EXCLUSIVE: MACHOZI YA LULUDIVA KUFIWA NA MAMA, AWAJIBU WALIOSEMA HAJAJENGA KWAO, KUNYANG'ANYWA GARI

  Рет қаралды 341,628

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Пікірлер: 725
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 2 жыл бұрын
Pole saana luludiva allah akupe subra katika kipindi hiki kigumu🙏🥰🥰 wangapi wamefurahi kuona interview ya kijanjanja ya mirad ayo ♥ twakupenda kaka uyu ndiyo King 🤴 of interviews ♥ 👌 🇴🇲 🇹🇿
@theresiafrancis1343
@theresiafrancis1343 2 жыл бұрын
Pole lulu wewe Ni shujaa sana una baraka zote za mama yako …. Mungu amlaze mahala pema peponi amina Amina
@husnashindano1192
@husnashindano1192 2 жыл бұрын
Allaahuma Ameeeeeeeeeeeen 🤲 😭 😭 😭
@winfridapeter9455
@winfridapeter9455 2 жыл бұрын
Pole Sana 😭😭,tuliofiwa na mama tunaumia na mengi tukiyaelezea yao,pumzikeni mama zetu wote mliotangulia mbele ya haki na marehemu wote🙏🏽
@lydiamutunga7538
@lydiamutunga7538 2 жыл бұрын
Aisee inauma sana miaka 20 sasa tangu kuondekewa na mama ni mambo mengi tu magumu lakini mungu yupo pamoja nasi🙏🏻
@husnashindano1192
@husnashindano1192 2 жыл бұрын
Allaahuma Ameeeeeeeeeeeen 🤲
@husnashindano1192
@husnashindano1192 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@mwahijalukali2387
@mwahijalukali2387 2 жыл бұрын
Amiin thuma amiin
@aliburhan3015
@aliburhan3015 2 жыл бұрын
ALLAAHUMMA AAAMIIN YAA RABBI 🤲
@rachelgeofrey1500
@rachelgeofrey1500 2 жыл бұрын
Napenda sana Diva akitabasamu anakua mzuri sana na anaongea vzr sana in short nampenda sana na Mungu amjalie maisha marefu na mazuri pia kajitoa sana kwa mamake
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
Nimekupenda kwakweli,sio kutamani kuzaa tu , Mungu akupe ndoa ktk jina la Yesu, mpate watt wazuri!
@beshuuambarali4960
@beshuuambarali4960 2 жыл бұрын
Kwani UYo christu
@petronchalangi1033
@petronchalangi1033 2 жыл бұрын
Kwenye comments wengi wanalaumu Lulu kujibizana na hao waliomsimanga kuwa hajajenga kwao....lakini kiuhalisia hii story kwa upande wangu iko kifasihi Sana. Na ni story ya kitaaluma zaidi na Millard Ayo umeiendesha vizuri Sana. Kweli wewe umeiva kuinterview watu wa kila carrier. Kwa ujumla ukiisikiliza hii story Ina vitu vingi mno vya kujifunza. Mimi ninayependa fasihi nashauri Lulu kwa kushirikiana na Millard Ayo iwekeni kwenye kitabu ili jamii ijifumze zaidi. Nakupongeza Sana Lulu kwa kuamua kuleta hii story juu ya marehemu Mama yako. Inatufundisha mengi hata maisha yako ulimopita pia ni funzo tosha. Na yule atakayekuoa atakuwa amepata donge nono. Wewe ni malkia wa nguvu na ni wa mfano.
