FULL: HANANJA ATEMA CHECHE KIMARO KUSIMAMISHWA,NJAA ZINAWASUMBUA WENGI, KUNA JIPU LITALIPUKA KANISAN

  Рет қаралды 383,000

Bongo5

Bongo5

Жыл бұрын

Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny

Пікірлер: 764
@radhiamalla9428
@radhiamalla9428 Жыл бұрын
Kama umesikiliza na ukamuelewa huyu Mzee na ukajikuta unacheka mpaka machozi ingawa si yakucheka, gonga like 😊😊😊😂😂🙌🙌
@Pihansmo1129
@Pihansmo1129 Жыл бұрын
KAMA UNAMKUBAL HANANJA NA KIMARO GONGA LIKE👍
@janethtimoth6563
@janethtimoth6563 Жыл бұрын
Nokweli kabisa WATUMISHI wa Mungu mbadilike Mwenye kazi atawacharaza fimbo msione kanyamaza hamko salama atarejea punfe
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj 5 ай бұрын
Sema ukweli maana ukweli ndo unamuweka mtu huru
@jmvuna2792
@jmvuna2792 Жыл бұрын
Mzee wa oya oyaaaa! Yupo fire 🔥 kinoma. Huwezi kuchoka kumsikiliza!
@reramimisanga462
@reramimisanga462 Жыл бұрын
Napenda Sana huyu Baba 😂😂 ishi miaka kama yote Mzee wangu walio kutesa ndio watakao tangulia Sio wewe in Jesus name 🙌
@felistermtewele7322
@felistermtewele7322 Жыл бұрын
Kweli Mzee Hananja una siri sikuwahi kujua kama ulisimamishwa mwaka mzima Mungu akutunze
@godymwokozi3255
@godymwokozi3255 Жыл бұрын
00
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Ameen
@jameskileo955
@jameskileo955 Жыл бұрын
Mch Hananja MUNGU akubariki sanaa ni kweli unayoongea na mtu mjinga hawezi kukuelewa Ubarikiwee Babaa
@annahangaya9862
@annahangaya9862 Жыл бұрын
Hongera mtumishi unasema ukweli Mungu akutunze tuonyane Kwa upole sisi wote ni baba mmoja kanisa ni la waumini ndio waliojenga kanisa ni vema wasikilizwe.
@tumainituma7691
@tumainituma7691 Жыл бұрын
Nampenda Sana huyu mzeee anaongea ukweli
@erickmakyara880
@erickmakyara880 Жыл бұрын
Natamani hii video kila mshirika wa KKKT aisikilize ili wajue wanayopitia wachungaji wetu hasa wale wenye maono makubwa. Asante sana Mchungaji Hananja kwa kutujuza
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Ni shida aisee
@thadeusponera5720
@thadeusponera5720 Жыл бұрын
Love you my fadher
@irenekitaa5845
@irenekitaa5845 Жыл бұрын
Tumeujua ukweli.
@angelalphonce9368
@angelalphonce9368 Жыл бұрын
Yaaniii Mungu atuhurumie sijui tunafanyaje kuieleza dunia
@juliussanga3234
@juliussanga3234 Жыл бұрын
L0
@janethsinzo
@janethsinzo Жыл бұрын
Huyu mzee yuko kama babq yangu. Haki ataishi maisha marefu sana tungekuwa na mioyo ya hivi tungeishi kwa rahq sanaaaa
@joeaub2185
@joeaub2185 Жыл бұрын
anamoyo mweupe sana ukisikia kuokoka ndio huku sio unajifanya mlokole hlf mnafki,roho mbaya na wivu...
@juliasmwambulukutu3461
@juliasmwambulukutu3461 Жыл бұрын
Hovyooo bangi tupu
@janethsinzo
@janethsinzo Жыл бұрын
@@joeaub2185 yuko huru na utumishi wake saana
@josephinejoseph3128
@josephinejoseph3128 Жыл бұрын
Ila kwenye hii dunia ukiwa na maono inabid uwe shujaa kweli kweli. Much Hananja unaongea tunacheka ila unaongea mambo mazito sana.
@danielmwakalinga6049
@danielmwakalinga6049 Жыл бұрын
Umeonaaa anachekesha🤣🤣🤣
@stellapanduka9396
@stellapanduka9396 Жыл бұрын
Hananja unachosema ni kweli sio huko tu hakuna Hofu ya Mungu miaka hii Mungu atutunze
@thagondale9041
@thagondale9041 Жыл бұрын
Pastor yuko vizuri sana ... Japo watu watasema skanka 😂😂😂 ila "nyuki hakumbatiwi" Asinitishe mtu... Sijanyonya kanisani.
