Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii: / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti
Пікірлер: 133
@sospeterkedmonchitema4 ай бұрын
Sky worker big up brother
@zuberrymaabaddy558410 ай бұрын
Bro sky upo vizur sana
@danielpetrosa80269 ай бұрын
Sauti ya dhahabu hii Sky. Hizi makala zinatujenga sana kiakili halafu na hii soundtrack ni ya kisomi sana mpaka raha.
@giant177910 ай бұрын
This guy is a national hero in most of us Americans PERIOD.
@YahayaShabani-ne5gd10 ай бұрын
Vp hapo chanika zingiziwa mvua inanyesha au
@sethny11210 ай бұрын
As Tanzanian American, Snowden is a national traitor
@NR-ll4sr9 ай бұрын
@@YahayaShabani-ne5gd😂😂😂😂
@FredMwamgogwa-td6ni6 ай бұрын
Nakukubali sana
@emmanuelkijika196610 ай бұрын
I remember this happened somewhere around 2013 and was hit story at that time
@mwami_the_don_10 ай бұрын
Nan Kama sky mungu akuweke brother una fanya ubongo wetu ipate afya ya akili na uwelewa
@frankvianey243810 ай бұрын
Umetisha brother sky
@joycekisamo489610 ай бұрын
Sana. Lakini Verizon is pronounced Veraizon Whistle - Wiso (meza t) Sorry for that🙏🏽
@leylashelly415610 ай бұрын
Hi Sky , am a big fan of Makala 360 en my dad as well Am requesting,is it possible for you to be giving us makala 360 weekly?
@colmanlesulie25010 ай бұрын
I think daily
@trendingfootshorts10 ай бұрын
Sky we ni genius
@saumusalimuhassan249910 ай бұрын
Nakipenda hiki kipindi, 360 MAKALA 😘
@davidwalalason763010 ай бұрын
I was just watching his 3 years ago interview yesterday with jre
@tataztv920010 ай бұрын
Leo bro sky hatimaye kilio changu kmesikika thaks bro❤
@stephanomkumbwa16210 ай бұрын
Sanaa kak😅
@tataztv920010 ай бұрын
@@stephanomkumbwa162 atr mzee mdau wa hii mmbo sana
Let’s say for example Sina simu na Sina laptop Vipi watanifatilia 🤔
@abdulrahmanhassan599810 ай бұрын
Bado naendelea kuwa kumbusha hamakala fikirieni kuyakusanya sehemu moja Kisha muchapishe kitabu mukiuze kitabu kimoja 10000 , pia itapendeza cover ya kitabu 📚 iwe hiyo hiyo picha ya makala 360 , maana itafika kipindi teknolojia itabadilika huwenda mkaooteza hizi record lakini mkihifadhi kwenye kurasa itadumu , tafadhali fikirieni. Kwa kumalizia huyo jasusi yupo kwenye movie 🎥 au sires iitwayo. the black list
@magretangel524210 ай бұрын
Acha ushamba wewe siutengeneze vya kwako nyie ndio wale waafrika kila kitu mnauza ...njaa itakuua ww ..tumepewa Bure hapa ingekuwa ww na akili yako maji ungeuza ...Sasa chapa vya kwako acha ushamba sjui kabila gan ww.
@abdulrahmanhassan599810 ай бұрын
@@magretangel5242haya ndio madhara ya kupenda vitu vya bure bure , wewe unayependa vitu vya bure utasikiliza KZbin na Mimi ambaye nipo tayali kuwachangia SnS nitanunu. Alafu ukisikia marafiki mzigo ndio ndio wewe.
@@magretangel5242 Ww pia kichwa yako haina kitu.....apa hujapewa buree bundle unalotumia ndyo PESA yenyew unayolipiaa..." imebadlika kutoka kwa karatas ya fedha mpaka kwa digital curency
@daprince754510 ай бұрын
@@magretangel5242yeye ametoa maoni tu, haina haja ukashifu mpaka kabila lake, kua na hekma soma comment yake vizur. Kuchapisha vitabu ni moja ya kukuza uchumi na kutoa ajira. Na serikali nayo itapata kipato chake apo kwa vitabu. Na pato ilo litakuja tena kwa wanaichi. Kuna barabara matibabu madawa shule na hali kadhalka
@dvjmiloow295510 ай бұрын
Sky Napenda sana unavyo soma Story kwnye kipengele hiki, But ingpendeza zaidi kama Editor angekuwa ana changanya Picha kulingana na unacho kisoma.
