Mtanzania Daktari Bingwa USA 🇺🇸 aliyesoma Harvard University

  Рет қаралды 60,516

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

Dr. Frank Minja ni Mtanzania Daktari bingwa wa Radiology aliyesoma Harvard University.
Hii ni historia yake fupi
#ebmscholars #ebmswahili #ughaibuni

Пікірлер: 170
@Myplusbee
@Myplusbee 2 жыл бұрын
Miaka 27 ughaibuni!! Msomi aliyesoma vyuo vikubwa na maarufu kabisa duniani lakini bado anazungumza Kiswahili vizuri kabisa lakini ndugu zangu Wakenya, mkifika tu Nairobi, mnajifanya hamjui tena Kiswahili! Kila entensi moja, 60% ya meneo ni Kiingereza! Hata Wabongo nao ndo hivyo hivyo! Hasheem Thabeet alikaa Marekani miaka 4 tu, karudi Bongo akajifanya Kiswahili kinampa taabu!! Eti Harmonize nae ni Viingereza kwa kwenda mbele; JINGA KABISA! Hata Mzee wa EBM nae anaongea Kiswahili safi kabisa na bila kuchechemea, lakini wengine mkienda kwa Ras Simba wiki 3 tu mnajifanya hamuwezi kuongea Kiswahili bila kuchanganya Kiingereza! PENDENI LUGHA ZENU MIAFRIKA!!
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 2 жыл бұрын
Watu wanaulimbukeni sana kaka,washamba tu
@rickrosswabongo4116
@rickrosswabongo4116 2 жыл бұрын
Hapo kwa Harmonize ndo umeua kabisa😅Imebidi nitafute moja ya interviews zake nicheke kwanza😅
@tumainimayala8187
@tumainimayala8187 9 сағат бұрын
@@rickrosswabongo4116😂😂
@daniellyimo378
@daniellyimo378 2 жыл бұрын
Kijana uko vizuri sana.mungu akubariki sana baadaye uje tusaidia Muhimbili.
@kikalarashid9003
@kikalarashid9003 2 жыл бұрын
Doctor yuko vizuri sana! Yani serikali itafute namna ya kuwachanfanya hawa watu wa ughaibuni wafaudishe wenzao huku. Doctor anaonekana mtu mzuri sana.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 4 күн бұрын
Serikalo hii ya hoyeeeeeee
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
Duuuh!!! Very excited Daktari. I wish to get connection jmn. I wish bt God will help me.
@misschagga8042
@misschagga8042 2 жыл бұрын
Kaka rudi utusaidie watanzania wenzako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 Жыл бұрын
Pesa anayolipwa USA TZ hawawezi kumlipa yaani Nasemea Muhimbili
@ufahamuzaidi2343
@ufahamuzaidi2343 2 жыл бұрын
Great sessions we are inspired alot from 🇹🇿
@hajjmohd3602
@hajjmohd3602 2 жыл бұрын
Yeye kakaa marekani miaka yote hio na anaongea kiswahili fasaha tu ww wajidai kizungu uchwara ongea kiswahili ustuchnganye😀😀
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Andika kiswahili tu 😁
@hajjmohd3602
@hajjmohd3602 2 жыл бұрын
@@ahz6907 😀
@254interiorkenya5
@254interiorkenya5 2 жыл бұрын
Keep it up my brother I will meet you one day
@marcominja8850
@marcominja8850 2 жыл бұрын
Hongera sana brother.
@oxwad3836
@oxwad3836 2 жыл бұрын
Kweli navutiwa sana kuona interview kama hizi ... uzidi kubarikiwa Mr EBM . 🇹🇿
@deejeydaev
@deejeydaev 2 жыл бұрын
Bora amecheka kidogo maana nikajua ni mtu wa u_serious
@vom84
@vom84 2 жыл бұрын
Kubeba box ndio nn? Au ni kaz gan hiyo kaka EBM
@upendomamuya7238
@upendomamuya7238 Жыл бұрын
Mafanikio yako yananitia hamasa, nitaiga kutoka kwako.