@piusitarimo9676
@piusitarimo9676 Жыл бұрын
Sijanyonya kanisa nimecheka xanaa
@LENNY_LEE
@LENNY_LEE Жыл бұрын
Rev Hananja, 🤣🤣 Nimecheka Sana eti baba zenu wapigwe mabomu ya machozii mje muwachukueee 🤣🤣🤣. Ila amegusa penyewe hapo ndipo.
@ivethaireneus2333
@ivethaireneus2333 Жыл бұрын
Hahahahahha Wacha nicheke mieee Mzee ni hatari
@mkabesamaashao6805
@mkabesamaashao6805 Жыл бұрын
Kwani akisifu ni kosa hilo . Aje kanisa la kiroho Arush Kisongo
@verynicemasaka9222
@verynicemasaka9222 Жыл бұрын
Nakupenda Sana Mchungaji Ongea Ukweli Ili Uchukiwee Nyuki Hakumbatiwi
@lucymwakitalima8033
@lucymwakitalima8033 Жыл бұрын
Tunapenda mafundisho ya kubembelezwa pokea magari napokea kukemea dhambi unatengwa Mungu akutunze
@janethsinzo
@janethsinzo Жыл бұрын
Yani hananja uko wazi saaana babaangu. Mungu akupe maisha marefu saaaana.. wakusikilize basi ili waishi kwa furaha km wewe😀😀😀
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa.mwanadamu siyo wa kumtegemea.unatakiwa kumtizama vizuri sana.
@Your-highnessrichard6421
@Your-highnessrichard6421 Жыл бұрын
Tuogope watu walifunga makanisa miezi sita kwa ajili ya madaraka hapo kazi,Mchg Hananje sema baba
@schofieldodhiambo7957
@schofieldodhiambo7957 Жыл бұрын
Haya mambo ni mazito sana. Ni zaidi ya fikra zetu. God himself will sought them out.
@gooddeeds162
@gooddeeds162 Жыл бұрын
“Sort” 😊
@marthabenson1112
@marthabenson1112 Жыл бұрын
Daah jaman kunawatu wamepewa Domo la kusema ukweli kama ndo hali halisi Kwa wachungaji ilivo mmh Mtegeen Mungu kumtegemea mwanadam ndo maana yambele hamyajui yakija mnapata mishtuko. Hongera hananja Kwa kujitafuta na kujipata
@edsonmunuo7112
@edsonmunuo7112 Жыл бұрын
Ha ha ha dah mchungaji Hananja, Mungu akuweke, ur so genius🙏🙏
@hurumakimaro5762
@hurumakimaro5762 Жыл бұрын
Sasa ww ndg yangu mtu anaongea pumba unasema ni genius kkkt ni jamii kubwa sn si ya kuibeza hivyo hao waende tuu ss na kkkt yetu watuache sasa mtu km huyo ataweza kukushauri nini ktk swala la familia amkeni wakristo hao wamejulikana via kkkt leo hii wameanza BIASHARA BINAFSI HII NASEMA SI SAWA
@jeremiahakonaay1842
@jeremiahakonaay1842 Жыл бұрын
@@hurumakimaro5762 wangapi wako KKKT hawajulikani mpaka anastaafu kama KKKT inawafanya watumishi wajulikane si wote wangejulikana waliopo humu! Hiyo Mungu amemwinua mtumishi wake kupitia taasisi hiyo hata angekuwa kwingine angejulikana tu acheni kupuuza uwezo wa watu kutambua wito wao kwa kujinyenyekeza kwa Mungu mwenyewe. Mimi ni na wewe wote tuko KKKT mbona haijatufanya tujulikane???
@aulamongi2020
@aulamongi2020 Жыл бұрын
Christianity is not just about Church affairs. It is about living the life of Christ everywhere! The Church is not necessarily where you go, It is who you are! The church is mobile, not static. Anywhere you go, the church goes. Manifest Jesus. Make Him known. That is Church! Love from Dad.
@yonathanmbedule492
@yonathanmbedule492 Жыл бұрын
I approve
@ichicarodan6931
@ichicarodan6931 Жыл бұрын
Wooooow 😇😇😇
@florencemsuya7569
@florencemsuya7569 Жыл бұрын
Fact🤝
@fredyfile623
@fredyfile623 Жыл бұрын
Hizi dini zetu ukizichunguza saaana kwa undani unaweza ukabaki mpagani tu bcz kama taasisi ambayo tungetegemea iwe mfano kwetu sisi waumini inafanya hayo sasa sisi twende wapi au sisi tunapopata migogoro yakifamili tunaweza kweli kwenda wakatuma ufumbuzi. Tungepata viongozi wa dini majasiri kama huyu mzee tungefika mbali sana hongeraa mze wetu hananja. Mm dhehebu lingine bt nakufwatilia sana mafundisho yako.