@chikurashidi7085
@chikurashidi7085 2 жыл бұрын
Kweli pole Lulu
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 жыл бұрын
Sana
@ngache46
@ngache46 2 жыл бұрын
Abdul atafaidi eeeh
@rahmaabdallah5821
@rahmaabdallah5821 2 жыл бұрын
😍👏
@wejja423
@wejja423 2 жыл бұрын
Mwalimu wangu
@mozam4496
@mozam4496 2 жыл бұрын
Pole sana Lulu wang Mungu akupe maisha marefu 🙏i love you 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@suzymakwawa5408
@suzymakwawa5408 2 жыл бұрын
Ata Sielewi Ni Andike Nini Lulu Ume jua Kuniliza Mdogo Wang 😭😭😭😭😭Mungu Afanyike Faraja Kwako Ww Ni Shujaa Sana Nakupenda Sana 💕💕💕💕
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 2 жыл бұрын
Duuuuh pole sana dada Diva, umemfanyia sana Wema mama ako malipo utayakuta mbinguni🙏
@joycemlwale5422
@joycemlwale5422 2 жыл бұрын
Weww ni shujaa wangu wa 2021 ulinipa hisia sana ktk kumuuguza mpk kufariki kwa mama yako.Mungu aendelee kumpa pumziko la milele.
@enterenter1921
@enterenter1921 2 жыл бұрын
Mirlad nakupenda saan kwaajili ya ALLAH 🥰 🥰 na Lulu umependeza mashaa Allah pole na 🤲🤲nakuombea
@sabrinahm5651
@sabrinahm5651 2 жыл бұрын
God will see you through Lulu . My prayers 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@sophialaurent2406
@sophialaurent2406 2 жыл бұрын
Pole sana dada Lulu, najua jinsi gan umeumia, umenitoa machozi 😭😭😭😭
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 2 жыл бұрын
Pole mwanangu M/Mungu akupe Subra. Hio njia ni yetu soote. Kwake tumetoka na kwake ni marejeo. Kila nafsi itaonja mauti. M/Mungu akujaalie mume mwema wa dunia yako na akhera yako na pia akujaalie kizazi chema cha kike na kiume chenye kheri na wewe.
@mohameddara1502
@mohameddara1502 2 жыл бұрын
Your strong woman lulu Mey Allah grant her in jannah
@carolineotieno8154
@carolineotieno8154 2 жыл бұрын
Take a heart Lulu, it's really painful and heartbreaking I feel your pain let's her soul rest in internal peace Pole Sana You're a strong woman according to what you passed through.
@luluukwaju8051
@luluukwaju8051 2 жыл бұрын
Pole sana wajna Lulu! Umeniliza wallah! Allah Amrehemu, Amsamehe Alipokosea na Amjaaliye jannat firdaus mama yako ameen. Nawe Allah Akuzidishie wepesi ameen
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 2 жыл бұрын
Amen
@zuenampandeni3347
@zuenampandeni3347 2 жыл бұрын
lulu wewe ni jasiri hongera, pia pole Allah atakupa mume mwema na watoto wema
@helgaaporinaly2811
@helgaaporinaly2811 2 жыл бұрын
Hongera dada kwa kumpambania mama. Mwenyezi Mungu akupe ujasiri wa kulikubali hili. Wewe ni mama jasiri na mbeba majukumu.
@janetmwangombe6267
@janetmwangombe6267 6 ай бұрын
Pole sana mrembo wetu ❤usijali mama amepumzika ameteseka sana mahali yuko hateseki tena.wewe pambana na maisha dadangu mwenyezi Mungu atazidi kukupa nguvu.
