UJUMBE WA MONICA DAVIE KWA MARA YA KWANZA 2023 - GeorDavie TV

  Рет қаралды 171,328

GeorDavie TV

GeorDavie TV

Күн бұрын

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 422
@GabrielChumbi
@GabrielChumbi 2 ай бұрын
Powerful you're a great preacher,, teacher and servent of God,,may God bless you Monica,,, wonderful message what you have preached is reality in life
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Жыл бұрын
Binti Bwana Akufunulie Zaidi lipendezalo be blessed Bigup MUNGU Akupe hekima ufahamu wake Have The Best fureture On Jesus Name Glory be to God
@laurentjoseph5646
@laurentjoseph5646 Жыл бұрын
Amen, sipotezi tumaini langu na naitunza Imani yangu najua nafasi yangu ipo Kwa jina la yesu
@salmampinga4995
@salmampinga4995 Жыл бұрын
"Kujishusha na kukubali kujifunza Ili uweze kuvuka"Powerful Asante sana Monica
@lisajoerpodcast
@lisajoerpodcast Жыл бұрын
You did amazing Monica. Extremely blessed by your message. ♥️🔥🔥
@jasminimalaso9417
@jasminimalaso9417 Жыл бұрын
Ila nyie mungu ana waona mungu so wamchezooo ayyyyaaaaàà
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 Жыл бұрын
Monica kazi nzuri sana,nimekuelewa, kutunza Imani na tumaini wakati wowote.🙏🏻🙏🏻💕💕
@DottoKitambi
@DottoKitambi Жыл бұрын
Nimeguswa sana na neno Yani kanigusa sana na kanifariji ameen
@stevenakyoo7020
@stevenakyoo7020 Жыл бұрын
Neno lako limebariki kila mmoja Mungu aendelee kukuweka na uzima dada una nizamu sana utafikiri ijakulia kwenye mapesa mengi ivyo kwa baba nabii. Una nidhamu sana.🙏🙏
@lilianmungure8374
@lilianmungure8374 Жыл бұрын
Ooooh Hallelujah, thak you JESUS for this girl,Mungu akukuze kiroho zaidi,ufundishe mataifa yote kwa jina la YESU,AMEN
@annamboya2822
@annamboya2822 Жыл бұрын
Hongera Monica nimekuelewa somo zuri sn, nimejifunza jambo kutoka kwako. Mungu akubariki dear.
@mussatete2618
@mussatete2618 Жыл бұрын
Somo lako zuri, nimelielewa limenikaa moyoni, I SALUTE U❤❤❤
@celecridamatilya7625
@celecridamatilya7625 Жыл бұрын
Safi sana , ❤ Ubarikiwe na Mungu wa mbinguni azidi kukuinua zaidi uweze kuifanya kazi yake kwa ukubwa❤
@monicahmueni627
@monicahmueni627 Жыл бұрын
Blessed so much, hapo kwa kulalamika umenisaidia Sana
@davidngonyani5599
@davidngonyani5599 Жыл бұрын
@davidngonyani5599
@davidngonyani5599 Жыл бұрын
​@@monicahmueni62788888i8888ï 11:41
@richardmartin6429
@richardmartin6429 Жыл бұрын
Dada Monica Mungu akubariki, Mungu amekupa Karama nzuri endelea kuitumia kwa Utukufu wake.
