Рет қаралды 66,398
Msanii wa muziki wa Hip Hop ambaye haishiwi matukio Nay wa Mitego amedai amekuwa akipokea maombi ya watu mashuhuri kujitaka kujiunga na freemason baada ya kuendelea na kutangaza msimamo wake kwamba hana dini yoyote na watu watavyojisikia kumzika watamzika tu.
Rapa huyo amekuwa gumzo mitandaoni baada ya kuwataja baadhi ya wachungaji na kudai wanawatapeli watu.
Written and edited by @yasiningitu