@chocolatedrop3968
@chocolatedrop3968 2 жыл бұрын
Pole sana Lulu 😢 Mungu yuko nawe na mama amekuachia baraka zake nyingi
@azizymachadeson3577
@azizymachadeson3577 2 жыл бұрын
Ila binadamu tunajua kuongeaga sana na kutoa maneno mabaya bila kujua ni mangapi mtu kapitia na ni changamoto gani mtu alikua nazo , hakuna binadamu ambae anapenda shida au anapenda apitie mateso ! Dah pole sana Dada angu pole sana sana sana Nakupenda sana Lulu D
@prettyh7509
@prettyh7509 2 жыл бұрын
😭😭😭😭story inaumiza jamani hakika umepambana Mdg Wang Mungu awapumzishe mama zetu kwa amani
@sintaibra355
@sintaibra355 2 жыл бұрын
Watu Wanazungumza Tuu Coz Midomo Hailipiwi Vat Hawatizami Hata Age Ya Mtu Wanatiririka Tuu Sasa Umri Wa Lulu Ni Wakujenga Kwao Amepambana Lini Na Ajenge Lini Jamani Tuwe Na Kiac👐👐👐
@adolpheaoci5706
@adolpheaoci5706 2 жыл бұрын
Pole sana dada, Nina kumbuka shida nilio pitia kwaku mchunga Baba yangu alipo vunjika hip. Machozi ime toka sana. Jipe moyo dada
@shadrackvicent3711
@shadrackvicent3711 2 жыл бұрын
Usiombe yakukute,hapa utaona kawaida but ni hali ngumu,ngumu zaidi MUNGU AMSAIDIE SANA LULU DIVA NA ALLAH AMPOKEE MAMA YETU
@rahimarahima7465
@rahimarahima7465 Жыл бұрын
Pole sana DaDiva mungu ailaze roho y mama mahali pema
@mohammedkombo3727
@mohammedkombo3727 2 жыл бұрын
Pole Sana Lulu Allah amlaze mahala pema insha allah napia Allah akupatie Afya njema naww napia umepata Baraka zote za mama amini utaishi Maisha Mazuri Sana hapa Duniani lolote utakalo kulifanya litakua bila kipingamizi kwa uwezo Wa Allah ila umenitoa machozi lulu 😭😭😭
@RajatSharma-uq7pz
@RajatSharma-uq7pz 2 жыл бұрын
Mambo Uliyapitia na umri wako ni makubwa mno, Mwenye Ezi Mungu ajalie mema ya dhunia na akhera
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭pole lulu .insh mungu atakupa mume mwenye kheri na ww..🙏💟.dah umejua kumpambania mama ako.uko na pepo yko kesho insh.insh mungu atakupa mume bora .
@aminaomy8139
@aminaomy8139 2 жыл бұрын
Pole Sanaa dadangu Lulu .... Allah atakulipa ujra wako na mamako Insha Allah huko kuugua kwake iwe ndoo msamaha wake kwa Allah na ndoo njia yake ya peponi ... Allah awasamehe wazazi wetu .. Allahuma Ameen
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 2 жыл бұрын
Amen
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 9 ай бұрын
Bless nyng mrembo wetu yamungu mengi Allah akupenda muombee inxhaallah huko aliko😢
@marlenezaina2196
@marlenezaina2196 2 жыл бұрын
Mamako alifariki siku moja na mamangu mzazi na pia wametoshana umri na waliuguwa kwa miaka sawa😢😢😢😢inauma sana Mungu awampumzishe marehemu wote kwa amani
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 жыл бұрын
amina sorry for your loss
@lydiahbhoke2284
@lydiahbhoke2284 2 жыл бұрын
Lulu natamani nikukumbatie kwa nguvu yu are so special lady Lulu
@dalhiyarashid2572
@dalhiyarashid2572 2 жыл бұрын
Kuna vitu vingi Sana nimejifunza kutoka kwako dada Lulu,umenifanya nimekuwa na nguvu ya kutokata tamaa, nimekupenda Sana na pole kwa matatizo kipenz🙏🙏🙏😓
@casablancastudioarusha775
@casablancastudioarusha775 2 жыл бұрын
Pole sana kwa jaribu ulilopangiwa kukutana nalo Duniani Mungu akubariki kwa yote uliyomtendea Mama yako.