@monicandengo4680
@monicandengo4680 10 ай бұрын
Asantee Sana Mtumishi songs mbele Ameeeeen
@JEREMAYPaluku
@JEREMAYPaluku Жыл бұрын
Asante sana kwaujumbe huu lakini nakusisanakama mutoto wa mungu unkebadili muonekanowakowaje iliuwevizurikwamungu wako sababu petro 3:3inasemahivi kujipambakwenukusiwekwakusukanyele navienginevio nivionakokwako dadangu sikusemevibaya❤
@AlistidiusKagyabukama
@AlistidiusKagyabukama 3 ай бұрын
Ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu mimi unanibarki sana
@elisantennko1585
@elisantennko1585 Жыл бұрын
Nabii ubarikiwe kwakuwalea watoto ktk kulihishi neno hii nimeipenda ni zuri sana wengi wataongea wawezavyo ila hauwezi kuubadilisha wakati no ningumu tu🙏
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 Жыл бұрын
Uyu baba niwakipekee sana love u nabii mkuuu
@marcellyimo9292
@marcellyimo9292 Жыл бұрын
Amen na hongera upo vizuri nimekuelewa
@josephitangishaka960
@josephitangishaka960 11 ай бұрын
God bless you Mona Davie I appreciate your message
@DeussMtogela
@DeussMtogela 10 ай бұрын
Kajitahidi sana kufafanua ila mavazi hanaendani na mazingira aliyopo binti geor dav jiaribu kuheshimu madhabao mama nakupenda❤
@elizabethkambi5221
@elizabethkambi5221 10 ай бұрын
Ni kweli tupo wenye shida lakini wapo wanaosema watatumia vipi pesa zao . Ameeen ubarikiwe tuombeane Barikiwa sana
@nabiialuta8234
@nabiialuta8234 Жыл бұрын
God. Bless you Monika for transfer our heart s pia msalimu baba yetu nabii mkuu tunamuombea kwa machozi kwa hekima aliyo nayo ambayo watesi wake hawawezi kushindana nayo amen Dada Monika bwana yesu akulinde ww na familiya ya ngurumo ya upako
@tumainiisrael9378
@tumainiisrael9378 10 ай бұрын
Good teacher
@gracemgumba
@gracemgumba 10 ай бұрын
Barikiwa sana Monica Umeifanya vizuri snaa🌹
@kevinseleman8921
@kevinseleman8921 Жыл бұрын
nakupenda baba unavyo saidia watu akika wewe niwapekee mungu akubariki naomba nafasi yakuja naimani ntabarikiwa
@aishakilimba5938
@aishakilimba5938 Жыл бұрын
Petro 1 3:3 kujipamba kwenu ,imeelezewa Mungu apendi tupoteze asili yetu na mapambo hayatatuingiza mbinguni pamoja na mavazi yasiyompendeza Mungu mbingu ipo kuzimu ipo mtu unabadili kucha, nywele, ngozi , jamani Mungu hazihakiwi tufuare Yesu ametuagiza Nini?
@lucykapinga369
@lucykapinga369 Жыл бұрын
ona makuchaa'nywele hivyoo vyamapamb9 awazungumzii na mavazii wakati lipo kwenye biblia Wajanjaa wanarenga kwenye kipatoo Dah
@AbbahCostaabbahCostaabbah
@AbbahCostaabbahCostaabbah 10 ай бұрын
Uhakik
@dorahisinika7576
@dorahisinika7576 Жыл бұрын
Blessed family..loving and humble child.
@victoriamkilya928
@victoriamkilya928 Жыл бұрын
Amina, binafsi nimekuelewa sana! Barikiwa sana! ❤
@gudilahshirima5070
@gudilahshirima5070 Жыл бұрын
Mungu akubariki dada Monica....somo lako halichoshi kujifunza.....sitaman umalize
@mariamthomas5554
@mariamthomas5554 6 ай бұрын
Mungu akulinde sana una kipaji na kalama za mungu mungu anaangalia matendo haangali nguo acheni kumnuku vipaya mtoto wa wawatu Amina pambana mungu yuko na wewe
@stelayunami7779
@stelayunami7779 Жыл бұрын
Amejitahidi sana kufafanua! Kwa kweli maji hufuata mkondo kuhusu mwonekano! Kuna watu wanavaa mavazi ya kujisitiri ila matendo yao ni machafu kupitiliza siwezi kumwukumu! Tumwachie Mungu aonae ya sirini ahukumu mwenyewe!!!
