Mimi ni mwana Yanga miaka zaidi ya 40. Yanga ya msimu huu jirekebisheni. Kuna kitu hakipo sawa. Ni km mgonjwa anapumulia mashine. Kuna Hali ya kuwa butu uwanjani. Kuna siku mtajikuta pabaya. Timu yetu Yanga be careful. We need speed acurace perfect and confidence. Ushindi wa goli Moja is not deal. .God bless Yanga.
@DenisSanga-bj5udСағат бұрын
Mcjambuzi wangu bora kabisa
@IsraelMwakagire-hn8pnСағат бұрын
Katika majitu pumba ni hili jamaa
@ziadamuhunzi62105 сағат бұрын
sisi wenyewe tumetuma offer tayali kwao kwaio sio mbaya nipe nikupee hiyo
@JohnJoseph-qq7owСағат бұрын
Ukiona matusi ujue ni watoto wa shetani yanga wazee wakubebwa
@ericmutalemwa80404 сағат бұрын
Kessy unawafurahisha HAO TUU huyo KWENDA SIMBA ni ndoto
@WistoniMtewele5 сағат бұрын
kwanza inabidi muangalie kwanza yanga nitimu inayokamiwa Sana ukijumlisha na kiwanja lakini haya
@hajiali15722 сағат бұрын
Msisahau yang amewapiga vipigo simba na azam
@MwamvitaKizua3 сағат бұрын
Mhh huyu chawa wa yanga nae haeleweki
@SalvatoryMtunga3 сағат бұрын
Yanga haina mvuto, sawa, mechi 7 point ngapi?
@MohammedJaizan-yf5yt4 сағат бұрын
Hili jitu pumbavu sana
@ismailngulingar21334 сағат бұрын
Wajinga ni wengi wajuwaji ni wengi pia wasenaji ndio viongizi wa clubs na pia ndio makocha clubs wasemaji wamekuwa wanajuwa zaidi kuliko makocha au wachezaji au viongizi Siri za ndani za club wachambuzi wao ndio wanajuwa kuliko viongozi na makocha na wachezaji
@roberttendewa175343 минут бұрын
Mnasema yanga mbona simba amsemi wakati ulikuwa hovyo kubebwa mnaendelea.
@barikilangoy473752 минут бұрын
Mwenzio anataka pesa, Azam katoa pesa amekataa sasa tutakuelewaje
@hassanabdala73833 сағат бұрын
Simba haitaki wachezaje wazee
@reinfridlipili56662 сағат бұрын
Simba ya Cameroon au ipi? Kama ya Tanzania hawana hadhi hata kukaa kuongea na Yanga kwani ni timu ya KIHUNI sana na haieleweki IPO IPO TU kuanzia UONGOZI hadi MASHABIKI! Kwanza kwanini mnachanganya na timu za hovyo!
@IsraelMwakagire-hn8pnСағат бұрын
Kwa yanga hii utopolo,timu Limehouse mbeleko tu ya marefa
@JohnJoseph-qq7owСағат бұрын
Yanga mnabebwa sana hamna timu hapo ni msaada wa refa
@shabanimbega404 сағат бұрын
Aziz ki ilikuwa hivyo2 lakini wapi shida ya simba hawana hela