@rodapaulo2090
@rodapaulo2090 2 жыл бұрын
Pole mamii.....Mungu alikupatia usingiz mzito....ili2 usishuhudie mama akikata roho pole sana
@tildahongkong6086
@tildahongkong6086 2 жыл бұрын
Daah pole sana luludiva umepitia wakati mgumu sanaa sio kazi rahisi MWENYEZI MUNGu atakufuta machozi na atakupa furaha ya moyoni MUNGu ampunguzie adhabu ya kaburi 🙏🏼❤️
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 2 жыл бұрын
Pole sana lulu ukilia namimi nalia nalia kwauchungu umasikini mbaya mbele zao nyuma yetu sote tusio na mama au tusio na wazazi
@coletashirima2193
@coletashirima2193 2 жыл бұрын
Congratulation Lulu ..... Mama apumzike kwa amani ,,,,big up sana Millard nampenda one day ntafanyiwag interview na ww tu
@nasrimohamed7556
@nasrimohamed7556 2 жыл бұрын
Lulu haustahili kulaumiwa kwa kweli pole sn Allah akupe nguvu kpnd kgumu unachoptia
@zamzamzamzam4898
@zamzamzamzam4898 2 жыл бұрын
Mungu atakuwezesha inshallah lulu inauma xnaa muombe Dua mama ilo ndo la muhimu
@justinejackson1731
@justinejackson1731 2 жыл бұрын
Kuna watangazaji alafu kuna "MILLARDAYO"... interview ni ndefu but unatamani isifike mwsho, kama ilivyo siku zote..hongera sana mtu wetu wa nguvu Millard, Mungu azidi kukupa nguvu. Kuhusu Lulu, pole sana sana kwa kumpoteza mama yetu hyo ni mipango ya Mungu ata ungefanya nn bado ingefika mda, so pole sana. Kuhusu wewe ni shujaa na malkia wa nguvu wala hahitaji kutumia nguvu nyng sana kuwaonyesha/kuwaelekeza watu ulichokifanya kwenye maisha yako na kwa mama kiujumla..ata ungefanya kipi sisi wanadamu hatujawahi kukosa la kusema..so..usikate tamaa endelea kupambana utafika unapopataka Kwa uwezo wa wake Mola. Jinsi unavyojieleza inatosha sana kuonyesha uwezo wako mkubwa wa kujitambua km kuna mapungufu hyo ni kawaida Kwa ss binadamu, hakuna aliyekamilka.
@millardayoTZA
@millardayoTZA 2 жыл бұрын
Muchlove Justine
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Pole sanaa mamy, Allah akufanyie wepesi kwenye kipindi hiki kigumu.
@saidybhokey5744
@saidybhokey5744 2 жыл бұрын
dada kwa dini yetu umefanya kazi kubwa sana kwa mama yetu mzazi ni mfano wa kuigwa sana
@theresehakizimana6345
@theresehakizimana6345 2 жыл бұрын
She’s a Super woman 💪❤️
@pinahoscar6735
@pinahoscar6735 2 жыл бұрын
Lulu katika umri mdogo miaka 27 ila umepitia mengi Mungu ampumzishe pema peponi mama lulu Umempambania sana mzazi wako ila Mungu kampenda zaidi😭😭😭😭ila interview yako imeniliza sana
@josendaki2321
@josendaki2321 2 жыл бұрын
Pole lulu Mungu awe nawe akupe neema ya moyo
@josendaki2321
@josendaki2321 2 жыл бұрын
Wewe safi sana
@josendaki2321
@josendaki2321 2 жыл бұрын
Wema safi sana😍😍
@carolinaadolf6955
@carolinaadolf6955 2 жыл бұрын
Strong woman Luludiva ❤
@mimamum6506
@mimamum6506 2 жыл бұрын
lulu allah akupe subra dadangu nasi sote tuliopoteza wazazi wetu allah awarahamu wazazi wote waliotagulia najikuta2 nalia wallah kuondokewa nikuzito
@silviaantony677
@silviaantony677 2 жыл бұрын
Pole lulu diva nakupenda kweli mdada unayejielewa mungu akutangulie katika shughuli zako upate watoto waige tabia yako
@zabronmadano9053
@zabronmadano9053 2 жыл бұрын
Exactly
@neemajulius6249
@neemajulius6249 2 жыл бұрын