@michaellutonjagospelsinger6611
@michaellutonjagospelsinger6611 Жыл бұрын
Sasa kama mchungaji kaajitiwa tena kumbe wito wakiMungu Hana itakuwaje, bas nitakuwa nasali getoni
@seciliaeugen202
@seciliaeugen202 Жыл бұрын
Kabsaaaa yaaaaan daaaah
@janethsinzo
@janethsinzo Жыл бұрын
Kwenye haya maisha ndg yangu mim nilishajifunzq kumtafta Mungu tuuu mim na Mungu wangu wanadamu wako wameumbiwa kubadilika automatically. Tuutafte sana uso wa Mungu
@siakiwoli5140
@siakiwoli5140 Жыл бұрын
@@janethsinzo MCH HANANJA ULINDWE NA MUNGU WABAYA WASIKUONE TENA NAPENDA SANA UJASIRI WAKO BABA HAWAKUWEZI MAANA NENO LIMEKUJAA MOYONI
@afiamsangi3717
@afiamsangi3717 Жыл бұрын
mmmh
@Mapishinatibatv
@Mapishinatibatv Жыл бұрын
😂😂😂😂Nyuki hakumbatiwi mch ,Hananjaaaaa!!!
@summanelson5523
@summanelson5523 Жыл бұрын
Masikini kumbe Mch. Hananja alisimamishwa mwaka mzima!!!!! Ana hekima sana hakusema kabisa!!!!. Kumbe tatizo Mch. E. K katangaza! Angetumia jekima atoe sababu yoyote au angeondoka kimya kimya. Alitakiwa akae kimya.
@sarahitambu5586
@sarahitambu5586 Жыл бұрын
😭 Upo
@oscargmosha3108
@oscargmosha3108 Жыл бұрын
Wala hakukua na sababu ya kunyamaza ukionewa lazima upaze sauti uchungu utoke ndani
@irenegoodluck2274
@irenegoodluck2274 Жыл бұрын
Ametangaza kwasababu alikua kwenye semina sasa asingeaga semina ingeendeshwa nanani
@miriamalute1540
@miriamalute1540 Жыл бұрын
Sasa angenyamazaje na wakati alikua anafundisha semina Halafu sio mara ya kwanzaa
@barmwa
@barmwa Жыл бұрын
@@miriamalute1540 kuna wakati watu huwa hatupendi kuwaza. Mazingira hayafanani hivyo EK alikuwa sahihi kabisaaa
@salmoncelestine6840
@salmoncelestine6840 Жыл бұрын
Hawa watumishi wanaonewa sana na wakubwa,,,,Mungu tu awatetee.
@vwctvtanzania
@vwctvtanzania Жыл бұрын
Tatizo nikuto kuelewa kuwa uchungaji hausomewi darasani uchungaji niwito, nawengi walio somea uchungaji lazima walipwe ,wanaitwa wachungaji wa mshahara hata Yesu aliwaongelea hao,wito nakusomea ni viwili tofauti Sana Sana kuna haha watu wafundishwe wito na kusomea uchungaji waelewe vizuri
@josephkafumu3006
@josephkafumu3006 Жыл бұрын
Daaaa nimekusikiliza sana mtu mwingine anaweza sema Kama comedy lakin kunahekima kubwa sana
@lupindangala4332
@lupindangala4332 Жыл бұрын
Yupo vizuri sana huyu baba Mungu amkumbuke katika kazi yake.
@henrymichael4566
@henrymichael4566 Жыл бұрын
Hatamimi sijapenda hata kidogo mbona kilasiku kkkt kunashida gani?
@quizyzonnique1872
@quizyzonnique1872 Жыл бұрын
Nakupenda sanaa baba 🙌
@tabithajeremiah4589
@tabithajeremiah4589 Жыл бұрын
Kuna mambo huwa yanatokea wakati MUNGU anataka kukupeleka viwango vingine.Huyu mtumishi yuko na neema kubwa sana Mungu atajitwalia utukufu soon.
@esterndambo3391
@esterndambo3391 Жыл бұрын
Hakika
@bulabilliontz
@bulabilliontz Жыл бұрын
Soon
@mujawabegayvonne9751
@mujawabegayvonne9751 Жыл бұрын
Dr Kimaro, we love you, we miss you. Together in our prayers.
