Рет қаралды 314
Naibu waziri wa Maji Eng Kundo Andrea Mathew , Amemtaka Mkandarasi wa kampuni ya lukolo ENG MOTA Anayejenga Bwawa la Soiminen Kata ya Monduli juu Wilayani Monduli Kusimamisha Shughuli zote Katika ujenzi huo kutokana na kuwa nje ya Mkataba na Maelezo yake kuwa na ukakasi.
Eng Kundo ametoa Maelekezo hayo katika ziara yake Aliyofanya Wilayani Monduli Ambapo
" Eng hatuwezi kuendelea naye huyu Mradi ulikuwa wa siku 270 leo Mwaka umeisha na ameongezewa Muda bado kasema Mradi uko Asilimia 12 lakini hakuna kilichofanyika hatuwezi kuendelea naye huyu NO NO!!" ENG Kundo Naibu Waziri wa Maji