Barikiwa sana Mchg Silvanus, hakika tunajua Yesu anatuwazia mema hata tuliojikatia tamaa, asante sana kwa ushuda wa kujichonga upya, somo limeeleweka kwa kishindo ndani ya mioyo yetu, Yesu akuimarishe mwana wa Mungu
@anjelalyamboko740Ай бұрын
Amen ,ubarikiwe mtumishi wa Mungu, hakika sitakata tamaa maana yup Mungu anayeniwazia mema
@ThomasNgelata-sd5hk2 ай бұрын
Matunda ya Eliyona Kimaro . Hongera sana mchungaji Eliyona Kimaro . Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@casillascicero7944Ай бұрын
They sing so well, "sisi ni Mitume" naombeni mtuimbie huo wimbo wakati ukiruhusu
@GetruderMfinanga9 күн бұрын
Mungu akubariki sana. na hongera kwa ushindi.
@jerubetjoan202 ай бұрын
This man of God will change many lives, watu wengi watabadilika kupitia yeye.
@naturelle1097Ай бұрын
Amen❤
@stansiauisso54412 ай бұрын
Mungu naomba faraja kutoka kwako hakika sitokata tamaa
@gladnesskwayu52922 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji kwa mafundisho mazuri na yatakayojenga familia zetu.
@heavenmramu70762 ай бұрын
Hongera sana Baba Mchungji Kimaro.Matunda yanaonekana.Mungu abariki sana
@naturelle1097Ай бұрын
Glory be to God❤❤❤❤
@GetruderMfinanga2 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@joycemsirikale59852 ай бұрын
Si mhako ninkwa mbonea du🙏
@flaviajudy22762 ай бұрын
Wow Pastor Silvanus sp blessed by every word you have spoken, may God build am hedge of protection around you...the kingdom of Dark has lost badly and to God be all the Glory and Honour..
@miriammbwambo-cr4jn2 ай бұрын
Mungu aliye kuvusha ktk jangwa la uharibifu azidi kukutunza 🙏🙏🙏mchungaji silvenus msuya naamin kwenye kuanguka kunakuinuka Tena Amina🙏
@ElizaEmanueli-w1x2 ай бұрын
Amen 🙏
@estachengula39022 ай бұрын
Asante mungu kwa wema wakoni muujiza mkubwa sana
@flaviajudy22762 ай бұрын
Niko na ombi moja Dr kimaro be bringing pastor silvanus more often.. Morr anointing andorr Grace Sir.
@julianaedward41902 ай бұрын
Amina mtumishi wa Bwana Mungu Wa mbinguni akutunze daima
@fadhilazahorokiswanya20692 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@GuwayaPaul2 ай бұрын
Amen hakika mungu anayaweza mambo yote jina la bwan litukunzwee
@SusanNassoro2 ай бұрын
Hakika acha Mungu aitwe Mungu Barikiwa mtumishi wa Mungu.
@kessiae23782 ай бұрын
I connect with the words of God
@Naliakatv-t9s2 ай бұрын
Powerful testimony man of God
@EmmanuelNziba2 ай бұрын
hakika bwana huinua watu
@TimothyMeshuda2 ай бұрын
Mungu awabariki sana
@ThomasNgelata-sd5hk2 ай бұрын
Amen amen 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@annamaimu40692 ай бұрын
Anna Godwin KWA Mungu yote yanawezekana . Nimepokea kwa Imani Uponyaji ktk jina la Yesu Kristo . Naamini kuna siku anayoijua Mungu yote yanawezekana