Engineer Afunguka A-Z Manara Kuhamia Yanga "Mapenzi Yake Na Simba Yashakufa | SALAMA NA ENGINEER PT2

  Рет қаралды 43,187

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kama kichwa cha habari kinavyosema, Engineer Hersi ndo chachu ya furaha kwa mashabiki wa moja ya timu kongwe kabisa ya Taifa hili, timu ya wananchi, timu yenye mataji mengi zaidi yaani mabingwa wa ki historia. Nikiwa kama shabiki wa Simba Sports Club basi sina la zaidi la kufanya ila kumpa mtani wangu Hongera ya kuongeza taji jengine kwenye historia yao na pia kumsifu round hii kwa kutuzuia kuchukua ubingwa kwa mara ya tano MFULULIZO.
Engineer Hersi Ally Saidi aliingia pale kwa njia ya mdhamini (GSM) ila baada ya kuonekana kazi nzuri ambayo ameifanya kwa kipindi cha miaka miwili, Yanga sasa inaingia katika mchakato wa kuifanya timu iwe na muekezaji na mchakato huo yeye ndiye ambaye anauongoza. Kama mshabiki wa klabu, suala la GSM kuwa mdhamini mkuu kulileta chachu ya yeye kuweza kuongoza mabadiliko hayo ambayo yataanza hivi karibuni. Na yeye ndiye anatabiriwa kuwa Rais wa klabu yake pendwa baada ya uchaguzi ambao utafanyika mwezi ujao.
Narudia tena, kama shabiki wa SIMBA, mchakato ambao watani wetu wanaenda nao mmoja anaweza kuwa kakaa mbali na kutamani tu yale ambayo yanaendelea na kuomba (kwa nia njema) wenzetu wafanikiwe zaidi ya pale ambapo sisi tulifika kwenye mabadiliko hayo. SIMBA ndo ilikua timu ya kwanza kwenda kwenye mchakato huu ila inaonekana kama kuna sehemu zoezi limekwama na maswali mengi yamekua yakijitokeza na kuulizwa na baadhi ya mashabiki, mashabiki ambao pia wengi wao ni watu wenye vyeo na mamlaka. Tena, yangu matumaini wenzetu wataweza kukamilisha zoezi hili mpaka mwisho ili wengine waweze kujifunza.
Engineer pia ni Engineer, Baba, Kaka, Rafiki na mtu poa sana, mfanya biashara pia kwa upande wake mwengine wa maisha. Ametoka katika familia ambayo ilihakikisha anapata elimu na kuwa mfano bora kwa jamii ambayo inamzunguka. Amekua Baba mzuri kwa watoto wake watatu, Engineer mzuri kwenye kazi yake, moja ya kazi yake ni ile HQ ya GSM pale mtaa wa Samora na kiongozi BORA mbele ya macho ya wana Yanga Afrika.
Niliongea nae pia kuhusu maoni yake kwenye suala la mfupi wa elimu hapa Tanzania na kama huwa anasaidia maoni yake hasa kwenye kitengo cha elimu ya ufundi zaidi ukichukulia yeye ni mmoja wa uzawa wa shule za ufundi.
Yangu matumaini basi uta enjoy na kujifunza jambo kama ilivyo kawaida yetu.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪KZbin Link bit.ly/KZbinS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 37
@albertlokoya7937
@albertlokoya7937 2 жыл бұрын
Huyu Jamaa is well spoken na hii ndio maana halisi ya shule. Humble and intelligent , Interview bomba sana
@YahStoneTown
@YahStoneTown 2 жыл бұрын
Asante Na Endelea Kuenjoy
@jacobmagehema8886
@jacobmagehema8886 2 жыл бұрын
He deserves to be called president, a very composed guy
@dorahmwaqsa168
@dorahmwaqsa168 2 жыл бұрын
Rais wangu Heirs una nusu ya moyo wa wana Yanga tunakupenda sana 😘😘😘
@Rukaka_jr
@Rukaka_jr 2 жыл бұрын
Kweli wee engineer kiukweli nilikuwa simpend haji ila alivokuja yanga nikachange nakuanza kumuelewa, nb well done boss we trust you ndani ya miaka miwili mmetengeneza history unbeaten, ubingwa fa, league, na ngao sio mchezo
@tinabapemacho8650
@tinabapemacho8650 2 жыл бұрын
Naam uko sahihi rais wetu uko vyema sana hongera kiongozi wetu
@jumashedafa
@jumashedafa Жыл бұрын
Engineer hersi nakuon kwend kuwa wazir, naibu, katibu au mkurugenzi wa mpira ktk wizara ya michez..Mungu akutangulie
@sinanindola93
@sinanindola93 2 жыл бұрын
Humble man very intelligent and educated🙌
@elizalyimo7327
@elizalyimo7327 2 жыл бұрын
Rais wa wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 🔥🔥🔥🔥 unaongea kisomi sn bro hongera Sana😘😘
@peacegilbert6783
@peacegilbert6783 2 жыл бұрын
Eng hersi salute brother I'm appreciate you
@melangachikubati9253
@melangachikubati9253 2 жыл бұрын
Naamini ipo cku yanga itakuwa namba one football club in the world. VIVA.
