REV. DR. ELIONA KIMARO: UNA KITU GANI MKONONI MWAKO?

  Рет қаралды 110,568

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Күн бұрын

IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU : 02/10/2022
KICHWA CHA SOMO: UNA KITU GANI
MKONONI MWAKO?
"WHAT'S IN YOUR HAND"
Kutoka 4 : 1 - 5
2 Wafalme 4 : 1 - 7

Kutoka 4 : 1 - 5
1 Musa akajibu akasema, Lakini, tazama, hawataniamini, wala hawataisikia sauti yangu; maana watasema, Bwana hakukutokea.
2 Bwana akamwambia, Ni nini hiyo uliyo nayo mkononi mwako? Akasema, Ni fimbo.
3 Akamwambia, Itupe chini; akaitupa chini, nayo ikawa nyoka; Musa akakimbia mbele yake.
4 Bwana akamwambia Musa, Nyosha mkono wako, kamshike mkia; (akaunyosha mkono wake akamshika, naye akageuka kuwa fimbo mkononi mwake;)
5 ili kwamba wapate kusadiki ya kwamba Bwana, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amekutokea.
2 Wafalme 4 : 1 - 7
1 Basi, mwanamke mmoja miongoni mwa wake za wana wa manabii alimlilia Elisha, akasema, Mtumishi wako mume wangu amekufa; nawe unajua ya kuwa mtumishi wako alikuwa mcha Bwana; na aliyemwia amekuja ili ajitwalie wana wangu wawili kuwa watumwa.
2 Elisha akamwambia, Nikufanyie nini? Niambie; una kitu gani nyumbani? Akasema, Mimi mjakazi wako sina kitu nyumbani, ila chupa ya mafuta.
3 Akasema, Nenda, ukatake vyombo huko nje kwa jirani zako wote, vyombo vitupu; wala usitake vichache.
4 Kisha uingie ndani, ukajifungie mlango wewe na wanao, ukavimiminie mafuta vyombo vile vyote; navyo vilivyojaa ukavitenge.
5 Basi akamwacha, akajifungia mlango yeye na wanawe; hao wakamletea vile vyombo, na yeye akamimina.
6 Ikawa, vilipokwisha kujaa vile vyombo, akamwambia mwanawe, Niletee tena chombo. Akamwambia, Hakuna tena chombo. Mafuta yakakoma.
7 Ndipo akaja akamwambia yule mtu wa Mungu. Naye akasema, Enenda ukayauze mafuta haya, uilipe deni yako; nayo yaliyosalia uyatumie wewe na watoto wako.

Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maoni na ushauri:
Mch. kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Email: rev.kimaroe1@gmail.com

Пікірлер: 94
@StellaWafula-z1i
@StellaWafula-z1i 6 ай бұрын
Watching from kenya mchungaji strong message lazma upitie magumu ndiposa upate ushuhuda i gonna fire the world again🔥🔥🔥🔥🔥Ameeeeeen you have made my day plz ni kanisa gani hili kanisa la neno lililo hai
@neema5650
@neema5650 Жыл бұрын
Mimi ni mkenya,mchungaji unanijenga kila uchao,baraka za mwenyezi mungu zikuandame kila wakati
@ecreativebye.mrindoko1482
@ecreativebye.mrindoko1482 2 жыл бұрын
Somo hili limenifundisha kitu cha muhimu sana na kunibariki🙏. Asante Baba Mchungaji, Mungu azidi kukubariki.
@kainibachungege3430
@kainibachungege3430 2 жыл бұрын
Dr Kimaro Tunashukuru Sana Kwa Kuifundisha Tanzania kuhusu onjili iliyo ya kweli. Mungu Aeendelee Kukutumia Mtumishi wa Mungu Kwa Ajili ya Taifa la Mungu la TanAnua. Runajivunia utume wako. Mungu Aeendelee Kukuongoza, Kukulinda, na Kukubariki ili tuendelee Kubarikiwa. Ameni.
@jacqnlyimo8454
@jacqnlyimo8454 2 жыл бұрын
Nabarikiwa sana nawe Mtumishi wa Mungu, Nikiwa mjamzito nilipita magumu sana, mahubiri yako yaliniponya na kunifariji, nilijifungua mtoto wa kiume na nimemwita ELIONA, nikipata Kibali nitakuja Kijitonyama kushuhudia. Ubarikiwe.