@HamzaHeri
@HamzaHeri 12 күн бұрын
NIMEKUFURAHIYA SIYO KAMA LIMBUKENI WENGINE WAKIWA NA VYEO VYAKO HATA LAFUDHI ZAO HUWA WANA BADILISHA ALAKINI WEWE NI MBONGO HALALI
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 2 жыл бұрын
Jamaa mtu humble sana anaongea kwa heshma na unyenyekevu Mungu amlinde
@berthatz
@berthatz 2 жыл бұрын
Sana sana..na hachanganyi.Kiswahili kimenyooka..Mungu akutunze kaka.@EBM asante kwa kazi njema ..Kazi nzuri sana kaka EBM👏🏾👏🏾👏🏾
@homeandaway2811
@homeandaway2811 2 жыл бұрын
Very humble guy, msomi kwelikweli, akili imetulia, wala haringiii, Kiswahili fasaha sana👌👌👌
@myamwezmyamwez8669
@myamwezmyamwez8669 2 жыл бұрын
Kuna wasomi wa kweli ikisha kuna wasomi wasanii, huyu muonekano wake tu unajua kwamba ni kichwa hana haja ya kubabaisha na kutia usanii flani aonekane ati mjanja zaidi.
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 жыл бұрын
Sijaziskia YES , NO , YOU KNOW , I'M , I'M.....!...Yaani kiswahili kimenyooka, safi kaka, na sisi tuko sehemu mbalimbali UGHAIBUNI tunabeba boksi za KITAALAM...!
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
😁😁😁
@hermentmrema6537
@hermentmrema6537 2 жыл бұрын
Uko vizuri sana Dr. MINJA na hongera sana. Mimi nimekaa hapo marekani miaka 9 nimerudi Tanzania na ninashukuru sana kwa fursa niliyopata. Ninaishi ndoto yangu ya kuhakikisha kila mtanzania ana kipato cha uhakika, cha kutosha na endelevu kutokana na kilimo. Niko hatua nzuri na Mungu akijalia ndani ya miaka 3 mtunda ya juhudi zangu yataonekana
@abbyadams8691
@abbyadams8691 2 жыл бұрын
Hiyo miaka 9 ulikuwa huko kusoma au ulikuwa unafanya nini? Na sasa unafanya kilimo cha mazao gani? Asante
@mmasipeter4157
@mmasipeter4157 2 жыл бұрын
Vzr sana kama ulichokipata utagawana na wengine na mungu atakubariki sana
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Big Up kwako
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Nice
@allahisone6386
@allahisone6386 2 жыл бұрын
Mungu Akurahisishie
@bernardjohn8788
@bernardjohn8788 2 жыл бұрын
Kaishi marekani miaka kibao, ila kiswahili kimenyooka na hachanganyi, sasa visanii hewa vya bongo hata kenya havijawahi kufika vihoji uone
@benedictormwalugaja5314
@benedictormwalugaja5314 2 жыл бұрын
Aaah you know what this and that😂😂😂
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 жыл бұрын
Tena bongo amesoma Tanganyika international school
@georgeosmund727
@georgeosmund727 2 жыл бұрын
Na badok Tz alisoma IST shule ya kishua
@bernardjohn8788
@bernardjohn8788 2 жыл бұрын
@@georgeosmund727 hapo sasa
@sadih5333
@sadih5333 2 жыл бұрын
Tupo wengi wa namna hio nipo hapa tokea 1999 na jamaa wengi tu wa 2000, hatujawahi kurudi hoko home na upumbavu huo wa vingereza tunapo ongea na watu wa kwetu hatuna kabisa.
@jumahamis227
@jumahamis227 2 жыл бұрын
Jamaa yupo 🇺🇸 muda mrefu ila nimefurahi kuona amejitahidi sana kukihifadhi Kiswahili chake, hadi neno kung’amua bado liko kichwani 😂, watoto wenu pia ughaibuni inabidi wajue lugha yao kama vile wahindi.
@emanuelmhoja2411
@emanuelmhoja2411 2 жыл бұрын
Mungu awabariki Watanzania wote wema mlioko nje na Mungu aibariki Tanzania
@minormine4417
@minormine4417 2 жыл бұрын
Amen! Kwa kweli mtumuombee!