Ni maombi yang kwa Mungu ampe kila mwanamke mtoto wake hii interview imenigusa sana
@semenimohamed8156
@semenimohamed8156 2 жыл бұрын
Pole sana lulu kufiwa na mzazi alafu ukiangalia U mezaliwa pekeako ni machungu sana wenye hali hii tunaijua vizuri ila nikumuombea kwa mungu
@mwabakabwe9733
@mwabakabwe9733 2 жыл бұрын
Millard ye so professional🙏I love yur sense of humor🙏Lulu may God bless ye ❤️I started following ye th day I spotted yur video n yur mom 👏I loved ye from that day 🙏❤️sending ye enough love from Zambia 🇿🇲
@vumiliahamisi7046
@vumiliahamisi7046 2 жыл бұрын
Allah amrahamu mama na hakika unaradhi zake mutakutana kiyama
@mariammsolini7287
@mariammsolini7287 2 жыл бұрын
Pole sana lulu, Mungu atakulipa mema kupitia mazuri uliyomtendea Mama
@hashkhantantrasiraji118
@hashkhantantrasiraji118 2 жыл бұрын
Pole sana Lulu Diva hakika Allah atakulipa kheri Inshallah 🙏🙏🙏
@marthadeogratius7913
@marthadeogratius7913 2 жыл бұрын
Pole sana Lulu Wewe ni shujaaa! Umepambana sana Mungu aendelee kukusimamia siku zote akupe mume mwema akujalie watoto♥️♥️♥️
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Polesana kwauliyoyafanya Allah atakulipa lnshallah Sasa ukae uswali umuombe Dua Allah. Amsamee amuingize peponi lnshallah
@CertifiedGavin
@CertifiedGavin 2 жыл бұрын
The voice of truth says do not be afraid, u gonna be alright I promise ❤️
@lucybenjamin7205
@lucybenjamin7205 2 жыл бұрын
Pole sana mamy, Mungu akutie nguvu kwa kipindi hiki kigumu🙏
@mercypeledawson1622
@mercypeledawson1622 2 жыл бұрын
I love you Lulu, no matter what they say nakuombea mamy
@Polly-uj3ky
@Polly-uj3ky 2 жыл бұрын
The interviewer, what a beautiful man and a great listener. Lulu is gorgeous. My deepest love and comfort sis. ❤️
@adelinasanga6710
@adelinasanga6710 2 жыл бұрын
Dada lulu pole sana! Mwenyezi Mungu akutie nguvu!! Apumzike kwa Amani!!!
@lydiamvungi9989
@lydiamvungi9989 2 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni pekee ndiye faraja yetu, mungu mpe faraja sana Lulu Diva
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
AMIIIN
@mwemajuma1431
@mwemajuma1431 2 жыл бұрын
Masha llah Lulu mdogo wangu umeongea vzr sana raha ya watt uwepo kwenye ndoa
@deborahrehema5819
@deborahrehema5819 2 жыл бұрын
This is really heartbreaking and ☹️ sad and painful to loss someone you love 💔 Pole da Diva
@sirahchocolate8508
@sirahchocolate8508 2 жыл бұрын
Lulu wangu Allah akupe afya njema na Umri mrefu InshaAllah ♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🙏
@sintaibra355
@sintaibra355 2 жыл бұрын
Pole Saana Kwa Yote Lulu M/MUNGU Aendelee Kukufunga Mkanda Ktk Nyakati Hizi Ngumu Kumpoteza Mzazi Mama Kwa Kweli Ni Zaidi Ya Maumivu
@consolatamaunde8967
@consolatamaunde8967 2 жыл бұрын
Pole sana lulu na mshukuru Mungu umemuuguza Mama yako
@lizzygabriel9601
@lizzygabriel9601 2 жыл бұрын
Daaah Pole sana lulu 😢, umepambana sana , Mungu akupe faraja kwa kweli
@subirachuta8169
@subirachuta8169 2 жыл бұрын
Lulu umeniliza sana coz nilipoteza mama kwa kushindwa kumudu matibabu, Hii ya kwako imenikimbusha mbali sana😭😭
@mariamlymo6548
@mariamlymo6548 2 жыл бұрын