@esterkiyongo2316
@esterkiyongo2316 Жыл бұрын
Eti bwana akae nanyi wakati huo mchungaji ana matesoo. Mungu wajua yotee 😂😂😂
@jovinathobias7163
@jovinathobias7163 Жыл бұрын
Mungu akutunze daima Mchungaji Hananji, wewe ni mtu sahihi
@gabrielmichael3537
@gabrielmichael3537 Жыл бұрын
Mungu akutunze akupe miaka mingi zaidi.
@gabrielmichael3537
@gabrielmichael3537 Жыл бұрын
Duuu kumbe Kuna mengi ndani ya kanisaletu watu wanaonewa hivyo poleni Sana wachugaji.
@ashamdemeka
@ashamdemeka Жыл бұрын
Mfano sisi katoriki ni kimya kimya ata ukijua ni kwa Siri Sana . Kuweka hadharani unajenga picha mbaya kwa waamini unaweza leta mpasuko ndani ya kanisani
@Revo_silayo
@Revo_silayo Жыл бұрын
Bora wazi wazi hiyo kufichaficha ndio inaharibu kanisa,na kanisa halipo kwaajili ya kumpendeza mwanadamu Bali kumpendeza Bwana Yesu Boss wa kanisa.
@wilsonemanuel9915
@wilsonemanuel9915 Жыл бұрын
Mzee nimekukubali sana mungu yupo na wew
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 Жыл бұрын
Pastor nakupenda sana.nilikua bz lakn imebidi niache vyote nitie koment baba.safi sana ukwel mtupu na utuweke huru
@zulfaomari2045
@zulfaomari2045 Жыл бұрын
Jamani nampenda huyu baba anaogea vizuri sana kwakweli
@edwardkasubi5135
@edwardkasubi5135 Жыл бұрын
😂😂😂 umezaa nje Babuuuuu huyu Baba huwa ni zaidi ya Mchungaji kwangu pia amekuwa baraka kwangu toka 2008
@davidmbogela
@davidmbogela Жыл бұрын
Haaaaa haaaaa babu umezaaa nje nn ?😁😁😁😁 kweli walikufedhehesha
@emanuelmsigwa1927
@emanuelmsigwa1927 Жыл бұрын
Nimekuelewa mchungaji Mungu msaidie Mch.Kimaro mtumishi wako amemtumia amekuja hadi kufundisha mikutano ya Karismatic Katholic tunampenda
@jacklineminja2022
@jacklineminja2022 Жыл бұрын
Mimi mkatoliki nampenda sana Dr Kimaro Yesu aonekane katika hili. Amen
@dodoted5033
@dodoted5033 Жыл бұрын
Kuna mambo ya siri Hananja,toboaa. Kimaro anaharibu kazi za giza na mafisi hawafurahii. Long live Kimaro!
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Aisee Leo ndo nimejua kwann uliamua kustaafu! Aisee , Mungu hamtupi mja wake
@abdallahhamisiiddi4513
@abdallahhamisiiddi4513 Жыл бұрын
Mimi ni muislamu, lakini huwa nakukubali sana mzee ,we mkweli sana
@evamhufu7698
@evamhufu7698 Жыл бұрын
Bora unajua hilo UNAFIKI MKUBWA KWA WAKRISTO. Asante
@dicksonshenkalwa5470
@dicksonshenkalwa5470 Жыл бұрын
Mchungaji Hananja hongera sana kwa kuusema ukweli. Lutheran imevamiwa na shetani na inaangania. Kwa nini matatizo Lutheran yanaanzia kwa viongozi? Pesa zinawayumbisha. Kumbukeni tumetumwa kuwafanya watu wote kuwa wanafunzi wa Yesu. Tafakari I.
@elidarweyemamu5144
@elidarweyemamu5144 Жыл бұрын
Msema ukweli ni mpenzi wa MUNGU,Baba ubarikiwe,mwanadamu unitishi.
@thadeusponera5720
@thadeusponera5720 Жыл бұрын
Nakipenda sana baba angu unaongeaga ukeeli
@rehemamusa6623
@rehemamusa6623 Жыл бұрын
Watafukuza na sauti ya Mungu maana Mungu anapitia madhabahu hizi hizi
@almarichard4941
@almarichard4941 Жыл бұрын
Ila Hananja jaman eti karibu kwa tuliotengwa
@irenemchaki1293
@irenemchaki1293 Жыл бұрын
Kweli baba mungu akubariki sana na ukweli
@ngasikajoel9576
@ngasikajoel9576 Жыл бұрын
Daima ukiwa mkweli kwenye maovu unaonekana mbaya mifano ipo mingi tu.. kwenye familia,jamii,taasisi Na vitu vingine so kwa hili Mungu atafunua Kila kitu kilichojificha hakuna kuogopana Sasa ... Mungu peke yake ndio wa kumuogopa
@deborahmgedzi632
@deborahmgedzi632 Жыл бұрын
Kweli mtumishi, Sana ya ukombozi ni sasa. Watu hatutakii kusahihishwa, watu wanaumia Sana. Asante Mchungaji.
