EXCLUSIVE: KUTANA NA MZUNGU WA MWANANYAMALA ANAYETREND MITANDAONI, UTACHEKA VITUKO VYAKE...

  Рет қаралды 60,336

Global TV  Online

Global TV Online

2 жыл бұрын

EXCLUSIVE: KUTANA NA MZUNGU WA MWANANYAMALA ANAYETREND MITANDAONI, UTACHEKA VITUKO VYAKE...
Kutana na Mzungu wa Mwananyamala, ambaye ametokea nchini Marekani na kufanya kazi ya uchekeshaji nchini. Amezungumza mengi ikiwemo masiha yake ya mahusiano.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 114
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 2 жыл бұрын
Mzungu anaweza kukaa miaka kumi mpaka 20 ukadhani mjinga kumbe akaunti yake amewekewa mabilion kwenye akaunti yake ili afanye research ya kitu flani
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 2 жыл бұрын
Yeah upo sahihi maneno yako umeona eeeh 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohamnedsalum2150
@mohamnedsalum2150 2 жыл бұрын
Kabisa
@minablessing8650
@minablessing8650 2 жыл бұрын
Ukwel kabisa nilishawah kulishuhudia Hilo ,,, huyu kuna Jambo analitegemea
@ladyt1471
@ladyt1471 2 жыл бұрын
Kweli kabisa anaweza hata kuolewa hapa hapa kumbe anafanya research zake
@flackomasterbaddest4155
@flackomasterbaddest4155 2 жыл бұрын
Kichwa chako boxi
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 2 жыл бұрын
Sipendi sana Ambavyo Tunashoboka na wazungu? Hivi unadhani huyo dada katoka Calfonia kuja kufanya vichekesho tu Bongo!! Tuwe sereous Wabongo!! Ukienda kwao ni kwa Moto sana aiseee....unasakwa Kama muizi
@hadijamlokakuzenza2146
@hadijamlokakuzenza2146 2 жыл бұрын
Hawa watu hawajagi huku bila sababu mnaweza kusema anaenjoy,kumbe ana lake jambo, muwage makini na hao, hawajuagi kutembea bure,ila ipo sababu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Umeonaee wengine wametuma na mabeberu wabongo wakiona ngozi nyeupe hivyo wanashoboka wangejua Hao rohozao
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 жыл бұрын
cc ndiyo wabaya uliwahi kufanya kizuri tunajijua tunavyoishi
@yayeissa4128
@yayeissa4128 2 жыл бұрын
Africa yetu ina amani.pia utuvulivu upo tofauti na ughaibuni ni balaa tu.maisha yanatupeleka mbio lakin afica ndio kila kitu.
@venancjoseph1498
@venancjoseph1498 2 жыл бұрын
Kuweni na akili .nyie waandishi mzungu hawezi toka marekani kuja kufanya vichekesho acheni hizo
@millicentayangokunting3728
@millicentayangokunting3728 2 жыл бұрын
Yeah yuko na mission
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Kwani si hata sisi tukiwa marekani lazima tuongee kiingereza? Sasa cha ajabu ni nini yeye akiongea kiswahili akiwa Tanzania? Sisi waajabu sana
@ramadhanrajabu6772
@ramadhanrajabu6772 2 жыл бұрын
Ww ni genius walahi kaka hahaha nimekukubali
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 2 жыл бұрын
Bado utumwa 😜😜😜
@Beautiful-Place
@Beautiful-Place 2 жыл бұрын
Bado utumwa haujaisha😂😂😂😂
@Jamie-zp7bb
@Jamie-zp7bb 2 жыл бұрын
Alama za kumjua kama ni CIA: 1.Hawezi kabisa kukubali/kuruhusu kuolewa au kuwa na mtoto mahala kwenye mission alikotumwa sababu kwao ana maisha yake mazuri tu. 2. Wazungu wanayaogopa sana kuyaishi MAISHA ya UMASIKINI. I'm just giving you heads-up only, maana ninaishi nao muda mrefu na ninawajua vizuri sana.
@bukheytmohammad2831
@bukheytmohammad2831 2 жыл бұрын
So atakua ni cia
@Jamie-zp7bb
@Jamie-zp7bb 2 жыл бұрын
@@bukheytmohammad2831 🙂Siku zote utautambua mti kwa matunda yake.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 2 жыл бұрын
Hopeless thinking....wacha njaa
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 2 жыл бұрын
Hopeless thinking...au wacha njaa
@Jamie-zp7bb
@Jamie-zp7bb 2 жыл бұрын
@@ezekieljacob5795 English 'n Swahili have left you..for sure!!😲😳😅did i directly say that she's a CIA? or even mentioned her name that she's a member of any security bureau? poor understanding 'n am not adoring Caucasians as you do!😏😏.