Kufiwa kufiwa kufiwa aisee hili neno lione na ulisikie kwa mwenzio omba yasikukute tena kufiwa na mama jamani nyie mama anauma 😭😭😭 niliuguza mama yangu hadi nikafikia hatua ya kukufuru naona bora afe apumzike mateso ya dunia ila leo hii natamani hata angekuwepo niwe namuona tu... Pumzikeni salama mama zetu😭😭😭😭
@florencekaranja8736
@florencekaranja8736 2 жыл бұрын
Pole sana lulu may God give u strength you are a strong woman
@ashaulaya7412
@ashaulaya7412 2 жыл бұрын
Mpare mwenzngu karibu uparen 🤲🙏❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰💯💯
@agnessnkana8079
@agnessnkana8079 2 жыл бұрын
Chozi uliolimwaga mungu atakufuta kwa namna yake na hongera Sana umekuwa mdada jasiri na mwenye upendo na ninaimani upambanaji wako utakufisha mbali Sana pia unabaraka za mama hatuna cha kusema zaidi ya pole mungu akutie nguvu usimame imara kazi iendelee
@samiraahmed8966
@samiraahmed8966 2 жыл бұрын
Tuliopitia hii hali tunakuelewa lulu mungu akupe nguvu zaidi
@khadijashabaninimba7890
@khadijashabaninimba7890 2 жыл бұрын
😭😭😭😭💔💔Pole sana diva 😭Hakika mungu ni mwema wa kila jambo Allah amrehemu 😭hii ni safari ya kila mmoja kila nafsi itaonja umauti Allah atujalie mwisho 🙏🙏💔💔Allah awarehemu wazazi waliotangulia 😭 😭😭😭😭😭😭💔💔💔
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 2 жыл бұрын
Ulimpenda sana mama yako Mungu akubariki sana sana
@ChristinaAloyce-pp6vj
@ChristinaAloyce-pp6vj 3 ай бұрын
Kumuuguza mama nakuindoka mikononi mwako huku ukimpambania hd mwisho niviwanja namajumba tisha. Hongera diva nakupenda sana natamani nikuone nikukumbatie tulieeee 😢😢😢😢
@devothastive8007
@devothastive8007 2 жыл бұрын
Daaaaah Mungu amtie nguvu huyu dada😭😭
@awadhkhamis2592
@awadhkhamis2592 2 жыл бұрын
Mwamamke kama huyuu ukimpta rahaa kwasababu keshamaliza kila kitu na hana kigeni tena huyuu mke washoka lulu WEEE ntafutee 😂😂😂😂
@richardfilibert5411
@richardfilibert5411 2 жыл бұрын
Umepambna Sana Lulu mungu niwawote kilam2 anachance yake kwenye maisha🙏
@ztvonline2523
@ztvonline2523 2 жыл бұрын
Brother Millard ni no one
@sifamugwaneza8774
@sifamugwaneza8774 2 жыл бұрын
Jaman me nakupenda sana kaka angu #Millard unamfariji mwenzio na kujitahidi kumuelewesha😊 na penda pia kazi zako and pole sana #Lulu kwa msiba wa Mama ww nimfano wakuiga japo kuna wazazi wengine sijui wapije unawafanyia wema hawaoni but Mungu atakulipa na nzuri zaidi ulikua unaelewana sana na Mama❤
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 2 жыл бұрын
tuloondokewa na mama ndo tunao jua chungu na mamumivu pole mamy hat mim imenigusa
@user-yy2fc8uz2x
@user-yy2fc8uz2x 4 ай бұрын
Duu pole sana lulu mwenyez Munqu azid kukutunza na kukufunqaa❤️
@alvinmbugua9830
@alvinmbugua9830 2 жыл бұрын
May lulu mum soul rest in peace...we love you so much our sister lulu.nairobi kenya tuko na wewe kwa prayers
@nannakhamis5350
@nannakhamis5350 2 жыл бұрын
Huyu msichana anapepo ya mama ake utaokuta Kesho Kwa allah my
@agnethamsigwa3373
@agnethamsigwa3373 Ай бұрын
Pole Lulu kwa msiba ..... Mungu akubariki kipenz Nakupenda wewe ni mwanamke shujaa
@elizabethmwalo8424
@elizabethmwalo8424 2 жыл бұрын
God will reward u Lulu. You did your part as a human, but God saw it good for her to rest.