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Ameen
@dodoted5033
@dodoted5033 Жыл бұрын
I love you Hananja. God bless you❤💕😁
@Lyro6390
@Lyro6390 Жыл бұрын
Hi
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 Жыл бұрын
Tungempata Askofu kama huyu kıla mtu angeıpenda kz.Bıg up Hananja
@apostleelisha2994
@apostleelisha2994 Жыл бұрын
Mungu akubariki mzee hananja naona hekima na faraja duuu!!!!!!
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 Жыл бұрын
Hili Ni fundisho kwa wachungaji kuwa upatapo mafanikio usijiinue kwa kuwa Yuko mwenye kustahili kuinuliwa ambaye Ni Mungu.
@margarethmwaibasa3697
@margarethmwaibasa3697 Жыл бұрын
Uko vizuri mtumishi wape habari zao ni kweli unaofiki upo sana mtumushi ukiwa muwazi unatupwa nje Kimaro angetetea uovu angeachwa.
@mengibusiness9632
@mengibusiness9632 Жыл бұрын
Mzee mkweli Sana asie kwelewa wewe atakuwa na shida Mungu akubariki Sana Mungu akupe maisha marefu
@kokudo8389
@kokudo8389 Жыл бұрын
Nimewafollow sababu ya huyu mzee hongereni kwa interview
@angelerick8668
@angelerick8668 Жыл бұрын
Nimebarikiwa saaaana na Maneno mazuri ya Mtumishi hananja nimejengwa pia da!! Mungu atusaidie
@damymzuri9989
@damymzuri9989 Жыл бұрын
Huyu ndiye mchunguji pekee kkkt ambaye break zake zimefeli kama sio kung'olewa kbs huwa hapepesi macho anakuchana kama xio kutumbua live
@jamesswai1683
@jamesswai1683 Жыл бұрын
Alisimamishwa kipindi Cha kashfa ya malasusa..alimwambia akae pembeni achunguzwe...wakaamua kumsimamisha Ili kumlinda askofu..kaongea ukweli wachungaji hawana umoja na ni waoga
@agnessmalasusa3874
@agnessmalasusa3874 Жыл бұрын
mhhhhh
@bropasco1127
@bropasco1127 Жыл бұрын
Hahaha huyu mchungaji maneno yake niyakuyashika sana siyo ya kuyaacha
@nechalauwo
@nechalauwo Жыл бұрын
"Unahisi mvua inanyesha kumbe mate yangu"
@fredrickmlyuka5989
@fredrickmlyuka5989 Жыл бұрын
Komedian Sana huyu😂😂😂😂!!!
@mlelwatv5831
@mlelwatv5831 Жыл бұрын
Hahahaha 😂🤣
@frankmandanda3015
@frankmandanda3015 Жыл бұрын
Mch. Richard Hananja na Mch. Daniel Mgogo Big Up
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
" mimi wakati nikiwa sunday school,mwinjilisti wangu alikuwa anavuta sigara na bado anahudumia kanisa kabisa,sasa nilikuwa mdogo kweli lakini najiuliza mbona sunday school tunaambiwa sigara dhambi,pombe dhambi,lakini mwinjilist wangu alikuwa anavuta sigara kabisa!!!. Kuna watu wazito kkkt matajiri wanamiliki bar wanauza pombe za jumla na rejareja na ndio huwa wanafanya vitu kanisani kama viti jengo vyombo udhamini. Kwahyo kimaro katiba ya kkkt inambana sana hawezi kufanya makubwa kkkt
@jeremiahluki7896
@jeremiahluki7896 Жыл бұрын
Ahaaaaa daaa Mchungaji mwenzangu umetishaa
@Esthermushi5804
@Esthermushi5804 Жыл бұрын
Mimi naona wauminiwa kkkt tuamke na kuombea kanisa na kumleta Yesu mwenyewe ndio mwenye kanisa afanye kitu kipya kwa hili kanisa ...kuna mizoga mingi sana kkkt imefika mahala itolewe jii inaitwa strongholds na strongman anaendesha kanisa kama Lake its very sad wana kkkt tuamke sasa na maombi kipindi hiki amen 🙏
@martinamturano2152
@martinamturano2152 Жыл бұрын
KKT 😩😩😩😩
@jtheophil5499
@jtheophil5499 Жыл бұрын
Ha ha ha ha nimecheka sana.Eti baada ya week wanakuacha na Zengwe lako.
