Nani yuko hapa 2025 gonga laik ili nirudi tena kuskiliza wimbo huu mzuri
@lameckyohana84962 күн бұрын
😅🎉
@farajapius2700Күн бұрын
🙌🙌🔥
@AngelMgonja14 күн бұрын
Anyone here 2025 lets praise GOD😊
@realscholarships-bolde.23446 күн бұрын
This song reminds me in 2010 😊😊, of our tenant she liked to play this song, God bless her wherever she is🎉🎉🎉
@MichaelMathew-j3f2 ай бұрын
Nakumbuka wakati namalizia shule ya msingi mwaka 2008 huu wimbo hakika ulikuwa!!! Hadi leo hii ni mpya!!! Amen, Bwana Yesu Kristo asifiwe!! Nampenda Bwana Yesu!!!
@ChristopherMuganda-c9s2 ай бұрын
KWELI YA KALE NI DHAABU:Sauti nzuri na tamu ya kumtukuza MUNGU. Sijui yuko wapi huyu mtumishi wa MUNGU? Kama bado yu hai ABARIKIWE SANA.
Wakati huo wimbo ulikuwa umeshatoka kitambo. Huu wimbo ni wa kati ya 1999 au 2000
@MichaelMathew-j3fАй бұрын
@neicoltd3496 hapana, si kweli, huu wimbo ulitoka mwaka 2007
@leoncematara28424 күн бұрын
Qq
@MamaJanet-e2r2 ай бұрын
Asante Sana ndugu nikiuskia wimbo uuu nakumbka mbari nilipotokea namateso ya dunia iiiii
@PonsionoMamboleo2 ай бұрын
Ilinipa nguvu sana 2008..nikiwa nimekata tamaa sana....miaka mitano mbele nikakutana na Medrick Sanga live chuoni RUCO getting, nilifurah sana nikaomba kumshika mkono....baraka teele na upako, sintosahau......my best song ever...."ee Mungu wangu...mbona umeniacha.......Mungu wangu uko wapi.....
@SelinaChikawe9 күн бұрын
Nimenyang'anywa kilakitu na familia sina pakukimbilia kupitiawimbo huu naomba faraja kwako munguwangu
@MariamKarembo11 күн бұрын
Huu wimbo naupenda sana❤❤❤❤ ninapopitia kipindi kigumu unanifariji moyo wangu😊😊🙏
@IreneMsileАй бұрын
Nasikia amani hata kama nina huzuni hii nyimbo inanibariki barikiwa sana❤❤
@ZainabuMagari-e1iАй бұрын
Huu wimbo naaza nao mwaka jaman unanifariji sana
@MD4099-f2y3 сағат бұрын
This song reminds my Grandma liked to play dis song wen we’re little kido. You are blessed MEDRICK SANGA….RIP MY GRANDMA ❤
@AlexNgoka-z3n7 күн бұрын
Uduma nzur sana mungu awenawe
@StevenGendo-vx9jo2 ай бұрын
Yuko wap jaman medrick sanga, wimbo wa hisia Sana ❤❤❤❤
@ebenezerdavid102 ай бұрын
Who is Listening Till 2024!!😊
@RubenMzunguАй бұрын
am here till 2050
@FarajaamaniMtua29 күн бұрын
amen
@FadhiliMdetele7 күн бұрын
Who is listening till 2024!!❤❤
@JosephMayala-s6m2 ай бұрын
It reminds me of my past!... I had unknown life, I had nothing to posses nothing to give but thanks to God now atleast I have smartphone I can watch this song over and over again😢 in my own
@AlisiaMagezi2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi umenikumbusha mbali sana jamani Medrick Sanga Mungu awe nawe daima
@SuleimanhakimuАй бұрын
🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤maneno mazuri yakumtukuza mungu na kumsifu wakati wakuhitaji msaada hongera barikiwa kwa Neema uliyonayo ktk kristo yesu ,pia huu wimbo unanikumbusha jambo fulani
@edithanicodemu8690Ай бұрын
Maneno ya faraja sana Mungu uko wapi
@EDITHACHINGUILE2 күн бұрын
Jamani nilikuwa naipenda hii albam nzima niliisikiliza toka 2011 kama sikosei
@barakacmwanzaКүн бұрын
Mie tangu 2008 kipindi nikiwa pale pale makongolos, lakini hadi leo ni ❤
@ShukranKasianoАй бұрын
mungu mwema abarikiw kama man duuu 2024 tunaicha siku sinyingi mungu saidy famly yangu amin