@Lovelove-or2ob
@Lovelove-or2ob 2 жыл бұрын
Kwamba mzungu hataki kuondoka jamn🥰🥰🥰
@karimhgau9020
@karimhgau9020 2 жыл бұрын
You are so happy in tanzania rita thank you for coming to tanzania
@doreengomes3489
@doreengomes3489 2 жыл бұрын
Rita thank you for the laughter 💜💕
@peterbalyagati7834
@peterbalyagati7834 2 жыл бұрын
Karibu sana
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 жыл бұрын
Mzungu akija Africa anaenjoy but ss tukienda kwao mamaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Unaish kama mfungwa
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
hatari sana
@nurathkhamiss5925
@nurathkhamiss5925 2 жыл бұрын
Tena Kama mbwaaaaaa kichaaa
@johasaeed391
@johasaeed391 2 жыл бұрын
Maisha ni magum sana jamani
@dhabiyaalawi3024
@dhabiyaalawi3024 2 жыл бұрын
Mapenzi yke kufanya sanaa sasa sio. Mjadili eti kama anajambo lake mwenyewe hawa akifika miaka 18 wanaondoka kwao wanafuta maisha yao
@yakobomaganga6557
@yakobomaganga6557 2 жыл бұрын
Siwaamini Sana Hawa viumbe Wana Mambo mengi Sanaaa,,
@yusufulimo5737
@yusufulimo5737 2 жыл бұрын
Nice❤️ you
@marshamkayalla9721
@marshamkayalla9721 2 жыл бұрын
Jina
@salumsicknesspeoplemusafir7902
@salumsicknesspeoplemusafir7902 2 жыл бұрын
Yes girl tell them .we are same about fighting to get good life
@musasabuu2808
@musasabuu2808 2 жыл бұрын
Yani mnachoshangaa yy kuongea kiswahili nn wakat hata ss tukienda kwao tunaongea kiingereza
@josephatmaruka4612
@josephatmaruka4612 2 жыл бұрын
Kama umegundua familia yake haiko pamoja huko kwao.
@inongee1141
@inongee1141 2 жыл бұрын
Hatari
@malelabmalela5016
@malelabmalela5016 2 жыл бұрын
Ok
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 2 жыл бұрын
Wa bongo wanataka kwenda marekani ,mzungu hataki kutoka bongo,daaah,kali
@saidhassan7779
@saidhassan7779 2 жыл бұрын
WAPEMBA NI WAZURI SANA ,MASHAALLAH NAWAPENDA SANA MM
@africangirl189
@africangirl189 2 жыл бұрын
Why are we so excited by wazungus yet they are never excited about us 😂😂🤔
@isaacbarnabas9608
@isaacbarnabas9608 2 жыл бұрын
😂😂 faf* That's fact 😂✊🏼
@stellanyamuhogota1832
@stellanyamuhogota1832 2 жыл бұрын
Lita wew noma 😀😀
@allymapinda8804
@allymapinda8804 2 жыл бұрын
Ushauri kwa wageni wote ambao sio watanzania, ukija Tanzania kwa lengo la kuishi nenda kaishi uswahilini! Sio Sijui Masaki, Oysterbay huko hautapata flavour halisi ya bongo. Mimi nilikuwa na mzungu alikuwa anaishi uswahilini na majirani walikuwa wanampenda sana yani maisha yalikuwa very simple.
@kelvinkeita319
@kelvinkeita319 2 жыл бұрын
Jaman mzungu wa mwananyamala namtaka
@deogratiasrugangila3100
@deogratiasrugangila3100 2 жыл бұрын
Mmm mmarekani? Unadhani anakaa uswazi bure huyo? Katumwa huyo baada ya muda utakuta hayupo kaisha peleka aliyo tumwa.
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂☠️😂😂
@faridaomary4927
@faridaomary4927 2 жыл бұрын
Waooo
@allysuleiman1637
@allysuleiman1637 2 жыл бұрын
Muangalieni huyo yawezekana kila anapokwenda anaonekana keshaizunguka moshi Sasa yupo dar akitoka dar mtwara dodoma NK anaonekana MSOMI mzuritu
@mwanasitidettwiler9254
@mwanasitidettwiler9254 2 жыл бұрын
👍👍👏👏💯✅️
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 2 жыл бұрын
Mbona unampa leading questions
@mwilongokivega3169
@mwilongokivega3169 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣kimoja chaliii acha uongo🤣🤣
@yusuphbahati172
@yusuphbahati172 2 жыл бұрын
Mh
@abubakarikisuju80
@abubakarikisuju80 2 жыл бұрын
Huyu ni F.B.I.