@fatumamuya7296
@fatumamuya7296 2 жыл бұрын
Amiin
@batulii1248
@batulii1248 2 жыл бұрын
Amini
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 жыл бұрын
Kuna wasomi wengi huko mfano ile vita ya Ukraine ilitosha kuonyesha kuwa tuna watu ambao wakiwa wazalendo na serikali zikawajali hatuna haja ya kutibiwa India
@kamanda007
@kamanda007 2 жыл бұрын
Jamani kichwa sana nafikiri alitoka na point 7, na hakuna ujinga wa you know what I'm saying ingawaje lugha ipo vizuri 😁, wabongo take a hint mkiongea sio kuchanganya lugha
@choggysly3541
@choggysly3541 2 жыл бұрын
Take a hint 😂😂😂
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 6 күн бұрын
​@@choggysly3541Hapo sasa😅😅
@levinekalikuela4916
@levinekalikuela4916 2 жыл бұрын
Well done Doctor!!!!! If only you can establish a good hospital in Dar to support the many sick people who are dying for lack of expert doctors to help them. Thinknof that really!!!!!! I am writing out of experience I saw one patient who went through pain and suffering and was never helped and left us. It is pity anyway!!!!!!
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 жыл бұрын
Kati ya kitu wachaga walijaliwa ni unyenyekevu ndo maana wamefanikiwa sana sisi akina nanii sasa tumebaki kusema wachaga wanapenda hela,
@mariandesario6468
@mariandesario6468 2 жыл бұрын
Hasa kwenye biashara wananyenyekea sana wateja,
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 жыл бұрын
@@mariandesario6468 kabisaaa
@KukuBata-y7f
@KukuBata-y7f 9 күн бұрын
Jitihada wajadah
@AnasAli-xe6pg
@AnasAli-xe6pg 2 жыл бұрын
Safi sana hio ndio maana ya usomi. Unaongea lugha yako kwa ufasaha. Big up bro!
@beatricepallangyo2821
@beatricepallangyo2821 2 жыл бұрын
Asante sana Dr. Minja.., u mnyeyekevu sana. Ingekuwa wengine hapa dk 5 nyingi ungeshatu-bore. Asante sana Ndugu Mtangazaji kwa namna unavyohoji maswali kiufasaha Dr. Minja nakuombea Baraka nyingi sana kwa Mwenyenzi Mungu!!!!
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 жыл бұрын
🤔Hongera Dr. Ni mfano mzuri kwetu sote. Asante EBM pia kwa kuturushia hii video🤛
@annatemu5902
@annatemu5902 2 жыл бұрын
Hongera nyingi kwake Dr Minja, nimefurahia sana hii interview.Asante sana EBM
@aliakrabi8321
@aliakrabi8321 2 жыл бұрын
Mwalimu wangu Dr. Minja, Neuroradiologist. Hongera sana. Emory University, Atlanta.
@abasisapi5474
@abasisapi5474 2 жыл бұрын
Dr. Unamiss ugali? Unga wa ugali upo huko, wamarekani wanautumia kama dressing kwenye samaki wa kukaanga. Ulizia super markets!
@zawadikessy2098
@zawadikessy2098 2 жыл бұрын
wooh good yupo peace
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
@@abasisapi5474 kunakilakitu vyote ivo ulivovitaja vipo
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
Woow. Very excited
@saidiamanzi5286
@saidiamanzi5286 Күн бұрын
Dr. Minja uko vizuri sana na ni mfano wa kuigwa kwa vijana wetu wa sasa. Huna makuu, uko wa kawaida sana, Kiswahili kimenyooka utadhani unaishi Bongo miaka yote. Walio wengi wakiinukia kidogo tu wanajifanya Kiswahili wamesahau. Hongera sana Doctor Minja.
@Mazoea
@Mazoea 2 жыл бұрын
Ongera zake jamani Kumbe tunawatu muhimu Marekani hiii
@annatemu5902
@annatemu5902 2 жыл бұрын
Kaka anaongea kiswahili kimenyooka vzr,.mnyenyekevu,Mungu azidi kumbariki sanaaa
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 2 жыл бұрын
Wako wengine ati wamesahau kiswahili kimechanganyika na kizungu nusu nusu, kwa mfano (mjomba aitwa mchomba) sio mchezo.
@benedictaustard5583
@benedictaustard5583 2 жыл бұрын
Nimependa sana hii Interview!. Asante EBM!
