Mungu atuepushe na watu wabaya jamani. Edgar ni mfano wa watu wengi tunaishi na watu bila kujua kua ndio wabaya wetu. Tupo hai sababu Mungu anapigana vita kwa niaba yetu
@MsAggie53 ай бұрын
Tunaishi Kwa neema ya Mungu tu
@ScholarPeter3 ай бұрын
Kabisaa mpenz yaan dunia ihi ni ngum sana kwakweli 😢😢
@RahmaOmar-c2d3 ай бұрын
😢😢ya Allah tunakuomba utupiganie sisi hatuna wajomba wakutupambania na tuna maaduwi kwa dhahiri ila tunae ww Allah ambaye hulali husinziii wala hushindwi na kitu chochote tunaomba utulinde na kila mabaya wanayotufanyiaga 😢😢😢😢na kutuwazia🙏
@MsAggie53 ай бұрын
Amina. Mungu ni mwema siku zote
@salma-fc4xc3 ай бұрын
Aamiiina yarab lalamina
@fora20093 ай бұрын
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@MaimunaSimon-n3n3 ай бұрын
Amina
@fatumakyengya453 ай бұрын
Amiiin Thumma Amiiin Inshaallah
@fora20093 ай бұрын
Mungu tulinde vizazi vyetu
@florakomba55223 ай бұрын
Vero simulizi hizi zinstugusa sana na maisha ambayo tunayo kwenye familia zetu unakuja familia hatuelewani kwa sababu ya watu wamama you wanaoingia kwenye familia kwa kuoa au kuolewa
@yusterwilliam60483 ай бұрын
Hii issue ya ulevi aisee ni ukweli kabisa pumzika kwa amani mdogo wangu kipenzi 😢hii simulizi imenikumbusha mbali sana Mungu atupe macho ya rohoni pumzika Mpoki wangu
@WariankiraMathayo3 ай бұрын
Mungu aepushe watoto wetu na mabayaa, Na watoto wawe wanasikiaaa wazaziiiii
@abdallahassan63783 ай бұрын
Dah inatisha sana Mungu atujalie mwisho mwema 😭😢
@ataamansi89412 ай бұрын
Loo badala ya kumtegemea Mungu, umepotoka, Mungu amekatza kutegemea mwanadamu, pia kuamini wachawi
@MinaeliMbonea3 ай бұрын
Nimeipenda hiyo wanaweza kusimamisha juw kikasimama
@JanethJaneth-b5f3 ай бұрын
💔💔💔💔MUNGU ATUSAIDIE🙏
@pendorobert35523 ай бұрын
Hii ndio maana halisi ya mjomba ni mama yaan mambo anayofanya mjomba ni mama kabisa ndo angefanya..alafu hii ya kuonekana mzee hata mm watu Huwa nikiwaambia Nina miaka31 hawaamini kabisa wanasema ni kama nmezaliwa miaka ya80 huko ee MUNGU nitolee uso wa kizee kwa jina la YESU 🙏
@racherkijugu143 ай бұрын
Pole pendo
@عايشةتنزانيا3 ай бұрын
Pendo,Pole kipenz yaan hata me ndo hali niko nayo yaan watu hawaamin kile unachowaambia wanadhan ni uongo na Mungu atusaidie kwa hili haki 😢
@maryamChumas3 ай бұрын
Ila hii dunia jaman ya Allah atusaidue , sisi tunasumbuliwa na bb mzaa mama tena kamtoa mama sijui msukule kwa sasa sijui walimla nyama tunasukuiwa mambo balaa dada yetu aliugua jaman humtamqn alibadilika alikonda hakuweza kuona vizur ,ila sasa alihamndulillah jitihada za mama mkwe na sasa amekuwa mtu wakusali pqmoja na familia yake ila hata sisi tu nasukumiwa vitu balaaa sasa kaka yetu mkubwa yy ndo bas na alikuwa mtt mzur sana mwenye akili anapata dili za kaz pesa anapata ila wap zinaenda hatujui akili yake haiko sawa miaka nenda miaka rudi hana chochote si watt wala mke jaman ni yupoyupo tu kaka haishi matukio mara amepelekwa mahakaman , police ila anakuwa anatoka ni mungu anamrinda ila shida hatujawah kujua ila huyu bb si mtu mzur yarabby atunusuru amin
@EvelynIsaya-k2w3 ай бұрын
EDGAR stori yako himenigusa sana na pia himekusa mdogo wangu pia alikuwa na akili sana lakini sasa anakunywa pombe kuliko kawaida
@MsAggie53 ай бұрын
Mpelekeni akaombewe au apate visomo, hatuna macho ya rohoni maadui wanatufanyi vitu vibaya sana. Mtoto WA mjomba angu yatima hana mzazi hata mmoja ana degree hapati kazi, mlevi anafanana na chokolaa wa mtaani. Dunia hii si mchezo.
@magdalenashayo12563 ай бұрын
Mpeleke kwenye maombi atakuwa sawa
@MariagraceIshengoma3 ай бұрын
@@MsAggie5nendeni kwenye maombi na aokoke ampokee Yesu atapona kabisa
@yusterwilliam60483 ай бұрын
Hata Mimi mdogo wangu alikuwa na akili sana akaanza kunywa pombe mwaka 2020 February akafariki Kwa pombe Kali zinazotoka Zambia (veve) pumzika Kwa Amani mdogo wangu nakukumbuka sana Nakumbuka alipokuwa mdogo darasa la Tatum hivi 2005 kuna Bibi alimwambia mama mbona huyu mtoto wako walishamchukua muda mrefu sana hangaika mtoto apone lkn mama yangu hakufanya chochote
@VeledianaKalolo3 ай бұрын
Dui dunia inamengi jamani
@bettygervas20423 ай бұрын
Na mm leo nimewahi sana
@AbdallahYassin-ky5ic3 ай бұрын
Hello vero
@fatumakyengya453 ай бұрын
Mambo mazito haya mmmmh
@fatumayusufu29243 ай бұрын
Bila kuchelewa
@Martha-gs3in3 ай бұрын
Duuuu hii ni ngumu jmniii😢
@FridaWilliam-z2m3 ай бұрын
Duuh inaogopesha
@MsAggie53 ай бұрын
Mno
@MariagraceIshengoma3 ай бұрын
Jamani kuna na wakaka wachawi haswaaa!anajifanya anakupenda ili akuue apate mali zako kama unazo
@MariagraceIshengoma3 ай бұрын
Kuna mmoja alijifanya kumpenda dada yangu,kumbe ni lichawi hilo likaka na kazi yake kutapeli mali kiuchawi,mpaka dada yangu alipoteza maisha kimazingara,,,yaani siwezi kusahau na hilo lichawi lipo linaendelea kulaghai wanawake wengine wenye pesa,kazi nzuri na mali.😢😢