee mbobezi wa maswala ya scholarship au njia za kusoma bila deni la taifa Marekani. Nitajifunza na kupata more info. Nina karesearch kwamba kulingana na jimbo lako unaweza pata some scholarships etc etc ila nadhani hiyo episode itasaidia pia wengi kuepukana na deni la masomo. Knowledge is power
@upendomamuya7238 Жыл бұрын
Huwezi kupesha na serikali ya Marekani kama wewe sio rai wao, Labda ujilipie au upate scholarship.
@homeboybeyondtheborders49352 жыл бұрын
Bado anaongea Kiswahili vizuri hongera daktari
@rosemkude48042 жыл бұрын
.
@mhudumuonline90602 жыл бұрын
Congratulations nafurahia jinsi huyu jama Dr minja alivyo soma kweli akili ni mali.
@muhimbesingh4468 Жыл бұрын
I am Hassan from kigoma ujiji bakwata.ni mwanafunzi wa advance mchepuo wa PCB katika shule ya secondary sengerema mwanza. Ninandoto za kusomea marekani au India udiktar.Nitapataje scholarship?
@manjaugodwin78342 жыл бұрын
Nawafuatılıa sana sana kwa kwel mnatusaıdıa sana kutuelımısha
@vom842 жыл бұрын
Kubeba box ndio nn
@mohamediomari16142 жыл бұрын
Nakubali sanaa kaka, na mim naendaaa marekan sooo jamn in shaa Allah
@BM_Smart2-62 жыл бұрын
Hongera sana for great achievement
@thobiasthomas226910 ай бұрын
Have many of people have talent problem government platform not based on person dream based on create employment in demand sector we naturally kill our talents
@DiscoverWalkingTours29 күн бұрын
Yaani mi nipo ulaya miaka 23 kiswahii changu hakijanyooka
@Winstonfying2 жыл бұрын
Safi sana, pia Hongera sana Daktari
@phaustinegodfrey40562 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪
@bas2823 Жыл бұрын
I LOVE SCIENCE! SINCE I WAS SMALL GIRL IN SCHOOL! MY DAUGHTER HOLDER OF PHD. IN MEDICAL SCIENCE SHE SPECIALISE IN STEMS CELLS IN DIABETICS!👌👏🤝👍🏽👍🏽
@jeanmusamba844811 күн бұрын
andika kitabu cha radiology dr
@mwana45992 жыл бұрын
Wooow. Alisaidia mNo wskati wa COVID 19. HONGERAH Dr. Minja.
@edmundnkarangu1348 күн бұрын
Hongera sana Dr.Minja Mungu akubariki
@annamayengela7100 Жыл бұрын
Am in tz....yaan huyu Dr. Yuko humber Mungu amtunze kwa manufaa yake
@bas2823 Жыл бұрын
U DIG IT!👌👏🤝👍🏽 SUPER GREAT👌 KEEP UP👌 ALWAYS PROUD OF U N OTHERS LIKE U!👌!
@mbolikop64197 күн бұрын
Kaka anauelewa mpana na busara nyingi. Mungu aendelee kukuweka tujifunze zaidi toka kwako.
@ChoroTesla4 күн бұрын
Watu km hao Tanzania hawatakiwi tunataka watu wanaosema hoyeeeee ndiooooo
@ayramaa16192 жыл бұрын
Habari yako kaka kwanza hongera sana sana Mungu akubariq zaid . Mm nlitaka kuuliza kwa wale waliokuja ulaya kwa ukimbizii unawaambiaje au unawashauri nini wafanye kufikia mafanyikio .
@Sppah6972 жыл бұрын
Ndugu mtangazaji hujui tofauti na matumizi ya la le li lo lu na ra re ri ro ru! Aibu kuuliza maswali ya nguoni!
@nassorsaid6962 жыл бұрын
EBM nasikia mwezi wa kumi utakuwepo Tanzania kusaidia watu kujaza lottery
@marthakimia40752 жыл бұрын
Wewe mtoto wa Mwalimu Minja?
@taifaonlinetv.3670 Жыл бұрын
Nimekuelewa sana Dr. Minja , kupanuka kwa mawazo kunatuangusha sana
@johngibson30892 жыл бұрын
Asante EBM. Hongera sana Dr
@muhigwasiniibagiye65872 жыл бұрын
Nice one big up Dr Minja
@angelanaftael79656 ай бұрын
Kweli Mungu amekuinua sana, hongera kijana
@Josh_11942 жыл бұрын
Hawa ndo wenye passion asee
@kiligrit5 ай бұрын
Huyu jamaa ni msharp, very sharp brain
@hildakinyunyu43142 жыл бұрын
Hongera sana so inspiring
@mwana45992 жыл бұрын
,Rudi Dr. Tanzania uje unvest jamani.
@levinalyimo62405 ай бұрын
Unapenda Sana pombe Kali kijanaa
@willjames13322 жыл бұрын
Doctor oyeeee
@slowclimbertothetop45722 жыл бұрын
Huyu anayeuliza maswali hajui namna nzuri ya kuuliza
@DaudiSilvester5 ай бұрын
Namba zake za cm wekeni bac
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍
@paulinemaswai89372 жыл бұрын
Hongera Doc.
@hono12322 жыл бұрын
Ingekuwa ni wale jamaa zetu , ingekuwa balaa!!
@twahaissa33332 жыл бұрын
Mbele ni mbele tu, jamaa kama ana miaka 30
@EBMSWAHILI2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 hadi nimecheka
@jumahamis2272 жыл бұрын
😂
@twahaissa33332 жыл бұрын
@@EBMSWAHILI 😁 Nchi ngumu sana hii brother
@askofumjema53442 жыл бұрын
@@EBMSWAHILI nahitaj kuja kufanya kaz huko huku nasoma
@ninaelgeoffrey5844 Жыл бұрын
😀😀😀😀kweli aise
@drisayaambulatoryvetclinic15142 жыл бұрын
Huyu Dr mbona anaonekana young sanaa wakati mie nazaliwa yeye ndo anaenda marekani na nikisimama nae naonekana nimezeeka
@innocentmanaseh46562 жыл бұрын
Itakuwa vinasaba, labda kwenye familia yao hawazeeki haraka, na hela kidogo inaweza kusaidia hapo usizeeke haraka