Jamaaa uko vizuri ubashiri wako huwa unaleta maana sana uko guuuuuuuud niite losieki memirieki
@ShambunatGhullam2 ай бұрын
Aje ata asaivi tunamuhitaji sana sana saaana ubaya ubwela
@RashidiJuma-p4z2 ай бұрын
Karibu San simba Elia mpanzu
@KhalidIsacka-i2k2 ай бұрын
Vp kuusu mpanzuuuuuuuuuuuu❤❤❤❤
@NestoryHenlico2 ай бұрын
Ni kweli au uongo tu simba nguvu moja ❤❤❤
@loishiyesamwel13742 ай бұрын
Karibu sana Mpanzu au tuseme (your most welcome)
@SAIDSALUM19812 ай бұрын
Upo vizuri sana friji bovu kwa uchambuzi mzuri sana
@SamwelOtieno-ky3nh2 ай бұрын
Vipi mpanzu dili done au vip
@InnocentNyanga2 ай бұрын
Jamaa nimekuelewa na naendelea kukuelewa, tusilete siasa kwenye mpira wa miguu, ilianzia kwa Fei Toto na Leo ndo Iko kwa Kibu Mzee.
@RolethaRevelian2 ай бұрын
Kaka friji bov uko sawa kabisa wachezaji wanaleta upuuz wanatukwaza saana siyo powa ziwekwe kanuni na Sheria za kuwabana wafate utaratibu wa kishelia.
@faustinombilinyi98092 ай бұрын
Zipo sheria na kanuni zipo mfano ulimwona fei Toto bila mama rais wa nchi kuingilia lile swala aiseee lingemsumbua sn fei Sasa sahiz kibu atanyooshwa hawez kucheza popote DUNIANI bila Simba kutoa release letter
@MeshackMlyanginu2 ай бұрын
Welcome Elie mpanzu, simba nguvu moja, ubaya ubwela
@NestoryHenlico2 ай бұрын
Ni kweli au uongo tu simba nguvu moja ❤❤❤ 😅😢😮❤
@Filbert-i4m2 ай бұрын
Nawapenda sn hawa ma c.o Babra pamoja na huyu amani kajula aliyetuletea simba kuwa na platform nyingi🙏🙏🙏
@gastorsapula25832 ай бұрын
Bro Mimi nakukubali Sana unaongeaga vitu vya akili Sana Mzee baba
@Filbert-i4m2 ай бұрын
Kaka uko vzr Mungu akubariki 🙏🙏🙏
@ramseyking76942 ай бұрын
Nakukubali Frijibovu huna baya mwanangu!
@Sebastianmangenyi2 ай бұрын
Kaka uko vizuri sana keep on educating the community brother!!!
@ZainaYusuph-ix7vl2 ай бұрын
Welcome simba broo ❤❤❤
@florah-u9z2 ай бұрын
mchambuzi wang pendwa❤❤❤
@francisjuly57612 ай бұрын
Deal limefelii aisee daah 😢😢😢 Haji tena
@papaanel81602 ай бұрын
Nakukubali bro!
@makinyamigeto76212 ай бұрын
VP Kaka Simba ndo mech moja Tu pre season?
@makinyamigeto76212 ай бұрын
Pi kaka friji bovu unajua Kaka Simba watakup maua yako😅😂
@KulwaMartine2 ай бұрын
Karibu elia mpanzu
@JamesSweetbart2 ай бұрын
Bro uko vizuri
@jaydenbedas57292 ай бұрын
Habari za mpanzu ni kweliiii msimbaziiii
@iddiramadhan2 ай бұрын
Karibu Msimbazi mchezaji we2 🦁💪
@gervaskashegu19402 ай бұрын
Nakukubali mwamba
@KulwaMartine2 ай бұрын
Tunakuamini kaka kwa taarifa zako
@israelmunuo79382 ай бұрын
Friji bovu wewe ni mwamba kweli kweli mkuu na nimejenga Imani kwako na hujawahi kutuangusha 👊
@ImranSalum2 ай бұрын
Unachambuwa vizuri lakini acha nokupe mauwa yk.Ubaya ubwela.