@jamesswai1683
@jamesswai1683 Жыл бұрын
Mchungaji wangu wa kigogo safi Sana..uneongea ukweli na sio kupamba
@nuruosward8161
@nuruosward8161 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka mpaka machoz dah Mungu akubariki
@davidbahati3748
@davidbahati3748 Жыл бұрын
Namba moja on trending, ama kwel we mzee Hananja una madini ya kutosha ambayo mtu wa Dini yoyote hawez choka kukusikiliza
@weraswai2830
@weraswai2830 Жыл бұрын
Much Hananja natamani siku Moja nikutane na wew, kanisa linahitaj majenius kama wewe
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Si na yeye keshafukuzwa
@jumaharoun
@jumaharoun Жыл бұрын
Mm ni muislamu lakin alicho zungumza huyu mzeee kiukweli nimemwelewa sana
@beatricekatunzi903
@beatricekatunzi903 Жыл бұрын
Ana akili sana ni Genius hatariii
@cadiaonesmo9660
@cadiaonesmo9660 Жыл бұрын
Mungu sikia kilio cha Watumishi wako wanapitia Mambo magumu sana Mungu wasaidie
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Ninavyoelewa mimi Dini ni mtu mwenyewe na Mungu sasa hii kuajiliwa inatokea wapi. Ni ajabu sana njooni kwenye Uislam Dini ya HAKI. Ukristo ni ulaji tu!
@fadhilidanieli1478
@fadhilidanieli1478 Жыл бұрын
Daaaah hiii inahitaji ujasiri kuiongelea hadharan
@fawzialmaashari9857
@fawzialmaashari9857 Жыл бұрын
Naomba namba za mchungaji Hananja tafadhali
@evelynejuvenary2631
@evelynejuvenary2631 Жыл бұрын
Duh Mungu sikiliza haya maombi ya watumishi wako🙏
@neemadiliwa7586
@neemadiliwa7586 Жыл бұрын
Well said
@heaven.love.foundation
@heaven.love.foundation Жыл бұрын
Ukijiingiza tu, we ndio dalali mwenyewe
@issakawaya8315
@issakawaya8315 Жыл бұрын
Sisi waislamu twa fwata kitabu cha Mungu na sheria zake huongozi ni dhamana kila kitu kitapita Ila Mungu atabiki kuwa Mungu
@jantawakitaatv4534
@jantawakitaatv4534 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 movie ya kihindi mch hananja anavitu hadimu ,dah mzee huyu ndo mchungaji wa kweli anaongea ukweli sana na unaweza kuokoka mapema
@episonfelician7670
@episonfelician7670 Жыл бұрын
Umeona e👍
@jephasonmbise9618
@jephasonmbise9618 Жыл бұрын
@@episonfelician7670 karibu Kazi yangu
@fredichaki3497
@fredichaki3497 Жыл бұрын
Huyu Mzee ni mkweli na muazi sana
@remmysbrand
@remmysbrand Жыл бұрын
Mchungaji Hananja umewafunua wengi Sana! Ukweli ni kwamba Sasa hivi makanisa yamekuwa kama majukwaa ya siasa! Yani hakuna solidarity hakuna Faith,hakuna Love hakuna peace! Majungu kibao
@selestinfrancis5904
@selestinfrancis5904 Жыл бұрын
Kila laheri Baba Hananj kwa ufafanuzi mzuri,napenda Sana ukweli wako,hapo nami pia nimepata somo
@graceanalukinga7551
@graceanalukinga7551 Жыл бұрын
Mungu asimame mwenyewe
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe Жыл бұрын
Praise the Lord
@officialnalapa1527
@officialnalapa1527 Жыл бұрын
Ila uyu mm nampenda anaongea ukwel sana aisee 😁😁
@nellymapesa
@nellymapesa Жыл бұрын
Huyu Mzee watu wanamchukulia Poa ila anongea point sana 🙏🙏🙏 hananja
@angelavayinga914
@angelavayinga914 Жыл бұрын
Ni point tupu baba,sisi tulikuwa tunamfuatilia baba Kimaro tunamuomba mchungaji tuchange ajenge kanisa lake ili tuendelee kumsikiliza na hata tukakutana ibadani.
@mshambawamjini2671
@mshambawamjini2671 Жыл бұрын
MIMI NI MUISLAM ILA NISEME UKWELI HUYU MCHUNGAJI NAHANJA MIMI KUNA BAADHI YA MANENO YAKE HUA NAMUELEWAAA NA ALLAH AKUTOE HAPO AKUINGIZE KWENYE DINI YA UKWELI NA UWAMINIFU UISLAMU KARIBU SANA
@kasimukass9097
@kasimukass9097 Жыл бұрын
Kitu kimoja kijulikane: Ni kumtumikia mungu au ni kulitumikia kanisa?