@luifdls6217
@luifdls6217 2 жыл бұрын
very touching story..safi sana lulu..pole sana kwa kufiwa na mama..Mungu ampumzishe kwa amani🙏..u are so courageous na umempigania mama sana..Mungu akupe nguvu dear its not easy🙏💪
@aishahassani34
@aishahassani34 2 жыл бұрын
Malikia wa nguvuu nakupenda sana wew dada allah akutunze
@revocatuszabruza2795
@revocatuszabruza2795 2 жыл бұрын
Big up madame Wema
@bellahappy2119
@bellahappy2119 2 жыл бұрын
Lulu pole sana ulilopitia nakijua wanaosema awajui uchungu wa kufiwa na mama
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Watoto wakike wanakumbukwa tu wakifanikiwa ili wapeleke maendeleo kwenye miji ambayo wala siyo yao. Urithi hawapewi lakini wanangojewa wajenge ili wataifishwe. Big up Diva usijenge kijijini kama hujapewa eneo lako hapo.
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 2 жыл бұрын
Huyu msichana ni mwema na mtiifu lkn wapo wasichana wengine wabaya na urithi kwa dini y kiislamu wanapata hata kama umri wake ni dakika moja
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
@@shifaaal-baity4503 Kuna mila hawazingatii dini.,mila nyingi za Kiafrica unakuta watoto wa kiume wanapewa, wakike wanaachwa
@trayfosaharrison9199
@trayfosaharrison9199 2 жыл бұрын
Hiki kitu sio kizuri, kama unapenda mtoto wako wakike akifanikiwa asaidie nyumbani muwape pia sehemu ya urithi. Kama ww ni wakike hujapewa urithi kwa vile ni wakike usipojenga kwenu na una uwezo hakuna laana. Wasaidie mambo mengine kama chakula, matibabu n.k. kujenga watajenga wanaume wao walioona wanapaswa kupewa urithi
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
@@trayfosaharrison9199 💯
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 жыл бұрын
Maskin inahuzunisha 😭 Allah akuzidishie subra na akupe faraja baada ya mtihani na allah akujaalie upate mume mwenye kheri na wewe naamini ukishazaa na ukawa na familia watoto wako ndo watakuwa wanakufariji,najua kusahau ni vigumu sana Allah akutie nguvu maskini 😭 Allah ampe kauli thabiti mama 😭 Allahumma ighfirlaha warhamhaa waskanhaa fii janna yaa kareem 😭👏
@sharonnemartins2798
@sharonnemartins2798 2 жыл бұрын
Dah! Pole Lulu. Mama is in a better place and free from pain🙏🙏
@rahabmwaura3105
@rahabmwaura3105 2 жыл бұрын
Lost my dad 12/9/21 due to pneumonia, i know what Lulu is feeling... Ain't easy at all.. Mungu atupe nguvu sote jemeni
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 2 жыл бұрын
Amen !!
@chocolatedrop3968
@chocolatedrop3968 2 жыл бұрын
Pole sana
@fatumahamad11
@fatumahamad11 2 жыл бұрын
Pole sana lulu Allah akufanyie wepesi InshaAllah katka kipindi hiki kigumu Inauma sana
@devothawilbardwilbard1576
@devothawilbardwilbard1576 2 жыл бұрын
Achana nao jukumu lako umemuuguza Mama na unatakiwa kujenga kwako na sio kwa babu
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Mcheza kwao hutunzwa..my brothers..kwa moyo wa huyu dada ataweza yoote na mwenyezimungu atamtunza kuwa msaada wa familly zote...God is good...at all.
@msasenathpotiphar1732
@msasenathpotiphar1732 2 жыл бұрын
Machozi yamenimwagika Lulu umenitonesha maumivu ya Mama hayaelezeki 😭, MUNGU akutie NGUVU kama alivofanya kwangu 💔😭 wapumzike salama Mama zetu 😭🙏
H BABA AMTONGOZA LULU DIVA KWENYE HELLO MR RIGHT SHOW
4:47
ST BONGO TV
Рет қаралды 260 М.
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 14 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 10 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 101 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 188 МЛН
FULL INTERVIEW MKE WA MZEE YUSUPH,KIFO CHA MKE MDOGO,KUACHA MZIKI
47:22
ReyTox Pro Network
Рет қаралды 29 М.
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 14 МЛН