@Chrismadiba1Ай бұрын
Mungu akubariki medrick kwa ujumbe huu unanifaliji kwa mateso ninay pitia n meng sana naiman ipo siku yataisha
@ObadiaNiyomwungere-ee1jl2 ай бұрын
I'm from burundi asate sana hiyi wimbo ndayikunda cane
@elizabethrichard7694Ай бұрын
Hii nyimbo inanikumbusha mwaka 2011 nimejifungua kwa op nipo hoi kitandani nipo nusu mtu nusu mfu nilikuwa naisikiliza mala kwa mala aipiti siku nasikiliza ata mala 5 Mungu nimwema leo bado siku 5 niingie 2025 namshukuru sana Mungu
@HeriDottoАй бұрын
Asante kwa shukulani maana nimeukumbuka sana bado nikiwa mdogo baba angu alikua anupenda sana❤❤❤❤❤
@Mary-z5i1s2 ай бұрын
Mungu wangu uko wapi mi mwanao ninakutafuta🙏🙏🙏❤️❤️
@hammerymachogu38852 ай бұрын
Mtumishi Sanga uko wap hatusikii tena huduma yake ,ukitugusa sana nakumbuja chuoni Moshi Muccobs, pia sumbawanga, zaidi nashukuru nilikuona live mbeya, barikiwa sana .pls km upo nchi toa wimbo mana nilisikia kuwa umeona mzungu yawezekana uko nje ya nchi
@amandokanondo47342 ай бұрын
Merrick mungu akubariki ulitilia sana huu wimbo
@UpendoDavid-c9p7 күн бұрын
Mimi niko hapa unanifariji sina nateseka
@NdayiOnesime9 күн бұрын
Nice 👍👍👍😢😢🎉
@Aminatomas-q4u10 күн бұрын
T❤❤❤❤pamoja sana kaka
@barakangobito43922 ай бұрын
Wacha tuendelee kusikiliza ujumbe huu mzuri 2024
@FaridahRashid-j1tАй бұрын
Mungu wewe ni mungu.Kwa ukweli huu wimbo unanikumbusha wakati kila mtu alinikataa
@atnasijacob941026 күн бұрын
Who is listening till 2025
@Hellenmoronge-is6kq7 күн бұрын
❤
@RAIVONMWAKALANJEАй бұрын
Kaka angu medercki sanga mungu akubaliki sana mtumishi uzidi kupata kibali kila mara natamani utohe nyimbo mpya lakini nakuona ukobize mikutano mingi sana lakini mwaka 2025 lazima tutohe nyimbo ya pamoja nimmi raivon mwakalanje mdogo wako ninaimani tutafanya ivyo kaka mungu atupe uzima tuuu
@JumaMatiko-zp5nm2 ай бұрын
Nilibarikiwa na hii nyimbo mwaka 2007.it was the time I can't forget this song.
@RashidMahembaАй бұрын
med daaa unanikumbusha mbal sana kwa hii nyimbo mungu akubaliki
@AgnessIlumba2 ай бұрын
Naupenda sana huo wimbo ubalikiwe sana
@samsonchacha71082 ай бұрын
The song made my year,when I was completing my form four 2008
@mbaralidc14045 ай бұрын
Kila asubuhi kabla ya kazini na baada ya kazini, kabla ya kulala lazima nisikilize huu wimbo❤
@LydiaJaphet-bl4df5 ай бұрын
Ameeen
@IsayaKitaly-n9u2 ай бұрын
Barikiwa mtumishi kwa nyimboo nzurii❤❤❤
@NakazibweMadinah-o8l2 ай бұрын
Asante sana unanikumbusha mbali
@apollobupolo98846 ай бұрын
Ila ubarikiwe sana jamani wimbo naupenda sana
@AgnessCharlzАй бұрын
Nakumbuka mwaka 2009 niliusikuliza kwenye bas nikiwa naenda mbeya ❤
@hamzarobert23725 күн бұрын
❤❤Amina sanga ubarikiwe
@OrestaNgingo4 ай бұрын
Mungu akubalik San huu wimbo
@BilhudaBakari-b3b2 ай бұрын
Naupendasanawimbohuu.bwanaapewesifa
@lordorcas9344Ай бұрын
Amen 🙏 mi na kuicha choka sana na ka Tama si June pa kinda tena wala Kimbilio ❤
@BarakaEdna2 ай бұрын
Huu niliutafuta sana hatimaye nimeupata ahsanteni kwa kuu post Mwenyezi Mungu amubariki huyu baba na ampe maisha marefu
@alexfongnimubona14094 ай бұрын
Nagupenda sana mungu akongezeye nguvusana
@paulliganga20512 ай бұрын
Mungu ni muweza wa yote.Amen.