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 Жыл бұрын
Ila nawatakia KKKT mvuke salama, mie Mkatoliki ila nawaombea yaishe
@elizaberthpius4511
@elizaberthpius4511 Жыл бұрын
Mungu aendelee kuwapa kibali wachungaji wetu hasa nyie msioogopa kusema ukwel 🔥,, mmebaki wachache Kwa kwel
@mcqueenbethdaffi5656
@mcqueenbethdaffi5656 Жыл бұрын
Nimekuelewa sana Mch Hananja Mungu zaidi kukutunza
@tigridamassawe6067
@tigridamassawe6067 Жыл бұрын
Khaaa fungueni makanisa bhana kwani lazima muwe kwenye taasisi,,mchungaji wangu alifukuzwa kanisan na boss wake akafungua kanisa leo ni askofu ana makanisa mengi,,ukiitwa na Mungu umeitwa acha muda uongeee
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Shida ya kuajiriwa kwa kumtumikia mungu unakuwa huna mamlaka ya kumtumikia mungu unatakiwa kumtumikia muajiri wako huo ni mtihani sasa huwezi kusema ukweli na hii ndo shida
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 Жыл бұрын
Ndio maana akina Gwajima walifungua watu wanawaona wabaya
@monicamushi5935
@monicamushi5935 Жыл бұрын
Daaah hadi king'omela alisimamishwa kweli hii ni kampuni sio kanisa
@judithgeorge1756
@judithgeorge1756 Жыл бұрын
Hahaha 😂😂😁😁 huyu mchungaji Jamani nimecheka kiukweli
@sarahitambu5586
@sarahitambu5586 Жыл бұрын
😂😂😂 Mch. Hananja' unasemaga uwazi na ukweli
@elizabethmassi7327
@elizabethmassi7327 Жыл бұрын
huyu ni wa kanisa gani kwani
@sarahitambu5586
@sarahitambu5586 Жыл бұрын
@@elizabethmassi7327 Alikuwaga KKKT ila siku hizi anahubiri makanisa ya Assemblies na Pentecoste'
@elizabethmassi7327
@elizabethmassi7327 Жыл бұрын
Sarah asante sana
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
" nimejua siri kubwa sana!!! Kuhusu kkkt mambo ambayo nilikuwa siyajuhi hata kidogo lakini nimeyajua.jamani kkkt nadhani mnaona wenyewe kanisa linakuwa linamilikiwa na watu wa chache. Mfano shule za kkkt pia unakuta zinachangiwa na zinayo wafadhili lakini unakuta ada ni bei ghali sana mfano mzuri ailanga seminary ya arusha sasa kuna haja gani ya kuwa shule ya kanisa
@makingiloi8604
@makingiloi8604 Жыл бұрын
malasusa malasusa malasusa unagusa mtoto wa Yesu alamfu mchaga uoni hata aibu, Mungu asinyamaze kwenye hili akupe unachostaili
@richardombese6992
@richardombese6992 Жыл бұрын
Nadhani kuwa jambo hili limeibua hisia tofauti kulingana na namna lilivyo endeahwa na Kkktna Mch. Kimaro mwenyewe... Nadhani ni vyema waumini kutoegemea upande wowote kwani kwa kuoegemea pande moja huenda ikamfanya mja kuvimba kichwa na upended mwingine kukiuka malengo. Katika kanisa la Roma mchungaji ako chini ya askofu ama mkuu wa shirika na hapaswi kupinga amrita yoyote...ndio kiapo cha unmindful na unyenyekevu..na ukihudumu kumbuka unamhudumia Mungu usiwafanye waumini wakuone kama wewe ndiwe tu unaweza kuwaletea wokovu...kwa kufanya hivyo unajiweka sawa na Mungu unaye mhubiri...kwangu ni kwaombea subira na hekima bila kuchocheana
@deborakasambula7431
@deborakasambula7431 Жыл бұрын
Mungu akubariki baba umeongea ukweli
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Жыл бұрын
Kimaro fungua kanisa lako karama ya utumishi unayo baba ,Mchungaji hanacha anakwambia njoo huku
@jonasphilemon6956
@jonasphilemon6956 Жыл бұрын
Acheni kutumika nashetani
@dadamuebrania1539
@dadamuebrania1539 Жыл бұрын
@@jonasphilemon6956 Alie mtimua Kimaro ndie shetani mwenyewe
@janethmalaika5241
@janethmalaika5241 Жыл бұрын
Nani kamtimua wanadamu mungu atusaidie kwakweli kapewa siku 60 akirudi atapewa sehemu nyingine simple yaani inafika stage unamwita alie fukuza shetani God have mercy maandiko yanasema do not touch my anointed ones tusitafute laana za Mungu watu wanaangalia hili kimwili bali wangejua kiroho ni mda wa kuombea kanisa wakristo tuombeane jamani da
@charlesngwembele4541
@charlesngwembele4541 Жыл бұрын
Hakuna mkubwa kuliko kanisa
@theafricaiknow6615
@theafricaiknow6615 Жыл бұрын
Waislam mnapenda kushabikia kisa mlisifiwa
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Жыл бұрын
Hananja mie nakupenda huna unafiki kabisa
@josephzinga5255
@josephzinga5255 Жыл бұрын
Huduma ya kiroho ni wito, unapo tanguliza maslahi mbele,hapo ndipo tatizo linapoanzia, wachungaji wengi na viongozi wakubwa wa kiroho wapo kimaslahi,Sasa atakapo jitokeza mwenye hofu ya mungu......fitina,chuki ,unafki lazima viziihirike......