@agneskapwani3484
@agneskapwani3484 Жыл бұрын
Umesema vema
@petermwenda6470
@petermwenda6470 Жыл бұрын
Mungu akikuonyehsa tatizo ataka wewe iwe sehemu ya mabadiliko, kumwachia Mungu ni kiburi
@officialmtiamoyo6922
@officialmtiamoyo6922 Жыл бұрын
Kubali kubadilika hata wewe unajua sio sawa
@lovesallu5292
@lovesallu5292 Жыл бұрын
@@petermwenda6470 😃🤣😂 nimechekaa atiii kiburi kabisaaa..hii gauni Haina utukufu😃hata nywele😄
@chezariboy
@chezariboy Жыл бұрын
Huwezi kuchunguza nguvu ya neno tuu bila kuchunguza appearance ya mhubiri,, huyu hana tofaudi na muonekano wa watu wanaodanga kama makahaba walivo, huwezi sema fuateni maneno msiangalie mavazi ,,iyo ni kuhubiliwa na wapuuzi wanaokalili neno ila mioyo yao ni vipofu.
@JoyceSwai-b9x
@JoyceSwai-b9x 10 ай бұрын
Ameen!Nimependa sana mafundisho yako binti
@Debbiegrac3
@Debbiegrac3 Жыл бұрын
Amen Amen Monica Davie 2023.powerful.
@rahabasaid
@rahabasaid Жыл бұрын
Amen
@jasminimalaso9417
@jasminimalaso9417 Жыл бұрын
Akuna k2 sipendi unafiki ila nyie mnao sapoti ujinga mungu ana waona wajingaa nyiiiee3e
@mwash7777
@mwash7777 11 ай бұрын
Mwanadada ni mwalimu wa neno mzuri sana. Nimefurahia sana sana ..from +254.
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt Жыл бұрын
Asante monica ❤❤❤❤
@bonabonala5559
@bonabonala5559 Жыл бұрын
haya ndio mambo mungu arikutuma kuriko kuitetea viongozi wa ccm wakanye kwa kuuza bandari utakua nabii wa kweli goerdevie
@davidmike6054
@davidmike6054 Жыл бұрын
Daddy natamani nikuone tu sir amini Mungu atafunguwa njia baba yangu
@jacobletema3681
@jacobletema3681 Жыл бұрын
Binti, mafundisho yako mazuri na mazito sana, nakushauri usichekecheke, unapunguza uzito wa mafundisho, somo zuri sana!
@anastaziaayubu3642
@anastaziaayubu3642 Жыл бұрын
Akicheka ndo inaongeza bidii ya kutuelezea vizuri wengine tunapenda akicheka
@tumainiisrael9378
@tumainiisrael9378 10 ай бұрын
Huo ndo ualimu, kucheka muhimu
@kileopajoseph2158
@kileopajoseph2158 Жыл бұрын
Angalia nafsi yako wewe usiangalie ya mwenzako! Huyu amejitahidi sana kwa mara ya kwanza tu ameweza hivi! Huyu ni kipaji mavazi nywele wala havina shida kabisa sikuliza ujumbe tu.
@williammduma4180
@williammduma4180 Жыл бұрын
Thanks for the good message
@annatarimo686
@annatarimo686 Жыл бұрын
Kwa kwel Baba Umewalea watoto wako vyema .nashukuru kwa SoMo zur Sana.🙏🙏🙏
@zomasamweli
@zomasamweli Жыл бұрын
Mungu akubarik
@sellinaayoma108
@sellinaayoma108 Жыл бұрын
Thank you for a wonderful message. Watching from Nairobi, Kenya
@philipomwakasala8937
@philipomwakasala8937 Жыл бұрын
Fhee
@philipomwakasala8937
@philipomwakasala8937 Жыл бұрын
Hapo sasal
@MargarethKisse
@MargarethKisse 10 ай бұрын
Monica uko vizuri be blessed
@georgemuro245
@georgemuro245 10 күн бұрын
Great
@alexchaula4088
@alexchaula4088 10 ай бұрын
Nakubali maneno
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 Жыл бұрын
Song. Iende Mbele Injili hiyo...... Iyende Mbele... Ndiyo Mana tunawambia Iende Mbele....(x4 ) Yaokoa Injili hiyo.... Yaokooa....