@francepaul7711
@francepaul7711 2 жыл бұрын
PRESIDENT OF YOUNG AFRICAN'S🙌🙌🙌💚💛
@Shebe_traLove
@Shebe_traLove Жыл бұрын
Rais wa boli ume tutoa mbali sana tuna kujivunia allah akuzidishie
@dianabanga2625
@dianabanga2625 2 жыл бұрын
hersi 👏👏👏💚😘
@edgardevis8152
@edgardevis8152 2 жыл бұрын
Respect aunt
@wazinzatv3152
@wazinzatv3152 2 жыл бұрын
Rais wa mpiraa🙌🔥
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 2 жыл бұрын
Salama interviews....excellent
@bonosaugustine6545
@bonosaugustine6545 2 жыл бұрын
Tunaoitazama Sasa hvii one lovd
@InnocentKimambo
@InnocentKimambo Жыл бұрын
Hongereni
@gladnessmunyanyi5775
@gladnessmunyanyi5775 2 жыл бұрын
What an interesting interview
@classicmido88
@classicmido88 2 жыл бұрын
Interview nzuriii sanaa but mnachelewa ku apload Interview
@maulididdy1071
@maulididdy1071 Жыл бұрын
Ipo poaaaa sanaaa
@suleimanmwenyemvua995
@suleimanmwenyemvua995 2 жыл бұрын
Salama ACHA kumchafua Rais wa Yanga kwa kumwambia eti yeye ni shabiki wa simba timu zetu tunazijua mama kwani utasababisha shida sana kwake.
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 Жыл бұрын
Leo hujaweka part 1 au? Part 2 jmn
@iddybakar1946
@iddybakar1946 Жыл бұрын
😆😆😂😄 daah salama banah eti alikukimbia mayele wakat unaenda kumtongoza
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 Жыл бұрын
Anajibu maswali kisomi mno asee mpaka vitu usivyo vijua unajifunza, Yanga shikilieni bomba kwa uyu Engeniar
@abdallahmdangadachi7030
@abdallahmdangadachi7030 2 жыл бұрын
Salama kweli huyo Rais wa uto aendelee kuota tu
@ibrahimahead6133
@ibrahimahead6133 2 жыл бұрын
Bonge ya interview
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 2 жыл бұрын
Kwenye swala la Haji kakosea Haji hatumtaki ,yanga ina watu wanaojilewa..hatutaki watu wa kuvuma kwa msimu hatuendi Kama bendera kufuata upepo...
@Malekanojr
@Malekanojr 2 жыл бұрын
we kolo potea
@francepaul7711
@francepaul7711 2 жыл бұрын
ENG, HERS
@diasalicastro5353
@diasalicastro5353 2 жыл бұрын
We jinga sana ko juma anacheza tiny ya taifa ya congo
@dannylinguist15
@dannylinguist15 2 жыл бұрын
Tafuta ela uache kutoa hasira za umaskini kwa watu wasiokujua 🤣
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 2 жыл бұрын
@@dannylinguist15 😂😂😂
@tawfiqsaid4918
@tawfiqsaid4918 2 жыл бұрын
Tafuta pesa we ubwa
@tengarashid4703
@tengarashid4703 2 жыл бұрын
Relax Mama,
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН