ELIE MPANZU ATANGAZWA RASMI SIMBA | HUYU NI MASHINE YA MASHINE

  Рет қаралды 145,749

MATOLE TV

MATOLE TV

Күн бұрын

Пікірлер: 118
@LaiteteiSagarai
@LaiteteiSagarai 2 ай бұрын
Jamaaa uko vizuri ubashiri wako huwa unaleta maana sana uko guuuuuuuud niite losieki memirieki
@ShambunatGhullam
@ShambunatGhullam 2 ай бұрын
Aje ata asaivi tunamuhitaji sana sana saaana ubaya ubwela
@RashidiJuma-p4z
@RashidiJuma-p4z 2 ай бұрын
Karibu San simba Elia mpanzu
@KhalidIsacka-i2k
@KhalidIsacka-i2k 2 ай бұрын
Vp kuusu mpanzuuuuuuuuuuuu❤❤❤❤
@NestoryHenlico
@NestoryHenlico 2 ай бұрын
Ni kweli au uongo tu simba nguvu moja ❤❤❤
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 2 ай бұрын
Karibu sana Mpanzu au tuseme (your most welcome)
@SAIDSALUM1981
@SAIDSALUM1981 2 ай бұрын
Upo vizuri sana friji bovu kwa uchambuzi mzuri sana
@SamwelOtieno-ky3nh
@SamwelOtieno-ky3nh 2 ай бұрын
Vipi mpanzu dili done au vip
@InnocentNyanga
@InnocentNyanga 2 ай бұрын
Jamaa nimekuelewa na naendelea kukuelewa, tusilete siasa kwenye mpira wa miguu, ilianzia kwa Fei Toto na Leo ndo Iko kwa Kibu Mzee.
@RolethaRevelian
@RolethaRevelian 2 ай бұрын
Kaka friji bov uko sawa kabisa wachezaji wanaleta upuuz wanatukwaza saana siyo powa ziwekwe kanuni na Sheria za kuwabana wafate utaratibu wa kishelia.
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 ай бұрын
Zipo sheria na kanuni zipo mfano ulimwona fei Toto bila mama rais wa nchi kuingilia lile swala aiseee lingemsumbua sn fei Sasa sahiz kibu atanyooshwa hawez kucheza popote DUNIANI bila Simba kutoa release letter
@MeshackMlyanginu
@MeshackMlyanginu 2 ай бұрын
Welcome Elie mpanzu, simba nguvu moja, ubaya ubwela
@NestoryHenlico
@NestoryHenlico 2 ай бұрын
Ni kweli au uongo tu simba nguvu moja ❤❤❤ 😅😢😮❤
@Filbert-i4m
@Filbert-i4m 2 ай бұрын
Nawapenda sn hawa ma c.o Babra pamoja na huyu amani kajula aliyetuletea simba kuwa na platform nyingi🙏🙏🙏
@gastorsapula2583
@gastorsapula2583 2 ай бұрын
Bro Mimi nakukubali Sana unaongeaga vitu vya akili Sana Mzee baba
@Filbert-i4m
@Filbert-i4m 2 ай бұрын
Kaka uko vzr Mungu akubariki 🙏🙏🙏
@ramseyking7694
@ramseyking7694 2 ай бұрын
Nakukubali Frijibovu huna baya mwanangu!
@Sebastianmangenyi
@Sebastianmangenyi 2 ай бұрын
Kaka uko vizuri sana keep on educating the community brother!!!
@ZainaYusuph-ix7vl
@ZainaYusuph-ix7vl 2 ай бұрын
Welcome simba broo ❤❤❤
@florah-u9z
@florah-u9z 2 ай бұрын
mchambuzi wang pendwa❤❤❤
@francisjuly5761
@francisjuly5761 2 ай бұрын
Deal limefelii aisee daah 😢😢😢 Haji tena
@papaanel8160
@papaanel8160 2 ай бұрын
Nakukubali bro!
@makinyamigeto7621
@makinyamigeto7621 2 ай бұрын
VP Kaka Simba ndo mech moja Tu pre season?