@barakamganga1467
@barakamganga1467 Жыл бұрын
Barikiwa sana baba mchungaji
@anethkitambi3140
@anethkitambi3140 Жыл бұрын
Mungu Yu mwema sana
@RosehappyMtei
@RosehappyMtei 5 ай бұрын
Amen, nimebarikiwa sana na neno. Mungu azidi kukubariki mchungani.
@simonrwakayango1411
@simonrwakayango1411 3 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki dr.kimaro nabarikiwa sana, natamani sana uwe kiongozi wa chi hii
@ookomartha2399
@ookomartha2399 Жыл бұрын
I Gonna fire the world again. AMEN AMEN AMEN God bless you Rev. Inspiration msg.
@annamasalu981
@annamasalu981 4 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Kimaro.Homilia zako hazichakai.Kila siku zipo hai.
@esthermlinga2082
@esthermlinga2082 2 ай бұрын
Mungu nakushuku kwa sauti yoko kupia mtumishi wako
@danielmille5443
@danielmille5443 4 ай бұрын
Mungu azid kukupa maisha marefu hapa dunian mtumsh wa mungu
@perpetuampita5018
@perpetuampita5018 2 жыл бұрын
Oh I'm gonna fire the world again!!!
@MugholeAnnemarie
@MugholeAnnemarie 6 ай бұрын
Ninaliya mutumishi wetu, Sammy Mumbesa😢😢😢 Covid ilisha tiya kidonda mu roho
@OkuliMushi
@OkuliMushi 10 ай бұрын
Nabarikiwa sana na mahubiri yako Mungu akupe miaka mingi duniani
@jacklinemoshi1489
@jacklinemoshi1489 2 жыл бұрын
Amen 🙏 Mwenyezi Mungu akubariki baba mchungaji ,Mungu naomba univushe 🙏
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 Жыл бұрын
POWERFUL SERMON hard time created a strong person. OMG BLESSES TO DR.ELIONA KIMARO. I ADORE ALL HIS TEACHING TECHNIC! LIKE U!.
@dennomtotowasarah1519
@dennomtotowasarah1519 2 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Rev. Eliona Kimaro
@janemwakasege6460
@janemwakasege6460 Жыл бұрын
Mungu aniwezeshe kufanikiwa kupitia Madhabahu hiii
@enjoybenjamini4713
@enjoybenjamini4713 2 жыл бұрын
Mungu asinyamanze hata siku moja, mafundisho yako yamenivusha pakubwa Sana. Barikiwa Baba
@makeupbymauwa8505
@makeupbymauwa8505 7 ай бұрын
Mungu akubariki na mahubiri yako .ninatatizo ya kaka yangu kupiga mke kila wakati na kuoa sana .
@veraikundansuri66
@veraikundansuri66 2 жыл бұрын
Mtumishi MUNGU AKUBARIKI Sana kwa mafundisho mazuri MUNGU atusaidie tuipende nchi yetu na kuiombea.
@MarthaAminiel
@MarthaAminiel 11 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaj nabarikiwa sana na mafundisho yako
@everlinekemunto267
@everlinekemunto267 2 жыл бұрын
Amen, ahsante kwa neno mtu wa Mungu, ubarikiwe, ni ukweli baba huku saudi hatusikii taste ya food, samaki ni kama kiziki cha mti kilio osa,potatoes ni mbaya waja tu,lakini Mungu ni mwaminifu miaka 2 na miezi 10.
@MugholeAnnemarie
@MugholeAnnemarie 6 ай бұрын
Asante sana kwa somo mtumishi wa Mungu nime barikiwa sana🎉🎉🎉
@mwitamariba1152
@mwitamariba1152 2 жыл бұрын
Much blessed with this message . Watching from Meru Kenya. It has met my point of need.
@janemwakasege6460
@janemwakasege6460 Жыл бұрын
Na Mahubiri haya hakika Mungu atafanya
@salomemchaki3354
@salomemchaki3354 Жыл бұрын
Namdhukuru mchungaji kunikumbusha Kuna nilicho nacha amen
@simonmasai870
@simonmasai870 3 ай бұрын
Kazi njema mtumishi wa mungu
@yakobomutoko5449
@yakobomutoko5449 Жыл бұрын
Asante kwa ujumbe wa uvivio mungu akunzr daima
@maryngonyani4961
@maryngonyani4961 7 ай бұрын
Asante baba mchungaji mungu akubariki
@richardhenry5463
@richardhenry5463 2 жыл бұрын
Hakika ni kwa neema ya mungu,tumetabasamu tena,nakutakia likizo njema utuombee, mchungaji,mungu akubariki
@marymunene7229
@marymunene7229 2 жыл бұрын
Rev is such a blessing to today's reality. What do l have in my hands!