@JohnMontana-c9p2 ай бұрын
Huu wimbo niwa imani sana
@IreneKamwayaАй бұрын
Daaah hiii nyimbo inanifanyagaa nitoe chozi
@AggyMaghuwaАй бұрын
nimekumbuka nilikua nasikiza wimbo huu ulinijega sana wakati ukuta wa nyumba ulipo poromoka lakini nikatoka salama 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@DianeNdayisenga-u9t3 ай бұрын
Amina baba barikiwa sana
@MilianemyАй бұрын
Hatimae huu wimbo leo nimeupata🙏🙏🙏🙏
@NakazibweMadinah-o8lАй бұрын
Mungu akulinde mahana wimbo huu unanikumbusha mbali
@IbrahimSawaya19 күн бұрын
Reo wasanii wakuiga karama hii hawapo jamani❤❤❤❤
@EMANULIPETRO2 ай бұрын
Kwel nimekumbuka mbl sana yan bas2
@StellaMgaya-i8hАй бұрын
Mungu amubariki sana
@IreneMsileАй бұрын
Nyimbo yangu pendwa ❤❤❤❤
@rahellubandila1928Ай бұрын
Mama Simo Bushebele nimewaona hongereni kwa kazi karibuni Dodoma
@PoulNenula22 күн бұрын
Safi kaka Mungu akubariki
@KuvunaGonda5 ай бұрын
Ubarikiwe Sana wimbo huu unanitia nguvu naimani tele
@JamesmiliaOloulu2 ай бұрын
Amen barikiwa sana ulie weka huu wimbo KZbin
@elizabethnzunda92232 ай бұрын
Mungu muweke mahali pema pepon Amina!!!!!!!!!
@AyubuSumuni-e8n17 күн бұрын
Nimekumbuka mbali sana
@innocentebarnabas461529 күн бұрын
❤❤❤asnte sana
@jescaherry238915 күн бұрын
Forever best song
@PaschalJohn-h6x22 күн бұрын
Nabarikiwa na wimbo huu
@Bizzo08Ай бұрын
nafunga nayo mwaka🙏🙏🙏🙏
@collinskhaemba75254 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@jamilamwangangi61992 сағат бұрын
Who else is here 2025 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@Emmiz_boy22 күн бұрын
Hii nyimbo hatimaye nimeipata jamani😭😭😭😭
@rozaliabaraka8589Ай бұрын
Wimbo huu ni baraka kweli kwa Kila mtu
@JohnWilliam-f1k2 ай бұрын
Mr Sanga unakubalika vilivyo
@wafiiwaii-v1dАй бұрын
Amen 🙌🙌
@FatumaYassini-rp5zuАй бұрын
Ata mm nakumbuka Mbari sana
@QchiefuBarnaba-u3q2 ай бұрын
Kitambo sana dh nimekumbuka mbali sana
@SelinaHankungwe2 ай бұрын
Ubarikiwe medrik sanga🎉
@PaskaliIndae-k8pКүн бұрын
Medreck noma sana
@VeronikaEzekieliАй бұрын
Huu wimbo amiimbia mm,balikiwa sana kaka
@JuniorMakala-m1u27 күн бұрын
❤mungu awakumbuke
@MakayimaJacklyn-y4y4 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏💯
@RashidMahembaАй бұрын
Nakumbuka sana na Ile alubam ya kwanza kkt makonglos alikuwepo na dada sifa
@AcksonKisegeАй бұрын
IN GOD I TRUST 2024🙏🙏🙏
@VeronicaMachimu5 ай бұрын
Kila nikiwa na changamoto yoyte napenda sana kusikiliza huu wimbo
@LydiaJaphet-bl4df5 ай бұрын
Ukwel kabisa dada ,unakuwa na matumaini barikiwa sana
@JuliethMabuga52 минут бұрын
Am here 2025❤❤❤
@IreneZablon-kq9wf9 күн бұрын
2025 tupo apa kweli Mungu alikuwepo
@lordorcas9344Ай бұрын
Dunia ni Haramu kueli Dunia Ni Buchungu , Ni Machozi ya Kilasiku
@SonsShop-j8o5 ай бұрын
Ubarikiwe baba
@AnjelaMichael-cn9rg4 ай бұрын
Forever old is gold 🤲🏻🤲🏻
@YusuphZebedayo-u4j15 күн бұрын
Why im crying 🙏🙏🙏
@RashidMahembaАй бұрын
Med medrk sanga yupo matundas chunya
@elifazmpozayo29302 ай бұрын
Nmekumbuka mbali sana 🙏🙏🙏
@skilindaissa54412 ай бұрын
Nimekumbuka mbali Sana.
@SesiliaIsayaАй бұрын
Ok powa
@dinessaikong4164Ай бұрын
Who is here on 31st December 2024 8:05am Tunamaliza mwaka kwa Ushindii
@EDITHACHINGUILE2 күн бұрын
Mwenye kujua yuko wapi jmn arudi tena
@EbeleEugenie2 ай бұрын
Maneno matamu Sana Mungu aku bariki
@vivianakinyi3392 ай бұрын
Hu wimbo unanifanya nakumbuka penye mungu amenitoa