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Barikiwa kwa kuwa biological daughter of prophet. It's blessings
@imansmwatete4953
@imansmwatete4953 3 ай бұрын
Good job Monica.
@monicandengo4680
@monicandengo4680 10 ай бұрын
Monica wajina wangu nakupenda mno Mungu anakutumia Sana wewe unakitu kukubwa Sana umepewa kusema namataifa
@mediavumbi9243
@mediavumbi9243 Жыл бұрын
Monica ,ndakuombeya kwa Mungu akuze hico kipawa cha uinjiliste, ubarikiwe sana
@festodaniel2252
@festodaniel2252 Жыл бұрын
Thank you so much for a nice word.I have lern something so precious ofcorse you touched my situation. Be blessed servant of God.
@elizabethkambi5221
@elizabethkambi5221 10 ай бұрын
Natunza Imani yangu na muujiza wangu upo
@elizabethnamwinga3210
@elizabethnamwinga3210 Жыл бұрын
Be blessed Father.songa mbele usimwangalie mwanadamu,nikigeugeu mwangalie mungu pekee
@annonciataumingabire1460
@annonciataumingabire1460 Жыл бұрын
Ubarikiwe dada monica ❤
@HagaiKisaka-et1uk
@HagaiKisaka-et1uk Жыл бұрын
I do appreciate you Frankly speaking, you inspired me
@catherinendwiga6207
@catherinendwiga6207 Жыл бұрын
Asante. Monica. Kw ujumbe mwema. Umenitia Imani na mungu. Ukazidi. Kutuombea. Ameni
@gracemwangi4880
@gracemwangi4880 Жыл бұрын
Nayaweza Mambo yote katika yeye anitiae nguvu.usipoteze Imani yako...itunze tumaini lako. GOD BLESS YOU ABUNDANTLY 🙏 MISS MONICA DAVIE.❤ Powerful Message. AHSANTE SANA
@DeusOgenda
@DeusOgenda Жыл бұрын
Iko vizuri mis you
@DeusOgenda
@DeusOgenda Жыл бұрын
Iyo umeka poa
@damarisnjerunjeru399
@damarisnjerunjeru399 Жыл бұрын
Amazing family
@CatherineSummary
@CatherineSummary 6 ай бұрын
❤❤sana
@DaudiLaiza
@DaudiLaiza 11 ай бұрын
❤❤❤ mtumishi wa mungu tunashuru Sana mkuu wetu amina
@barnaba3037
@barnaba3037 Жыл бұрын
Mungu tusaidie
@nawechi4818
@nawechi4818 Жыл бұрын
Amen Amen Amen dada nimekuelewa sana somo zuri sana
@anastaziajohn7792
@anastaziajohn7792 Жыл бұрын
Amina mungu akubariki mtumishi
@ej4409
@ej4409 Жыл бұрын
Mungu, akutie nguvu usonge mbele zaidi, coz watoto wengi wa wachungaji huwa hawajaokoka na hawapendi kabisa neno. Kwahiyo kitendo cha huyu binti kupata ujasili wa kufafanua na kufundisha vizuri ni neema ya Mungu. Hata kama atakuwa na mapungufu machache ,lakini hakuna aliye mkamilifu, huu ni mwanzo, tuendelee kuwaombea ili Mungu awatienguvu ,wasonge mbele.