@sirajubwango2 ай бұрын
Good kabsa
@YunusuYekonia2 ай бұрын
Tukimuon mpanzu apo rutakua na aman na tm yetu brother
@BennySisala2 ай бұрын
Nakukubari unajua
@zahranyasa93512 ай бұрын
Sisi tunaamini uongo wake we hujalazimishwa kuamini
@ramadhankilango90882 ай бұрын
Kibu sio wa sifa ya Simba tunayo ihitaji, ana sifa Moja tu ya kupambana Hana tageti Wala kontroo ya kutosha
@Filbert-i4m2 ай бұрын
Wambie kbs Nabi n kocha yule ni mwl kwl
@BallohoVicent2 ай бұрын
Usajili bora sana aixee
@SalumWazilly2 ай бұрын
Ivi jamni kweli au mana mnatuumiza moyo 😊
@halimalachpat19272 ай бұрын
Frige bovu wewe ni zaidi ya zaidi ❤❤🎉🎉
@KhalidIsacka-i2k2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@JoseHaule-tx7lu2 ай бұрын
Boss ni kweli mpanzu atatua unyamaniiiiiii
@FredrickShanguya2 ай бұрын
Karibu Elie Mpanzu Unyamani
@BakariHamisi-ke6zv2 ай бұрын
Yani kiukweli broo unaongeaga ukweli sana mana hili dili nilakweli
@modestusndunguru71832 ай бұрын
Nakubali unaongea point 👉😮
@mzeebabumzee2 ай бұрын
tuna mtaka ata kesho mpanzu ubaya ubwela paka ubingwa
@komboarts71102 ай бұрын
Namkubari sana friji bovu kwa uchambuzi
@MethodJohn-o5f2 ай бұрын
Tunata simba mpya❤
@joelmichael97522 ай бұрын
Frito bonus umechemsha,Elie ametangazwa huko Belgium,unaongea saaana lakini huna jipya..
@HusseinBakari-f8e2 ай бұрын
Ndio mana mm kibu sijawah kumkubari Kwanza amekaa mshamba mshamba alaf anatamaa muonekano wake tuu unaongea mm kibu sijawah kumkubari, anatumia mingivu nguvu tuu akili ya Mpira Hana,, kudribo Mpira kwake n kaz kama robot aaah aende tuu
@jumakiduka46252 ай бұрын
Kibu ameji dhalilisha , Bado ni mchezaji wetu na turanfungia miaka 2
@igweemsuto61412 ай бұрын
Unaakili nyingi sana brother unaongea vitu vyenye kueleweka na umesema ukweli simba huongozi auna meno upo sahihi
@gasparyeugene48552 ай бұрын
mtaua jaman
@GulackSotela2 ай бұрын
Dili la mpanzu kuja simba nigumu mno kwani anahitajika na team ya ubelgiji
@Abuumagela2 ай бұрын
Dili bado mpanzu anaenda Genk
@samwelygilyaofficial71602 ай бұрын
Upo dunia gani wewe genk ni lameki lawi
@bobsaid43242 ай бұрын
Bado dili la mpanzu halijakamilika
@PiusJordan2 ай бұрын
Kaka we mwamba
@castroydaimon31072 ай бұрын
Litakuwa jambo zuri likikamilika
@ramadhanmlaly40492 ай бұрын
Hili jamaaa linajua mpira
@ChristinaLazaro-oy4kb2 ай бұрын
Kibu asepe
@HARUNSIMON-hj6up2 ай бұрын
Simba pana tatizo masiku mengi imekuwa ikihsishwa na wachezaji wakbwa wazuri mwshowe inabaki speculation, bado nataka kuona timu inapata kocha atakaeinua vipaj vya wachezaj wa kitanzania ni kpnd tunatakiwa tjfnze kwa yanga wachezaji wa 3 pale nyuma ni wabongo, kwa nn tunawachia hawa makocha bila ya kutuimarishia wabongo
@juliussteven34402 ай бұрын
Huuu sio uongo kweli