@brunoh_bx10 ай бұрын
Kwelii👏👏
@joycekisamo489610 ай бұрын
Maelezo kwa hiyo sauti yanajitosheleza. Wengine husikiliza tu hiku tukifanya shughuli nyingi. Tafuta makala za KZbin utapata utakacho 👍🏽
@dvjmiloow295510 ай бұрын
@@joycekisamo4896🙏🙏
@AlbertoOrlandolisboaLisb-re2sg10 ай бұрын
Asante
@ashrafukilete10 ай бұрын
🙌🔥🔥🎯
@geoffreyisaac35269 ай бұрын
Mbona hueleweki mala baada ya tukio la 2011 kajiunga na jeshi 2004
@Chettymlambalipsi-lb9km10 ай бұрын
Intelligence ya Hawa wamerekani ipo juu sana ndo maana wanaitawala Dunia kwa mda mrefu
@lameckraphael374310 ай бұрын
Watu gan urus au USA
@olomweneabongela171710 ай бұрын
USA
@Chettymlambalipsi-lb9km10 ай бұрын
@@lameckraphael3743 America hapo hata Russia nae Kwa intelligentsia Yao ipo juu
@adaboychibu165910 ай бұрын
Hacha puuzi wewe anaye itawala dunia ni Mungu pekee!nyie binadam mnaangaika na dunia tuu
@fabianlaston590110 ай бұрын
Acha uongo wewe anayeitawala Duncan ni shetani na sio MUNGU
@katarinawilliam996010 ай бұрын
Hakuwafikiria ndugu zake.Sasa anawamiss anataka kurudi..Hapo ndo ujue msemo wa nyumbani ni nyumbani
@Kuanimdogo10 ай бұрын
Fungua the story book kaka
@elmereckbet451010 ай бұрын
SKY WORKER 🔥🔥🔥
@mfaumeally447610 ай бұрын
Wakwanza
@rogerslwitiko391510 ай бұрын
Usije kuta pengine huyo Snowden ni double Agent
@danvannyzawad64529 ай бұрын
Duu atari sana
@geofreysadok482310 ай бұрын
Urusi wasidhani wamarekani wamepigwa ,ukute ni mbinu zao wamefanya ili snowden akaichunguze urusi kwa ukaribu zaidi,mzungu ana akili sana ukizingatia huyo jamaa ni very smart .urusi ameliwa hapo
@maniamba.tz_10 ай бұрын
Ayuko huru kiasi kwamba anaweza kufanya jambo tofauti wakonae makini sana
@owenmutale868610 ай бұрын
Unazan urusi hawana akili km wewe tahira?
@msodokidasilva673910 ай бұрын
@@owenmutale8686😂😂😂😂
@andrewIzdory-sk4cu10 ай бұрын
Kakwambia nani marekani pekee ndo mzungu.
@sajojunior947910 ай бұрын
Na pia inaezekana ni mrusi akapandikizwa america
@ramaccr752510 ай бұрын
🙏🙏
@user-ui7lb5yc2l8 ай бұрын
Tofauti kati ya Zionists and Jewish ni ipi !?
@showejikinjekitile594210 ай бұрын
Amr sio nchi
@pioustrevol346810 ай бұрын
Wazungu si wanawaletea 5G Tunachekelea 😂 Mzungu Sio Auntie Akoo Weeeh angalia Simu Yako Inao Mic Mbili juu na Chin, Battery n ndan kwa ndan Owky Amna Shida
@KingRomyJay10 ай бұрын
uyo msaliti ni wa kunyonya adi kufa yan kama angekuwa north Korea tungesha msahau kitambo sana
@deomloka68310 ай бұрын
👍👍👍
@alikhamis63310 ай бұрын
🔥
@mohayussuf205710 ай бұрын
Shujaaa
@King_Of_Everything10 ай бұрын
👍👊✌️.