@Jamie-zp7bb
@Jamie-zp7bb 2 жыл бұрын
Unachokisema kinawezekana pia sababu Wazungu wanaogopa sana kuishi maisha ya kimasikini.
@sophianyange3655
@sophianyange3655 2 жыл бұрын
Wapelelenzi hao
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 2 жыл бұрын
Na wewe dada yangu hebu punguza kula kula ebu ona unavyo vimbiana maana mpaka unatisha
@charlesnassary6689
@charlesnassary6689 2 жыл бұрын
😂😂😂🙌🙌🙌
@lilianhigilo2527
@lilianhigilo2527 2 жыл бұрын
Yuko kazin8
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 2 жыл бұрын
Hawa wajinga ukiend kwao ukahohiwa hivi bila wao kujua utashangaa asubuhi wako mlangoni kuuliza we nyani umefikaje hapa
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 жыл бұрын
kweli kabisa wamarekani wabaguzi sana
@bahatimwinga2501
@bahatimwinga2501 2 жыл бұрын
Woooii kwli walai kwanza ile ukijiintroduce unataka uholewe ndio unaeza kufia jela
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 2 жыл бұрын
Angekuwa mubongo angesema myaka anayo 19
@mwanaishamande8880
@mwanaishamande8880 2 жыл бұрын
Acheni ujinga wezi watanzania Hao nyie hamjui watu weupe wanavyotudharau watu weusi nachukia kuona wanajiachia kwenye nchi yangu 😵😵
@arynxbaba9091
@arynxbaba9091 2 жыл бұрын
Sisi wote ni wamoja,Mungu wetu ni mmoja,aina haja ya kubaguwana,km wao wanabaguwana juwa sio wote wanafanya ivo,maana pako ata wa africa wana roho km zao!!wew ishi tu km gisi mungu anapenda tuishi,maana iyi sio dunia yetu bali ni ya Mungu
@mwanaishamande8880
@mwanaishamande8880 2 жыл бұрын
@@arynxbaba9091 nikweli japo inatia hasira
@arynxbaba9091
@arynxbaba9091 2 жыл бұрын
@@mwanaishamande8880 Hakuna Namna Mama
@saidamad3191
@saidamad3191 2 жыл бұрын
Mzungu
@maghanighanichali9519
@maghanighanichali9519 2 жыл бұрын
Elimu ni ujinga mwandishi anajisikia raha kuongea na mzungu.angekuwa na mweusi mwanzake angekuwa mkali sana.Wimbo aliochagua una maana sana usichukulie poa mwandishi
@r14kgroup68
@r14kgroup68 2 жыл бұрын
Acheni.njaa
@adamutilar3147
@adamutilar3147 2 жыл бұрын
Mzungu wetu mkarimu
@shalimwile9278
@shalimwile9278 2 жыл бұрын
Yeyoooooh🤣😆😆
@babuloliondo5975
@babuloliondo5975 2 жыл бұрын
Anaka kisheria au kwawafrica tu vip vibari viyake vipo Sawa au wa Africa tu murizeni vibari manahake usipangishe mgeni kutoka Africa nikesi kubwa daa sijuwi tunakwenda wapi
@JIWEtv6484
@JIWEtv6484 2 жыл бұрын
Semeni tu Africa yetu Ina amani na utulivu, unajua ameijia nn? Yani sijui tutajitabua lini. Inasikitisha sana.
@edsongamuga1814
@edsongamuga1814 2 жыл бұрын
Kwan ameijia nn?
@selemanihussein7873
@selemanihussein7873 2 жыл бұрын
Kwaiyo Unatakaje afukuzwe nchini au
@micamathew2595
@micamathew2595 2 жыл бұрын
Ngoja litanenepa hili!! Anakula chapati mamaaaa hahahahahaaaaaaa
@handwatchmaro4124
@handwatchmaro4124 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣fala wewe🤣🤣🤣🤣umenichekesha sana
@crissinkala3110
@crissinkala3110 2 жыл бұрын
Huyu CIA
@abdulmalickabdillah6739
@abdulmalickabdillah6739 2 жыл бұрын
Mzungu kichaa,mzungu pori🤣🤣🤣🤣😂
@neemamwanzuga9267
@neemamwanzuga9267 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ati unakibamia
@firdausqutty2067
@firdausqutty2067 2 жыл бұрын
Sio kwa hayo macho yke akikodoa
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 2 жыл бұрын
Hawa wazungu wakija tz wanaishi vzr na tunawababaikia lkn nenda kwao km mfungwa na wanatunyanyapa sana magu angekuepo ujinga hu usingekueoo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
KWANI MAGU ALIPOKUWEPO WAZUNGU WALIKUWA HAWAPO TZ???