@allyhuyu18922 ай бұрын
Wee jamaa unatamanisha Yani mpaka unatamani ngao ya jamii iwe kesho
@EDWARDJEROME2 ай бұрын
Nakupata
@adamlubawa12812 ай бұрын
Friji bovu muongo mpanzu haji simba Anaenda Yanga Vyanzo vyako ni vya uongo
@bahatimshali27312 ай бұрын
Hongereni, maana, kila mchezaji ni Yanga. Hata Kinzumbi mlisema anakuja kwenu. Msemaji wenu amesema rasta pia anakuja kwenu
@israelmunuo79382 ай бұрын
Huo ndiyo ukweli mkuu! Simba viongozi wamekosa MENO mkuu kuwabana wachezaji kisheria , (utovu wa nidhamu)
@PaschalChigwiye2 ай бұрын
Mwamba unajua
@saidymbagalla66222 ай бұрын
Leo frij limekufa kabisa mana umeongea utumbo utumbooo.....hasa kwenye swala Ceo wa Simba...yani ww umekariri kua ili mtu afanye vzr lazma atoke timu kubwa hapo umekunya
@makamekhamis-cu6qc2 ай бұрын
Mimi japokiwa atanidanganya firiji bovu Lakin wakati inanitajia Simba inanikosha Sanaa
@bahatimshali27312 ай бұрын
😂
@renatusblandes11312 ай бұрын
Hivi huyu huwa mnamwelewa?
@FanuelyChaula2 ай бұрын
IME hiyo
@davidgodfrey25102 ай бұрын
Mpanzu anaend Genk tuachie uongo
@SaidBudi-u9v2 ай бұрын
Namba 6 atakua nani ?
@josiacharles27782 ай бұрын
Kibu ni mchezaji mzawa, uyu mpanzu ni wakigeni, vipi atatoka badala yake?
@GeofreyLauliani2 ай бұрын
Nipo na ww braza
@JoseHaule-tx7lu2 ай бұрын
Kaka unatema madiniiiiiii vibaya munoo
@athumanidilunga77702 ай бұрын
Kibu anajiteke ya mwenyewe
@EzekieliAndrew2 ай бұрын
kibu sio kakimbia huko akajuwa ataikomoa simba kajikomoa mwenyewe
@piusalex65892 ай бұрын
Uongo mtupu jamaa mpanzu kaenda GENK
@NestoryHenlico2 ай бұрын
6:32
@homeafricaone2 ай бұрын
Liongo hili jamaa
@SalmaChamy-tg4bo2 ай бұрын
Vita ya panzi imani ya kunguru kwa hiyo sisi kama simba tumevuna faida kubwa sana I say
@DrNangwaIP_international2 ай бұрын
Mpanzu katua kweli?
@jilalamaligisa48542 ай бұрын
Huyu jamaa mbona anajua sana
@hockingsshangali17472 ай бұрын
friji bovu ni mbovu kweli. unaonyesha upande wako. jitahidi basi uwe msemaji na sio mchambuzi .usije kalia.
@PeterMuhina2 ай бұрын
Ubaya ubwelaaaa
@islamIbrahimmussa2 ай бұрын
Huyu jamaa ni mnafiki simba wamesema saa ngapi ndio maana ukaitw friji bovu si
@SifaKayaya2 ай бұрын
mambo sindo hayaa??
@nyanzaonlinetv27622 ай бұрын
Tank limejaa mafuta...dribing je
@HamisiRashidi-h5t2 ай бұрын
Mmmhh
@MichaelCharles-uo6rw2 ай бұрын
Uongooi
@MzaliwaLuis2 ай бұрын
Uongo Si mzuri, Wala wanasimba hawajaamini taarifa zako, binafsi sikupongezi kwa huongo wako. Hakikisheni mnatoa taarifa za ukweli na ss tunatumia pesa kama mnavyotafuta nanyie
@romanambelle63562 ай бұрын
Mbona Kama unaumia kimya kimya
@HamisiRashidi-h5t2 ай бұрын
Mmmmhhhhh
@OliverMalindi2 ай бұрын
Mnh m napita tuuu
@FadhiliKato2 ай бұрын
Blog za kisenge kama hiz haziwez kufika mbali mbwa nyie😅