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 2 жыл бұрын
Uje Tanzania Mwigulu nchemba akutoze tozo, tozo hongera kaka🤣😂
@mcback4384
@mcback4384 2 жыл бұрын
Mbona hamuongei jamaa anaonekana yanki kabisa ukilinganisha na muda alioenda mtoni? Mimi nikisimama nae na hizi mvi zangu nitaonekana kikongwe wakati nimezaliwa wakati jamaa ndio anaenda USA 🤣
@daviddonatus8121
@daviddonatus8121 6 ай бұрын
😂😂😂
@kmotivation1130
@kmotivation1130 Күн бұрын
Usije huku wasije kukupoteza
@kmotivation1130
@kmotivation1130 Күн бұрын
Usije huku wasije kukupoteza
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 7 ай бұрын
Napenda unavoongea kiswahili bila kuchanganya na lugha za kigeni ,angojiwa harmonise hapo tungekoma kwa kizungu
@Mubarak552
@Mubarak552 2 жыл бұрын
Dr. Minja hongera Sana kwa kazi nzuri mnafanya huko, nilikuwa naomba December tukutane Moshi kuhesabiwa hakikisha unafika
@madimj5022
@madimj5022 2 жыл бұрын
Very humble, tisha sana kaka mkubwa mungu aendelee kukupa moyo huohuo 🙏
@makibadatela7865
@makibadatela7865 2 жыл бұрын
Hongera Classmate Muhimbili Allumni 1988 na Upanga.
@mussaelia8693
@mussaelia8693 2 жыл бұрын
Hongereni sana seniors
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 2 жыл бұрын
Hı kaka zangu.Naomba msaada mm nına mıaka 49 nataman mtoto naomba msaada wa matıbabu nıpete mtoto.Mungu atawabarıkı.
@mussaelia8693
@mussaelia8693 2 жыл бұрын
Fika hospitali ya karibu utapata pa kuanzia
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 жыл бұрын
Anaonyesha ni mwnyaji mzuri wa pombe kali
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 6 күн бұрын
Wewe uko kwenye fani gani ndugu hata ugundue unywaji wa mtu unayemuona kwa mbali na kwa mara ya kwanza? Au ndio mmoja wa wale viboko vya wachawi?😊
@jandreamk
@jandreamk 2 жыл бұрын
Hongera Dr. Nimejifunza kitu . Ahsante kwa EBM kwa interview hii 👍🏽
@sylvestercharles3585
@sylvestercharles3585 2 жыл бұрын
Hata Dr Shika naye alikuwa Dr ughaibuni vilevile 😁😁😁😁
@patrinraura1397
@patrinraura1397 5 күн бұрын
Dr Minja Hongera sana "RUWA NAKUTARAME"Nimekusikiliza sana Hujapoteza ile lafudhi ya ASILI yako kama "MCHAGGA" maana sikusikia unachanganya Lugha kama baadhi ya wenzako.
@demariwa7606
@demariwa7606 2 жыл бұрын
Wote, mtangazaji na Dr.Minja, mmegusa maisha yetu.Mahojiano mazuri sana, hongera Dr.Minja.
@kuhususheria4408
@kuhususheria4408 2 жыл бұрын
Huyu jamaa kasoma top University duniani and he is still humble - Yale, Havard etc heshima kwake aisee
@agustinomatefu4277
@agustinomatefu4277 5 күн бұрын
Hongera sana Dr.Minja Kwa kweli upo mnyenyekevu sana Umetulia Sana ...na Unajua unachofanya Kila La Kheri
@journeywithjesus
@journeywithjesus 2 жыл бұрын
Hongera kwa video nzuri na vizuri kujua kwamba kuna shule hapa Tanzania ambao wanatafuta talents na kutoa scholarships za uko Marekani. Doctor yuko smart sana na Mungu amtangulie. Nadhani serikali inabidi ifanye zaidi na hawa diaspora.
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 2 жыл бұрын
Hongera Dr, mungu akulinde, nafurahi unawasaidia Watanzania na jumuia kwa jumla.
