Kaka samahani sana nimekuelewa sana na nakukubali sana ila Bro kama na ww umeusika kufanya ile kazi basi Bro Mmeferi sana na unavyo zidi kumuongelea ndo unazidi kuoneasha kuwa Eunice ni Mbovu zaidi na Kaka kama umeshiliki kutumia hela ya kodi zetu kumtengeneza Eunice basi Kaka Mungu anawaona mtailipa tu
@user-cb7jq9ti7pАй бұрын
Hahahahah
@JumanneDastanАй бұрын
Nimetazama Comment za watu hapa nimegundua ni watu Wachache sana ndio tunaweza kuelewa hili suala kaka tena sisi ambao tumejizatiti zaidi kwenye Technology ila hawa wachimba chumvi inahitaji muda sana Kaka lakini Keep it up bro 😎 sio kila somo unaloweka hapa ni lazima wote tukuelewe naamini hawa wanaoponda kama wangeijua historia ya Technology hapa nchini ilivyo basi naamini wasingeponda hili la Robot Eunice au kukudhihaki hapa 😢 Kaka endelea kutoa Elimu wewe ni TUNU ya taifa hili, mbaya zaidi nimeona mpaka mbunge kasimama ndani ya bunge letu tukufu anaponda kilichofanywa kwenye Robot Eunice kiukweli nimeumia sana na nimeionea sana huruma nchi yangu. Keep it up Brother ✌🏽 nakuona mbali sana.
@elvisernest3280Ай бұрын
Watu Wana msema uyo Robot vibaya kwasababu ni wa serekali na watu wengi Hawa ipendi hii serekali yetu Wana chuki na viongozi ndio maana ata uyo Robot ata taftiwa visa tuu wamseme vibaya
@AfricaIntelligenceeАй бұрын
Eunice she sound completely like Rehema Ai
@halimsaidi9567Ай бұрын
Tunataka uende ukamhoji bro
@YunusHassan-dl2mdАй бұрын
Kaka snashtz umetisha kinoma noma tufanye riviyu ya movie ya. VENOM LAST DANCE utakua umetisha kinoma noma kaka Fanya ivoo
@ndimizarohomtakatifurichar9802Ай бұрын
Sasa unaelekea kwenye uchawa na utakuharibia sana ACHA bro Fanya kazi yako
@directorwizard7310Ай бұрын
Kaka naomba uwache kumuongelea Eunice hafu nyie Bongo hamna AI wenu sema tumechukua AI wa Elon alafu Eunice hawezi kufanya kazi yoyote mana ata Kiswahili tu hajui Eunice ata Kuzima hiyo Tv 📺 tu hawezi kuzima wala kuwasha Unazingua sana Kaka