@makinyamigeto7621
@makinyamigeto7621 2 ай бұрын
Pi kaka friji bovu unajua Kaka Simba watakup maua yako😅😂
@KulwaMartine
@KulwaMartine 2 ай бұрын
Karibu elia mpanzu
@JamesSweetbart
@JamesSweetbart 2 ай бұрын
Bro uko vizuri
@jaydenbedas5729
@jaydenbedas5729 2 ай бұрын
Habari za mpanzu ni kweliiii msimbaziiii
@iddiramadhan
@iddiramadhan 2 ай бұрын
Karibu Msimbazi mchezaji we2 🦁💪
@gervaskashegu1940
@gervaskashegu1940 2 ай бұрын
Nakukubali mwamba
@KulwaMartine
@KulwaMartine 2 ай бұрын
Tunakuamini kaka kwa taarifa zako
@israelmunuo7938
@israelmunuo7938 2 ай бұрын
Friji bovu wewe ni mwamba kweli kweli mkuu na nimejenga Imani kwako na hujawahi kutuangusha 👊
@ImranSalum
@ImranSalum 2 ай бұрын
Unachambuwa vizuri lakini acha nokupe mauwa yk.Ubaya ubwela.
@sirajubwango
@sirajubwango 2 ай бұрын
Good kabsa
@YunusuYekonia
@YunusuYekonia 2 ай бұрын
Tukimuon mpanzu apo rutakua na aman na tm yetu brother
@BennySisala
@BennySisala 2 ай бұрын
Nakukubari unajua
@zahranyasa9351
@zahranyasa9351 2 ай бұрын
Sisi tunaamini uongo wake we hujalazimishwa kuamini
@ramadhankilango9088
@ramadhankilango9088 2 ай бұрын
Kibu sio wa sifa ya Simba tunayo ihitaji, ana sifa Moja tu ya kupambana Hana tageti Wala kontroo ya kutosha
@Filbert-i4m
@Filbert-i4m 2 ай бұрын
Wambie kbs Nabi n kocha yule ni mwl kwl
@BallohoVicent
@BallohoVicent 2 ай бұрын
Usajili bora sana aixee
@SalumWazilly
@SalumWazilly 2 ай бұрын
Ivi jamni kweli au mana mnatuumiza moyo 😊
@halimalachpat1927
@halimalachpat1927 2 ай бұрын
Frige bovu wewe ni zaidi ya zaidi ❤❤🎉🎉
@KhalidIsacka-i2k
@KhalidIsacka-i2k 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 ай бұрын
Boss ni kweli mpanzu atatua unyamaniiiiiii
@FredrickShanguya
@FredrickShanguya 2 ай бұрын
Karibu Elie Mpanzu Unyamani
@BakariHamisi-ke6zv
@BakariHamisi-ke6zv 2 ай бұрын
Yani kiukweli broo unaongeaga ukweli sana mana hili dili nilakweli
@modestusndunguru7183
@modestusndunguru7183 2 ай бұрын
Nakubali unaongea point 👉😮
@mzeebabumzee
@mzeebabumzee 2 ай бұрын
tuna mtaka ata kesho mpanzu ubaya ubwela paka ubingwa
@komboarts7110
@komboarts7110 2 ай бұрын
Namkubari sana friji bovu kwa uchambuzi
@MethodJohn-o5f
@MethodJohn-o5f 2 ай бұрын
Tunata simba mpya❤
@joelmichael9752
@joelmichael9752 2 ай бұрын
Frito bonus umechemsha,Elie ametangazwa huko Belgium,unaongea saaana lakini huna jipya..
@HusseinBakari-f8e
@HusseinBakari-f8e 2 ай бұрын
Ndio mana mm kibu sijawah kumkubari Kwanza amekaa mshamba mshamba alaf anatamaa muonekano wake tuu unaongea mm kibu sijawah kumkubari, anatumia mingivu nguvu tuu akili ya Mpira Hana,, kudribo Mpira kwake n kaz kama robot aaah aende tuu
@jumakiduka4625
@jumakiduka4625 2 ай бұрын
Kibu ameji dhalilisha , Bado ni mchezaji wetu na turanfungia miaka 2
@igweemsuto6141
@igweemsuto6141 2 ай бұрын
Unaakili nyingi sana brother unaongea vitu vyenye kueleweka na umesema ukweli simba huongozi auna meno upo sahihi
@gasparyeugene4855
@gasparyeugene4855 2 ай бұрын
mtaua jaman
@GulackSotela
@GulackSotela 2 ай бұрын
Dili la mpanzu kuja simba nigumu mno kwani anahitajika na team ya ubelgiji
@Abuumagela
@Abuumagela 2 ай бұрын
Dili bado mpanzu anaenda Genk
@samwelygilyaofficial7160
@samwelygilyaofficial7160 2 ай бұрын
Upo dunia gani wewe genk ni lameki lawi
@bobsaid4324
@bobsaid4324 2 ай бұрын
Bado dili la mpanzu halijakamilika
@PiusJordan
@PiusJordan 2 ай бұрын
Kaka we mwamba
@castroydaimon3107
@castroydaimon3107 2 ай бұрын
Litakuwa jambo zuri likikamilika
@ramadhanmlaly4049
@ramadhanmlaly4049 2 ай бұрын
Hili jamaaa linajua mpira
@ChristinaLazaro-oy4kb
@ChristinaLazaro-oy4kb 2 ай бұрын
Kibu asepe
@HARUNSIMON-hj6up
@HARUNSIMON-hj6up 2 ай бұрын
Simba pana tatizo masiku mengi imekuwa ikihsishwa na wachezaji wakbwa wazuri mwshowe inabaki speculation, bado nataka kuona timu inapata kocha atakaeinua vipaj vya wachezaj wa kitanzania ni kpnd tunatakiwa tjfnze kwa yanga wachezaji wa 3 pale nyuma ni wabongo, kwa nn tunawachia hawa makocha bila ya kutuimarishia wabongo
@juliussteven3440
@juliussteven3440 2 ай бұрын
Huuu sio uongo kweli
@allyhuyu1892
@allyhuyu1892 2 ай бұрын
Wee jamaa unatamanisha Yani mpaka unatamani ngao ya jamii iwe kesho
@EDWARDJEROME
@EDWARDJEROME 2 ай бұрын
Nakupata
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 2 ай бұрын
Friji bovu muongo mpanzu haji simba Anaenda Yanga Vyanzo vyako ni vya uongo
@bahatimshali2731
@bahatimshali2731 2 ай бұрын
Hongereni, maana, kila mchezaji ni Yanga. Hata Kinzumbi mlisema anakuja kwenu. Msemaji wenu amesema rasta pia anakuja kwenu
@israelmunuo7938
@israelmunuo7938 2 ай бұрын
Huo ndiyo ukweli mkuu! Simba viongozi wamekosa MENO mkuu kuwabana wachezaji kisheria , (utovu wa nidhamu)
@PaschalChigwiye
@PaschalChigwiye 2 ай бұрын
Mwamba unajua
@saidymbagalla6622
@saidymbagalla6622 2 ай бұрын
Leo frij limekufa kabisa mana umeongea utumbo utumbooo.....hasa kwenye swala Ceo wa Simba...yani ww umekariri kua ili mtu afanye vzr lazma atoke timu kubwa hapo umekunya
@makamekhamis-cu6qc
@makamekhamis-cu6qc 2 ай бұрын
Mimi japokiwa atanidanganya firiji bovu Lakin wakati inanitajia Simba inanikosha Sanaa
@bahatimshali2731
@bahatimshali2731 2 ай бұрын
😂
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 2 ай бұрын
Hivi huyu huwa mnamwelewa?
@FanuelyChaula
@FanuelyChaula 2 ай бұрын
IME hiyo
@davidgodfrey2510
@davidgodfrey2510 2 ай бұрын
Mpanzu anaend Genk tuachie uongo
@SaidBudi-u9v
@SaidBudi-u9v 2 ай бұрын
Namba 6 atakua nani ?
@josiacharles2778
@josiacharles2778 2 ай бұрын
Kibu ni mchezaji mzawa, uyu mpanzu ni wakigeni, vipi atatoka badala yake?
@GeofreyLauliani
@GeofreyLauliani 2 ай бұрын
Nipo na ww braza
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 ай бұрын
Kaka unatema madiniiiiiii vibaya munoo
@athumanidilunga7770
@athumanidilunga7770 2 ай бұрын
Kibu anajiteke ya mwenyewe
@EzekieliAndrew
@EzekieliAndrew 2 ай бұрын
kibu sio kakimbia huko akajuwa ataikomoa simba kajikomoa mwenyewe
@piusalex6589
@piusalex6589 2 ай бұрын
Uongo mtupu jamaa mpanzu kaenda GENK
@NestoryHenlico
@NestoryHenlico 2 ай бұрын
6:32
@homeafricaone
@homeafricaone 2 ай бұрын
Liongo hili jamaa
@SalmaChamy-tg4bo
@SalmaChamy-tg4bo 2 ай бұрын
Vita ya panzi imani ya kunguru kwa hiyo sisi kama simba tumevuna faida kubwa sana I say
@DrNangwaIP_international
@DrNangwaIP_international 2 ай бұрын
Mpanzu katua kweli?
@jilalamaligisa4854
@jilalamaligisa4854 2 ай бұрын
Huyu jamaa mbona anajua sana
@hockingsshangali1747
@hockingsshangali1747 2 ай бұрын
friji bovu ni mbovu kweli. unaonyesha upande wako. jitahidi basi uwe msemaji na sio mchambuzi .usije kalia.
@PeterMuhina
@PeterMuhina 2 ай бұрын
Ubaya ubwelaaaa
@islamIbrahimmussa
@islamIbrahimmussa 2 ай бұрын
Huyu jamaa ni mnafiki simba wamesema saa ngapi ndio maana ukaitw friji bovu si
@SifaKayaya
@SifaKayaya 2 ай бұрын
mambo sindo hayaa??
@nyanzaonlinetv2762
@nyanzaonlinetv2762 2 ай бұрын
Tank limejaa mafuta...dribing je
@HamisiRashidi-h5t
@HamisiRashidi-h5t 2 ай бұрын
Mmmhh
@MichaelCharles-uo6rw
@MichaelCharles-uo6rw 2 ай бұрын
Uongooi
@MzaliwaLuis
@MzaliwaLuis 2 ай бұрын
Uongo Si mzuri, Wala wanasimba hawajaamini taarifa zako, binafsi sikupongezi kwa huongo wako. Hakikisheni mnatoa taarifa za ukweli na ss tunatumia pesa kama mnavyotafuta nanyie
@romanambelle6356
@romanambelle6356 2 ай бұрын
Mbona Kama unaumia kimya kimya
@HamisiRashidi-h5t
@HamisiRashidi-h5t 2 ай бұрын
Mmmmhhhhh
@OliverMalindi
@OliverMalindi 2 ай бұрын
Mnh m napita tuuu
@FadhiliKato
@FadhiliKato 2 ай бұрын
Blog za kisenge kama hiz haziwez kufika mbali mbwa nyie😅
@saidsalum6101
@saidsalum6101 2 ай бұрын
Kweli umeongea kitaalam sana mkuu safi
@GodfreyDaud-jv2qc
@GodfreyDaud-jv2qc 2 ай бұрын
Mpanzu yupo ubeligiji
@duaelly2206
@duaelly2206 2 ай бұрын
Nipo video ya mpanzu akiwa ubeligiji
@NestoryHenlico
@NestoryHenlico 2 ай бұрын
Hapo tumelamba dume mnyama lazima aungulume
@jacksonmsalenge
@jacksonmsalenge 2 ай бұрын
Acheni uongo mpanzu kaetekea uraya nivp unatudanganya vp wewe??
@AdicoRashidi
@AdicoRashidi 2 ай бұрын
Huyu jamaa muongo sn sijui ht hizo habar anazit wap acha ywongo
@emmanueljihulya1533
@emmanueljihulya1533 2 ай бұрын
Namba ya mchambuzi nimtumie vocha
UCHAMBUZI: JUSTIN KESSY | KUWAKOSA HAWA NI PIGO YANGA
13:04
MATOLE TV
Рет қаралды 3,9 М.
GB 64 KWA HASIRA AMVAA MCHOME, ANASEMA SINA AKILI?
20:24
Ngwale Sports HD
Рет қаралды 74 М.
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 7 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
ALICHOSEMA AHMED ALI MSEMAJI WA SIMBA SC
11:19
DUNIALEO
Рет қаралды 5 М.
MASAI APAGAWA NA P DIDY | ETI WASANII TUNATESEKA SANA
18:02
MATOLE TV
Рет қаралды 3,3 М.
ELIE MPANZU
10:23
Evrard Zady
Рет қаралды 18 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /50/ #love
23:19
BabaJoan
Рет қаралды 110 М.
UTACHEKA UFE MAHABA YA CLAM MBELE YA ZUCHU, APEWA ONYO ZITO
14:26
Mbengo Tv
Рет қаралды 1,5 МЛН
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36