@imanikambindu6830
@imanikambindu6830 Жыл бұрын
Acheni umbea na kukariri mambo, kakwambia nani kwamba watoto wa wachungaji huwa wanakuwa hawajaokoka , we ndio unatazama mioyo ya watu, na mbona huelezi watoto wa waalimu , wakulima, na wengine , hao Je huwa wanakuwa wameokoka ? Don't generalise mambo
@ej4409
@ej4409 Жыл бұрын
Achakukurupuka kuongea bila kuelewa nilichomaanisha.Kwani mi mi nimewataja wakulima na walimu hapa? Unatakiwa utoe comenti zako kulingana na ulivyomuelewa aliyehubiri, siyo kudakia tu mzee! Au usije ukafikiri kila mmoja anapenda malumbano yasiyo na maana, Alwayz tafakari kabla ya kutoa maneno, kuwa makini sana
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 Жыл бұрын
Ni kweli watoto wengi wa wachungaji wanakuaga hawajaokoka na watukutu balaa sijui shetani ndo anakuwaga kazini, mf Linah Sanga baba yake mchungaji lakini mwangalie
@rutagengwasteven7879
@rutagengwasteven7879 Жыл бұрын
Amen amen
@ngayaimkwe5175
@ngayaimkwe5175 Жыл бұрын
Umeva vibaya sana kwenda za kwendeya disco
@unclegmihale455
@unclegmihale455 Жыл бұрын
Safi sna ❤
@BeatriceFlorina
@BeatriceFlorina Жыл бұрын
munguakujaliyeujasirinamoyomuzurikamawababa
@santinosabugo2114
@santinosabugo2114 Жыл бұрын
Mrs nabii nimeelewa mahubili yako zidi kumpendeza mungu
@lilianmungure8374
@lilianmungure8374 Жыл бұрын
Good girl, be blessed in JESUS name MONICA
@juliusmollel9570
@juliusmollel9570 Жыл бұрын
Binafsi nmetambua uwepo wako maneno yako all in all I thanks to God
@estermatara2220
@estermatara2220 7 ай бұрын
MUNGU 🎉🎉
@DAMIANPNIIMA
@DAMIANPNIIMA Жыл бұрын
Monica love you so much god bless you
@onolatharobert
@onolatharobert 10 ай бұрын
Amina
@Maryam-kl6gj
@Maryam-kl6gj Жыл бұрын
Dah umenifariji sana moyowangu kutokana namapito yngu😢. MUNGU AKULINDE
@upendoibrahim5030
@upendoibrahim5030 Жыл бұрын
Eeee Mungu ahsante kwa neno lako takatifu, kupitia Mtumishi wako Monica,amegusa nafsi yangu mpaka mwili umesisimka, Mungu akutunze mwanangu,Pia wabariki wazazi wake kwa malezi mazuri ya kumjua Mungu, AMEN
@mugishomwenda4265
@mugishomwenda4265 Жыл бұрын
Kweli ni NENO la kusisimua mweli WALA sio kuponya roho
@helenbahati8038
@helenbahati8038 Жыл бұрын
@@mugishomwenda4265 hapo sasa watu tunapenda neno la kusisimua mbali sio neno la kuponya Roho 😭😭
@sylvestrengwelu2012
@sylvestrengwelu2012 Жыл бұрын
Mungu AKULINDE Monica songa mbele piga hatua.Umefundisha vizuri. Mifano mizuri sana.KUJISHUSHA, KUKUBARI KUJIFUNZA.HONGERA KWA WAZAZI.
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 Жыл бұрын
Mungu alinde uzao awainue awalinde ni fraha sana sisi watumishi kuona mtoto wako anasimama madhabahuni analisema neno la Mungu ni fraha sana Mungu awainue hawa watoto wa huyu baba awainue sana awatukuze sana nawaombea
@davidwambura5915
@davidwambura5915 Жыл бұрын
Hii comment ni yako au naona vibaya
@emanuelkidali9733
@emanuelkidali9733 Жыл бұрын
Utanitambuaje kama mie nimeokoka? Nope majibu waumini wa kweli
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 Жыл бұрын
U made it lady..keep it up 🥳
@ziadamarcus9699
@ziadamarcus9699 9 ай бұрын
Amen
@stellatemu2458
@stellatemu2458 10 ай бұрын
Amina binti wa Yesu Ubarikiwe
@anascholasticandagiwe6977
@anascholasticandagiwe6977 Жыл бұрын
Mungu pekee akakuinue monica ukafanye zaidi binti yangu
@mbezionlinetv3399
@mbezionlinetv3399 Жыл бұрын
Amina Somo zuri sana lenye kutia moyo hakika mtu hutakiwi kukata tamaa cha msingi ni kupambania ndoto zako huku ukimtanguliza Mungu yeye muweza wa mazito na mepesi ipo siku atatenda kwa njia usiyoitaraji zidi kubarikiwa
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Жыл бұрын
Dah inauma sana baba na mwana wote vipofu......
