Рет қаралды 158,670
#EXCLUSIVE: MO DEWJI AVUNJA UKIMYA wa HAJI MANARA, AFUNGUKA MENGI - ''SINA KINYONGO NAYE''...
Mwandishi mahiri wa habari za michezo, @salehjembefacts amefanya mahojiano 'exclusive' na Rais wa Heshima wa Simba na mfanyabiashara mkubwa wa Kitanzania, Mohamed Dewji 'Mo' ambapo amefunguka mambo mengi ambayo ulikuwa huyajui.
Saleh amemuuliza Mo kwamba licha ya kufanya kazi kwa muda mrefu na Haji Manara aliyekuwa msemaji wa Klabu ya Simba, alipohamia Yanga alikuwa akimtukana kwenye mitandao na kwenye vyombo vya habari, je, ikitokea amemuombamsamaha yupo tayari kumsamehe? Mo amelijibu swali hilo.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline