Рет қаралды 33,981
Simba Pro tunakuletea uchambuzi wa kiufundi baina ya wachezaji wawili Serge Pokou anaecheza Asec Mimosas pamoja na Elie Mpanzu anaekipiga Katika kikosi cha AS Vita Club,
Kupitia tathmini hii utapata nafasi ya kujua nani bora zaidi na anaefaa kujiunga na Simba kuelekea msimu ujao
Kwa wale wenye kuhitaji kujiunga na Group letu la Simba Pro tuma ujumbe kwa namba 0626629644 ili uweze kujumuishwa na wanasimba wengine katika group letu