@saramartine7330
@saramartine7330 Жыл бұрын
Siskiii Bwana Yesu asifiwe,
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 Жыл бұрын
😃😃😃
@emanuelayubu5021
@emanuelayubu5021 Жыл бұрын
usikariri, hapo ni kusikiliza mafundisho kwanza.
@ShedrackJoseph-j4b
@ShedrackJoseph-j4b Жыл бұрын
Barikiwa Kwa ulichopanda Rohoni,
@herinestor3080
@herinestor3080 Жыл бұрын
U are smart my sister 😊
@namicktz_official
@namicktz_official Жыл бұрын
She talked to me direct this lady,abarikiwe.
@PAULMAKONDA-TV
@PAULMAKONDA-TV 10 ай бұрын
R.i.p nisher 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@FabiolaJoseph-iq5kw
@FabiolaJoseph-iq5kw 10 ай бұрын
Nguo hazimpi MUNGU Utukufu ,Na blich kichwani,Hadi hapo Ushamkosoa MUNGU,Ni machozii😭😭😭Hakika Mwana WA Adamu yupo karibu YESU tusaidie😭😭😭
@josephinenkuubi4485
@josephinenkuubi4485 Жыл бұрын
Asante Monica
@jmntwari4714
@jmntwari4714 Жыл бұрын
Shalom nipe number ya nabii mkuu
@zomasamweli
@zomasamweli Жыл бұрын
Asante🙏 Monica maneno yako nimafunzo kwa watu
@enelissadickson7618
@enelissadickson7618 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtoto❤
@JenifaJohn-d7t
@JenifaJohn-d7t Жыл бұрын
Shallom shallom niko marekani lakini ni Mtanzania Naomba number ya Nabii ninashida naye ombi
@KaningoGoldian
@KaningoGoldian Жыл бұрын
Monicaaaaaaa
@roberttryphone2400
@roberttryphone2400 Жыл бұрын
ujumbe mzuri sana hongela
@nellykibukila5677
@nellykibukila5677 6 ай бұрын
Ni kweli Dada Monika Imani inatembeya na mapendo.imani passport mapendo na matumaini ni bure.
@BisimwaMusagalusa
@BisimwaMusagalusa 8 ай бұрын
Voici la fille de son père welcome to Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@mpalleymwaipola9899
@mpalleymwaipola9899 Жыл бұрын
Monica hongera Sana
@monicabeneditomatipani9109
@monicabeneditomatipani9109 Жыл бұрын
Hakika leo nimejua Kuna Siri kubwa Sana ya kimungu kwa watu tunaoitwa Monica my sos umenitia moyo Sana nakupenda wajina wangu na hakika sitakata tamaa tena.
@enocksilungwepondajr9707
@enocksilungwepondajr9707 10 ай бұрын
Life.....
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 4,3 МЛН
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 32 МЛН
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 116 МЛН
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 9 МЛН
#UKIJUA SIRI HII OMBA LOLOTE |PR.DAVID MMBAGA|
1:21:18
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 54 М.
MCHUNGAJI HANANJA AMVAA MFALME ZUMARIDI NA NABII GEORDAVIE KUSEMA WANAONGEA NA MUNGU
29:57
DALILI ZA KURUDI KWA YESU| Rabbi Abshalom Longan| RUNZEWE GEITA
50:33
Beit Abraham ( Nyumba ya Abraham)
Рет қаралды 59 М.
KIDUM KIBIDO APEWA UNABII PAMOJA NA MILIONI 20 - GeorDavie TV
19:37
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 4,3 МЛН