@NishimweJohn10 ай бұрын
🤛
@dannywillson58749 ай бұрын
Kwa Putin wenda alisema
@paulinekamau963310 ай бұрын
Russia will eff him up at some point
@KhadijaAbdallah-kn3ii10 ай бұрын
Shujaa katufumbua macho
@josepheriah597710 ай бұрын
Wanauuaaa
@khalsasalim793010 ай бұрын
Anarud marekan kufanya nn tena asiokaazake urusi akala bata
@salimalharrasi394310 ай бұрын
HAKUNA MKATE MGUMU KWENE CHAI
@user-iu5lf3db4k10 ай бұрын
Putin anamtumia vip snowden? Russia wanaishi katika mistari ya snowden? Russia inamfaa snowden?
@braystuskibassa384210 ай бұрын
Kwisha habari mambo mengi ya siri sana yalifichuliwa ikiwemo uongo uhusuo Osama Bin Laden kwamba yupo hai ni janja janja tu Marekani
@Anotisam123wurjf10 ай бұрын
Sky tufanyie documentary ya kanyé west please
@DamasEmanuel-gw7lj10 ай бұрын
Msailiti na mjinga
@BIGBOSS-hl3bu10 ай бұрын
Urusi waangalie isijekuwa ni mbinu za wamarekani,???
@geofreysadok482310 ай бұрын
Tena wawe makini nae sana huyo jamaa 😅wanaweza kuhisi wamepata kumbe wanachorwa
@BIGBOSS-hl3bu10 ай бұрын
Geofrey umeona eeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa sababu Kwa akili za kawaida tuu ,haiwezekani mtu kuharibu kazi tena anajua kabisa kuwa ni HATARI Kwa usalama wake Kwa kufanya hivyo na Hana kichaaa chochote mhhh.
@fistonmichel150210 ай бұрын
muko nakawiya sana kwakuandaa nivema mufanye basi ata kwa wiki tuwe napata vidéo moja moja kwa wiki
@PalomaMshanaАй бұрын
He is Gemini 😂😂 so oh yeah
@davidkamando963010 ай бұрын
Kiukweli, jinsi tunavyo zidi kutumia technologia hasa kuingia kwenye internet, social media sijui smartphone... Tunazidi kujiweka hatarini... BASI tu huu ukweli watu mnapingaga tu... Eti mnatafuta hela online... Haya bana..
@Sidrasidra63610 ай бұрын
Ana akilii sana kuka kujiunga na urusi maana sidhani nao kama wange muamini
@BGHaule10 ай бұрын
Lingekuwa Kosa kubwa ambalo lingeweza kugharimu uhai wake,ni afadhali alikataa hiyo ofa
@ashleekingashleeking15539 ай бұрын
d
@kijazi650610 ай бұрын
traitor with in...
@sonnyr189910 ай бұрын
Hapa ndio utajuwa kuwa demokrasia ni kiini macho kudadadeki
@geofreysadok482310 ай бұрын
Ukiskiliza hii makala kwa umqkini na ukafatilia story ya snowden utaelewa tu kwamba huo ni mpango wa marekani ,jamaa katumwa kazi urusi😅
@Adamchestemuzaahim10 ай бұрын
Unafikiri urusi pia imeka kimandazi?😂😂😂😂
@ashirafubesta101810 ай бұрын
Uitambui vzr urus ww
@paulntalima699810 ай бұрын
Sns n online media bora kwa sasa kuliko @Milardayo
@Maya-bm9bu10 ай бұрын
Ujaambiwa utoe maoni ipi mbaya ipi nzuri woiii😏
@deejayvlctz10 ай бұрын
Kuwa mzalendo usipendee uchonganishi. Zote ni media zetu zinazotupa habari.
@user-gw5sl8tx5w10 ай бұрын
Ubongo wa mende
@Gijantv10 ай бұрын
Da mko slow sana stori ya mababu uko mnatoa leo😀
@CoeusUranus10 ай бұрын
@TikTok_afro Akili yako ndo ipo slow..Sasa si Kungekuwa hakuna haja ya watu kusoma au kujifunza historia ya mambo kadha wa kadha ya nyakati za nyuma. Sasa wewe umekujaje ku komment kama umeona historia ya Snowden ni ya toka mababu..Unajifanya unajuaa huenda leo ndo umeenza kuisikia na nauhakika umesikiliza mpaka mwisho..😅😅 NDEZI kweli wewe..