@juddyndungu8673
@juddyndungu8673 2 жыл бұрын
Am really blessed by the preaching.
@monicamasawe1086
@monicamasawe1086 2 жыл бұрын
Mçhungaji Leo umenifundisha Somo zuri ubarikiwe sana
@agneslobulu7864
@agneslobulu7864 Жыл бұрын
Mchungaji Mungu akutunze akuinue zaidi
@hubertmwemezi8426
@hubertmwemezi8426 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukubariki Mchungaji 🙏🙏
@gloriatimba
@gloriatimba Жыл бұрын
Amen Rev.Dr.Kimaro mahuburi na mafundisho yako yamefanyika baraka sana kwny maisha yang nazid kubarikiwa siku baada ya siku Mungu azid kukutunza
@yakobomutoko5449
@yakobomutoko5449 Жыл бұрын
Am blessed with the message by mchungaji eliona
@lolamsoka2335
@lolamsoka2335 Жыл бұрын
God, have mercy on me, giving me wisdom to use what l have in my hands. God help me.God fill me with excellent brain like that of my Lord Jesus to see clearly and know how to start using what l have to progress 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Thank you, Jesus.
@ombenmoto227
@ombenmoto227 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mung
@verenaisskimambo5783
@verenaisskimambo5783 2 жыл бұрын
Asante mchungaji sisi tunaishi ni kwa neema yake mwenyezi mungu
@neemanshiga1843
@neemanshiga1843 Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
@godfreykatunzi9680
@godfreykatunzi9680 2 жыл бұрын
Barikiwa saana Mtumishi Wakweri
@marykarothi7452
@marykarothi7452 2 жыл бұрын
Asante baba mchungaji! Nasikia kubarikiwa sana nikiwa kenya, taveta.
@lukakimati4433
@lukakimati4433 2 жыл бұрын
Amina baba kimaro
@halidekamwela
@halidekamwela Жыл бұрын
Ahsante sana
@johnkidibule-ln7de
@johnkidibule-ln7de Жыл бұрын
Glory to God Father
@MgogoOnline
@MgogoOnline 2 жыл бұрын
Amen nabarikiwa na neno
@lolamsoka2335
@lolamsoka2335 Жыл бұрын
Praise Lord Jesus Amen.
@assumptamassoi4134
@assumptamassoi4134 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kukubariki Baba Mchungaji kwa kuendelea kutubariki kupitia neno la Mungu kila uchao.🙏🙏
@makeupbymauwa8505
@makeupbymauwa8505 7 ай бұрын
Mahubiri mengi yako ninavyo isikiya je wewe ni agrikani au catholic lakini ulitoka Islam.
@kenethfredrick997
@kenethfredrick997 Жыл бұрын
Be Blessed Rev. Eliona Kimaro
@agnessshahanga8738
@agnessshahanga8738 2 жыл бұрын
Baba Mungu akubariki Sanaa
@rachelmacha3725
@rachelmacha3725 Жыл бұрын
Kweli mafundishi ni mazuri kiroho na kiuchumi Mungu tusaidie
@elichiliameela3204
@elichiliameela3204 9 ай бұрын
Amen
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 Жыл бұрын
I'm fire the world again! BARIKIWA BABA KUHANI Dr ELIONA KIMARO. Wewe ni jembe LETU KUBWA unayetufundisha yote kwa MOYO mkuu kusudi sote kumjua MUNGU na kumcha na tubarikiwre
@hamisibanju6151
@hamisibanju6151 Жыл бұрын
AMINA MCHUNGAJI KIMARO FROM KILIFI KENYA
@MugholeAnnemarie
@MugholeAnnemarie 6 ай бұрын
Amina🎉🎉🎉
@mary3714-hss
@mary3714-hss 2 жыл бұрын
I'm gonna 🔥 the world again
@lolamsoka2335
@lolamsoka2335 Жыл бұрын
🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 Amen.
@janemyinga2575
@janemyinga2575 Жыл бұрын
Ameeen
@jamillahsengo3966
@jamillahsengo3966 Жыл бұрын
Karama yake itakuzwa zaidi.Anacho kisema ni sauti ya Mungu.