@peterswai391
@peterswai391 2 жыл бұрын
God bless more brother 🙏 Dr minja your very humble 🙏💪 , I learn something , Dodoma Tanzania
@josephmchila6467
@josephmchila6467 Жыл бұрын
Ongea kiswahili. Wewe
@barakamshiu7146
@barakamshiu7146 2 жыл бұрын
wachaga wengi wapo ng'ambo asee than any other tribe
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita 2 жыл бұрын
Tunashukuru ameelezea vizuri sana. Sasa angeelezea pia je marekani alisoma pia kwa scholarship au ndo full ufungwa wa deni la udaktari? Kaka EBM naomba utuletee mbobezi wa maswala ya scholarship au njia za kusoma bila deni la taifa Marekani. Nitajifunza na kupata more info. Nina karesearch kwamba kulingana na jimbo lako unaweza pata some scholarships etc etc ila nadhani hiyo episode itasaidia pia wengi kuepukana na deni la masomo. Knowledge is power
@upendomamuya7238
@upendomamuya7238 Жыл бұрын
Huwezi kupesha na serikali ya Marekani kama wewe sio rai wao, Labda ujilipie au upate scholarship.
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 2 жыл бұрын
Bado anaongea Kiswahili vizuri hongera daktari
@rosemkude4804
@rosemkude4804 2 жыл бұрын
.
@mhudumuonline9060
@mhudumuonline9060 2 жыл бұрын
Congratulations nafurahia jinsi huyu jama Dr minja alivyo soma kweli akili ni mali.
@muhimbesingh4468
@muhimbesingh4468 Жыл бұрын
I am Hassan from kigoma ujiji bakwata.ni mwanafunzi wa advance mchepuo wa PCB katika shule ya secondary sengerema mwanza. Ninandoto za kusomea marekani au India udiktar.Nitapataje scholarship?
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 2 жыл бұрын
Nawafuatılıa sana sana kwa kwel mnatusaıdıa sana kutuelımısha
@vom84
@vom84 2 жыл бұрын
Kubeba box ndio nn
@mohamediomari1614
@mohamediomari1614 2 жыл бұрын
Nakubali sanaa kaka, na mim naendaaa marekan sooo jamn in shaa Allah
@BM_Smart2-6
@BM_Smart2-6 2 жыл бұрын
Hongera sana for great achievement
@thobiasthomas2269
@thobiasthomas2269 10 ай бұрын
Have many of people have talent problem government platform not based on person dream based on create employment in demand sector we naturally kill our talents
@DiscoverWalkingTours
@DiscoverWalkingTours 29 күн бұрын
Yaani mi nipo ulaya miaka 23 kiswahii changu hakijanyooka
@Winstonfying
@Winstonfying 2 жыл бұрын
Safi sana, pia Hongera sana Daktari
@phaustinegodfrey4056
@phaustinegodfrey4056 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪
@bas2823
@bas2823 Жыл бұрын
I LOVE SCIENCE! SINCE I WAS SMALL GIRL IN SCHOOL! MY DAUGHTER HOLDER OF PHD. IN MEDICAL SCIENCE SHE SPECIALISE IN STEMS CELLS IN DIABETICS!👌👏🤝👍🏽👍🏽
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 11 күн бұрын
andika kitabu cha radiology dr
@mwana4599
@mwana4599 2 жыл бұрын
Wooow. Alisaidia mNo wskati wa COVID 19. HONGERAH Dr. Minja.
@edmundnkarangu134
@edmundnkarangu134 8 күн бұрын
Hongera sana Dr.Minja Mungu akubariki
@annamayengela7100
@annamayengela7100 Жыл бұрын
Am in tz....yaan huyu Dr. Yuko humber Mungu amtunze kwa manufaa yake
@bas2823
@bas2823 Жыл бұрын
U DIG IT!👌👏🤝👍🏽 SUPER GREAT👌 KEEP UP👌 ALWAYS PROUD OF U N OTHERS LIKE U!👌!
@mbolikop6419
@mbolikop6419 7 күн бұрын
Kaka anauelewa mpana na busara nyingi. Mungu aendelee kukuweka tujifunze zaidi toka kwako.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 4 күн бұрын
Watu km hao Tanzania hawatakiwi tunataka watu wanaosema hoyeeeee ndiooooo
@ayramaa1619
@ayramaa1619 2 жыл бұрын
Habari yako kaka kwanza hongera sana sana Mungu akubariq zaid . Mm nlitaka kuuliza kwa wale waliokuja ulaya kwa ukimbizii unawaambiaje au unawashauri nini wafanye kufikia mafanyikio .
@Sppah697
@Sppah697 2 жыл бұрын
Ndugu mtangazaji hujui tofauti na matumizi ya la le li lo lu na ra re ri ro ru! Aibu kuuliza maswali ya nguoni!