@oleiei434
@oleiei434 Жыл бұрын
Nimesikia NJAA, CHAWA, BANGI, GONGO, ETC. Is this the beginning of the end of Christianity in Africa? Hallelujah!
@amedeuskimario8895
@amedeuskimario8895 Жыл бұрын
Mchungaji wa taifa uko vzr Sana mtumishi
@joycemassawe8019
@joycemassawe8019 Жыл бұрын
Sawa baba umenena..
@ruthjames2735
@ruthjames2735 Жыл бұрын
Amen mtumishi ukwer ndo huo wape ukwer wao ukimy unatuua krohoo
@victoriasanga4910
@victoriasanga4910 Жыл бұрын
Mungu akusaidie Mchungaji kimaro, Na akupe ujasiri, ni wakati wa Mungu
@lovenessmasai2204
@lovenessmasai2204 Жыл бұрын
Boss hanuniwi eeeee NAKUPENDA Babu 🥰🥰🥰🥰
@theopistaemanuel338
@theopistaemanuel338 Жыл бұрын
Nmeipenda interview
@princebon1841
@princebon1841 Жыл бұрын
Mungu akubariki msema kweli kuna wakati najiuliza hivi haya makanisa ni viongozi wake wanaongozwa na Mungu kweli?siku zimekwisha Yesu anakuja kuchukua kanisa acheni chuki
@Esthermushi5804
@Esthermushi5804 Жыл бұрын
Mie Nathan viongozi wengi wa kkkt hawapo kiroho kbs kbs na hapa hii ishu kuna kitu Mungu atafanya tu kwa hili kanisa sasahv
@iddyissa8110
@iddyissa8110 Жыл бұрын
Ujue jamaa anafuraisha kweli kweli eti Mimi napenda ugovi kweli kweli
@Marsemo
@Marsemo Жыл бұрын
Kweli watumishi wanapitia mazito, mwenyezi Mungu awalinde na alinde roho zenu
@janethjohnmrsjoseph2171
@janethjohnmrsjoseph2171 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣baba Mungu akuweke tuzidi kufurahia uwepo wako
@deosportswear4402
@deosportswear4402 Жыл бұрын
Kwa kweli sikuona kosa la kimaro alisema ukweli ukweli unauma ila unatibu
@fadhilalottu1193
@fadhilalottu1193 Жыл бұрын
Mungu aendelee kukutunza Mchungaji Hananja , Mchg Kimaro nakukubali sana ubarikiwe Baba yangu kwa hudumu zako zenye kibali mbele za Mungu, MTI WENYE MATUNDA NDIO UNAOPINGWA MAWE.
WANAWAKE SIKU HIZI KAMA GARI LA MKAA / YESU HATUJUI
36:45
Mjini FM
Рет қаралды 35 М.
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 90 МЛН
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 15 МЛН
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,7 МЛН
MCH.RICHARD HANANJA AWAVUNJA MBAVU WA SONGWE.
16:15
KAYUNI ONLINE TV
Рет қаралды 145 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
0:18
MrBeast
Рет қаралды 15 МЛН
Гениальный План Хвостатых 😂
0:28
ДоброShorts
Рет қаралды 2,4 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
0:25
Watch Me
Рет қаралды 54 МЛН
Мужчина С Золотыми Руками 💪
0:42
EpicShortsRussia
Рет қаралды 3,6 МЛН
Heavy package 🤭🤣 #demariki
0:25
Demariki
Рет қаралды 4,7 МЛН
How is it possible? 😅 #behindthescenes? #vfx
0:19
The Quinetto's
Рет қаралды 43 МЛН