@mylatz4944
@mylatz4944 2 жыл бұрын
sio wote bhn
@dianamahendekamahendeka1344
@dianamahendekamahendeka1344 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mzungu hataki kurudi kwao
@johasaeed391
@johasaeed391 2 жыл бұрын
Maisha noma huko kama una ndugu huoo au jamaa mwambie akupe habari tu kidogo ni noma marecan hata wa Egypt wamejaa wanauza vifaa wakitembeza mitaani hehehe watanzania mmelala
@micamathew2595
@micamathew2595 2 жыл бұрын
Kibamia?? Hahhaahaaaaaa!!
@abujuma4751
@abujuma4751 2 жыл бұрын
Uyo analake jambo kwaher au shari tuye teyari kupokea vairas hai wezekani mtu ache nchi yake bule
@loner_wolf
@loner_wolf 2 жыл бұрын
Hao watu wako free wewe .... Nchi zao ziliendelea miaka mingi sana thats why wako far kwa killa kitu ..... Huyo anataka kujifunza vitu tofauti na wanavyojua huko kwao ili akirudi huko kwao awe na kitu cha kipekee apige pesa .....
@charlesnassary6689
@charlesnassary6689 2 жыл бұрын
wazungu wajanja mnoo
@Farajahelene23031
@Farajahelene23031 2 жыл бұрын
nonsense
@pachamalota4455
@pachamalota4455 2 жыл бұрын
Mzungu kishuka anampango
@jumamumaka5846
@jumamumaka5846 2 жыл бұрын
Utakuta hata ni mpelelezi huyu,
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 жыл бұрын
hahahah
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
"Polepole acheni njaa siwapendi wote".
@babusadala5732
@babusadala5732 2 жыл бұрын
😁😁😁😁
@wasimbaa6653
@wasimbaa6653 2 жыл бұрын
Mwambie aje njombe achukue palachichi na viazi
@isayamlyuka7530
@isayamlyuka7530 2 жыл бұрын
Umtie. Mimba
@noahnsubc1666
@noahnsubc1666 2 жыл бұрын
Dadaake bongo zozo
@nellyambani6456
@nellyambani6456 2 жыл бұрын
Jicho la FBI
@rajakhamis8902
@rajakhamis8902 2 жыл бұрын
Nyie watanganyika musiseme kibari semeni kibali
@othmanalsherem7313
@othmanalsherem7313 2 жыл бұрын
CIA agent
@maidamwaipopo9603
@maidamwaipopo9603 2 жыл бұрын
Pumbavu zake aondoke kwao mpuuzi huyu kwao wanaua sana watu weusi
@shedrackmwaipopo219
@shedrackmwaipopo219 2 жыл бұрын
Acha ubaguzi wewe
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 жыл бұрын
not all white ppl racist! sometimes black americans doesn’t listing at all.
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 2 жыл бұрын
Acha wauae nani anawambia waende huko 😂😂😂😂😆😆
@yayeissa4128
@yayeissa4128 2 жыл бұрын
Africa yetu ina amani.pia utuvulivu upo tofauti na ughaibuni ni balaa tu.maisha yanatupeleka mbio lakin afica ndio kila kitu.
@mohamnedsalum2150
@mohamnedsalum2150 2 жыл бұрын
Umaskini ndio tatizo
@Football-cl2hj
@Football-cl2hj 2 жыл бұрын
@@mohamnedsalum2150 ummaskinii upo popote bruh kuna wazungu wanaishi vibaya sanaa
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 140 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 50 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 60 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
PENEZA ANASEMA CCM OYEEEEE,,,,UZINDUZI WA KAMPENI CHADEMA GEITA MJIINI
10:09
Sababu ni Mapenzi : Mzungu akabiliwa na umaskini Malava
4:08
KTN News Kenya
Рет қаралды 253 М.
OSCAR: MZUNGU MASAI ALIVYOSHEREHEKEA BIRTHDAY YAKE / WANANIITA BOYA
9:19
Global TV Online
Рет қаралды 540 М.
One on One With Pearl aka Lulu Mzungu Mlunje
8:52
Churchill Television
Рет қаралды 1,4 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
0:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 14 МЛН
МЛАДШАЯ СЕСТРА И МОРОЖЕНОЕ ИЗ АРБУЗА
0:41
ОЛЯ ПЕРЧИК
Рет қаралды 2,7 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
0:18
MrBeast
Рет қаралды 54 МЛН
Хитрая МАТЬ делит НАСЛЕДСТВО между ДЕТЬМИ 😱 #shorts
1:00
Лаборатория Разрушителя
Рет қаралды 10 МЛН