@nassorsaid696
@nassorsaid696 2 жыл бұрын
EBM nasikia mwezi wa kumi utakuwepo Tanzania kusaidia watu kujaza lottery
@marthakimia4075
@marthakimia4075 2 жыл бұрын
Wewe mtoto wa Mwalimu Minja?
@taifaonlinetv.3670
@taifaonlinetv.3670 Жыл бұрын
Nimekuelewa sana Dr. Minja , kupanuka kwa mawazo kunatuangusha sana
@johngibson3089
@johngibson3089 2 жыл бұрын
Asante EBM. Hongera sana Dr
@muhigwasiniibagiye6587
@muhigwasiniibagiye6587 2 жыл бұрын
Nice one big up Dr Minja
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 6 ай бұрын
Kweli Mungu amekuinua sana, hongera kijana
@Josh_1194
@Josh_1194 2 жыл бұрын
Hawa ndo wenye passion asee
@kiligrit
@kiligrit 5 ай бұрын
Huyu jamaa ni msharp, very sharp brain
@hildakinyunyu4314
@hildakinyunyu4314 2 жыл бұрын
Hongera sana so inspiring
@mwana4599
@mwana4599 2 жыл бұрын
,Rudi Dr. Tanzania uje unvest jamani.
@levinalyimo6240
@levinalyimo6240 5 ай бұрын
Unapenda Sana pombe Kali kijanaa
@willjames1332
@willjames1332 2 жыл бұрын
Doctor oyeeee
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 2 жыл бұрын
Huyu anayeuliza maswali hajui namna nzuri ya kuuliza
@DaudiSilvester
@DaudiSilvester 5 ай бұрын
Namba zake za cm wekeni bac
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍
@paulinemaswai8937
@paulinemaswai8937 2 жыл бұрын
Hongera Doc.
@hono1232
@hono1232 2 жыл бұрын
Ingekuwa ni wale jamaa zetu , ingekuwa balaa!!
@twahaissa3333
@twahaissa3333 2 жыл бұрын
Mbele ni mbele tu, jamaa kama ana miaka 30
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 hadi nimecheka
@jumahamis227
@jumahamis227 2 жыл бұрын
😂
@twahaissa3333
@twahaissa3333 2 жыл бұрын
@@EBMSWAHILI 😁 Nchi ngumu sana hii brother
@askofumjema5344
@askofumjema5344 2 жыл бұрын
@@EBMSWAHILI nahitaj kuja kufanya kaz huko huku nasoma
@ninaelgeoffrey5844
@ninaelgeoffrey5844 Жыл бұрын
😀😀😀😀kweli aise
@drisayaambulatoryvetclinic1514
@drisayaambulatoryvetclinic1514 2 жыл бұрын
Huyu Dr mbona anaonekana young sanaa wakati mie nazaliwa yeye ndo anaenda marekani na nikisimama nae naonekana nimezeeka
@innocentmanaseh4656
@innocentmanaseh4656 2 жыл бұрын
Itakuwa vinasaba, labda kwenye familia yao hawazeeki haraka, na hela kidogo inaweza kusaidia hapo usizeeke haraka
@afrocushitic
@afrocushitic 2 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥
@dottomarikatv780
@dottomarikatv780 3 ай бұрын
Mungu amlinde
@JobJohnson-gp1qz
@JobJohnson-gp1qz 3 ай бұрын
Uko vzr mkuu
@DaudiMazengoMasterDTEM
@DaudiMazengoMasterDTEM Ай бұрын
Big up
@lukelopatrick3187
@lukelopatrick3187 2 жыл бұрын
Asante kwa kutujuza zaidi
@saadamwadini4657
@saadamwadini4657 2 жыл бұрын
Mwambaaa kiswahili kizuriii
@mferekemwanyika6832
@mferekemwanyika6832 2 жыл бұрын
Hongera Dr enedelea hivyo
@robertmgogosi8448
@robertmgogosi8448 2 жыл бұрын
Safi sana Doctor
DAKTARI MTANZANIA AFUNGUA KITUO CHA AFYA MAREKANI
6:00
VOA Swahili
Рет қаралды 3,7 М.
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,2 МЛН
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
SABABU ZA KUNYIMWA VIZA YA MATEMEBEZI YA USA NI HIZI HAPA
27:09
EBM SWAHILI
Рет қаралды 6 М.