@juddyndungu8673
@juddyndungu8673 2 жыл бұрын
Amen 🙏. Mungu azidi kukuinua.
@mary3714-hss
@mary3714-hss 2 жыл бұрын
I'm gonna 🔥
@eliasimuro3920
@eliasimuro3920 2 жыл бұрын
Amin
@yakobomutoko5449
@yakobomutoko5449 Жыл бұрын
Niombe igonna fire the world again mchungaji ni mchungaji yakobo nahitaji upako wa roho mtakatifu Ninna kitu mkonono mwangu
@danielmsagati8745
@danielmsagati8745 2 жыл бұрын
I gonna fire the world again in Jesus name. Amen
@CharlesOnetu
@CharlesOnetu Ай бұрын
Siyo unafaa tu kuwa kiongozi wa kiroho! Wastahili kuketi Ikulu" Hakika Bwana yu mbele yako""
@jackiemaggy2484
@jackiemaggy2484 2 жыл бұрын
Ameeeeeeeen
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 Жыл бұрын
I GONNA FIRETHE WORKD AGAIN. AMEN
@danielkipeta2355
@danielkipeta2355 2 жыл бұрын
Wewe nimwanauchumi ambae serikali ikikusikiliza nchi inaweza ikapaa kama mushare. Kwanza serikali haiko kwenye kilimo. Ingenunua ndege zamizigo na tungelima mboga matunda natungeirisha Dunia kwakweli
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 жыл бұрын
Amen🙏
@esthermodestus7649
@esthermodestus7649 2 жыл бұрын
Ameeen
@joymumo6628
@joymumo6628 Жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪👩🏾‍🏫
@mercykoech1487
@mercykoech1487 2 жыл бұрын
I gonna fire the world
@esthermodestus7649
@esthermodestus7649 2 жыл бұрын
Ameen
@francismtunda4030
@francismtunda4030 2 жыл бұрын
p
@francismtunda4030
@francismtunda4030 2 жыл бұрын
pppppopp
@francismtunda4030
@francismtunda4030 2 жыл бұрын
pop
@jeremiaisowe4443
@jeremiaisowe4443 2 ай бұрын
Ufunuo 3:11
@lilianaswani5440
@lilianaswani5440 2 жыл бұрын
Ni ukweli niko uku,watu ni wengi sana lakini awatembei mchana ,na chakula chetu ni mchele na mikate mikavu ,kila siku,ni neema tu tulio nayo
@annamulungu2876
@annamulungu2876 Жыл бұрын
Wapi huko mkuu
@AnofLazaro-gf5qy
@AnofLazaro-gf5qy Жыл бұрын
Q
@jichofoundationtv6893
@jichofoundationtv6893 4 ай бұрын
Amen
@stevenkisusi5973
@stevenkisusi5973 2 жыл бұрын
Amen
@janemwakasege6460
@janemwakasege6460 Жыл бұрын
Amen
@goliathmwalongo8938
@goliathmwalongo8938 2 жыл бұрын
Amen
@elliemamboy2555
@elliemamboy2555 2 жыл бұрын
Amina baba mchungaji Mungu akubariki sana
@ziadamwansekwe1041
@ziadamwansekwe1041 Жыл бұрын
Amen
@marthajohn6020
@marthajohn6020 Жыл бұрын
Amen baba barikiwa sana
REV. DR. ELIONA KIMARO: SADAKA NA NADHIRI, KUZUILIA
1:29:28
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 10 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: IMANI NA SOKO
1:55:37
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 28 М.
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 12 МЛН
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,8 МЛН
TENGENEZA URAFIKI NA WATU WENYE AKILI WATAKUJA KUKUSAIDIA BAADAE "PASTOR MGOGO
50:27
Ombeni Nanyi Mtapewa | Heaven's Demand | Rev. Dr. Eliona Kimaro
1:11:46
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 29 М.
MWANAMKE NI LANGO
30:58
KATEKISTA MBADA VINCENT
Рет қаралды 2,6 М.
FAHAMU SIRI YA MUDA WAKO BINAFSI NA MUNGU || PASTOR GEORGE MUKABWA || 08/09/2024
2:19:24
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 63 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO:  MAUMIVU YA MWISHO/LAST PAINS
1:22:32
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 26 М.
THE MANDATE WITH APOSTLE JOSHUA SELMAN NIMMAK
3:45:56
SBiC Connect
Рет қаралды 358 М.